Тёмный

EXCLUSIVE:MJUE LUHAGA MPINA MBUNGE MZALENDO ANAYEWASHAMBULIA MAWAZIRI na KUIKOSOA SERIKALI BILA UOGA 

SAN TZ MEDIA
Подписаться 28 тыс.
Просмотров 69 тыс.
50% 1

Makala hii inalenga Maisha Halisi ya Mbunge wa Jimbo la kisesa Mhs; LUHAGA MPINA hapa utajua Yote usiyoyajua katika Maisha Yake , Vilevile utajua Kwanini anapigwa vita Sana na MAWAZIRI na wabunge mashuhuri Tanzania
Fuatilia Makala hii mpaka mwisho Kisha Comment tuyafahamu mawazo yako kwenye hili
#dullysantz #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #efm #history #dullysantz #millardayo #ccm #santzmedia

Развлечения

Опубликовано:

 

4 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 184   
@NicolasiLuhende
@NicolasiLuhende 8 дней назад
😢 hongera sana mheshimiwa mpina wewe ndiyo kiongozi wa kweli
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 8 дней назад
Kweli kabisa
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
Sahihi ☑️
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
🤝🇹🇿
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 8 дней назад
Mpina oyeeeeeeee, your the best, time will tell.
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
👊
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 8 дней назад
Jibu hoja Bashe mpina tunamfuatilia sana uko safi
@yayananajota5838
@yayananajota5838 4 дня назад
It's great Men, let him be and God bless him and protect him,
@hadijatwahadossa
@hadijatwahadossa 8 дней назад
Hongera mpina,,, hata ukiandamwa, ,wasema kweli selikarini tunawajua...endelea Mungu yupo pamoja na wewe
@Dominaevance
@Dominaevance 8 дней назад
Hongera Sana Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina, Uonevu WA Spika Juu Yako uko hadharani, Piga Moyo Konge Sisi kama Watanzania tumeona, Ni Bora wakufukuze kuliko kukubali Uonevu Huu WA hadharani.
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 8 дней назад
Mashaalah mungu akulinde
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 6 дней назад
Wapiga makofi hapo Bungeni na huyo spika wao 99% watabaki kupiga makofi mitaani 2025 hawawakilishi wananchi ila wanamwakilisha spika ambaye nae hakuchaguliwa na wananchi
@julianamasunga3458
@julianamasunga3458 7 дней назад
Acheni hizooo jibuni hoja zake,,,,mpina ❤
@manawamarco6511
@manawamarco6511 5 дней назад
viva luhanga mpina tunakuombea we ni jembe
@AmosKachatiro
@AmosKachatiro 8 дней назад
Nakukubali mheshimiwa
@gracesage989
@gracesage989 5 дней назад
Mpina Mungu akubariki usikate tamaa songa mbele Mungu yuko na wewe.
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t 8 дней назад
Viva LUHAGA MPINA
@hssanrubota3891
@hssanrubota3891 6 дней назад
Huyu ni Traule wa Tanzania
@mwinyisaruni8974
@mwinyisaruni8974 6 дней назад
Hatuna chakukusaidia Ila tunakuombea jembe,
@user-zy6vq6lz7z
@user-zy6vq6lz7z 5 дней назад
Mpina apewe nchi, awe rais
@bahatidamiani561
@bahatidamiani561 4 дня назад
Viva Luhaga Mpina mzalendo wetu
@Haroonlguo
@Haroonlguo 6 часов назад
Www utakuwa mtetezi wetu mpina
@Ambwene
@Ambwene 4 дня назад
Mpina ni Mwamba kuliko wapiga Makofi 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪
@yayananajota5838
@yayananajota5838 4 дня назад
Ukifanya kazi chini ya kivuri vcha 👹 lazima mtetezi wa haki atachhukiwa😥so badly,
@amohammed3390
@amohammed3390 День назад
Uingereza hakuna chuo kikuyu kinachitwa Scotland.
@zabronmwaipungu2212
@zabronmwaipungu2212 5 дней назад
Hilo ndo bunge letu bwaana, hajasoma alicho kiwasilisha Mpina.
