Тёмный

Waziri Mwigulu ajibu Mapigo kwa Mpina "dokta yangu siyo ya kupewa nimeisomea darasani" afunguka 

Mwananchi Digital
Подписаться 986 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba amesema ni kazi kubwa kumfundisha mtu yuleyule ambaye hataki kuelewa lakini dokta yangu siyo ya kupewa bali nimeisomea darasani,"
Waziri huyo amesema hakuna shaka Tanzania bado iko salama na suala la kushuka kwa akiba ya fedha amekiri kubwa zimeshuka kwa sababu fedha nyingi zimwingia kwenye miradi mikubwa ya maendeleo.
Hata hivyo Dk Mwigulu amesema uchumi ni sayansi hivyo unahitaki wajuzi katika uchangia na kuomba wanaoongoza bunge kuwa makini kuhusu hoja za baadhi ya wabunge Kwa madai wanaweza kuwa wapitishaji wa dili za watu.

Опубликовано:

 

5 фев 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 163   
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 Год назад
Huyu mhuni anatumia nguvu na kufoka akiamini kwamba ataogopwa akwende zake uchumi mzuri wapi hali mbayaaa
@richardlucas2275
@richardlucas2275 Год назад
umeelewa kilichoongelewa???
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 Год назад
@@richardlucas2275 kiukweli nimeelewa saana ....hajajikita kwenye point zinazozungumziwa na wabunge ila anafoka tu sijui hataki waseme ukweli ?
@ellamsakafu60
@ellamsakafu60 Год назад
Umeishia la ngapi?
@barakaothumani6421
@barakaothumani6421 Год назад
kweli Watanzania mazezeta duh,!! hivi hamjamjua huyu jamaa anang'ata na kupuliza, natena nimnafiki mkubwa,,Ee Mungu tupe Akili,,
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 Год назад
Uhakika Sana
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
hapendi kukosolewa na kuambiwa ukweli
@TamuzaKale
@TamuzaKale Год назад
Hili ni jipya?
@goodluckdavid7806
@goodluckdavid7806 Год назад
Facts
@richardlucas2275
@richardlucas2275 Год назад
kukosolewa uongo. anaelekezwa
@benny4345
@benny4345 Год назад
Not a fan of Mwigulu, but I must say he has a point!
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 Год назад
Namwelewa sana Waziri.. keep it up Mheshimiwa!
@oklahommy9838
@oklahommy9838 Год назад
Hapo kwa import na export nakuelewa watu wengi hawajui kuwa uki import vitu kutoka nje unatumia US Dollar so kama importation is higher than the exportation obviously foreign reserve will reduce its just a simple logical phenomena
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr Год назад
Mimi DR. MEIGULU NCHEMBA Waziri wa Fedha wa SMT, nimekuelewa mnoooooo. Mungu akubariki Sana Sana Sana.
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Год назад
Kodi unazozisemea si kodi rafiki na zinaumiza wananchi na kudumaza uchumi. Kuna haja ya kuangalia mfumo mzima wa kodi ili uwe rafiki kusudi kila mtanzania aweze kuchangia kwenye kodi.
@Allystor
@Allystor Год назад
Mbona kipindi cha Magufuri hayakuwepo hayo ya kupanda bei kiholela miaka yote sita aliongoza
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 Год назад
Mwigulu huwezi kupambana na luhaga Mpina mwigulu utapasuka musamba
@lanezboy7016
@lanezboy7016 Год назад
Huyu mwiguru hana hakili hata chembe yan hapa tumepigwa
@nazaathumani9178
@nazaathumani9178 Год назад
Perfect explanation
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Год назад
Aaaah hii nchi bhaana uchumi una collapse halafu mtu analeta habari za kuwa msomi wa uchumi tafadhali tuache siasa raia huku uchumi mgumu mno huo ndo ukweli tubadilike kuwa wanasiasa bali twende kwa mahesabu zaidi
@kulwachacha7592
@kulwachacha7592 Год назад
Wewe bwana hupendi kukosolewa tulisha kuona huna lolote kazi wizi tu
@suitstv5889
@suitstv5889 Год назад
Hili jitu hili haliawahi kukaa kwenye wizara lika fiti lime kaa kaa kama Sambwan hivi
@loganoipatrick7744
@loganoipatrick7744 Год назад
Kashakula cha arusha hapo 😄🤸‍♂️🏃‍♂️
@kenanimwakanemela483
@kenanimwakanemela483 Год назад
Very articulate, salute Mh waziri
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 Год назад
Asiwashike wabunge mdomo wanainchi wana hali mbaya !
