Тёмный
No video :(

WEMA SEPETU ashindwa kuendelea na INTERVIEW kwasababu ya Ugonjwa ''Mimi naumwa, nasikia vibaya'' 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 18 тыс.
50% 1

#wemasepetu
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 64   
@hopefully7090
@hopefully7090 2 месяца назад
Wema mwenyezi Mungu akufikishe salama hata unavyoongea pumzi zinavyotoka hata sura kuna baraka zaje 👏👏👏🙏
@DivinebabyDee
@DivinebabyDee 2 месяца назад
Ila huyu kweli ni last born wa Tz akifika sehem kilamtu attention ni kwawema ❤❤❤❤❤
@jeanclaudeakili2372
@jeanclaudeakili2372 2 месяца назад
Hahahahaha
@jeanclaudeakili2372
@jeanclaudeakili2372 2 месяца назад
Hahahahhahah last born nini ? Siyo first born nini ?
@GSaleh-xr3vn
@GSaleh-xr3vn 2 месяца назад
Hakika uzur wa umbo,sura huisha bali uzur wa Imani hubaki milele
@ankalmzito254
@ankalmzito254 2 месяца назад
Kwenye ujana tujue uamuzi ambao tutauchukua..sababu hilo ndilo tutakaloishi nalo uzeeni..so vijana tuweni makini sana tusije tukajuta na kushutumu binadamu wenzetu kwa kutuendea mbio kumbe ni maamuzi tuloichukua ujanani sasa tunateseka uzeeni... 🇰🇪🇰🇪
@hopefully7090
@hopefully7090 2 месяца назад
Hana shida yeyote wema kama wanawake tunajua anashida gani Mungu amtangulie atoke salama
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 2 месяца назад
Ushauri makini kabisa na ndiyo msingi Kwa kijana anayejitafuta kuanzia. "Maana usipojua nini cha kufanya kwaajili ya Maisha yako basi, watu watakuchagulia nini cha kufanya kwaajili ya Maisha Yao.
@KajokaTanzania
@KajokaTanzania 2 месяца назад
Siku zote mna akili sanaa wakenyaa.
@hopefully7090
@hopefully7090 2 месяца назад
@@kakawamashariki8978 kama ni wema mnasema wema Hana shida yeyote bwana tafuteni lingine
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 2 месяца назад
Pole Wema,hata unavyoongea tu unaonekana unaumwa.Get well soon mamaa!
@stellahmhando5863
@stellahmhando5863 2 месяца назад
She is a mama to be😍
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 2 месяца назад
InshaAllah Kheri
@TesileaiaNestoly
@TesileaiaNestoly 2 месяца назад
Ila watanzania bn mbna kapendeza chuki tu,ooh kakonda saamuz yake uyo sio ng'ombe kwamba tutampiga mnada anenepe akonde not your business 😏
@hopefully7090
@hopefully7090 2 месяца назад
Shangaa na anaumwa tumuombee tuu avuke salama
@samehewaliokukoseya2605
@samehewaliokukoseya2605 2 месяца назад
Anamimba jo inayo musumbuwa❤
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 2 месяца назад
InshaAllah maneno yako yawe ya Kheri
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 2 месяца назад
Iwe hivyo jamani, Insha'Allah 🤲
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 2 месяца назад
I guess she is pregnant 🤰 now ❤❤❤👌👌👌🙏🙏
@FredinaFransis
@FredinaFransis Месяц назад
Nakupenda sana wema
@user-un5dm8gj7p
@user-un5dm8gj7p 2 месяца назад
Ajui kuongoza kibaka mwizi
@StellahErick-wx5tw
@StellahErick-wx5tw 2 месяца назад
Yan mekapu zenu mnanzizidisha Hadi kero me kuwa kama paka analamba manziwa kwenye sufuria kuwen jamni sipo siku Moja Moja jamn😮😮
@hopefully7090
@hopefully7090 2 месяца назад
Mrembo wangu na sura yetu haipotei
@merinakassembe118
@merinakassembe118 2 месяца назад
Mbona wewe umsikilizi. Mama yako wema
@MrishoRajabu-rx8zp
@MrishoRajabu-rx8zp 2 месяца назад
Inshaallah...one day
@user-ye4iy8jy2z
@user-ye4iy8jy2z 2 месяца назад
Age gooo
@JosephKingwere
@JosephKingwere 2 месяца назад
Jamn wema wangu mbona unazd kuisha hvyooo
@user-jn7do4wd6f
@user-jn7do4wd6f 2 месяца назад
Kafanya sajhar ndio mana ukamuona hivyo
@jeanclaudeakili2372
@jeanclaudeakili2372 2 месяца назад
Amesha fanana ZOMBIE
@hopefully7090
@hopefully7090 2 месяца назад
Chuki zako zinasaidia nini?
