Jack hawezi kufanya kitu kama hicho yule mai ni njaa inpeleka mbio..mama p achana nae yule mtu mza hajijui ni vimelea navyo ni tatizo kwake msamehe bure😢😢
Usitegemee kupiga tu yote yanawezekana ukapigwa vibaya ww unayejipanga kufanya hivyo ,bora mungu aliyekuepusha ,mihemko sio poa ,kilaumiwe kipindi au mai,msimlaumu mai,fikiria kuomba kipindi cha ICU siyo mai,huyo yote pia mmechelewa kuolewa ss mai mai hapana