@josephlorri431
@josephlorri431 Год назад
Hapo 14:00 '..hii sio honorary doctor..', watakula kichwa mtani.. uliona matokeo form iv hawakutangaza shule zilizojitahidi na zilizofanya vibaya.. mwulize mulamula yalomkuta
@abelkingu4653
@abelkingu4653 Год назад
Salute kwako waziri, Elimu umeitoa. Utendaji wako katika wizara ya fedha hauna mashaka
@iddymangwela9049
@iddymangwela9049 Год назад
Katika maisha yangu cjawah kushuhudia waziri wa hovyo kama huyu
@yahayagimbu4216
@yahayagimbu4216 Год назад
inabidi ujiangalie na ww pia unaweza kuwa ww ni raia wa hivyo vile vile na ni.mzigo kwa taifa
@patrickKitambo
@patrickKitambo Год назад
mimi pia sijawi ona , Waziri mjinga kiasi hiki
@barakaothumani6421
@barakaothumani6421 Год назад
yahya wew zezeta et ee Sasa huyu mnafiki unamuelewa kwalipi???
@richardlucas2275
@richardlucas2275 Год назад
yeye ni wa hovyo? umesikiliza anachokizungumza???
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Год назад
Mimi sijawahi kuona Waziri makini kuliko huyu. Anajuwa kutolea na kujibu HOJA.
@willymdeka6034
@willymdeka6034 Год назад
Yaani hata useme kitu Gani watanzania tunajielewa sana nyie endeleeni kujinunulia mabasi tu
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Год назад
mwigulu huna lolote siasa tu
@Nufaila442
@Nufaila442 Год назад
Mimi nalima maharage ekari 5 tu mpaka sasa nimetumia laki 4 ... hongera sana Mh waziri
@daudimchileg307
@daudimchileg307 Год назад
Sio kweli
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Год назад
@@daudimchileg307 ukiona hivyo huyo chawa😃😃
@Nufaila442
@Nufaila442 Год назад
@@daudimchileg307 shamba nimekodi kila eka 40,000 kulima na Trakta kila ekar i ni sh 35,000 hapo nimelima na Trekta ya ucle mbegu nimenunua ... Leta maneno kama ni uwongo huu
@daudimchileg307
@daudimchileg307 Год назад
(40000×5=200000) (35000×5=175000) apo tuu 375000 tupe bei ya mbegu, vibarua kupanda, usafiri, gharama za kulima, na kama trekta yenu mafta ulitumia ya sh? Acha kutudanganya bana futa hiyo post
@Nufaila442
@Nufaila442 Год назад
@@daudimchileg307 nimesema nimetumia laki 4 mahesabu yako yako vizur ila hujapigia bei ambayo ni kila debe la maharage ni 42,000 madebe 3 malizia wewe
@GodfreyKiyeyeu
@GodfreyKiyeyeu Месяц назад
Mpina salut🎉🎉🎉 yanuse kabla hujafa
@Kidia-yt3bm
@Kidia-yt3bm Год назад
Safi mkuu nimekuelewa,wenye akili tu ndio wanaweza kukuelewa,chapa kazi
@leninkazoba6534
@leninkazoba6534 Год назад
Hakuna ukweli nchi wakulima wanaumia Kwa sababu ya Madalali
@allyseleman9531
@allyseleman9531 Год назад
Mh waziri unasema kweli ila mtu kama hapendi kweli hata uongee Hadi Koo lipasuke hawakuelewi ila Mimi mkulima kilimo Sasa ni Dili.
