Da huyu dada, aliemuoa emepata mke, dada ni jasiri,dada ni mcha MUNGU,dada Amesoma dini,dada amelelewa kimaadili ya dini,niwanamke wa heshima,angalia alivyo pokea taalifa na jinsi alivyo ileta kwa ndugu zake na baba yake,MUNGU akufanyie wepesi dada umalize maisha ya dunia salama,
Subhanallah 😢 hakika Mwenyezi Mungu humpandisha cheo amtakaye! Bi Akiba ame pata bahati ya pekee. Msiba wake ni huzuni na furaha! Allah amghufirie madhambi yake na amjaalie pepo ya daraja ya juu kabisa 🤲🏾
Dah yani Dada yangu wewe ni mtoto mwema na Baraka kwa wazazi wako na hakika wamekupa malezi mema na hii ni kukufundisha dini MashaAllah! Ee Allah tujalie tuwe miongoni mwa waja wako wema na utujalie tuwe wazazi wema kwa watoto wetu, kesho waweze kutengeneza vizazi vyema. Alhamdulillah 🙏🏾
inalillah wainalillah rajiun yaani we dada Allah akuongoze uwe kama mama yako nimekisikiliza kwa makini sana umenifanya nilie umeniongeze kitu katika imani Allah atujalie sote mwisho wema na watoto wema amiin
Imeelezwa Ktk Qur'an Kuwa Mtu Mwema Huonekana Nuru Ktk Sura Yake Masha'Allah Ukhut Nafikili Nawewe Nikati YaHao Watu Tulioelezwa Yaa-Rabii Matamanio Ya Moyo Wangu Nikuwa Kama Huyu Mja Wako Alietangulia Mbele zako na Kuwa Nakizazi Km Chake اللهم تكبر دعاء 🙏
Nikivyoiona tu hii video hapa RU-vid, sikupanga kusikiliza yote, Ila nilivyoanza tu kuisikiliza nimeishiwa kuisikiliza yote. What an end to her life. Beautiful end. Zawadi ya kifo chema ilikua ni dhahiri kwake. May God heal the hearts of her beloved and everyone else who was touched by this story.
@@rausaid9430 Kumbe wewe kama mimi 😆 natamani nipatane na watu wazuri kama hawa maana maisha yangu yote ni changamoto na watu. Labda nihamie Tanzania lakini pia naogopa mara wanijie wabaya 💔😠
Innalillah wainnailaih rajiun 😭😭😭Kwakwel huyo Mama Kifo chake hakihuzunishi jaman 😭😭😭ikiwa mtoto wake yuko hiv je Mama Mzazi alikuwa je 😭😭Allah amlaze mahal pema pepon na sisi atupe mwisho mwema 🤲😭😭😭Sisi sote ni wa ALLAH na kwake tunarejea😭😭😭kifo chake kishajuilikana lkn chetu sisi hatujakijua kifo chake kinafurahisha Alhamdulillah Mashallah Yarab na sisi tujaalie mauti yetu yawe mepesi 🤲😭tufe katika mji mtukufu wa Makka tuzikwe na Mtume wetu Muhammad S. A. W. Na tuswaliwe ni watu katika watu wema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲
Wewe dada mume wako amepata dhahabu Ktk ndoa yake maashaAllah Allah Akujaalie kilalakheri dadayangu na ajaalie ndoa yako iwe ni yenye kheri na Barka tele na kizazi chako Allahumma Amiin 🙏
May Allah Guide us all to the siratul - mustaqeem , ease your pain and emptiness, and grant all our mothers Jannatul firdaus. Ameen Ya Rabi🙏Poleni sana ndugu zangu.
*It shows how the deceased raised her children well who prays for her always. May Allah have mercy on her. From Allah we belong and to him is our return* 💕
Yaan huyu aliemuoa huyu dada amepata mke maashallah I wish ningalikuwa mie. Yan ametulia anajieleza anaijua Dini anaunyenyekevu maashallah. Allah akujaalie maisha marefu na mwisho mwema katika imaan.
