Тёмный

Wawekezaji wa Ndani Wanavyochangamkia Fursa Morocco Square..!! 

Shirika la Nyumba la Taifa
Подписаться 6 тыс.
Просмотров 2 тыс.
50% 1

RU-vid: / maishaninyumba
Follow Us On:
INSTAGRAM: / nhctanzania
TWITTER: / nhctanzania
FACEBOOK: / nhctanzania

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 11   
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 месяца назад
Mbarikiwe saaana Shirika la nyumba la Taifa
@geofreymalekana8000
@geofreymalekana8000 4 месяца назад
Kazi nzuri 👏
@jumashedafa
@jumashedafa 4 месяца назад
Kwann shirka la nyumba msiwe mnaanzisha miji mfano kama magufuli city..Kama hapo Dar mnatafut eneo mnajenga mji wenye nyumba za design mbalimbal na za kuvutia hii kwang nahis itapendeza zaid na kuifanya miji iwe ya kisasa zaid hasa hizi za makaz na si kujenga moja moja labd pale penye uhitaji wa kufanya ivy...Sisi tuna maguful city ile ile ni utawala zaid...kenya wao wana konza city na lile ni mult-purpose...Bas na sisi tujenge miji hiy ambayo itakuwa na makazi, maduka, malls, hotel na mikahawa, viwanja vya michezo nk...Na hiy itakuz pia utalii wa ndan yan mtu anawez toka tu ngoj niend mfano Samia city...kile kitendo cha kutoka kuna nauli ya kipando au kuweka mafuta ktk kipando, atafik eneo hilo atakula labd na kula, atanunua mahitaj ya nyumban au vilivyomvutial nk..tyr keshakuz kipato cha mtanzania mmoja mmoja na mapato serikalin kupitia kodi...Hivy napend kushaur tusiwaz nyumba tu...tufikir zaid ya nyumba yan ata hao watalii mnawez mkabland hiy miji na wao wakawa wanaitembelea wanafurahia
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 месяца назад
wazo zuri saana natumai wahusika watalizingatia
@kwisa4899
@kwisa4899 4 месяца назад
akili hizo zipo sasa
@JustinePatrinius
@JustinePatrinius 4 месяца назад
Iyo tatu city akuna cha manaa
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 3 месяца назад
KWA KWELI YALE MAJENGOBYENU PALE FIRE YANACHAFUA MJI. BOMOENI MJENGE MAJENGO MAPYA
@modenasayi
@modenasayi 4 месяца назад
Hivi nyinyi NHC mnaona uchafu wenu pale fire kwanini msibomoe ile uchafu mjenge vitu vya maana
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@caesar7745
@caesar7745 4 месяца назад
Nyumba bado zipo
Далее
ENEO LA URAFIKI NI MOJA YA MAENEO YA UWEKEZAJI YA NHC
31:29
skibidi toilet multiverse 042 Trailer
01:57
Просмотров 3,1 млн
How to win a argument
9:28
Просмотров 587 тыс.
Mradi wa Samia Housing Scheme,Kawe, Ulivyochangamkiwa.
31:29
Freight train composition, Pugu Station, Tanzania.
3:19