@kokukarokola4974
@kokukarokola4974 Год назад
Kipindi cha magu wakulima ni hao hao mbona mambo yalikua shwari? Si kweli.
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Год назад
Acha hasira, jibu hoja kaka.
@Pelegrinoemanuel
@Pelegrinoemanuel Год назад
Mpina kakutoa jasho
@hurumajosephat6333
@hurumajosephat6333 Год назад
Mwiguru uko sahihi principle za uchumi haziwezi kukwepwa huyi mpina alipewa uwaziri wa uvuvi na mifugo alifilisi wavuvi wengi Sana Kanda ya ziwa kachoma saa nyavu za watu leo anaongee Nini akae kimya ata akiongea asahau kupewa uwaziri na akicheza ata ubunge 2025 hapat
@salama1113
@salama1113 Год назад
wabunge inaelekea mnapenda kumchokoza waziri anavyo ongea kwa povu😂😂😂🙌🙌
@Watema23
@Watema23 Год назад
Ni kweli kwamba kahuli ususha uchumi... Hapa Marekani wanaangali sana kahuli ya gova wa bank reserve
@kmmediapro712
@kmmediapro712 Год назад
Hongera Sana mkuu
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp Год назад
Unahalalisha na kuwapa kichwa watu watapandisha bei zaidi
@foundationforcommunityhope7327
Heeee PHD....inangia wapi hapa...mbona maelezo mazuri ...Hata PHD za HESHIMA heshimu Dr.
@msafirimiracle6613
@msafirimiracle6613 Год назад
Pale kwenye doctor ya kupewa ndio Kuna Jambo hapo,ngoja ninyamaze ndio tumetoka January
@emmanuelnyina1789
@emmanuelnyina1789 Год назад
Kwahiyo unataka kusema nini kuhusu wale wa kupewa dokta😀😀😀😀
@mzungu2012
@mzungu2012 Год назад
Waziri ikiwa hapo mwanzo tu kwenye namba ya walioajiriwa unabadili ⚙️ angani. Mara ya kwanza elfu moja mia tano walishaajiriwa in less than 5 seconds elfu mbili walishaajiriwa. Sasa kwenye figures tu unayumba itakuaje kwenye hayo mengine, tunapataje uhakika kama unasema ukweli
@dn.n4983
@dn.n4983 Год назад
Kweoi juu kasoma naona hapa walisahau siku zote kimya
@leninkazoba6534
@leninkazoba6534 Год назад
Acheni uongo toeni makusanyo ya Kila mwezi tu.
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 Год назад
It is an apt speech articulated, wapitishe darasani hao baadhi, sasa nadhani ni mbuzi ambaye hatakuelewa, they don't even know how the world is managed by the cartels and syndicates, they still do not know the effect even the global impact of covid 19 and Ukraine vs Russia war we are not leaving in an Island, the global impact will also be affected in one way or another, Mpini shule inakuhusu na sio kubwabwaja tu watu wanajua kupima sm za samaki tu na kukusanya nyavu za watu na kupiga moto, Msukuma aliwahi kulisemea hili, leo jamaa(Mpini) anajifanya savior!!! Wakipewa nafasi walete mapinduzi ya mifugo na uvuvi wao wanapima sm za samaki! Piga kazi Mwigulu your Doctorate is not honored, is purely school learnt oriented, kama anaona rahisi basi aingie darasani aone thesis zinavyosumbua kama atapata muda wa kupayuka
@petertimothy7882
@petertimothy7882 Год назад
Big up Dr. Mwigulu.Binafsi nimekuelewa Mhe. Kwa maelezo yako, nashauri waheshimiwa wakusikilize tena. Umetetea vyema wakulima. Kutokana na bei ya vyakula kuwa juu sana kwa sasa, nashauri Serikali iangalie upya mishahara ili kimfariji Mtumishi wa umma kutokana na mahitaji ya mengi kupanda
@yasiniswedi8835
@yasiniswedi8835 Год назад
Hamna wazili apo
@mosseskanini255
@mosseskanini255 Год назад
We ndo ujielew kabsa,We unajua ni asilimia ngap ya watanzania hawana hizo mishahara au kaz unategemea hayo matihaji watapata wap,kikubwa ni kushusha bei ya bidhaa ndo watu waweze kukidhi mahitaj.
