Ukweli mtupu mtumishi. Niko huku kwao. Hakuna vitu vya asili umenitamanisha nyumbani. Waambie tena na tena, wasitamani wazungu. Africa tuko na yote ndani ya yoye. Barikiwa sana
Mungu aliye hai aendelee kukupa hekima, maarifa zaidi, nguvu na moyo wa kuendelea kutumikia mafunzo yako yanabariki hasa somo la kufunga limebadilisha seem kubwa na muimu ya maisha yangu nategemea na maisha ya wengine pia, AMEN 🙏🏿
Kitu ilifanya nikaanza kukufuatilia mafundisho yako ni wakati ulifundisha umuhimu WA KUFUNGA na kuomba,mimi mwenyewe nilikuwa mvivu WA kuomba na KUFUNGA Lakin kupitia kwako imekuwa mtindo kwangu WA KUFUNGA hata siku Tatu ama wiki mfulilizo na ninaona raha nikiwa nashinda kwenye maombi. BARIKIWA Mara Saba sabini mtumishi WA Mungu ✊🏼✊🏼✊🏼🙏🏾🙏🏾🙏🏾❣️
I thank God for His grace upon me, I’m walking down streets of foreign cities but my heart is full of joy and praising in my lips I know even though I’m a sinner God still loves me thank you pastor
Kizazi Cha Sasa wanatafuta ushoga wanataka vitu vizuri kwa mkato ukiwambia wanakwambia ni wakizamani wanachoka kabla umri somo litawangia na pamoja na sisi
Usemavyo nikweli pastor niliamua kwenda kuanzisha kilimo cha miwa wa natambua mie ni dr wakasema nimetumbuliwa na rais mapato walipoyaona wakasema unatumia uchawi
Mafunfisho yako mchungaji inasaidia watu wengi. Sasa,ujikaze kuto kutaja tu miji ya huko Tanzanie,bali ufundishe ukijuwa kwamba hata Kongo DRC,tunakufata sana.