Тёмный

WAZIRI AWESO AWA MBOGO, APINGA GHARAMA YA MAJI KUWA JUU, AVUNJA BODI YA MAJI KARATU... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 4,2 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 25   
@zandomkwazu5090
@zandomkwazu5090 2 года назад
Great! Uzao wa JPM kazi iendelee
@missmoona4497
@missmoona4497 2 года назад
Maashaallah muheshimiwa wazir juma aweso kaz nzur Allah akusimamie kwa kila jambo na hatua na akulinde na hasad za sir na zahir Inshaallah 🙏🙏🙏❤❤❤my brother kaz iendeleee
@sashahauke2032
@sashahauke2032 2 года назад
Kwa kweli nakupenda sana sana unasimamia Haki ❤️❤️❤️❤️❤️
@antoniaevarest7421
@antoniaevarest7421 2 года назад
Asante waziri
@janekichonge4957
@janekichonge4957 2 года назад
Mungu akubariki kuwapigania wananchi
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 2 года назад
Mungu simama na huyu waziri Aweso, msimharibie kazi jmn ni mtu mwenye wito kwenye uongozi.🇹🇿
@newchemchem567
@newchemchem567 2 года назад
Arusha MTU analetewa bili ya 60000 na mita hazifanyi kazi yani hazitumiki lakini idara ya maji inaleta bili waziri njoo arusha tatizo lipo kubwa sana ni wababe hawaambiliki njoo waziri
@philomenaemanuel869
@philomenaemanuel869 2 года назад
Simanjiro tunaumia sana wazir
@shuhudiamtasiwa6646
@shuhudiamtasiwa6646 2 года назад
Baba njooo dar
@ynyynyyny
@ynyynyyny 2 года назад
Waziri ongelea tz, kote ni madudu idara ya maji, toa bei ya unit 1, na kuunganishiwa kiasi gani ijulikane, tunapigwa mno
@magrethpetermosha5503
@magrethpetermosha5503 2 года назад
We wa arusha tarakwa mji mdogo wa ngaramtoni hatujapewa maki ya Mari nini tatizo km saitabau wamefungiwa maki kila sehemu kwanini kata ya tarakwa tunaweza ndoo
@princessnancy6093
@princessnancy6093 2 года назад
Tunaomba uje Arusha mjini zaid sana Muriet bill zinatuzid uwezo wetu baba
@thinktwice7176
@thinktwice7176 2 года назад
MHESHIMIWA WAZIRI MADUDU HAYO HAPA DAR NDO YAMEZIDI, HAPA DAR VITUO VYA MAJI VYA BOKO NA MIVUMONI UKITAKA KUWEKEWA MAJI INATAKIWA MTEJA AJIPANGE MAANA ANASUMBULIWA SANA, BILA KUTOA RUSHWA KUUNGIWA USAHAU : USHAURI WANGU KUHAMISHA WOTE, ILI WAACHE KUFANYA KWA MAZOEA
@thomaskitemi3283
@thomaskitemi3283 2 года назад
Hawa jamaa hua wanamajibu ya ovyoo mh
@StephanoGallet-dq7ch
@StephanoGallet-dq7ch 7 месяцев назад
Waziri unadanganywa Arusha maji unity 1857 huyo alie kwambia 1300 mchunguze kwanza
@omarymkungwa7657
@omarymkungwa7657 2 года назад
Yaani hao hawakusikia enzi za magufuri kwa sasa mkuu hapo unapigia mbuzi gitaa tu
@realramjen3270
@realramjen3270 2 года назад
Tuambiwe na dar ni shilling ngapi?
@thinktwice7176
@thinktwice7176 2 года назад
WILAYA YA KINONDONI VITUO VYA BOKO NA MIVUMONI NI SHIDA SANA WAZIRI KUUNGIWA MAJI KERO KUBWA BILA RUSHWA
@sashahauke2032
@sashahauke2032 2 года назад
Mimi nimeletewa bili mara2yani wiki hiii bili iliyofuata bili sijalipa mpaka leo muheshimiwa wetu
@husseinhussen6836
@husseinhussen6836 2 года назад
acha,hiyo,waziri,mm,kwangu,nimenunua,mita,maji,yanatoka,kwa,mgao,ila,siku,yakitoka,kwangu,hayatoki,ninataka,kuandikabarua,waje,watoe,hiyo,mita,na,wakate,bomba,mm.niko, mbezi,kibaoni
@thobiasshikome1480
@thobiasshikome1480 2 года назад
Hapa mwanza 2000 waziri unashangaa 1500
@halimasaid9203
@halimasaid9203 2 года назад
Sisi huku mbezi makabe maji ya chumvi unit 1 5000
@ngiduellymlay5331
@ngiduellymlay5331 2 года назад
Cyo unit 2 hata vifaa wanavyotufungi ndy vle vle vnavyouzw mtaan bal vkifk huko idaran bac n mzaid y Mara,mbli bei alaf lazm wakuuzie wao tunapigw
@geofreytindamanyire3796
@geofreytindamanyire3796 2 года назад
hapa kibaha 1700
@ngiduellymlay5331
@ngiduellymlay5331 2 года назад
Huwez amini kesi ya Nyani ukampelekea ngedere haw watu wa uzibit Wa hv v2 EWURA hawaoni haya mamb au wenyew wanadili tu n raia kuhuxu upandishaj w bei diesel
Далее
ŠKODA не перестает удивлять
00:48
Просмотров 444 тыс.
ДУБАЙСКАЯ ШОКОЛАДКА 🍫
00:55
Просмотров 603 тыс.
Three NEW MAPS in Update 0.31.0 Nightmare | Standoff 2
01:48
Utajiri  wa kilimo cha nyanya Arusha
2:45
Просмотров 6 тыс.
ŠKODA не перестает удивлять
00:48
Просмотров 444 тыс.