@amaniabdi9755
@amaniabdi9755 Год назад
Hongera mweshimiwa Waziri,anaetaka Bei za vyakula zishuke aende Shamba akalime na yeye.
@Worldunite
@Worldunite Год назад
Kwanini sasa mbolea zisizalishwe hapahapa nchini????
@jameskivelege8630
@jameskivelege8630 Год назад
Safi sana mheshimiwa Mwigulu huo ndio uchumi,nimeipenda unavyowarudisha watu shule, congratulations
@amirikoshuma6022
@amirikoshuma6022 Год назад
Uzalendo zeroo
@bavonichristopha1693
@bavonichristopha1693 Год назад
Mmmmh
@aronesamson3692
@aronesamson3692 Год назад
Wazili bwna unaongea sana lakin sijakuelewa kabisaaaa.tanzania tunalima wachache sana walaji niwengi zaidi.
@life_varieties9559
@life_varieties9559 Год назад
Atleast leo umejibu vzr
@safarijuma9410
@safarijuma9410 Год назад
Safi sana mheshimiwa mungu ni mwema atakulinda chapa kazi wengi tunakuelewa vizuri sana
@abdulsengo5312
@abdulsengo5312 Год назад
Kama kila kitu Anafanya Samia wao wamekaa hapo bungeni kufanya nini.
@johnkomba8181
@johnkomba8181 Год назад
Leo mwigulu katusha
@charzykazimilymajahasy703
@charzykazimilymajahasy703 Год назад
Dr mjinga
@ericksweetbert6072
@ericksweetbert6072 Год назад
Ndio wanavyofundishwa hivi chuoni jamani
@nicodemmabala1904
@nicodemmabala1904 Год назад
Safi sana Mwigulu hio point nimeielewa sana.
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 Год назад
Nikweli uyu jamaa kasema ukweli binafs nimemuelewa sana
@jellymbogo7246
@jellymbogo7246 Год назад
Hv hili sjui wanaliaminigi nn jinga hili
@yasiniswedi8835
@yasiniswedi8835 Год назад
Huyu wzli huwa cmuelewagikabisa
@michaelgibril8594
@michaelgibril8594 Год назад
JAMANI MM NIMEISHIA LA SABA, NACHANGANYIKIWA. MAISHABYANAZIDI KUWA MAGUMU
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Год назад
Kuishia la saba na kuchanganyikiwa Vina husiana nini?
@abdulsengo5312
@abdulsengo5312 Год назад
Hajui kuwa huwa tunaekisipoti madini huyu waziri mchumi.
@augustinomasala5339
@augustinomasala5339 Год назад
Mchumi hakuna sifuri point sabini na tano
@ellamsakafu60
@ellamsakafu60 Год назад
Hivi wewe umeishia la ngapi na darasani hesabati ulikuwa unapata ngapi vile?
@augustinomasala5339
@augustinomasala5339 Год назад
@@ellamsakafu60 kwamba unanikosoa au unaniunga mkono?
@kastorkidumu6579
@kastorkidumu6579 Год назад
Kwahiyo Bei ya mazao yatashuka Kama ruzuku
@lanezboy7016
@lanezboy7016 Год назад
Tumbili huyu sasa kwann mlipandisha mbolea kwahiyo mliyajua haya mbwa nyinyi
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Год назад
Mama Fukuza hili CHAWA!!
