Тёмный

QUEENMASANJA AFUNGUKA KUICHUKIA NDOA NA DR MWAKA/SINA MAHUSIANO/NATONGOZWA/KUIMBA NA ZUCHU/HARMONIZE 

Carrymastory
Подписаться 465 тыс.
Просмотров 44 тыс.
50% 1

Tumepiga Story na Queen Masanja

Развлечения

Опубликовано:

 

4 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 124   
@Yness-vh4yy
@Yness-vh4yy 10 месяцев назад
Some how Queen anafanana na Zari the boss lady!
@gabbyhenrgy1157
@gabbyhenrgy1157 10 месяцев назад
Sanaaaaaaa
@user-zt3et5kl5m
@user-zt3et5kl5m 10 месяцев назад
Wanafanan kabisaa ila hutu dada kamzidi zari kwa uzuri asee
@Kakwasi
@Kakwasi 9 месяцев назад
Halafu yeye ni mnatural kila mahali
@rahmaoman470
@rahmaoman470 10 месяцев назад
Uyu dada anajielew sana Allah akujaliy kweny kaz zko na akutunze 🥰🥰
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 9 месяцев назад
Anajielew nn? hakuna checho te hapo, huyo kunamtu nyuma yake ukitaka kujua hilo sikiliza majib anayo yatoa kuhusu ndoa akitoka kwa mwaka kwa sababu tayar alijua anapo elekea
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 месяцев назад
Inshallah mungu amsaidie huyo dada mie Huwa nampenda sana mungu amuongoze apate mume mwema nikiwa kama mzazi mungu akubariki kipenzi
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 10 месяцев назад
Nampendaga huyu Dada Ni Queen kweli kam jina lake yuko very classy feminine yan huwa nawmanglia sana anatufundisha waweza kuvaa classy na ukapendeza mzuri bila kuonesha sana
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 10 месяцев назад
Wewe mzuri sana mwaka alikua mnyanyasaji uyo
@MatildsChami
@MatildsChami 10 месяцев назад
Kwakweli nakukubali sana na najifunza kupitia wew sana natamani nipate mawasiliano yako Mungu akulinde daima
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 10 месяцев назад
Mama safi 🎉
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 10 месяцев назад
Queen NAKUPENDA SANA. ULIPITIA MAGUMU❤❤SASA UNA LIFE YKO MUNGU AKUONGOZE. UR SO BEAUTIFUL
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 месяцев назад
Uyooo NIII original ❤🎉🎉
@CalisternongiHaule-vk6ch
@CalisternongiHaule-vk6ch 10 месяцев назад
Kunabaadhi ya watu ukiachana nao katika maisha milango lazima ifunguke
@user-nd8gg4ig7m
@user-nd8gg4ig7m 10 месяцев назад
❤❤❤❤❤natamani nikupe zawadi umenigusa mno
@iddymohammed1890
@iddymohammed1890 10 месяцев назад
milango ipi mzeee?? unadhani ni yeye hapo au unadanganya watu waachane na sehem sahihi walizopo waige kutoka kwemye ndoa waje warande mitaan... huyo ni mtu mzima saiv kutangaza mapensi mapaja nje haina maana na huo sio uhuru.. msikilize vizur yeye mwenyew anachoongea usipoteshe watu.. NDOA ni kitu cha heshima sana subiri uoe au uwe na mtoto aolewe then itokee aachike ndo utajua vzr pia kama huna cha kusema kaa kimy ni bora zaid kwako anasema hafikirii tena ndoa ila ana mahusiano ya kawaida, je wewe ungependa mwanao awe kweny ndoa au mahusiano ya kawaida?? SHIRIKISHA AKILI KABLA HUJANYANYUA ULIMI WAKO UKAJIFANYA UNA INSPIRE SANA
@matridamwandambo9656
@matridamwandambo9656 10 месяцев назад
Kabisa mm nilikuwa na mpenz toka niachane nae 😊😊❤❤❤walah na enjoh
@monicaissah5662
@monicaissah5662 10 месяцев назад
​@@iddymohammed1890mmmh ayo simaoni yake
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 10 месяцев назад
​@@iddymohammed1890umeongea maneno mazito sna ila madada wa uko wnawaza uhuru wa kujitofikiria kuna kesho yke ndio hao
