Тёмный

Watuhumiwa wa Uchawi waibua Kasheshe kwenye Mkutano 

Edwin Moshi
Подписаться 7 тыс.
Просмотров 117 тыс.
50% 1

Ni taarifa kutoka Kijiji cha Ihela wilayani Makete mkoani Njombe ambapo wananchi wamewaweka "mtu kati" watuhumiwa wawili kuhusu kujihusisha na vitendo vya ushirikina.

Опубликовано:

 

1 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 192   
@RehemaKasanga-vu5nj
@RehemaKasanga-vu5nj 3 месяца назад
Mganga na mchawi lao mmoja MUNGU pekeyeke Ndo Anaweza kutamka Kwa unabii
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Месяц назад
Huo ni uwongo uwongo huoooooooo
@berthabarozi
@berthabarozi Месяц назад
Huyo mchawi.sura inaonyesha
@geitandelwa299
@geitandelwa299 3 месяца назад
Tubuni dhambi zote na kumufuata YESU TU. BILA HIVYO NI SHIDA
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Месяц назад
Yesu yupi huyo daadeki zake
@GreetyWillysiame
@GreetyWillysiame 13 дней назад
Happy Hanna mungu wala yesu washirikina woooote hapo aiiibu
@klaudymbilinyi
@klaudymbilinyi 3 месяца назад
😂😂hawoo ni panga tyu mchawi analudisha mambo nyum
@MarthaLwinga-w9m
@MarthaLwinga-w9m 25 дней назад
Usiombe ya kukuta kusingiziwa hivyo
@dianajohnson7268
@dianajohnson7268 3 месяца назад
Ukibisha uchawi haupo ujazulika na Hao bado usibishe,
@yohanacharzmsela9921
@yohanacharzmsela9921 3 месяца назад
Siyo kukosa elimu watu wamechoka ndugu zao kufa ,,,kama mbaya naiwe mbaya ,,wanyongweeee..
@barakamanga5502
@barakamanga5502 3 месяца назад
Sasa wamejuaje kuwa mchawi, presha mnapima? Maana wengi wanakufa kisa plesha, ila uchawi upo pia
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 2 месяца назад
Nashangaa presha unalogwa????
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 месяца назад
WANAWAKE WA KITANZANIA NI WACHAWI SANAA.
@RamlaKimaro-f2y
@RamlaKimaro-f2y 2 месяца назад
😂😂😂
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 Месяц назад
Namama yako??
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi 3 месяца назад
Acha imendikwa wap atubu kwa wanadamu wambie watoe, ushahidi nahakuna mganga watakuja wezi wachonganishi mwenyekiti acha acha ujinga usimtwishe mama wawatu mzigo wakijinga utawala sio wawenye akili ndogo kama ww
@noahchepe8036
@noahchepe8036 3 месяца назад
Uchawi upo mazee... Hao watu sio kua wamekurupuka tu
@nicebatare2737
@nicebatare2737 2 месяца назад
Yani ulifanywa bubu uache kuongea na Leo umeongea mtakutana jioni 🤣🤣🤣
@johnsimba
@johnsimba Месяц назад
Mch. Nae ovyo badala ya kuomba Mungu anaita Mtu heri mwenye kiti anaongea vizuri alafu peleka watu hosp.
@LeeySeedorf
@LeeySeedorf 3 месяца назад
Apo wanatafutwa watu wenye umri mkubwa wauwawe bila hatia.