@josephlorri431
@josephlorri431 Год назад
Mchawi ww wamechelewa kukupa matunguri...
@amanafi1288
@amanafi1288 Год назад
@@josephlorri431 Naona Wewee ni Conductor wa Esther Luxury....
@josephlorri431
@josephlorri431 Год назад
@@amanafi1288 semeni kosa la Dr (PhD) Mwigulu. Mkalime,acheni kupiga bao asubuhi hadi jioni.
@amanafi1288
@amanafi1288 Год назад
@@josephlorri431 Sioni Dr hapo masuala ya pesa... Huyoo Kijana Mwenzangu ni Msanii tu wa Majukwaani... Kwa vyanzo vya pesa vya hii Nchi anambana hata Mtu wa kawaida. Huyo hawezi asione aibu amvute Mchumi kama Lipumba aoneshwe njia salama ya kuifikisha Tanzania uchumi kwelii wa kati. Tuache ushabiki maandazi... Tuna Kilimo,Mifugo,Bahari,Mito,Maziwa,Misitu,Bandari, Airport's,Mipaka (boulder),Madini aina Rukuki n.k Aibu tupo kuwa na Mtu anayeuponda Udocta wa heshima hadharani kujenga hoja yake mbovu.
@saxannjo6173
@saxannjo6173 Год назад
Kisomi sana na Logic sana MWIGULU. Leo nimekuelewa sana Mheshimiwa
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 Год назад
Upuuzi
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 Год назад
Mwigulu uko sahihi
@kokukarokola4974
@kokukarokola4974 Год назад
Baada ya ajira hizo mapato yamekua kiasi gani, wameokoa siasi Kani cha mapato kwa matajiri wakwepa kodi? Yameongezeka tozooooo? Na kuuza chakula nje ndani twafaaaa.
@charzykazimilymajahasy703
@charzykazimilymajahasy703 Год назад
Mimi Sasa simpendi, amekuwa mjinga, sijui wanatufanyia makusudi, eti Dr mpuuzii, rais nae hatoshei, kama kweli wanaipenda Tanzania na sio madaraka, nawaomba muachie nganzi Ili kuiweka Tanzania Salama..
@novatusabond9253
@novatusabond9253 Год назад
Huwa tunauza ziada,hatuuzi chakula chote nje mzee
@maryamshekihiyo
@maryamshekihiyo Год назад
Sembe ipo juu mchele upo juu maharage yapo juu kuna hali mbaya mwinguru sijui unampango gani na sisi masikini kwakweli
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 Год назад
Mbona amefafanua vizuri hata tuliosomea chini ya mwembe tumemuelewa? Amesema kupanda kwa bei ya mazao ya chakula imetokana na gharama kubwa za uzalishaji wa mazao hayo mwaka Jana. Ndiyo maana rais akaamua kuweka ruzuku kwenye mbolea na mafuta ili mkulima azalishe kwa gharama ndogo msimu na baada ya mavuno bei ya mazao hayo itashuka. Miezi ya mavuno ni kuanzia mwezi wa tano mpk wa nane tungeswa tusubili tuone kama kweli bei ya mazao itashuka, ili tuje tumshike uongo vizuri.
@ashasaidi1895
@ashasaidi1895 Год назад
Lima
@mmungamasengo1859
@mmungamasengo1859 Год назад
Magufuli oyeee kazi mbele nyuma mwiko tz ya sasa inapendeza
@jafarimfinanga6686
@jafarimfinanga6686 Год назад
amka usingizini
@samwelhechei8537
@samwelhechei8537 Год назад
Mwigulu umeongea vizuri sana
@tumainirkyando8128
@tumainirkyando8128 Год назад
Hakuna lolote hapo !