Machozi yananitoka mimi mja dhaifu , mwenye chungu nzima ya madhaifu na madhambi Yaa ALLAH nisamehe kwa Rehema zako na uniingize peponi bila ya hesabu . Kama ulivyonipa neema ya uislamu ukubwani Alhamdulillah Amyn 🤲
Innah wa Innah lillah Rajun Daaah Kwa kweli Dada Nimekupenda Bure Wallah Mwenyezi Mungu Akuzidishiye Katika Misingi Mema Daima Milele Mwenzenu Kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mashallah huyu dada ni mfasaha sana Allah amzidishie maana ameeleza mazungumzo yote kwa taratibu na sarufi hakika inayofahamika. Mama amelea hakika Allah amridhie
Ukhty Allah Akulipe umrii thawiil wenye twaa na waislam wote na Awarehemu jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby...unaujasiri sana dadangu... Allah Amridhie mamaetu na jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby 🤲 nimejifunza mengi kwa huu msiba wa mamaetu ...Allah atukutanishe na Mtume wetu MUHAMMAD SALALWAHU ALEIHIWA SALAAMU kwa sidri mutakha Amiin yarabil Ala Amiin 🤲
Amiin amiin ya Rabii Allah akupe hitaji la moyo wako,namshukuru Allah nimeiwahi mwaka huu sijamaliza siku arobain,nakuomba Allah mtimizie hitaji lake huyu mja wako,amiin amiin ya Rabii
Ya rabb tujaalie mwisho mwemaa 🤲🤲... Tujaalie tudumu katk Yale mema yanayokufurahisha tueke mbali na Yale mabaya yanayokukacrisha yaaarabb tujaalie pepo ya daraja ya juu kbs 🤲🤲
Me nimelia sana baada ya kusikia hii habari Ila watoto wa marehem n watu wenye hofu ya Allah 😭 Allah awape subra na mama etu jannat firdaus yawe makazi yake yarraby🙏
Kwa BWANA YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote Duniani na Wala hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye Utukufu na heshima ni Kwa BWANA YESU KRISTO milele na milele amini ukombolewe
Innallillaihi wainna illaihi rajiun Allah Ampe kauli Thabit Ndugu yetu Amsameh madhambi yake Amuondoshee Adhabu za kaburi Na Amlaze mahali Pema Peponi Awal Daraja Jannat Firdaus Yaa Rabbi 🤲❤ Poleni sana wafiwa wote Allah Awape Subra Yaa Rabbi 🤲❤ Shukran sana Mdogo wetu Wasia Mzuri sana Allah Atuongoze kwa Sote,Tuwe miongoni Mwa waja wema na Tuwe watu wa Peponi Yaa Rabbi 🤲❤
SubhanaAllah. Inna lillah wainna ileyhi rajiuon. Allahuma ghfirlaha warhamha waskinha fil jannah. Allahuma thabithna bil kauli thabit. Allahuma jaalna qabra raudha min riyadhil jannah. Kwa kweli kisa kizito na chakuskitisha Alhamdulilah Allah awazidishie imani ndani ya moiyo yenu nimemkumbuka marham mamangu kwa kweli ukipata taarifa ya kifo kitu cha kwanza kukifanya ni umsujudie mola wako na huwa wapata utulivu wa nafsi kupambana na jambo zito hilo.shukran kwa elimu nzuri mama yetu bi akida kwa kweli tumepata funzo zuri
Mashallah mwanangu khanifa Allah atakupeni subra dada angu Allah kampenda na kamzawadia zawadi sote tunaililia nafasi hii Yarab mjaalie firdaus ya darja ya juu poleni mama
Ya rabi mpokee mjaa wako mpe alicho kitaka nasi tujalie mwisho mwema na utupe pepo tuondolee hadhabu ya kaburi na hadhabu ya moto utupe pepo ALLAH TAKABALANA DUA ETINA AMIN
@sheshi beshi HAPA ni spesho, AU kwaajil, AU kwaniaba ya, MAMA, mmoja, alie jaaliwa imani yake thabiti, kipenzi cha muumba mbingu na ardhi, yani muumba mawingu na mchanga, na kila unacho kiona mbele yako, NDUGU nakuomba tuache kwanza, sio kwa ubaya, NA pia chunguza NA seemu.
