Ujenzi wa Tofali unachukua muda saana, huko mbeleni msimamishe maghorofa ambayo sio ya matofali, msingi na nguzo tu ndio Uwe wa zege , ili mkamilishe Mradi haraka, Mwenyezi Mungu awasimamie
Mjomba kiswahili gani Tena hicho?"Shirika la nyumba" ni jina ambalo mmiliki wake ni taifa la watanzania,kwa hiyo sio Shirika la nyumba za taifa ni Shirika la nyumba la taifa✓