@RehemaSalum-vp6rf
@RehemaSalum-vp6rf 8 дней назад
Mm nampenda kwasbb ni mapema kweli na anajalo maslah ya Nchi yake
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 8 дней назад
Luhanga mtu mzuri sana jembe sana yaani wewe spka hufai kabisa wewe puuu
@asteriashios1852
@asteriashios1852 8 дней назад
Mpina Yuko vinzuri sana anaitetea haki na ndiye tunaempenda yaani anasema ukweli mtupu
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
Sahihi 🤝
@wanguwangu34
@wanguwangu34 8 дней назад
Tanzania nzima hakuña mbunge mwenye akili na uthubutu kama luhaga Mpina, yaani CCM yote hakuna
@frankmaeda4284
@frankmaeda4284 8 дней назад
Mpina the Great
@tumainimayala8187
@tumainimayala8187 7 дней назад
Hakuna..yamejaa machawa wakiongozwa na kupe wao Speaker🤯
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 6 дней назад
​@@tumainimayala8187😂😂😂😂😂😂
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 6 дней назад
​@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 6 дней назад
​@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂
@AnabElmi-kx6ml
@AnabElmi-kx6ml 3 дня назад
Luhaga mpina amekosea kufuta sheria angepaswa asubiri maelekezo ya spika hivyo sheria ifuate mkondo kumpa adhabu anayostahili
@user-ub3gy5od1m
@user-ub3gy5od1m 8 дней назад
Bunge lifanywe kuwa pango la wabunge kuwa chawa kwa ajili ya kujipatia kipato, kila atimize jukumu la kuwasemea wananchi kwa maslahi ya wote
@SaruniChristophersabaya
@SaruniChristophersabaya 2 дня назад
Nyie watanzania ni makuma sana ukweli unauma
@awadhkannah6587
@awadhkannah6587 8 дней назад
Kweli kweli, watu unapinga kuingiza sukari kwa wingi wakati Wananchi wanahaha na sukari, alitaka tuendelee kununua bei ya juu, anatetea wafanya biashara wanaoficha sukari,, mzalendo wake upo wapi?
@allymusira2153
@allymusira2153 8 дней назад
Hapo hata mimi nashangaa mtu anayepinga kuingiza sukari kwa wingi ili bei ishuke anaonekana eti mzalendo ujinga mtupu
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 3 дня назад
Kuagiza sukari nje co shida, shida ni utaratibu uliotumika kuagiza umefuata utaratibu?! Au ni kwa faida ya wachache!!!
@camilomassao8971
@camilomassao8971 8 дней назад
MZALENDO
@DiscowKajojo-no2up
@DiscowKajojo-no2up 7 дней назад
Well done
@piusjaphet2760
@piusjaphet2760 7 дней назад
Visheria vya Tanzania ndio zinalitia umasikini wa mawazo na woga
@abdallahmakange6173
@abdallahmakange6173 7 дней назад
Tanzania inchi ya ajabu sana mtu aneongea hukweli ndio mungo.😢😢muhongo ndio mkweli....😢😢😢😢
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 5 дней назад
❤❤❤❤❤❤Mpina
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 8 дней назад
Msema ukweli ni Mpz wa Mungu peke yake tu.ila Duniani Kwa sisi binadamu inakuwa ngumu.but Tumuachie Mungu ndo muweza wa yote.
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
Ahsante Sana kwa maoni yako Rafiki 🙏
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 6 дней назад
Namuomba mwenyezi Mungu yanayotokea kenya yasitokee kwetu. Lakini hali sivyo. Mpina anatetea wananchi
@user-xx8fb4ed5u
@user-xx8fb4ed5u 8 дней назад
Angalia picha zote za bashe anatucheka watanzania kuwa hatuna akili!!!!!
@patiellulu6063
@patiellulu6063 День назад
Chadema
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 дней назад
Mpina hana ulaji ndio shida yote, mpeni uwaziri atulize kichwa chake cha ovyo.
@francisboydmwakyusa230
@francisboydmwakyusa230 8 дней назад
Ukirejea elimu yake, utajua kuwa masomo aliyosoma Mpina si masomo ya mtu mwenye akili ndogo, mtu mvivu na mtu mwenye afya mgogolo. Hivyo ili kumuelewa Mpina inakutaka uwe na vigezo sawa au zaidi ya vigezo nilivyo vitaja hapo juu. Wanasiasa wengi hawana vigezo hivyo na bahati Mbaya sana Nchi yetu haija zipa taasisi kuwa vinara wa taaluma na taaluma hizo kulindwa. Kinyume chake tuna haribu, dharirisha taaluma muhimu kwa maendeleo ya Nchi Kinyume na matarajio ya kitaalamu. Nchi ikielendelea kwa aina hii ya utendaji na utoaji maamuzi, ni vigumu kujikwamua ktk maendeleo shindanishi tuliyomo kama sehemu ya dunia. Sasa siasa ikiendeshwa kama porojo au funika jamvi twende, Tuna weka rehani maisha ya Vijana na viazazi vijacho. Pls STOP THIS FOR GOOD.
