Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews RU-vid : www.youtube.com... #ChomozaTv#2021
Pokea upendo kutoka Nairobi Kenya. Mwenyezi Mungu akuzidishie neema. Nyimbo lako lime vunja mipaka, na mabano. Ume sababisha sifa kwa Mungu kwa wakati mgumu, kutoka roho wangu wa ndani. Ubarikiwe Kwa kazi njema na utumishi.
Sasa nikitu gani kimebadilika kwa mwili wako au ndani ya roho yako ili tujuwe kwamba kweli umeokoka??wanapenda kusema Yesu alakini ndani ya moyo hawana uwo Yesu😏😏😏😏
nani alikueka uwe unaangalia ndani ya roho za watu au miili yao kuwa mtu ameokoka au lah? Focus on your heart and spirit kama huyu Yesu yupo ndani yako au hayupo, acha kusumbuka na roho za watu!!!!
Je hapa wokovu wako wewe umefanya nn ?Yeye ameimba ninibada tosha na wengi tumebarikiwa.Wewe unaye sema nn kimebadilika umefanya nn?Biblia inasema hata mjinga akikaa kimya huesabiwa hekima.Learn to shut up if you don’t have anything important to say.Kaaa Kimya.Mithali 17:28.