Тёмный
No video :(

WAZIRI AWESO Amtumbua MENEJA RUWASA, AKASIRIKA Kukuta MAJI HAYATOKI Kisa ELFU 50 - "TAFUTA KAZI".. 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 102 тыс.
50% 1

WAZIRI AWESO Amtumbua MENEJA RUWASA, AKASIRIKA Kukuta MAJI HAYATOKI Kisa ELFU 50 - "TAFUTA KAZI"..
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Monduli mkoani Arusha na kukuta wananchi hawapati maji kutokana na changamoto mbali mbali hali iliyopelekea kuchukua hatu ya kumsimamisha kazi Meneja wa mradi wa maji wa RUWASA Nevill D.Msaki..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

15 фев 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 168   
@silverman6930
@silverman6930 3 года назад
Watakoma when JPM is in Power , weldone Aweso 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🙏🙏🙏
@aureliambawala8028
@aureliambawala8028 3 года назад
God bless you my king,unaitendea haki kazi yako🙏🙏. May God bless TZA.
@ahmedazry3436
@ahmedazry3436 3 года назад
Uko vizuri aweso mwenyezi mungu akuongoze katika kazi yako
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 3 года назад
Good job..Waziri
@hawaally7974
@hawaally7974 3 года назад
Allah akutunze kiongozi🙏🙏🙏🙏🙏
@user-tg8ct1nt5y
@user-tg8ct1nt5y 3 года назад
Uwiiiiiii mungu wzngu pole kakaangu kipnz nevili daudi ndepachio msaki pole sana mwenyez mungu akutie nguvu kipind hiki kigumu
@ericklaura7511
@ericklaura7511 3 года назад
Well done minister, your doing for your fellow Tanzanian and not otherwise, those with big stomach always like being selfish and feeding their hunger😎
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 года назад
Asante sana Mh Aweso...wasi wasi wangu unaweza kuonekana hufai kwa Maamuzi yako maana wa tz hawana Dogo..but piga kazi yako
@kilonzokallage6159
@kilonzokallage6159 Год назад
Mh Aweso Mungu akubariki sana Fukuza hayo majinga jinga hayafanyi kazi wamejaza tu matumbo yao hapo pumbavu sana.
@irakozejclaude7869
@irakozejclaude7869 3 года назад
Duh inawezekana Tanzania ya sasa ikawa ndio inchi ya ahadi iliokuwa ikisubiriwa.
@zefamange7281
@zefamange7281 3 года назад
Sanaaaa
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 3 года назад
Watu wachache hawataki mambo ya msutano utasikia haki za binaadamu wameshazoea ubabaishaji na wizi na wako watu watu kama hawa wakifichuliwa wachache wanawagombea na wanawatetea
@sebastianzongoro8915
@sebastianzongoro8915 Год назад
Asante sana waziri kwa uthubutu wako wamezoeya kufanya ubazilifu wa fetha za kodi za walala hoi safi sana.kwanza amezeeka sana huyo.
@akidasalim3859
@akidasalim3859 3 года назад
Kazi ipo Waziri Mungu akutie nguvu na akulindea
@eliarichard9218
@eliarichard9218 3 года назад
Nice my brother Waziri wa Maji.
@lambomayenga6151
@lambomayenga6151 Год назад
Waziri naKuombea Mungu akulinde. UNATENDA HAKI
@mamaluusoap5834
@mamaluusoap5834 Год назад
Aweso mungu akujalie umri mrefu uwe raisi wa Nchi hii Iko vizurii
@wilfredsahila8727
@wilfredsahila8727 3 года назад
Waziri ni vizuri akiwa wa taaluma ya wizara hiyo hawezi kudanganywa; ikikosewa akawekwa waziri katika wizara ambayo siyo taaluma yake atadanganywa sana.
