Anajielew nn? hakuna checho te hapo, huyo kunamtu nyuma yake ukitaka kujua hilo sikiliza majib anayo yatoa kuhusu ndoa akitoka kwa mwaka kwa sababu tayar alijua anapo elekea
Nampendaga huyu Dada Ni Queen kweli kam jina lake yuko very classy feminine yan huwa nawmanglia sana anatufundisha waweza kuvaa classy na ukapendeza mzuri bila kuonesha sana
milango ipi mzeee?? unadhani ni yeye hapo au unadanganya watu waachane na sehem sahihi walizopo waige kutoka kwemye ndoa waje warande mitaan... huyo ni mtu mzima saiv kutangaza mapensi mapaja nje haina maana na huo sio uhuru.. msikilize vizur yeye mwenyew anachoongea usipoteshe watu.. NDOA ni kitu cha heshima sana subiri uoe au uwe na mtoto aolewe then itokee aachike ndo utajua vzr pia kama huna cha kusema kaa kimy ni bora zaid kwako anasema hafikirii tena ndoa ila ana mahusiano ya kawaida, je wewe ungependa mwanao awe kweny ndoa au mahusiano ya kawaida?? SHIRIKISHA AKILI KABLA HUJANYANYUA ULIMI WAKO UKAJIFANYA UNA INSPIRE SANA
Ni Wanaume Wajinga Wanasababisha hayo Mwanamke Anakubali Kusilimu Anakufata kwnye Dini yko Anakuzalia Watoto Jicho lke linakuangalia ww vp Aishi Matokeo yke Mwanamme wnyw Bilisi hana hata kimoja anachokift kwny Dini yke wl hana Mapenzi Wengi Wanard kwny Dini zao na Watoto wao kw sbb ya Ufisadi Wanaukuta
Jamani mdada mzuri Mashallah alikuwa akivaa hijabu mwenyewe alipokuwa na Dr sasa kavua Mungu ajaalie wasuluhishe waendelee kuwa pamoja rudianeni jamani
Hata alipokua na dr mwaka alikua havai hijabu muda wote alikua anavaa akienda kwenye interviews ila muda mwingi alikua anavaa kichwa waz n jeans michaniko
Namuonea huruma sna maskini Sasa amekua anajinadi mwili wake mpka no ya simu anatoa hakika amepotea mungu amuongoze alikua amestirika kwa mwkaa umri wake umeenda anajinadi huyo Hana lolote hata kama mzuri sio sawa anachokifanya ni uchafu mtupu!!!!anatafuta wanaume wenye pesa Hana lolote huyo....