Ni kweli mi nahisi wagelitutajia maendeleo Gani yamefanyika Zanzibar , katika miaka yote hiyo zaidi ya kuimarisha kwao Tanganyika , ninaloliona Zanzibar ni kuongezeka Kwa makanisa Na mabaa, Na Wenda uchi kutoka huko kwao
Nyie wanzanzibar amjielewi kabisa kila siku mnalalamika nyie 2 kwa sasa ma Rais wote ni wenu kwanin msiuvunje uwo muungano 2me kuchokeni naizo polojo polojo zenu