@pastadandan3569
@pastadandan3569 3 месяца назад
Mtendaji nae ameingia kwenye mtego wa kuamini huyo mama ni mchawi
@YustaMfugale
@YustaMfugale 2 месяца назад
Hvi unapajua vizuri njombe iringa au unaskia,,,tena hizo tabia za kujigeuza Simba ndo michezo yao
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 3 месяца назад
Wagonjwa wote wapone warudi kwenye hali yao ya kawaida tunaomba na kuamini wote tuseme Amina 🙏🙏
@HadiaAme-x5f
@HadiaAme-x5f 2 месяца назад
Walimuonaje kmna wao hawakukutana huko ucgawini
@JustineCostantine
@JustineCostantine 3 месяца назад
Miteni mtumishi jembe kutoka iringa kiboko ya wachawi aje awasaidie
@dizelakituleKitule-qx6ss
@dizelakituleKitule-qx6ss 3 месяца назад
Mungu yupo atafanya
@morjanoman5181
@morjanoman5181 4 дня назад
Mchawi ata akiamishwa bado atakujatu fanyenimaombi mtafanikiwa
@EstherJulius-cv9tk
@EstherJulius-cv9tk 3 месяца назад
Acheni ujinga niwapi ukuu c muombee mungu awabadilishe dawa ni ndogo tuu yesu atosha kubalisha anga ilo
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 2 месяца назад
Ndio upate mchungaji alie na nguvu ya mungu kuja kuishi kijijini .wachungaji wote wanakimbilia mjini wamesahau vijijini kama kuna watu😂😂😂😂
@JumaaSaid-hn6yh
@JumaaSaid-hn6yh 3 месяца назад
Utamjuaje mchawi wew kama sio mchawi aceni ujinga 10:31
@ElizabethNdalahwa
@ElizabethNdalahwa 3 месяца назад
Wewe nimchawi
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 3 месяца назад
Mambo yote haya yanasababushwa na serikali kutwastarabisha watu.kwa shule.na kuleta maendeleo ndipo hizo tabia zinapotea
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi 3 месяца назад
Mmmmmh kumbe bado kunashida wakemia wapo
@ManceJ-yc4dd
@ManceJ-yc4dd 3 месяца назад
Mmmh hatar sana
@EmmanuelNdahya-ud5nj
@EmmanuelNdahya-ud5nj 3 месяца назад
Mliosali iombeeni hii jamiiib😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 naombeni like
@rashidmaulid7312
@rashidmaulid7312 3 месяца назад
Uchawi ni sehemu ya ushirikina
@speciozakaloli
@speciozakaloli 26 дней назад
Siku ukisingiziwa uchawi ndipo utajua nasema nini
@MaishaBabu-m2g
@MaishaBabu-m2g 3 месяца назад
Hawa wamama waliovaa kilemba cheusi anaonekana mchanga
@severamunishi1253
@severamunishi1253 3 месяца назад
Jamani njombe kuna uchawi niliteswa balaaa unaletewa usingizi mkali balaa wafanye kazi yao
@barakamanga5502
@barakamanga5502 3 месяца назад
😂😂😂😂
@Rumbakweka
@Rumbakweka Месяц назад
Awezi kubali kamwe adi umkute na kisibiti labda labd
@RamlaKimaro-f2y
@RamlaKimaro-f2y 2 месяца назад
Icho kijiji mbona km wote wachawi
@DaluChiwinga
@DaluChiwinga 26 дней назад
uwaga awakubali ila kusema sijijui ndio zao
@FredrickChristonsia
@FredrickChristonsia 3 месяца назад
Duh vyuma vime umana !! Iyela""
@speciozakaloli
@speciozakaloli 26 дней назад
Siku mkiitwa wachawi ndipo mtajua
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi 3 месяца назад
Tafute pesa hapo wote niwachawi unajuaje wote niwachawi
@ReginaShilla
@ReginaShilla 3 месяца назад
Okokeni mwaminini Yesu
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 Месяц назад
Mtambuzi wa mchawi naye ni mchawi
@joshuanyaulingo4109
@joshuanyaulingo4109 3 месяца назад
mchungaji yoooooo 😂😂😂
@FestoMunishi
@FestoMunishi 15 дней назад
Anaebadlika kuwa simba c wewe mamaaaaaa
@aronmtui597
@aronmtui597 Месяц назад
Pelekeni watu hosptali
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 2 месяца назад
Wangehama wote wamwache pekee yake.
@Baraka-n1f
@Baraka-n1f Месяц назад
wachawi na waganga ni kitu kimoja
@ngamugamahonzelosanga3316
@ngamugamahonzelosanga3316 2 месяца назад
Mwee vakinga mtengue ndeti uvuhavi? Binafsi nashauri waliomtuhumu huyo mama kuwa mchawi na wao ni wachawi kama sio wachawi wamemjuaje mchawi huku wao sio wachawi? Haiwezekani ulipo gizani kuona aliyepo gizani bila Nyale tochi
@GetrudaBushiri
@GetrudaBushiri 2 месяца назад
Mkinga huyooooo mapembelo
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 3 месяца назад
Okokeni Yesu nikiboko ya wachawi je niwapi huko tuje tumlete Yesu hao wachawi wasipookoka kufa na wanakufa wapi huko
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 3 месяца назад
Mchawi lazima amfahamu mchawi mwenzake
@kakanicodemus3632
@kakanicodemus3632 2 месяца назад
Ok kwshyo ukimjua mwiz na wewe ni mwiz
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 3 месяца назад
Ataua mmoja mmoja hapo
@othumanomari1589
@othumanomari1589 3 месяца назад
🤔🤔Nahoyo mzee pia nmchawi
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 2 месяца назад
WAKINGA WENZANGU ACHENI UCHAWI UCHAWI NI MZIGO YESU KRISTO NI JIBU TOSHA YESU KRISTO ANAWAPENDA ALIKUFA KWA AJILI YETU WOTE
@speciozakaloli
@speciozakaloli 26 дней назад
Wote wako gizani
@mohamedmarijani
@mohamedmarijani 3 месяца назад
Ni tz au?
