Jaman mi najuwa anaemchezea mwenzake ni mwanaume sas kumbe wanawke nao wanachezea wanaume??? aje sumbawanga aisee tupo weng tuliotulia... karibu sana mpedwa katika bwana...... WAEBLANIA 11....1
Masanja unakuwaga na utani usiokuwa na busara kabisa nililidhibitisha ilo kwenye interview ya nabii shilaa make up your mind brother kama umeokoka kweli
Kelvin Meleji Asante kwa ujumbe wako ila tunapishana mitazamo, so usitake mimi nifanye hivyo unavyotaka ila wewe unaweza mtafuta nabii na ufanye naye UTANI WENYE BUSARA. Mind your own business kama umeokoka kweli😀🙄🙏🏾
Niseme tu kwa Mr masanja nakubali kazi yako lakini kukuweka sawa nafkiri si kosa kwasababu MTU asiependa kupokea ukweli uwa awezi kufanyikisha vitu vingi ili ujue ni lazima pia ujuzwe that is how its