@salimnassor3212
@salimnassor3212 10 месяцев назад
what a germ huyu ni mwanamke ukisikia anavyojibu na alivyo muonekano kitabia anastahili heshima nimempenda sana
@marryeliasmarryelias9289
@marryeliasmarryelias9289 8 месяцев назад
Nakupenda dear sister queen ❤❤
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 месяцев назад
Mimi nampendaaa yaaaan sisemiii NI mkweri. SANA.❤❤❤❤
@ashamonamachicha8653
@ashamonamachicha8653 10 месяцев назад
Allah akulinde na kila unachopamba
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 26 дней назад
Mungu akulinde malkia wang uish sana
@Kakwasi
@Kakwasi 9 месяцев назад
Very beautiful mama
@omanqqwe4061
@omanqqwe4061 24 дня назад
Nakupenda sana dada
@user-ex6kk5jb4y
@user-ex6kk5jb4y 8 месяцев назад
Love😂 U so much my dear unatia moyo sana ww dada ujui tu
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 месяцев назад
Mzuri SANAAAA Jamani khaaaa
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 10 месяцев назад
Huyo mtangazaji hana adabu,mbona anamusogelea huyo dada kishenzi hivyo?Na hayo maswali yake mengi ovyo ovyo tuu.
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd 10 месяцев назад
Hivi kwelii hata kama amekuzidi umri una ubavu wa kumkata? Ni hatarii sana huyo
@JeniferMassawe-lu3de
@JeniferMassawe-lu3de 10 месяцев назад
Mzuri sana
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 10 месяцев назад
Sana wanaume wanatuchakaza ingawa sio wote
@jojotz1210
@jojotz1210 10 месяцев назад
❤❤❤🎉🎉🎉😊
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 10 месяцев назад
❤🔥
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 месяцев назад
Nyie WAACHENI USHAMBAAA. WASWAHILII WAKUBWA. UYO BINTI SIO MZEEE LOOOO NA NGUO AU MAVAZI AYANA UZEEEEE. SIO MKUBWA NA SIO MZEEEE DUUUU WABONGOOOOO
@happynescostat7420
@happynescostat7420 9 месяцев назад
Ongera dada!
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 10 месяцев назад
Wow mom🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪
@rudiaeliakim2172
@rudiaeliakim2172 10 месяцев назад
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@lindahjoseph8360
@lindahjoseph8360 10 месяцев назад
You look like mama tiffah
@user-zn3un8gs3d
@user-zn3un8gs3d 10 месяцев назад
Dada naomba mawasiliano nataka kununua nguo unazitangaza nipo huku Iringa
@fedhandunga5935
@fedhandunga5935 10 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@kombakomba7922
@kombakomba7922 10 месяцев назад
Una damu ya nguo,in short unapendeza Sana.
@marryeliasmarryelias9289
@marryeliasmarryelias9289 8 месяцев назад
Mungu akutunze wewe na wanao
@Kakwasi
@Kakwasi 9 месяцев назад
WAOH WAOH.
@nassirsalim6679
@nassirsalim6679 10 месяцев назад
Ila dada mgumu kukubali uyu mm pia mmoja wapo narusha msg sana 😅😅😅
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 10 месяцев назад
😂😂😂😂
@issazalala4907
@issazalala4907 10 месяцев назад
Umri ukienda isia zina pungua yupo Sawa
@jacklineanthony5191
@jacklineanthony5191 9 месяцев назад
Napenda majibu yako
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 10 месяцев назад
Dr mwaka alimpuuzia mwanamke mwenye hekma na akili
@MohonoMwita
@MohonoMwita 8 месяцев назад
Unatafuta kiki lakini huna jipya kama umeachana na mwaka kwanini bado unamoongelea mitandaoni huna akiri ila punguza maneno kwenye mitandao
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 месяцев назад
