Тёмный

WATU WENGI WANAKOSEA HAPA,WEWE JE? 

MAHUBIRI TV
Подписаться 211 тыс.
Просмотров 41 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

30 авг 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 86   
@kulwamigo9127
@kulwamigo9127 Год назад
Dah,Mungu ni mwema sana. Nabarikiwa sana neno la Mungu kupitia Kwako Mch. David mbaga. Ubarikiwe sana Mch.🙏
@stivinkihenga497
@stivinkihenga497 Год назад
Ubarikiwe mchungaji,mahubiri yako in mazuri sana
@florencenekesa8243
@florencenekesa8243 Год назад
Live long mchungaji 🙏Kwa hakika mafundisho Yako yamenifungua macho ya roho 😢😢MUNGU akuzidishie zaidi🙏🙏🙏
@c.k.l3825
@c.k.l3825 Год назад
Ukweli mtupu mtumishi. Niko huku kwao. Hakuna vitu vya asili umenitamanisha nyumbani. Waambie tena na tena, wasitamani wazungu. Africa tuko na yote ndani ya yoye. Barikiwa sana
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Amen Asante Sana
@godlivermkono2231
@godlivermkono2231 Год назад
Amen barikiwa sana
@rizikimanamaua9216
@rizikimanamaua9216 Год назад
Ubarikiwe pastor kwa neno. Hakika unapo pitia jambo lazima kumuuliza Mungu pamoja na subira.
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll Год назад
Mchungaji Mungu akubariki rafiki yangu
@rodahadhiambo3637
@rodahadhiambo3637 Год назад
Amen to that sermon ,may the name of God be glorified .
@user-os3vo4sm2n
@user-os3vo4sm2n 7 месяцев назад
Amina ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu aliye hai 🙏🙏🙏🙏
@miamaltu5390
@miamaltu5390 Год назад
Amen p mungu azidi kukuweka
@konardariri9266
@konardariri9266 Год назад
Amen
@knowledgetv5594
@knowledgetv5594 Год назад
Ninachokupendea Pastor ni hiki, au-hubiri dini yoyote, au chochote kile ila unamuhubiri Kristo.
@singuadam2092
@singuadam2092 Год назад
Amina mtumishii
@weahfeint3406
@weahfeint3406 Год назад
Mungu aliye hai aendelee kukupa hekima, maarifa zaidi, nguvu na moyo wa kuendelea kutumikia mafunzo yako yanabariki hasa somo la kufunga limebadilisha seem kubwa na muimu ya maisha yangu nategemea na maisha ya wengine pia, AMEN 🙏🏿
@getrudenabwayo4754
@getrudenabwayo4754 Год назад
Kitu ilifanya nikaanza kukufuatilia mafundisho yako ni wakati ulifundisha umuhimu WA KUFUNGA na kuomba,mimi mwenyewe nilikuwa mvivu WA kuomba na KUFUNGA Lakin kupitia kwako imekuwa mtindo kwangu WA KUFUNGA hata siku Tatu ama wiki mfulilizo na ninaona raha nikiwa nashinda kwenye maombi. BARIKIWA Mara Saba sabini mtumishi WA Mungu ✊🏼✊🏼✊🏼🙏🏾🙏🏾🙏🏾❣️
@emilynekesa1475
@emilynekesa1475 Год назад
Yani neno hili limenibariki sana,Mimi nimepitia haya yote,Hadi nikatamani niwe mu mslam🤔but kupitia neno hili God bless you 🙏. Riyadh town.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Год назад
Amen
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll Год назад
Amina
@elpinakatana7469
@elpinakatana7469 Год назад
AMEEN MUNGU abariki fundisho hili 🙏🙏
@RoroRoserororo
@RoroRoserororo Год назад
Amen, mungu nipe hekima
@ndayishimiyeriziki8696
@ndayishimiyeriziki8696 Год назад
Amina 🙏 🙏 🙏 🙏
@justinidaudy5438
@justinidaudy5438 Год назад
Pastor ahsant kwa mahubili mazur na maombi hakika kweli mungu amekutumia kuongea na watu wake amina sana
@margaretwanjiru9096
@margaretwanjiru9096 Год назад
Mafundisho yako ya ajabu Pastor barikiwa sana 🙏
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 Год назад
