Ni taarifa kutoka Kijiji cha Ihela wilayani Makete mkoani Njombe ambapo wananchi wamewaweka "mtu kati" watuhumiwa wawili kuhusu kujihusisha na vitendo vya ushirikina.
Mwee vakinga mtengue ndeti uvuhavi? Binafsi nashauri waliomtuhumu huyo mama kuwa mchawi na wao ni wachawi kama sio wachawi wamemjuaje mchawi huku wao sio wachawi? Haiwezekani ulipo gizani kuona aliyepo gizani bila Nyale tochi
Watu wakichoka huondoa hofu huamua kupambana bila kujali lolote; serikali inapinga eti hakuna uchawi ujue Viongozi kama hao huenda nao wanatoka katika familia za uchawi
Mweee...Ndikhubadova sid'zo..Msiende kwa waganga wa kienyeji,Nendeni kwa nabii Dominic pale Buza Kwa Lulenge,wapelekeni na hao wagonjwa wote wakapate maombi maalumu na huko mtapata suluhisho la matatizo yenu...kule nawaambia kuwa mbivu na mbichi zitajulikana.Biblia inasema "usimwache mchawi aishi"
Wamemuonaje? .watanzania kueni na akili,watanzania wengi fyatu kweli kweli ,walitakiwa kujita wao kwanza , kumbuka wamemuonaje , wabaya muda mwingine huungana kupambana na mwema,kumkufulisha Kama alivyokufulu huyo mama kwa kumhitaji mganga ya yani mchawi ili amnasue kwenye shida yake,wachungaji lindeni waumini wenu