@user-px8fv8dc3o
@user-px8fv8dc3o Год назад
Uko vizuri kaka unasimamia vizuri wizara yako ya maji Mungu akubariki
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 4 месяца назад
KAMATA SUKUMA NDANI HAO NDIO WENYE KUMGOMBANISHA MHE RAIS DKT SAMIA, NA WANANCHI, PESA ZA SERIKALI WANAKULA PAMOJA NA FAMILIA ZAO WANANCHI HAWAPATI MAJI.
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 3 года назад
Allah akurinde we waziri na madui wasio pesa tzd jmn watu wananepeana kwa pesa za wananchi
@jumaabdul5882
@jumaabdul5882 3 года назад
You deserve to be a leader,congratulation bro
@isayachalo1845
@isayachalo1845 3 года назад
Kazi kazi Mh Awesu safiii msaidieni Mh Jpm na co hapo karibu wilaya nyingi mambo ni hovyo
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 года назад
HAPA KAZI TU wanaochemka wakae pembeni Safi Sana waziri wa maji
@florakabadoelkana6764
@florakabadoelkana6764 3 года назад
Hatari sana waziri kazi nzuri
@mebbukatibalo787
@mebbukatibalo787 3 года назад
Jumaa Awesoo Umetisha kinomanoma!
@mohamedlacha6515
@mohamedlacha6515 3 года назад
Aweso Waziri namba mmoja wa Rais Samia Suluhu Hasssni. Huyu ni Mwanafunzi halisi wa Hayati shujaa wa Afrika Joseph Magufulu. Endelea
@sadickshabani2271
@sadickshabani2271 2 года назад
Kabisa miaka yijayo akitoka laisi mama yetu madarakani gobea uraisi mayimani utapata ushidi 🙏
@kenethmwangoka4590
@kenethmwangoka4590 Год назад
namuona magufuri Kwa kimvuri Cha aweso barkiwa sana
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 6 месяцев назад
Nimeliona jitu, ku u u bwa ! Jizi ! ! Masikini mama Tz
@MohamediMchekwa-ou4dk
@MohamediMchekwa-ou4dk Год назад
Safi sanaa imeipenda iyo
@rehemabukuku1008
@rehemabukuku1008 2 года назад
Safi juma awesu Mungu akulinde tunakuombea
@DicksonIgnas-pq1rj
@DicksonIgnas-pq1rj 6 месяцев назад
Safi hatutaki wa baba ishiji
@user-vk5nb4uz6h
@user-vk5nb4uz6h 5 месяцев назад
Kuna Wizara Ukijichanganya Imekula Kwako, Wizara Ya Bashe, Slaa, Awesu Na Zingine Chache
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 3 года назад
Siku zote tumbo likiwa kubwa Sana kuzidi Kichwa shida sana
@ludobudege1662
@ludobudege1662 3 года назад
Mheshimiwa tafadhali nenda Mwanza wilaya ya ilemela kuna shida ya Maji haijawahi tokea kuna majipu uchungu
@mbotwambotwa2186
@mbotwambotwa2186 3 года назад
Karibu Tunduma
@cadeteengele3765
@cadeteengele3765 10 месяцев назад
Good
@jumasaidi1093
@jumasaidi1093 Год назад
Safi sana
@flaviankimat5233
@flaviankimat5233 Год назад
hapo sawa sawa aweso na bili za maji arusha ni kubwa sana mheshimiwa angalia na hilo.pia
@immapoule3613
@immapoule3613 3 года назад
Sawa viongozi nawapata vyema mungu awabaliki sana nakazinjema
@krizofrancisco1287
@krizofrancisco1287 2 года назад
Aweso piga kazi kama magu
@skjjsj1889
@skjjsj1889 Год назад
Mpaka nimecheka huyo aliyenenepeana kwa kula pesa za wananchi anaondoka aibu imemjaa 😁😁
@allysaleh6551
@allysaleh6551 3 года назад
Uje na morogoro tunaibiwa sana na watu wa maji matumizi ya nyumbani bili elf 60 na maji katika mwezi yanatoka siku 12 adi 15 tunaibiwa sana
@rajabulipongo4135