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj 2 месяца назад
Subhanallah Allah atakusamehe
@jeanclaudeakili2372
@jeanclaudeakili2372 2 месяца назад
@@OmanOman-vb4uj real? Ivi mimi namakosa gani kuongeya ukweli? Please kamuulize!
@jeanclaudeakili2372
@jeanclaudeakili2372 2 месяца назад
@@hopefully7090 hahahaha chuki yanini? Inauma tu,mademu mazuri huwa wachezea mwili wenu alafu tukiongeya eti chuki hhhhh
@sharifarashidy536
@sharifarashidy536 2 месяца назад
Sasa hv kimebakiii kichwa
@perepetuasenga3875
@perepetuasenga3875 2 месяца назад
😂😂😂
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 2 месяца назад
Wewe mala nyingi wema unachelewaga Sana kwenye invent nyingi. Ndo kawaida yako yani
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 2 месяца назад
❤❤
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 2 месяца назад
Bakhresa achana navpishy qyennaifanya nyota yako izidi kufifia,Brian alikupenda sana hata angeweza kusilimu bt huyo pishyqueen nidunga embe afadhali ungewalika kina kily na cheedy
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 2 месяца назад
Mbona mama yako tu umeshindwa.kumsikiliza unasema.unafata moyo.unasema nn😅😅
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
kachoka
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 2 месяца назад
na tuambiane ukweli...siku hazijawahi kurudi nyuma....
@hopefully7090
@hopefully7090 2 месяца назад
Kwani wewe uko hivyo siku zote?
@jeanclaudeakili2372
@jeanclaudeakili2372 2 месяца назад
Kasha towa mimba zaidi ya 5
@ShaniBihoiki-lx9jl
@ShaniBihoiki-lx9jl 2 месяца назад
Nikulize ulikuwepo alipo towa hizo mimba 😢muache kuwa mnakifuru buree ?
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 2 месяца назад
Duuh we ndugu wewe!! Kwani si binaadamu hai huyu !!kuumwa kukonda ni vitu vya kawaida katka safari ya maisha hizo mimba unazomkufuru ni dhambi zako ww
@hopefully7090
@hopefully7090 2 месяца назад
Na baraka za Mwenyezi Mungu atambariki tu
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 2 месяца назад
Ulikuepo? Ulimtuoa wewe? Shenz
@jeanclaudeakili2372
@jeanclaudeakili2372 2 месяца назад
@@BarbaraPatience-qt9cc hahahahahaha inauma???? Sasa ninyi mademu mumeshalaaniwa! Mimba munazozitowa lazma mulipuke tu kamamlipuko wakivimbe
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 2 месяца назад
Halafu mangers zako naona niwakati sahihi waluwsngoa coz hawako serious ,sound ilikuaje aubwalupokea rushwa waharibu show?
@Badvoice707
@Badvoice707 2 месяца назад
Wema watu wakielekea kuzeeka hawapunguzi mwili bali wanaongeza mwili wa wastani ili kuhimi magonjwa sasa wewe unakuwa kama bado uko kwenye ujana my kula vizuri fanya mazoezi kunywa maji mengi lala kwa wakati mwenzi tu my unipigie video call
@silverman6930
@silverman6930 2 месяца назад
What a fool you went late … better learn what protocol is about .:: and the make up… ooo my 😢
@hawasaid5286
@hawasaid5286 2 месяца назад
You can’t obey your mother who gave birth to you but you can obey her……. Just why you couldn’t continue with the interview…..
@user-hd7vt8fk5t
@user-hd7vt8fk5t 2 месяца назад
Kachoka kawa kijuso
@Mama-A
@Mama-A 2 месяца назад
If she's not getting old then her face shows all is not well
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 2 месяца назад
Anaonekana kama ni mjamzito
@hopefully7090
@hopefully7090 2 месяца назад
Kweli bifu sio issue
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 2 месяца назад
Mbagala rangi mbili 😅😅😅
@JosephKingwere
@JosephKingwere 2 месяца назад
Umeongea pwent waru wasgombne
@IbniAbbas-yz3kt
@IbniAbbas-yz3kt 2 месяца назад
Sio pwent ni point
Далее
WE LOST TAJI WAJESUS IN CAPETOWN 😭😭
48:38
Просмотров 29 тыс.
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
Просмотров 2,9 млн
▼НОВЫЙ FNAF (мы в пицце) 🍕
29:32
Просмотров 581 тыс.
GIGY AFICHIA SIRI YA JINA LAKE/MONEY NI BABA YANGU
3:09
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
Просмотров 2,9 млн