Тёмный

UJENZI STENDI ya KISASA ARUSHA WAIVA, PICHA 3D ZAONESHA, SERIKALI KUJENGA UWANJA wa KISASA PEMBENI 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 18 тыс.
50% 1

UJENZI STENDI YA KISASA ARUSHA WAIVA, PICHA 3D ZAONESHA, SERIKALI KUJENGA UWANJA WA KISASA PEMBENI
Halmashauri ya jiji la Arusha imeeleza kuwa mradi wa ujenzi wa stand ya kisasa ya mabasi katika eneo la Bondeni city sasa utaanza rasmi...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 29   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@emmanuelaloyce932
@emmanuelaloyce932 5 месяцев назад
Mnatudanganya hadi lini sasa!!,
@abdallahsaid8157
@abdallahsaid8157 Год назад
MashaAllah!!!
@dicksonkisanga7380
@dicksonkisanga7380 Год назад
Acheni bhana mnatumiaga mwezi wa 3 na mwezi wa 7 kutudanganyia huo mwezi wa 3 ukifika mtasema mwezi wa 7..tunzeni maneno yangu..na kama wanajenga Kwa pesa za ndani stend itaisha 2045.
@elimbotoraphael3940
@elimbotoraphael3940 Год назад
Upo sahihi. Siasa nyingi sana.hamna lolote
@allysalim9822
@allysalim9822 Год назад
Awa wamekuja kutangaza Biashara yao tu hapo...mwanzo walisema eneo nila serikal leo wanasema wamepewa Tena Duuh za uso mchana kweupe...unakuja kutangaza viwanja wakat watu wanataka Stand🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Hii ndio Tz
@ludovickbenjamin6104
@ludovickbenjamin6104 Год назад
Ivii madiwanii ndo wanakwamishaa maendeleo ya arusha mikoa mingine yotee maendeeleo yamepambaa motoo ila arusha storii mingii sanaa
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 Год назад
Msema kweli alikuwa Jpm akisema kitu kinafanyika.
@noriegacapadona9340
@noriegacapadona9340 Год назад
Mimi sipendi kudanganywa Na mtu kama anataka kunidanganya Kwanza aanze kunidanganya mama yke
@maprosokelly2986
@maprosokelly2986 Год назад
Wanafiki tu vitendo hakuna😂😂
@hassanaloobaidan25
@hassanaloobaidan25 Год назад
Tatizo vitu vyetu havina muendelezo wa vitendo maneno mingi sanaaaa
@DominicKizwalo
@DominicKizwalo Год назад
Mwezi wa tatu wa mwaka gani?😂😂
@brightonymnyone927
@brightonymnyone927 Год назад
Maneno mengi sana
@elimbotoraphael3940
@elimbotoraphael3940 Год назад
😂 huu mchezo wa kuigiza sijui utaisha lini
@sadamkuntukumu3672
@sadamkuntukumu3672 Год назад
Bora nyie huko maana majiji yote stendi zitakuwa tiyar Isipokuwa Jiji la Mbeya stendi amna ukianza Dar tiyari, mwanza tiyari, Dodoma tiyar Arusha ndo iyo, Haya jiji la Mbeya vip!
@giftmeela6250
@giftmeela6250 Год назад
Mbeya si nanenane au?
@richardbegga6679
@richardbegga6679 Год назад
Huyu jamaa anaongea sana
@selijusimalambo6437
@selijusimalambo6437 Год назад
Kajengeni na bukoba sitendi mbaya
@tonyaron1194
@tonyaron1194 Год назад
Ayo tv mmzidi ubaguzi habari nyingi ni za kaskazini yani Arusha na moshi michaga bhana hadi kero
@nicolasaugustino8449
@nicolasaugustino8449 5 месяцев назад
Kila mkoa kuna muwakilishi wa AyoTV, sema wawakilishi wengine wamelala 😂
@nasrafadhili7408
@nasrafadhili7408 Год назад
Afadhali
@mackymneney9935
@mackymneney9935 Год назад
Bado gari za taka ni aibu watalii wanatushangaa
@musampanda3643
@musampanda3643 Год назад
Kwel
@rizikisirili6973
@rizikisirili6973 Год назад
Hapo m naona wanafanya matangazo ya viwanja tuuu
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 Год назад
NI kweli Mkuu isitoshe huko bondeni city inawabidi pia waoteshe miti maana NI jangwa Kali Sana.
@tonyaron1194
@tonyaron1194 Год назад
Arusha na Mbeya stand hamna kwani hayo siyo majiji? Mwanza mpaka ina stend 2 Nyegezi na Nyamongolo ila muda mwingine naye Magufuli alikuwa mbaguzi sn mpaka Mwanza anabariki zijengwe stend mbili za kisasa miji mingine haukuiona?
@LinusFrancis-rr8rw
@LinusFrancis-rr8rw Год назад
Acha ujinga maguful alkua na mipango mikubwa hakuwa na mawazo yaliyo jibana
@emagervas4522
@emagervas4522 8 месяцев назад
​@@LinusFrancis-rr8rwalikuwa mbaguzi kabisaa. Alisema kuwa kaskazin wasubiri kwa maana tayari imeshaendelea
@TitusRuto-y7t
@TitusRuto-y7t 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Далее
Majaribio ya ndege  uwanja mpya Dodoma kuanza Agosti
6:39
would you eat this? #shorts
00:13
Просмотров 1,7 млн
ОРБИЗ-ГАН за 1$ vs 10$ vs 100$!
19:01
Просмотров 168 тыс.
would you eat this? #shorts
00:13
Просмотров 1,7 млн