Chadema, kwa issue ya Mbeya, rpc na viongozi wengine wastakiwe km wao kwakutumia vyeo vyao vibaya. Shida ni kesi ngedere unampelekea nyani,hapo hakuna haki
Mama asante Kwa speech nzur hawazezi kufanya uchaguzi wa haki hawatuwezi Sisi wengine tulisha Acha hata piga Kura kwajir ya ujinga unaoendelea kwenye hii nchi Ila poa Tu ipo siku
Pole sana dada na Mama zetu kwa kudhalilishwa na polisi vijana na kukanyagwa poleni sana, ni aibu na pia wamemdhalilisha zaidi Sana Mama Daktari Samia Suluhu Hassan mpenda Amani Kwa Watanzania wote
Watu wa Zanzibar ndio wanaijuwa vizuri Tanzania maana kila miaka mitano wanauliwa vibaya watoto, vijana na wanawake kuliko mlofanyiwa nyiye kwa siku moja au tatu bado hamuwajuwi wa Tanzania - CCM waulizeni Zanzibar. Magufuli kafanya mabaya sana Zanzibar.
Kwanza nianze na Polisi maskini Maisha yao yanatia huruma Kota hamna , zikiwepo sasa ni zaidi ya Choo Ukiacha rushwa mnhekufa njaa Serikali mnajidharirisha sana Mnatumia gharama kubwa kukandamiza watu wenu kwa kodi zao kweli Hizo hela si mngepeleka kwenye mahitaji watu wangewaelewa Bora mwendazake alikuwa anabana lkn maisha tuliyaona jamani 😢
Poleni sana dada yetu mwenye hekima kutoka kwa Mungu mwenyewe, naomba mtuunganishe Watanzania wenye mapenzi mema tuingie kwenye maombi ya mfungo wa siku saba kisha kwa imani zetu tutoe sadaka tumlilie Mungu juu ya Taifa letu Hakika hatanyanaza
Poleni sana wana chadema CCM wajitafakari polisi wajitafakari pia mimi nawaasa viongozi vijana wa CCM waache kutumia ubabe kejeri hakuna aujuae kesho yake
Mikoa yote,Nchi nzima wananchi ni kilio tupu kwa mamlaka na dola kisa mbunge teule wa mamlaka-Tulia Akson, Nani atatufuta machozi haya zaidi ya serikali😢 inayoyanyamazia?!. Watapewa nguvu ya kutenda uovu huu kwa taifa mpaka lini?
Hawaelewi shida zao maana wengi wao ni form failures walioingizwa ktk Hilo jeshi kwa njia zisizo halali. Hivyo Havana Weledi wowote katika kazi waliyoajiriwa kufanya
Tangu rais Magufuri atangulie mbele ya haki wa Tz tupo kama watoto yatima ambao hawana baba wala mama,tunajua mtoto akibaki na mama anakuwa mikono salama lakn kwetu HATUNA MAMA,Mungu atusaidie🙏
Hii ya magari kupeleka wanachadema had Dare salaam huku Hospital,tunadaiwa,hella ya diesel, Asante v swebe, Asante hii show,karai la kujengea police hii c y chadema hd wa jukuu wataendelea Mfalume DAUDI atasimama Asante swebe,
Police ni sehemu salama km watu wanepoteza vitu vyao hao ni vibaka sio police ngoja tuongee kazi ya police kimataifa na kitaifa kukamatwa na vitu kupotea mikononi mwa police tunawezaje kusema ni police ni vibaka kwa nguo za police wezi sjo police embu tuangalie nchi km Kenya Zambia Malawi Botswana Namibia sauafrics Zimbabwe jinsi police wanavyofanya kazi Hawa sio police vibaka ktk nguo za kipolice tusiite police sababu police ni sehemu salama hao ni vibaka kwa nguo za kipolice
Daima mwenyezi mungu husimama na wanao teteha haki na ukwell ipo siku malipo ni hapahapa hakuna atae kufa bila kuripa Kwa ubaya alio ufanya CHadema pipoziiiiiii
Poleni sana Dada yangu, viongozi wetu tulionao hawana hata fikra mbadala ni sifuri kabisa akiambiwa kitu kabla ya kuitikia na kutafakari kama ni sahihi na haki kutenda?hiyo tunasema ni buldness Obedience bila kutumia akili ya kuzaliwana bila kujiongeza.