Huyu jamaa ana IQ KUBWA SANA .NA ANAMJUA MUNGU
@evalinezacharia7872
@evalinezacharia7872 Год назад
Nabarikiwa sana na mahubiri ya mtumishi wamungu mungu akulinde
@jacquelinebyaombe9729
@jacquelinebyaombe9729 Год назад
Amena sana
@annastazia608
@annastazia608 Год назад
Mchungaji Usije ukajaribiwa kuacha huduma hii unayoifanya. Ni ya muhimu Sana na inatuokoa wengi. Mr. Mwano wa TRVF.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Год назад
Amen
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll Год назад
Baba ananitengeneza
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 Год назад
Amen and Amen
@victorondimu651
@victorondimu651 Год назад
Amen 🙏
@roselineombati670
@roselineombati670 Год назад
Amen,a wonderful sermon
@hellenratemo2813
@hellenratemo2813 Год назад
Amen God bless you pastor
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 Год назад
Aminaa barikiwa sana pastor David mmbaga
@eustina837
@eustina837 Год назад
Mungu ametenda majabu kwa Beth anste pastor kwa maombi Mungu akubarik
@marygati9861
@marygati9861 Год назад
Amen.Yesu nipe hekima
@marysteven3543
@marysteven3543 Год назад
Barikiwa sana pasita,unatutia moyo sna
@kwambokakwamboka8382
@kwambokakwamboka8382 Год назад
Pastor am new here n I like ur sermon so much,we ar together,am watching from saud Arabia 🙏
@neemawambura8138
@neemawambura8138 Год назад
Amen Pastor barikiwa sana
@alicesidi9601
@alicesidi9601 Год назад
Amen be blessed Pastor Mmbaga and your family
@stevenwambura1290
@stevenwambura1290 Год назад
Mungu azidi kukubariki pastor asante kwa somo zuri
@philimonpandula8697
@philimonpandula8697 Год назад
👏👏👏👏
@alicenyakawa2449
@alicenyakawa2449 Год назад
I thank God for His grace upon me, I’m walking down streets of foreign cities but my heart is full of joy and praising in my lips I know even though I’m a sinner God still loves me thank you pastor
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Год назад
Amen
@jacksonwaitoro7920
@jacksonwaitoro7920 Год назад
@@MahubiriPrMmbaga nna shida na no ya mbaga
@silvandoita3179
@silvandoita3179 Год назад
Ameeeen Be blessed
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 Год назад
Nimeyapata vizuri kabisa asantee Mungu🤲Amina 🙏🙏
@amjudith
@amjudith Год назад
Jamani mungu atusaidie 🙏🙏🙏🙏
@eustina837
@eustina837 Год назад
Anster pastor kwa maombi Mungu nimwema kwangu lakin Mungu amguse boss kunakitu bado lakin namatumain Mungu atatenda kwa wakati wake
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 Год назад
Mungu azidi kuwa nawe pastor 🙌 asante kwa ujumbe mazuri.
@pendosimwimba2544
@pendosimwimba2544 Год назад
Mungu azidi kukubariki
@lidiaawino4740
@lidiaawino4740 Год назад
Mungu nipenguvu nisikate tamaa
@annasandomaseke
@annasandomaseke Год назад
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Hv pasta nikufananishe na nn kat ya mapasta wa hapa Tanzania 🇹🇿 nnaowajua? Hapana kiukweli MUNGU wetu akupe zaid
@silvestarlema72
@silvestarlema72 Год назад
Ubarikiwe sana mtumishi
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Год назад
Kizazi Cha Sasa wanatafuta ushoga wanataka vitu vizuri kwa mkato ukiwambia wanakwambia ni wakizamani wanachoka kabla umri somo litawangia na pamoja na sisi
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll Год назад
Binamu!!!
