Waziri wa maji Jumaa Aweso amewaagiza polisi kumkamata na kumweka rumande Meneja wa RUWASA wa Wilaya ya Kondoa Mhandisi Falaura Kikusa mara baada yakubainika kushindwa kutekeleza mradi wowote tangu aingie ofisini kwa kipindi cha miaka minne.
Waziri Aweso ametoa maagizo haya mara baada ya Mbunge wa Kondoa Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Uwekezaji ,Viwanda na Biashara Dk.Ashatu Kijaji kulalamikia utendaji kazi usioridhisha wa wakala wa usambazaji maji na usafi wa mazingira Vijijini RUWASA katika eneo hilo hivyo kuwasababishia wananchi kukosa maji safi na salama yakutumia na pia hali hiyo inasababisha kuongezeka kwa magonjwa ya kuambukiza.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
⚫️ SIASA : • Video
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
ngasamedia@gmail.com
WhatsApp: +255 716909567
Call us : +255 716909567
thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
#sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv
24 авг 2022