@rajabulipongo4135 2 года назад
Waziri wew kwani mpaka uitwe au unakwenda kwaratiba ipi njoo mtwara uje uzunguke Halimashauli yamji Nanyamba ujionee madudu huku yanayofanywa nakamati hizi zamaji niia unayopita mungu aingazie na akutolee magumu yoote
@rifatimuhidini145
@rifatimuhidini145 3 года назад
Daaaah juztuu kufa kwamzee wakazi mzee magufur teali mshaanaza wizi
@sanarekumongishumollel6041
@sanarekumongishumollel6041 3 года назад
Mheshimiwa ata monduli kunamgogoro wa maji kati ya Kijiji cha olarashi na mlimani na wananchi wa Kijiji cha olarashi baathi wamekamatwa wakiwemo wa mama tunaomba utusaidie mweshiwa waziri plz tunanyanyaswa na viongozi wa monduli
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 года назад
Chapa kazi Waziri wa Maji, Hawana watu wenye matumbo makubwa sijui wana shida gani, Wana tamaa sana. Lowasa alikuwa Waziri Mkuu ila akashindwa kuweka maji kwao Monduli, Sumaye naye alikuwa Waziri Mkuu akishindwa kufanya maendeleo kwao Hanang. Raisi Magufuli endelea kujenga Chato ili uwe mfano bora kwa hawa Viongozi wengine wajifunze kupeleka maendeleo kwao badala ya kulemea Dar es Salaam tu.
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 3 года назад
Safii sanaa mh jumaa mtoto wa awesso piga kazi
@chrianseth6393
@chrianseth6393 3 года назад
Meneja huyo anafanyia tumbo lake mwangalie alivyo
@majaladubai9698
@majaladubai9698 3 года назад
NJO NA KONDOA UONE
@majaladubai9698
@majaladubai9698 3 года назад
UJE NA KONDOA WAZIRI UONE
@burundirwanda1583
@burundirwanda1583 3 года назад
A real leader 🇹🇿
@mathewungani9724
@mathewungani9724 3 года назад
Aweso umetisha Bro.....
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 3 года назад
Kila kata ya raiya wa Tanzania wanatakiwa watume malalamiko yao (maoni yao) kwa Raisi kata ambazo hazina maji , hospitali, shule barabara na n.k mkifa hivyo yatafanyiwa kazi siyo mnangojea mpaka viongozi waamuwe . Mari zote za Tanzania Madini,gesi,wanyama,milima,maziwa,mito na n.k ni mari ya waswahili wa Tanzania . Mungu ibariki Tanzania
@abdularuffin9308
@abdularuffin9308 2 года назад
Waziri moshi kijiji cha mabungo hakuna maji jua kali miti utaoteshaje hakuna maji upepo mkali kwa sababu hakuna miti tunakuomba uje hapa mlima wa mabungo kijiji cha kilindini hata umeme tu hakuna waliondoka na nguzo wakapita wanasema hatukusema tusaindie kumwambia waziri wa nishati tumeachwa tuanze kununua nguzo wenyewe
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 6 месяцев назад
Pambana watanzania wanakubali mchango wako nyinyi ni askari wa myavuli wachama cha mapinduzi, mama samia anawapiganaji wakutosha kumvusha 25_ 30
@khairallacassianbyamkama5279
Safi sana wanazid mno
@iddrashid7054
@iddrashid7054 Год назад
Yaani waziri kakonda kwa stress za maji,injinia yeye kitambi ndiii
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 6 месяцев назад
Aweso piga kazi, but usisahau chuo cha mipango wale mama ntilie uliokuwa unakula wakati unasoma maji yanasumbua sana
@errydeo8865
@errydeo8865 3 года назад
yaani ela zinazotolewa kweny hii miradi,is unbelievable ,wanalea vitambi tu kudadeki...