@mshigilakarume4425
@mshigilakarume4425 Год назад
Ubarikiwe pr
@cristinekenya1050
@cristinekenya1050 Год назад
Ni ukweli pastor Africa tumebarkiwa sana, huku Kila kitu ni artificial nko Lebanon
@munyetijesjeri3134
@munyetijesjeri3134 Год назад
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼nabarikiwa nikiwa kenya🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@raysibo5316
@raysibo5316 Год назад
Asante sana Pastor. Sasaningependakuomba yeyote ambaye ana number ya pastor,tafadhari anipe
@kelvinkimath4987
@kelvinkimath4987 Год назад
Mchungaji mungu akulinde
@florencenekesa8243
@florencenekesa8243 Год назад
Amen amen 🙏🙏
@duluxbahrain6429
@duluxbahrain6429 Год назад
Amen Amen
@Estherm309
@Estherm309 Год назад
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@marygoretysenga1119
@marygoretysenga1119 Год назад
AWESOME SMS MTUMISHI
@chancekambale3498
@chancekambale3498 Год назад
😂😂😂😂 sasa kuna tafauti gani kumkumbuka "Yesu" ukiwa umelewa naku mkumbuka "malaya" ukiwa Kanisani??? Wanadamu Tuna shida sana😂😂😂😂😂😂😂
@mborawakiche7564
@mborawakiche7564 Год назад
Aminaaa
@MagokoNikolaus
@MagokoNikolaus 2 месяца назад
Niko Katoro geita naitaji vitabu vyako tavipaje
@ruthkosgey9176
@ruthkosgey9176 Год назад
AMINA
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 Год назад
Yani mbaga umeongea neno hapa nakula matakataka Lasanya yani acha kabisa
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Год назад
@silvestarlema72
@silvestarlema72 Год назад
Usemavyo nikweli pastor niliamua kwenda kuanzisha kilimo cha miwa wa natambua mie ni dr wakasema nimetumbuliwa na rais mapato walipoyaona wakasema unatumia uchawi
@keziaranga6329
@keziaranga6329 Год назад
Japo ni usiku, lakini nafatilia kutoka Australia
@luhuluyusufu2934
@luhuluyusufu2934 Год назад
Mafunfisho yako mchungaji inasaidia watu wengi. Sasa,ujikaze kuto kutaja tu miji ya huko Tanzanie,bali ufundishe ukijuwa kwamba hata Kongo DRC,tunakufata sana.
@rizikilaunda961
@rizikilaunda961 Год назад
Amen 🙏🏾 Mungu nope hekima took!
@joliea2956
@joliea2956 Год назад
Ubarikiwe saana
@phanemochache352
@phanemochache352 Год назад
Beautiful sermon Pastor!
@pasiandaqaro5926
@pasiandaqaro5926 Год назад
Mungu akubariki sana na aenndelee kutumia kwa Kaz yake na akuepushe na mabaya
@zakayokikoti2455
@zakayokikoti2455 Год назад
Somo limefka kwe2 vjana
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll Год назад
Mchungaji Mungu akubariki rafiki yangu
@miamaltu5390
@miamaltu5390 Год назад
Amen
@juliusyenga1109
@juliusyenga1109 Год назад
Amina
@judithnjalambaya2450
@judithnjalambaya2450 Год назад
Amen
@amnamax8676
@amnamax8676 Год назад
Amen
Далее
MATUKIO YA KIMUNGU KATIKA MAISHA YAKO
49:34
Просмотров 13 тыс.
IQ Level: 10000
00:10
Просмотров 4,4 млн
FAIDA ZA MCHAICHAI MWILINI KIAFYA NA TIBA
4:01
Просмотров 4,8 тыс.
ELEWA VITU VINAVYO ZIPA MADHABAHU NGUVU ZA KUKUTESA
56:24
UPANDE WA MUNGU AU WA SHETANI!
1:21:25
Просмотров 39 тыс.
FAIDA NNE ZA DHAHABU KATIKA KUSHUKURU-PR DAVID MMBAGA
51:35