@evaristjoseph8151
@evaristjoseph8151 3 дня назад
Unajua nakuelewa sana mpina ?
@allyfutto8763
@allyfutto8763 8 дней назад
Spina atapigwavita vitality Sanaa kwakuwa mdadisi na watadharilika wengine kwa kumuhandama
@SuleimanMussa-x5i
@SuleimanMussa-x5i 7 дней назад
Nyinyi amuna lolote mama ana piga kz muasheni kisa ni mzanzbar endekuw mbara mwenzenu munge mpaa sifa zote ila ss wazanzbr muna tubagua kwanza muna tunyonya hatutaki tna kuw nanyi
@JmMsukuma-c8l
@JmMsukuma-c8l День назад
Mwanetu mpina kaza tuko nyuma yako
@RajabuSikabwe-rp1lj
@RajabuSikabwe-rp1lj 8 дней назад
Tatizo labashe nimadawa yakugandamizawatu wamsikilizetu hatamulikuwa munamsubili akiongeya wotekimya sioni sioni anachokifanya Bashe akikasikuoni ilawalewasiojuwa mutampongeza wakinamsukuma
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 7 дней назад
BASHE asikusumbue huyu watu wapo nyuma yake!!subiri muda si mrefu watajitokeza!!
@LeonardSiasi
@LeonardSiasi 3 дня назад
Komaa 0:50
@zabronmwaipungu2212
@zabronmwaipungu2212 5 дней назад
Mama yangu wanajipigia makofi tu daa!
@AbdulMndizi-p8n
@AbdulMndizi-p8n 4 дня назад
Mpina ni mwamba pekee anaeishi
@user-jm3ms2ry5v
@user-jm3ms2ry5v 6 дней назад
Mpina bana Hadi penarty
@user-cj2iq1qv6n
@user-cj2iq1qv6n 8 дней назад
NA MPINA ATAFUKUZWA KIMEZENGWE KAMA ALIVYOFUKUZWA NDUGAI
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 8 дней назад
MPINA MZALEDO WA SAN TZ MEDIA ANATUMIWA NA MABEPARI WAKUBWA KILA MTU ANAJUWA LAKINI SASA HIVI KAKWAMA UJANJA UMEMUWISHIA
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
Mhh....?
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti 8 дней назад
Hatuna spika hapo anatete uovu mpina wewe mwamba njoo upande wapili
@yahayahussein3224
@yahayahussein3224 8 дней назад
Hana uzalendo wowote zaidi ya kuwa Fitina
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 7 дней назад
😂😂😂fuvu lako halina uwezo wa kupima mambo ya kitaifa! Kula tu vya konakona
@aliakrabi8321
@aliakrabi8321 5 дней назад
acha uwongo wewe, sio university of scotland, hicho ni chuo kingine. alisomea univ of Strathclyde, Glasgow, scotland.
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s 8 дней назад
Hakika mpina ni mwanga wa Taifa ila bashe ipo siku tutakuwajibisha.
@mwinyisaruni8974
@mwinyisaruni8974 6 дней назад
Anayepingwa angali anaona ukweli basi yeye ajuaye ukweli atatenda yake ,
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 8 дней назад
Hivo inatakiwakua kusimamia haki hata kama watatoa roho yako siku itafika yakitikea kama ya kenya utabaki salama wrwe na familia yako ole wa hao wachumia tumbo kitakua kilio na kusaga meno
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
⚖️ ndio tatizo
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 7 дней назад
Spika hana kosa, amefanya sehemu yake.