Abaya zipo hadi za 30000 kwani.lazima za pesa ndefu mbona sie tunavaa na hatujachujika😅😅
@munirahassan5969
@munirahassan5969 10 месяцев назад
Mnunulie
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 10 месяцев назад
Wapi na Mimi nikanunuwe mpendwa
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 месяцев назад
@@rithadonatus8110 zanzibar
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 месяцев назад
@@munirahassan5969 kwani mwanzo.alipokua akivaa nilimnunulia mm?
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 10 месяцев назад
Endeleeni kuvaa shida iko wapi kwani ye akivaa akitakacho we na familia yako pia vaeni hizo abaya
@happypetro2948
@happypetro2948 10 месяцев назад
Kama dokta mwaka anammezea mate hapo
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 10 месяцев назад
Piga kazi dada uachane na ndoa kwa sasa
@welcometoeat165
@welcometoeat165 10 месяцев назад
Roja anajarb kutupa ndoano
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 10 месяцев назад
Afu ni lika la zar uyu ila zar kujikana sasa
@user-ix9rn5yh4l
@user-ix9rn5yh4l Месяц назад
hakuna zaidi ya ushabiki wa kidini
@MwandigaRuhobe-fm3it
@MwandigaRuhobe-fm3it 10 месяцев назад
Unaumbile la kapendeza bala
@khadjamhozya
@khadjamhozya 10 месяцев назад
Na picha ya hamo na zuchu imekukaje, harafu watangazaji wa mutanzania Ni mpenzi tu kuriko aanze na Swari la maana anaanza na mpenzi😂😂😂😂😂
@farida4595
@farida4595 10 месяцев назад
Mm nlipoona picha ya hamo ndio nmekuja kumbe hkuna kinachoendlea
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 месяцев назад
Wasukuma wazuri jamani
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g 10 месяцев назад
😂😂😂😂hujawaona wengne ww,mdomo koma😝
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 месяцев назад
@@user-uo6bo3ph6g huwajui wasukuma
@suzanlucas9493
@suzanlucas9493 9 месяцев назад
Tuko wazur mno
@JafariAbdallah-ot9gp
@JafariAbdallah-ot9gp 9 месяцев назад
Dunia imechukua chake hapo
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 8 месяцев назад
Ulikua unataka kuvua stara tu sio?? Uko huru sasa uhuru wa kishetwan
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 месяцев назад
Huyu mwanamke ame change sana masikini roho yake alikuwa mtu mwenye kujistiri asaivi amekuwa upande wa shetani
@munirahassan5969
@munirahassan5969 10 месяцев назад
Mkiritu uyu dada.
@zayanazayana5353
@zayanazayana5353 10 месяцев назад
Ni Wanaume Wajinga Wanasababisha hayo Mwanamke Anakubali Kusilimu Anakufata kwnye Dini yko Anakuzalia Watoto Jicho lke linakuangalia ww vp Aishi Matokeo yke Mwanamme wnyw Bilisi hana hata kimoja anachokift kwny Dini yke wl hana Mapenzi Wengi Wanard kwny Dini zao na Watoto wao kw sbb ya Ufisadi Wanaukuta
@happymarwa4517
@happymarwa4517 10 месяцев назад
Utashangaa wewe unaingia motoni yeye peponi
@wardamohamood
@wardamohamood 10 месяцев назад
Mungu mtu
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 10 месяцев назад
Mbona sioni ziwa hapo wala mguu wala uchi mbona kavaa kieshima sana mwenzio anafanya kazi watoto wapate kula
@user-us8gy5pz6w
@user-us8gy5pz6w 10 месяцев назад
Jamani mdada mzuri Mashallah alikuwa akivaa hijabu mwenyewe alipokuwa na Dr sasa kavua Mungu ajaalie wasuluhishe waendelee kuwa pamoja rudianeni jamani
@kazkaz1943
@kazkaz1943 10 месяцев назад
Hata alipokua na dr mwaka alikua havai hijabu muda wote alikua anavaa akienda kwenye interviews ila muda mwingi alikua anavaa kichwa waz n jeans michaniko