MASHAALLAH MI MTU AKIFA KAMA HVYO HATA SIUMII NABAKI NAJIOMBEA MWISHO MWEMA TU MANA MAMA KAFA AMESHATUBU MASHAALLAH ALLAH AMPOKEE KWASALAMA NASI ATUPE MWISHO MWEMA ALLAHUMMA AAMIIN YAARABB.
Maashallah aliemuoa huyu dada amepata mke hakika. Napenda sana mwanamke anaeijua Dini anautulivu ana subra. Allah amsamehe mama huyu na amuondolee adhabu ya kabri
Inalillah Wainailaih Rajuun. Mwenyezi Mungu atujaalie nasisi mwisho mwema. Kweli Mwenyezi Mungu ametuambia "Niombeni nitakupeni" "Rejeeni kwangu nami nitawasamehe" Alhamdulillah kifo cha huyu mama kimeniongezea Ilmu zaidi. Alhamdulillah
Hakika bila kujali wewe ni mwanamke wa nani ila najivunia wewe sana. Ni mwanamke unaejitambua kama mwanamke. Wewe unanifanya niamini wanawake walio bora kwa hakika wapo. Mungu na akupe umri mrefu ili watu wanufaike na neema zako isha'ALLAH.
Naam niliwah kwenda umra kila baada ya swala huswaliwa swalat jeneza,, Mashaa Allah mam amezikwa vizr naamehifadhiwa sehem nzuri mchanga wamadina mzuri jaman Allahu Akbar Allah amjaalie Jannat firidaus 🤲🤲🤲🤲🤲
INNALILLAH WAINNA ILAIHIRAAJIUN Allah amfanyie wepezi katika safari yke na kw familia Allah awajaalie subra biidhinillah. Allahumma ghfirlalla warhamaha waskanalla fil jannah 🤲
Mashaallah, mashaallah , dada yangu umeongea vzr , pia umetupa darasa tumejifunza wengine kupitia wewe , pia niseme malezi mazuri ulolelewanaamin mama huko aliko anafurahia na anaimani wewe kaacha mtu ,Allah akijalie wewe Na kizazi chako chote
Eeeh ALLAH jmn mola Wang...nijaalie mwanamke Bora km huyu dada, anaeijua dini, mchamungu, mweny kuniongoza kwenye njia Bora ... Allah nijaalie jmn mke Bora km huyu yaraab... WANAWAKE km Hawa kuwapata daaah wachache na nikimpata daaah Dunia ni pepo kwang
Mie history ya Huyu mama yetu hainichoki kusliza niliskiza zanjibar tv sai naskia hapa yaani amepata pepo raha sana kufa hali Allah amekuridhia huzun kwetu furaha kwake Allah atupe mwisho mwema
Masha Allah wallah najikuta na liya kwafuraha familiya nzuri sana tungekua sote waislam itakiwavyo hata wenzetu wa kristo wange silim bila shaka ukijua wislam ki sawa sawa na kuufwata ki sawa sawa nineem isiyo namfano pia ndo furah ya hapa duniyan na kesho akhera ananiongezea iman Allah awafariji nasiye atuongoze sote natupe mwisho urokua mwema🤲
Allah Amrehemu mama yetu, Yaaani kwa jinsi dada yetu alivyojieleza. Vyote nimependa lkn kikubwa sn nimependa family yote ina dini, guys tuswalini wallah hatujui dk,saaa,wala cku....wallah Mom ameondoka akiwa mwema wallah Allah ampokee
Jazakallahu khaila uyu bint amenifanya mpaka nikatoa machoz.namuomba Allah Akupe hekima na busara kama mama yako.pia namuomba Allah ampe mama yetu daraja ya juu kama alivyokuwa akiiomba kwa Allah haza wajjallah 🙏