@sebastianzongoro8915
@sebastianzongoro8915 Год назад
Nchi hii raha sana
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja 6 месяцев назад
🎉
@alihu3752
@alihu3752 3 года назад
Bongo wasimamizi wa miradi weziwezi sasa lazima itafutwe muafaka wa kuzibiti toka enzi ya nyerere.
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 3 года назад
Du kumbe serikalini ukiingia cha kike hata kama anayekwambia ni mdogo badala yake mkubwa unageuka mdogo tena
@user-sb1qy8gt7i
@user-sb1qy8gt7i Год назад
Waziri fanya mpango was kukutana na viongozi wa (W,U,A,) usikie cangamoto zao
@miagirumas4123
@miagirumas4123 3 года назад
Njoo wilaya ya monduli kijiji cha lashaine
@jumaigoti8638
@jumaigoti8638 3 года назад
Aweso uko sawa. Hata urais unafaa
@wilfredsahila8727
@wilfredsahila8727 3 года назад
RIP JPM ulitaka kutupeleka nchi yenye asali na maziwa.
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v 8 месяцев назад
Uweaao nakuaminia hudanganywi hakikatungepata watukamahawanchiingeendambalisana hongerasana
@meddyzambetakis
@meddyzambetakis 3 года назад
Magari ya kifahari lkn maji ya kunywa hamna, ushuzi mtupu
@gennerjorgemariomendez5823
@gennerjorgemariomendez5823 3 года назад
Aweso
@emanuelelias4695
@emanuelelias4695 2 года назад
Nchi sio nch ya kuchela na wenye mamlaka na zani rais ajionee mwenyewe jinsi Hali ilivyo na angalie Sana kauli yake eti kipindi kile watu walifanya kazi kwa uoga kina usemi usemao ukicheka na nyani utavuna mabua
@rehemabukuku1008
@rehemabukuku1008 2 года назад
Uje na Morogoro baba mjin hapa maji ni mateso mala yatoke mala hamna shida tupu tunanunua maji dumu 500
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Год назад
Waziri hao watendaji wahuni
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Год назад
Hii mtu akiiba mamilioni anaambiwa nenda tu tumemalizana imetufikisha pabaya. Bila kufuata njia iliyotumika China ya kuwanyonga hadharani Mafisadi kwa ukubwa wa nchi hii kwamba RC,DC na viongozi wengine wote wapo lakini mpaka aje Waziri au Rais ndio angalau issue izungumzwe inauma sana.
@daffagunda-rm3hj
@daffagunda-rm3hj 6 месяцев назад
TANGA BOY IS GOOD,
@Manyohu.tv1
@Manyohu.tv1 11 месяцев назад
NAONA KAMA NYOTA YA UWAZIRI MKUU KWA AWESO INAKUJA KWA UHATARI SANA.
@amanafi1288
@amanafi1288 3 года назад
Viongozi Vijana wangu, punguzeni usela, hasira binafsi huwa hazijengi Nchi...
@edwardmazuri1649
@edwardmazuri1649 3 года назад
Sio hasira ila kudanganya ndo sababu.