@BarakaKusalula
@BarakaKusalula 3 месяца назад
Duuh Hawa wananchi wote akili zao mbovu imagen wote wanaamini wanarogwa
@MwamvitaKassim-x8b
@MwamvitaKassim-x8b 3 месяца назад
Hayaja wahi kukukuta ndugu yangu
@BarakaKusalula
@BarakaKusalula 3 месяца назад
@@MwamvitaKassim-x8b Nipe experience ya kurogwa uliyokutana nayo wewe.
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 2 месяца назад
Ndugu zangu wakinga mvoleke uvohavi YESU KIRISTI avaganile mwokoke
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 Месяц назад
Watu wakichoka huondoa hofu huamua kupambana bila kujali lolote; serikali inapinga eti hakuna uchawi ujue Viongozi kama hao huenda nao wanatoka katika familia za uchawi
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 2 месяца назад
HUYU BIBI SULA YAKE NI MCHAWI WA KULUKA USIKU MCHUKULIENI SHELIA MKONONI MPIGENI MOTO HUYO BIBI 😂😂😂
@dizelakituleKitule-qx6ss
@dizelakituleKitule-qx6ss 3 месяца назад
Uchawi upo wapingwe hao
@athanaskipeto572
@athanaskipeto572 2 месяца назад
Wakinga hoye
@emanuelkidali9733
@emanuelkidali9733 Месяц назад
Huyo mamaa si mlete huku bariadi mbona ataacha tu mapema jmn? Huku ndiko Kuna tiba ya kukomesha wachawi kama hao
@geofreysimon1
@geofreysimon1 3 месяца назад
Jamanii watumishi pelekeni mikutano ya injili huko 🙏🙏🙏
@barakamanga5502
@barakamanga5502 2 месяца назад
@@geofreysimon1 Wana Loga spika
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 2 месяца назад
😂😂
@kakanicodemus3632
@kakanicodemus3632 2 месяца назад
Good solution
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb 2 месяца назад
anafanya uchawi na Bado uko maskini wakutupa nchini kama alivo sema marehemu magufuli
@FrankolaisLukumay-tx8vr
@FrankolaisLukumay-tx8vr Месяц назад
Mkoa Gani?
@tanzaniaburundian582
@tanzaniaburundian582 2 месяца назад
Uchawi nikelo watafute wakuwatowa uchawi msihukumu nyinyi nibinaadam
@AmaniHeriHalisi
@AmaniHeriHalisi 3 месяца назад
Toeni Namba Za Simu Tuwaombee
@MasaiNyorosha
@MasaiNyorosha 2 месяца назад
Kama wewe sio mchawi unajuaje huyo mama nim chawi hapo hakuna mchawi hapo nichukitu
@brownmtofole
@brownmtofole 3 месяца назад
Mweee...Ndikhubadova sid'zo..Msiende kwa waganga wa kienyeji,Nendeni kwa nabii Dominic pale Buza Kwa Lulenge,wapelekeni na hao wagonjwa wote wakapate maombi maalumu na huko mtapata suluhisho la matatizo yenu...kule nawaambia kuwa mbivu na mbichi zitajulikana.Biblia inasema "usimwache mchawi aishi"
@MaishaBabu-m2g
@MaishaBabu-m2g 3 месяца назад
Dominic mwenyewe mchawi
@BarakaKusalula
@BarakaKusalula 3 месяца назад
Mtendaji kijiji nae kwa akili zake finyu eti anaamrisha wagonjwa wapone 😂😂😂😂pumbavu
@JamilaDaudi-p7n
@JamilaDaudi-p7n 25 дней назад
Wachawi wote mungu anawaona wanatumia sura za watu kwaajir yamambo yao wafe tyu
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 2 месяца назад
Acheni mambo yenu pressure mtu unalogwa kwendeni sana
@sanulaRichard-gm8gc
@sanulaRichard-gm8gc Месяц назад
K
@brunomtweve8073
@brunomtweve8073 2 месяца назад
Nilifikiri mtendaji atasema wagonjwa waende hospitl
@HimidiniPesambili-r1u
@HimidiniPesambili-r1u Месяц назад
10:20 10:23
@PeterShigela-c7w
@PeterShigela-c7w 16 дней назад
😂
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 2 месяца назад
Xamzmtxxm 9kd
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 3 месяца назад
Bibi.kamajweri jilekebishe Acha watakuchoma moto hapokijijini
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 2 месяца назад
Bibi alikuwa ananena kwa lugha😂😂 jmn naomba Mungu anipe uzee mwema