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 10 месяцев назад
Ulikuwa humfatilii wewe wakati anaishi SA... Alikuwa anavaa vinjunga kinyamwez nouma
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 10 месяцев назад
Warudiane ili iweje
@happinesshezron6633
@happinesshezron6633 10 месяцев назад
Mwache aishi maisha yake ya furaha.
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 месяцев назад
Anatafuta mabwanaaa huyo Hana lolote kaishiwa na umri huo Hana aibu!!!!
@ahmedbashash3672
@ahmedbashash3672 9 месяцев назад
Umalaya tu ndio uzeeni
@Kakwasi
@Kakwasi 9 месяцев назад
Ni mzuri ni mrembo. Tena huyu sio muislamu tena
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 10 месяцев назад
Dr mwaka kaachia chombo kizuri alikua mshauri wa ndoa yule
@shaaden-
@shaaden- 10 месяцев назад
Ila dada usirudi kuva vile vinguo vifupi miguu yako hairuhusu😢
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 10 месяцев назад
Mbona anapendeza sana
@khadijajuma6271
@khadijajuma6271 10 месяцев назад
Anapendeza mnoo acha makasiriko t
@winnerlucas5924
@winnerlucas5924 10 месяцев назад
Miguu yake haipendezi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 weeeeeeeeee
@shaaden-
@shaaden- 10 месяцев назад
@@khadijajuma6271 acheni kumdanganya
@Kakwasi
@Kakwasi 9 месяцев назад
Miguu kapewa na Mungu. Unataka aombe ingine wapi. Ukona miguu ya kumpa
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 месяцев назад
Hana lolote....
@abdulrahmanhussein8719
@abdulrahmanhussein8719 10 месяцев назад
Wewe unalo?
@wardamohamood
@wardamohamood 10 месяцев назад
Kama wew tu
@winnerlucas5924
@winnerlucas5924 10 месяцев назад
Nyoooooo
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 месяцев назад
Namuonea huruma sna maskini Sasa amekua anajinadi mwili wake mpka no ya simu anatoa hakika amepotea mungu amuongoze alikua amestirika kwa mwkaa umri wake umeenda anajinadi huyo Hana lolote hata kama mzuri sio sawa anachokifanya ni uchafu mtupu!!!!anatafuta wanaume wenye pesa Hana lolote huyo....
@queenmollel6739
@queenmollel6739 10 месяцев назад
Wewe nawe makasiriko tuuu, amesitirika wakati alikuwa ananyanyasika wewe kama umezoea mateso sio wote wanataka ,
@queenmollel6739
@queenmollel6739 10 месяцев назад
Unamuonea huruma wewe kama nani, unadhani anatangaza biashara za sh mbili, za mamilioni acha ujinga maisha ni mtandao funguka
@glory.patrickkitigwa4564
@glory.patrickkitigwa4564 10 месяцев назад
Vipi huwa mnadanga nae mbona unamzungumzia as if unamjua sana😅
@glotysadiki3425
@glotysadiki3425 10 месяцев назад
Acha makasiliko ww ndouna lolote
@wardamohamood
@wardamohamood 10 месяцев назад
Nenda wew basi uko kwa mwaka mbona mnapenda kuingilia maisha ya watu
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 месяцев назад
Mwaka alikuzeesha nahisi umeondoka na nyota yako maana siku hizi hasikiki
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 10 месяцев назад
Ata post Sion skuhizi😂
@florangido202
@florangido202 10 месяцев назад
Ni kweli kabisa
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 10 месяцев назад
Hataki tu malumbano baba wa watu kaamua kukaa kimya huo ndo uungwana...hongera Dr. Mwaka kwa kukaa kimya...
@HappyMakoga
@HappyMakoga 10 месяцев назад
Queen bado kijana hana utuuzima jamani bado sana nyie mnajua mtu mzima nyie
Далее
Всегда проверяйте зеркала
0:19