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 3 года назад
Watu kama nyie ni waajabu saana yaani mambo ya udanganyifu na wizi wewe unamuona Waziri anahasira si ndio pumbavu kabisa ndio nyie hamtaki safari yetu tufike
@rachellaiza7779
@rachellaiza7779 Год назад
Njoo arusha arumeru waziri pls
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
Kazi kweli kweli! Jmn watanzania tubadilike
@ibrahimmacharia5093
@ibrahimmacharia5093 3 года назад
Mheshimiwa waziri pongezi xana, lakini naomba uje pia huku kata ya ilkiding'a tuna changamoto xana xana kijiji cha ilkisonko tumeanza kuambiwa tutalipia maji kila kaya na maji yenyewe hatuna tafadhali njoo
@abdularuffin9308
@abdularuffin9308 2 года назад
Waziri sisi tunateseka sana maji hakuna moshi kijiji cha mabungo tumeotesha miti imekauka waziri uje ututembelee uone shida tuliyonayo na bili inakuja ukifungua upepo unatoka hakuna maji uje waziri,,, karbu sana na mjini moshi nauli mia tano
@rehemabukuku1008
@rehemabukuku1008 2 года назад
Kwa Hali hiii unasema .j.p.m alikua simba wa yuda. ,,hzo kauli ndo zinawapa kiburi na ujasir wez kama hv
@fatmaalwiy7651
@fatmaalwiy7651 Год назад
Kashiba na pesa za watu wanenepeana wananchi wanateseka
@ahmadmasunda9892
@ahmadmasunda9892 6 месяцев назад
HAO WEZI WALIOPITILIZA WEKA NDANI TU HAKUNA DHAMBI
@shanelmbunga1301
@shanelmbunga1301 Год назад
Kijana aweso unatisha sana
@KabwikaIbrahim-ld8vf
@KabwikaIbrahim-ld8vf 5 месяцев назад
Awesooo,Awesoo!!Kweli ninakukubali
@Qadar-vx4gj
@Qadar-vx4gj 7 месяцев назад
Jambo La Kushangaza Tanzania Shida Ya Maji 😢
@francisgituti2494
@francisgituti2494 7 месяцев назад
Ngumu kumeza hiyo , atafute kazi nyingne ya kufanya
@zefamange7281
@zefamange7281 3 года назад
FUKUZA HAO MDOGO WANGUU. BADO WANA MAWAZO YA KIKIKWETE HAO
@deokafulu4332
@deokafulu4332 Год назад
Chapa kaz wazir
@bongobongo1755
@bongobongo1755 3 года назад
Yani watu walewale mpaka lini badilikeni uyo amenenepa pesa ya wananchi
@costantinebahakaso3736
@costantinebahakaso3736 Год назад
Njoo na biharamulo
@rahmahersi2116
@rahmahersi2116 3 года назад
Hongera na speaker ndugu Tukusikie.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Месяц назад
huyu wzairi wa maji hafanyi kazi...ni kutembelea tuu mikoa ili aonekane amefika lakini hakuna kitu...miaka yt hamna maji why? Aweso you need to go back tothe drawing board..do u understand???
@titonkwabi7430
@titonkwabi7430 Год назад
Nauona moto wa JPM angalau 🔥👍
@mumanyimulyowa8361
@mumanyimulyowa8361 Год назад
Bora JPM alikuwa anateuwa viongozi na wasimamizi vijana sio hawa wazee wanazingua sana
@abiollashayo5698
@abiollashayo5698 Год назад
jamani mke wake kajifungua,msameheni
@idrisangugi8839
@idrisangugi8839 3 года назад
Usagara Mwanza mbona hatuwaoni?? Ukija Mwanza tutafute wananchi maana utadanganywa sisi watu wa Usagara hatuna maji tunatumia maji wanayotumia Ng'ombe
@petermboje5839
@petermboje5839 Год назад
Mzee mjinga ana mwanga unga kalale mzee
@michaelsaimonmuhojamichael8430
@michaelsaimonmuhojamichael8430 3 года назад
Hayo majizi,yamenenepa hela za wanachi.
@rehemashabhay8946
@rehemashabhay8946 Год назад
Ungetumbua na hao wa Tanga.maji yalitoka tu ulipotembelea Tanga ulipoondoka yalikatika.
@felistapepi3715
@felistapepi3715 3 года назад
Sauti pls
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 Год назад
Mtu ana kitambi kuliko Waziri?
@idrisangugi8839
@idrisangugi8839 3 года назад
mheshimiwa Aweso mbona hauji Mwanza Misungwi
@ibrahimugoda7284
@ibrahimugoda7284 3 года назад
Mh ufike na wilaya ya kilindi
@LaizerSaitoty
@LaizerSaitoty Месяц назад
ichi inaoza kwa watu wachache nadhani tuchangamshane kgd
Далее
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 1,4 млн