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 8 дней назад
" lt is very danger.." kiingereza cha Bashe.... Bashe say " lt is very dangerous........kweli watanzania hatujui kiingereza
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
😆😆
@josephlorri431
@josephlorri431 7 дней назад
Bashe ndo anajiona sana anajua lugha ya malikia..mara kwa mara huwa anaongea maneno ya kiingereza bila sababu yoyote.. lakini hawezi kutengeneza sentence ya kiingereza
@zacharialtd9519
@zacharialtd9519 7 дней назад
Mbona miaka mnamuwekea michache sana
@Santzmedia
@Santzmedia 7 дней назад
Miaka gani Rafiki
@ChristinaWengae-ps5jr
@ChristinaWengae-ps5jr 8 дней назад
Hongera sana kaka yangu mung akusaidie
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 6 дней назад
Mpina keep on
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 8 дней назад
Viva mpina Wewe ni mwamba
@frankmaeda4284
@frankmaeda4284 8 дней назад
The great
@salumnassornassor9733
@salumnassornassor9733 8 дней назад
Haiki itabakia kua haki uyo speaker atakiongea unajua kua anatetea uovu
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
🤝🇹🇿
@simonchristian6319
@simonchristian6319 8 дней назад
Nyaraka zilisemaje?tunataka hapo,usipotezee hiyo mada humo😅
@lucasmugoma2870
@lucasmugoma2870 6 дней назад
Tanzaaaani ndio nini
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 8 дней назад
Uzalendo sio kutoa shutuma Kwa wenzio bila ushahid, Bunge sio sehem kuleta chuki, hasad, na wivu bila hoja, wako pale kuwakilisha Wananchi na kutunga Sheria sio majungu, adhabu aliopewa iwe fundisho Kwa wengine, leta hoja zenye mashiko sio mihemko, maana jamaa bado anaota awamu ya tano tu
@NdageKitahama
@NdageKitahama 7 дней назад
Ww ni pumba za mpunga hujui chochote maana Kama umeshindwa kuelewa hoja alizotoa mpina na ushahidi kautoa mbele ya bunge unataka ushahidi aina gani ww hata darasani unaonekana ilikuwa ziro
@JesusJesus-ny1sm
@JesusJesus-ny1sm 6 дней назад
Wapumbavu kama wewe ndiyo mmetufanya tuwe masikini maisha magumu Tanzania hii !!!! Km hujuwi kaa kimya, Pumbavu sana.
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 4 дня назад
Amewahi kupima samaki na rula huyu.
@user-rm8fd3wh3w
@user-rm8fd3wh3w 8 дней назад
Tulia you you said nonsense.mpina he is done right to people
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 8 дней назад
Speaker dictator. Huyu mama amelibeba bunge hili kama mali yake. Huyu Bashe asituletee kiingereza chake cha Kenya.
@raphaelondego7703
@raphaelondego7703 8 дней назад
Agomee sasa urais.
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 4 дня назад
HuyoMpina niakilinyingi naujuzi nyie hamutaki wenye akili? nimaajabu.
@MsafiriKadege
@MsafiriKadege 7 дней назад
Ka mkubwa nakupenda mpaka naumwa na nataka kuwa kama wewe
@HabibuSaid-up5sn
@HabibuSaid-up5sn 8 дней назад
Mzalendo gani anauchungu atamani kurudiswa uwaziri tatizo ya watanzania munajisahau 2 SI alitesa Wa vuvi huyu igekuwa afaa magu asigemtoa
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
😥
@joctanmtambi895
@joctanmtambi895 8 дней назад
Alikamata wavuvi washenzi anaovua kwa kutumia nyavu zenye sumu nakuzichoma Moto nyavu zote haramu​@@Santzmedia
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 8 дней назад
ACHA KUPOTOSHA. KAMA HUELEWI NYAMAZA
@user-gv8yn9lg1i
@user-gv8yn9lg1i 8 дней назад
Wabunge wakipiga makofi" ndioooo" mnasema bunge la ndioooo, akipatikana mbunge KAMA MPINA, pia hamtaki, sasa msimamo wako ni upi????
@janiaoma7093
@janiaoma7093 6 дней назад
Kelele nyigi mpina wataka nenda chadema mwazo msigwa hapedezewa ukaeda ccm na wewe hukupededezewa hamamia chadema usileie tabu mtu moja wewe nani
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 8 дней назад
Lkn uyu si alikuw wazir wa ccm
@simonchristian6319
@simonchristian6319 8 дней назад
Ndiyo
@simonchristian6319
@simonchristian6319 8 дней назад
Hata magu alikuwa ccm
@user-gv8yn9lg1i
@user-gv8yn9lg1i 8 дней назад
Kwa hiyo inakuwaje sasa.
@user-rg5sg1xz8p
@user-rg5sg1xz8p 8 дней назад
Wamebakia wachache sana hapa tanganyika
@al-bleproshooteur1922
@al-bleproshooteur1922 6 дней назад
😢
@alisalimo2861
@alisalimo2861 7 дней назад
Huyo ataka umarufu huyo mpina sio alikua waziri mbona alishindwa
@Santzmedia
@Santzmedia 7 дней назад
🤣
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 8 дней назад
Serikali ya CCM haitaki wabunge wasomi na wenye kuelewa. Wabunge wengi ueleo wawo ni mudogi sana. Kazi yao ni kukubali kila kitu kwa kusema NDIYO. Kwa kifupi watanzania hatuna wawakirishi. Na tuna chama cha siasa kimoja na demokrasia ya bandia.