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Hata Magufuli Akupenda Ya Hi Mbayambayambaya
@isaacjohn3786
@isaacjohn3786 Год назад
Ila Mwigulu ni kichwa
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Год назад
Hao wabunge kama hawakuelewi ni sawa sawa na Mbuzi
@abbyseniorhunter7030
@abbyseniorhunter7030 Год назад
Huyu waziri ni kichwa
@majigedioniz8049
@majigedioniz8049 Год назад
Mwiguru na mama mnajambo lenu
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 Год назад
hakuna chochote hapa
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Год назад
Mheshimiwa umejitahidi kujieleza lakini kuna hoja ya malipo nje ya bajeti ukutoa ufafanunuzi Mheshimiwa mavuno hayoko mbali tutarudi tena kukuhoji kwani umedai msimu huu serikali imatoa ruzuku katika kilimo na matarajio ni kupunguza bei mara baada ya mavuno. Tumesikia na tunasubiri. Kuna zao la korosho Mheshimiwa bei zimekuwa zikipangwa na wajanja wachache hapo vipi? Na kama kuwatoa katika umasikini mbona wakulima wa korosho ni maskini sana ukilinganisha na bei ya korosho duniani?
@abelkingu4653
@abelkingu4653 Год назад
Hili Alilijibu mkuu, kwa kifupi bunge lilitoa ridhaa serikali itoe pesa kwa ajili kujenga madarasa nje ya bajeti
@abelkingu4653
@abelkingu4653 Год назад
Pia kwenye ruzuku ya mbolea... kubali kusikiliza na kuelewa tu mkuu
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Год назад
@@abelkingu4653 Ndugu nakuelewa lakini tusiunge mkono kwa sababu mtoa hoja ni mjomba tuangalie masilahi mapana ya wananchi. Kwa sasa bei ya vyakula iko juu. Serikali ije na mikakate ya kupunguza hizo bei. Msimu ujao sio mbali tunataka kuona kama hatua iliyochukuliwa ya ruzuku ya mbole itatatua mfumuko wa bei za vyakula.
@abelkingu4653
@abelkingu4653 Год назад
@@mwalimumstaafu8529 mi naunga mkono hoja za kiuchumi mkuu. Au unapenda zama za kudanganywa
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Год назад
Wewe utakuwa toka Kiomboi na kama sikosea mtoto wa mzee Stephen. Mjomba wako sera zake za kiuchumi zimetuathiri sana sisi watu wa chini. Mwambie akusanye kodi kwa matajiri. Mimi naamini wanalipa chini ya kiwango kutoka na mifumo mibovu.
@fabiankachewa6551
@fabiankachewa6551 Год назад
Kongole kwako waziri,wanaotaka mazao kushuka bei waende wakalime
@kokukarokola4974
@kokukarokola4974 Год назад
Mbona mnatuchanganya ela ikiulizwa madarasa reseivu madarasa lakini ulipoambiwa umetumia ela nje ya bungee pia umesema ni madarasa tupe darasa humping mpina unatupa wananchi. Me sijui uchumi nifafanulie kikayumba tu madarasa mnayosema yamejegwa kwa ela gani?
@dottolucas9768
@dottolucas9768 Год назад
Hapo nimekuelewa mweshimiwa mwigulu
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Год назад
Kweli kabisa tumelima kwa gharama sana
@adammwakalonge3573
@adammwakalonge3573 Год назад
Tatizo kaka Lameck watu walishakuwa na mtazamo hasi ndio maana kila unachoongea hata kama kina mantiki watu wanajizima data, we jaribu hata kujitambulisha jina lako Utasikia bado unapingwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣lakini mbona unachoongea ni kitu kiko wazi sema tunapenda kuambiwa uongo
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Год назад
Mpina ni Sukuma Gang. Sió kwamba haelewi ila anataka kuiangusha CCM kwa makusudi. Atazamwe kwa Jicho la tatu.
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
ccm anajiangusha yenyewe ugumu wa maisha uliopo sio siri. lazima ukweli usemwe hadharani, rushwa inatisha , uonevu watu kunyang'anywa ardhi zao , masai wanafukuzwa kwa nguvu katika makadhu yao . yote haya anayafanya Mpina?