@marygregory7566
@marygregory7566 3 месяца назад
Wote wachawi hapo mnashindana tu kijiji kizima hawezi kuwa mchawi mmoja tu
@happynkya9770
@happynkya9770 2 месяца назад
Yaan kama mm nikimjua mchawi wangu bahat hana yaan kimya kimya tuu na kwenye mazishi naenda
@ngejejemashubi4213
@ngejejemashubi4213 3 месяца назад
Hizo ni Chukitu
@angulileelectrical6368
@angulileelectrical6368 3 месяца назад
Wamemuonaje? .watanzania kueni na akili,watanzania wengi fyatu kweli kweli ,walitakiwa kujita wao kwanza , kumbuka wamemuonaje , wabaya muda mwingine huungana kupambana na mwema,kumkufulisha Kama alivyokufulu huyo mama kwa kumhitaji mganga ya yani mchawi ili amnasue kwenye shida yake,wachungaji lindeni waumini wenu
@JaphetKilimba-zo2iz
@JaphetKilimba-zo2iz 2 месяца назад
Waende kawe kwamwamposa wa kachukuwe mafutayaupako
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 3 месяца назад
Mungu awasaidie saana jamanj wachawi wapo jamani msikatae nyie watu wanauwliwa na wachawi wanugua magojwa yasiyoonekana hospitali usiombe yakukute uchawi upo
@nestasanga8433
@nestasanga8433 2 месяца назад
Mnatuaibisha waache uchawi wamrudie Mungu
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 Месяц назад
Elimu + umaskini Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@fatumamohamed9614
@fatumamohamed9614 3 месяца назад
Huyu mama huenda siyo ila Hawa wenye kujua vifungo ndie wachawi
@RamlaKimaro-f2y
@RamlaKimaro-f2y 2 месяца назад
Mbona mwenye kilemba cheusi nae kama au basi tuuu
@rasnchimbi
@rasnchimbi 3 месяца назад
Elimu elimu elimu #katibampyanisasa!😂😂
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 3 месяца назад
Umenikumbusha , Edward Lowasa.
@MaishaBabu-m2g
@MaishaBabu-m2g 3 месяца назад
Huyu Asha sio mchawi amevikwa kivuli tu na wachawi
@geitandelwa299
@geitandelwa299 3 месяца назад
Mmmmh pope ASHA SANGA AAA TUBU DHAMBI XAKO ZOTE UOMBE SANA
@audaxbuchira8586
@audaxbuchira8586 Месяц назад
Waache ujinga ! We are living science and lawa
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 месяца назад
ATAWEZA KUACHA HUYO, MPAKA ATOLEWE HUO UCHAWI. LAKINI ETI AACHE TUU HAWEZI. ETI ANANE KWA NENO.
@LeeySeedorf
@LeeySeedorf 3 месяца назад
Apo wanatafutwa watu wenye umri mkubwa wauwawe bila hatia.
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo 2 месяца назад
Muokoke jmn uchawi sio wakuuogopa kbs ukiwa na Yesu
@sangastuiper2972
@sangastuiper2972 Месяц назад
Daaaah kina sanga ni ndugu zangu ujue😂😂😂😂
@barakakings
@barakakings 3 месяца назад
Mapembelo ndugu zangu. Mbona hii ni aibu?
@williamnyankongo9655
@williamnyankongo9655 2 месяца назад
Huko wapi kwakisengee@sanga Kinga tribal
@worldherotv
@worldherotv 2 месяца назад
Wapelekeni hospital hao wagonjwa
@mathewm7115
@mathewm7115 3 месяца назад
Hakuna cha kusaini dawa yake inajulikana ipo wazi wanapoteza mda
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 2 месяца назад
Biblia inasema usiache mchawi aashi
@obedymwilenga7490
@obedymwilenga7490 3 месяца назад
Huyu mama so mchawi ila wale wawili walio anza kuongeya hao ndo wachawi
@vickytango5591
@vickytango5591 2 месяца назад
😂😂😂
@vickytango5591
@vickytango5591 2 месяца назад
😂😂
Далее
I Took An iPhone 16 From A POSTER! 😱📱 #shorts
00:18
URITHI WABIBI FULL MOVIE
1:17:38
Просмотров 764 тыс.
MCHAWI WA KIJIJ CHA LUAGALA
36:38
Просмотров 307 тыс.
UTASHANGAA MISUKULE 100 YAFUNGULIWA NA MGANGA INATISHA
11:49
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2
32:24
Mandhari ya Hospitali ya Ikonda Makete
9:57
Просмотров 14 тыс.