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
🤝
@user-xh8kd9ze7o
@user-xh8kd9ze7o 7 дней назад
Mweshiwa mpina tunakupenda Sana, ww Ni mbunge mzalendo mungu atakulinda
@Santzmedia
@Santzmedia 7 дней назад
🇹🇿
@jamesmboneko2952
@jamesmboneko2952 6 дней назад
Mpina uko juu sana. Watanzania tupo nyuma yako
@MatesoMatanga-bs3bt
@MatesoMatanga-bs3bt 6 дней назад
Ila nyie
@GeofreyMwandanji-ot2lf
@GeofreyMwandanji-ot2lf 8 дней назад
Jemedali wakweli
@mwinyisaruni8974
@mwinyisaruni8974 6 дней назад
Haya bwana jembe pambana ulibakia ukiwapambania Tz mungu akutangulie,
@simonchristian6319
@simonchristian6319 8 дней назад
😂😂😂😂😂😂. Uonevu huoooo
@MatesoMatanga-bs3bt
@MatesoMatanga-bs3bt 6 дней назад
Bc two
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 6 дней назад
Huo ushahidi aliouta mbona haukuwekwa wazi bungeni?
@user-yr1dv2oq7r
@user-yr1dv2oq7r 7 дней назад
Mpina jembe
@epimackjohn461
@epimackjohn461 8 дней назад
MPINA ni bingwa aliyebeba sifa kubwa sana kwa wananchi kwa UHODARI , wewe msomali BASHE unazungumza kwa kuremba na kakiingereza , lakini MPINA wengi wamemkubali . SPIKA ameenda mbio mno kumhukumu na ameonyesha woga wa kuumbuka kwa washirika wake .
@MartinYakobo-io1og
@MartinYakobo-io1og 3 дня назад
Muongo wwewe
@Santzmedia
@Santzmedia 3 дня назад
Ok sawa
@user-sx3ys1gs9p
@user-sx3ys1gs9p 8 дней назад
Bashe alikua yule wa magufuri ila huyu wa Sasa hamna kitu
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
Kwanini??!!
@josephjohn2114
@josephjohn2114 3 дня назад
Elimu yake umechapia acha uongo.
@Santzmedia
@Santzmedia 3 дня назад
Ukweli ni upi Mzee??!!
@KADALAtv255
@KADALAtv255 8 дней назад
Hivi kwa nini Mawaziri wamekuwa wakali dhidi ya Mpina?
@Santzmedia
@Santzmedia 8 дней назад
Msema ukweli
@KADALAtv255
@KADALAtv255 8 дней назад
@@Santzmedia Mungu atusaidie nchi hii
@user-xx8fb4ed5u
@user-xx8fb4ed5u 8 дней назад
Anawalenga na hii tanzania ukiongea ukweli unakuwa peke yako hii tanzania tunakoelekea yale ya kenya!!!!!!
@mussamalekela2107
@mussamalekela2107 8 дней назад
​@@Santzmediahana lolote mbona magu alimtumbua? Ana hasira kwa kunyang'anywa uwaziri, hana uzalendo wowote
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 7 дней назад
Ingawa Mimi simshabiki wake ila juzi nimeona ana ukweli fulani. inasemekana Alikuwa anafanya matibabu nje ya nchi wakati wa undwaji wa baraza la mawaziri​@@mussamalekela2107
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 6 дней назад
Mheshimiwa Mpina hatua wa(level of understanding) uelewa ni kubwa mno, ndiyo maana unapata shida wabunge kumuelewa, kwani wengi wale wa kujua kuso.a na kuandika tu.
@husseinjosephitocho6754
@husseinjosephitocho6754 7 дней назад
spika na kisomari cha mchongo vyote ni panya road
@Santzmedia
@Santzmedia 7 дней назад
😆😆😆
@user-cj2iq1qv6n
@user-cj2iq1qv6n 8 дней назад
Luhaga Mpina Ni Mzalendo Wa Kwer Akutakiwa Kua Chama Cha Ccm Ccm Wezi Tu Hawapendi Wabunge Wanaowatetea WANANCHI MBONA WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA
@eddahkobong271
@eddahkobong271 8 дней назад
Kila msema ukweli siku zote ni mbaya.
@abdallahmakange6173
@abdallahmakange6173 7 дней назад
Ccm tumewachoka sasa hondokeni muhiba sana
@FadhiliMesha-pd2th
@FadhiliMesha-pd2th 8 дней назад
bunge humo Kuna bunge au bunge la ccm
Далее
Ruto's Biggest Mistake Firing Attorney General Muturi?
14:27
Будни в пекарне. Часть 2
0:59
Просмотров 5 млн