@abellutonja4589
@abellutonja4589 Год назад
Umeamua kuwasimanga SAMIA ,MUSUKUMA, TALETALE
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Год назад
Vichwa nazi utaumia Mwigulu
@isaackibezi6422
@isaackibezi6422 Год назад
Watuache na ss wakulima tupate kidogo
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Umeeleweka
@immanuelinvocavith1498
@immanuelinvocavith1498 Год назад
Zalisheni chuma hapa tz mana tunayo
@lanezboy7016
@lanezboy7016 Год назад
Nyoko
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 Год назад
Nikwa nini mborea iuzwe bei juu
@abdulsengo5312
@abdulsengo5312 Год назад
Hakuna anachokijua.
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 Год назад
Mpige shule huyo Mpini na kundi lake
@yasiniswedi8835
@yasiniswedi8835 Год назад
Ninashaka nao haowanaompgiamakofi wzli anaeongea kisichoeleweka
@mmungamasengo1859
@mmungamasengo1859 Год назад
Umesoma yes kwamag ndomana alikuwa nakuha misha amisha kazi ihe ndeleyeeeeeee
@asungwilemwaifunga1285
@asungwilemwaifunga1285 Год назад
Jibu hoja kuwaelimisha wabunge cha kufanya. So kazi waziri wa fedha kulitathimini bunge
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 Год назад
Mbona korosho mnampangia mkulima bei ya kuuza
@Msemakweli2024
@Msemakweli2024 Год назад
Bei ya vyakula haikusababishwa na Bei kubwa ya mbolea. Mh. Waziri Bei zimetokana na ukame wa muda mrefu na kuimarika Kwa soko la nje ya nchi. Mvua za masika 2022 hazikunyesha vya kutosha maeneo mengi, vilevile za vuli. Wafanyabiashara wengi walichangamkia soko la nje kwakuwa linalipa zaidi hivyo kununua Kwa wingi na kuuza nje ya nchi. Infact mkulima anapangiwa Bei na mfanyabiashara kutokana na Hali ya soko. Hebu semeni ukweli, punguzeni hasira.
@safarijuma9410
@safarijuma9410 Год назад
Mheshimiwa chapa kazi mpina sijui mpini ni tabu tupu aelewi kabisa mwalimu wake alipata shida kweli mwigulu baba chapa kazi
@frankphiri9132
@frankphiri9132 Год назад
Hiyo ndo sbb waalimu wanachapa viboko you teach Kwa mbinu zote kichwa Cha mwanafunzi hakifunguki unafika Mahali automatically from nowhere umetumia kiboko pasipo kukusudia ndo maana Dr Mwigulu anasema were wabunge mbumbu wamengangania hoja zao hawabadiliki why asikwambie nimesomea sijaenda Kwa mganga wa kienyeji?
@frankphiri9132
@frankphiri9132 Год назад
Hiyo ndo sbb waalimu wanachapa viboko you teach Kwa mbinu zote kichwa Cha mwanafunzi hakifunguki unafika Mahali automatically from nowhere umetumia kiboko pasipo kukusudia ndo maana Dr Mwigulu anasema were wabunge mbumbu wamengangania hoja zao hawabadiliki why asikwambie nimesomea sijaenda Kwa mganga wa kienyeji?
@frankphiri9132
@frankphiri9132 Год назад
Hiyo ndo sbb waalimu wanachapa viboko you teach Kwa mbinu zote kichwa Cha mwanafunzi hakifunguki unafika Mahali automatically from nowhere umetumia kiboko pasipo kukusudia ndo maana Dr Mwigulu anasema were wabunge mbumbu wamengangania hoja zao hawabadiliki why asikwambie nimesomea sijaenda Kwa mganga wa kienyeji?
@amirikoshuma6022
@amirikoshuma6022 Год назад
Kusema keeling mwigulu nchemba sijakuelewa hata kidogo ...
@adamukamei5625
@adamukamei5625 Год назад
Achen kupaniki
Далее