Utovu wa adabu hauhusiani na upole wa mtu, kwani Aslay si mpole mbona amesafisha mtaro, hao wapole ndio waogope na huyu Kimapunju ni mshenzi tu, dume zima micheni kama mama yake mpuuzi, kisha eti msanii kioo cha jamii hovyo kabisa😭😭😭😭
Mama Yuko Sawa, Ile ni kazi kweli lakini si kwa kukaa uchi vile, hata utamaduni wetu unapinga mtu kukaa uchi hafharani, kwani angevaa vizuri Na kushikwa kiunoni bila kuonyesha chupi mziki usingepigwa. Lindeni heshima ya mwanamke
Ile ni kazi lakini sio kiwanda Cha mikate au soda Ile ni muziki na muziki una hayo mambo so yule mama na yule make wote ni washamba ningekuwa Mimi ndio Barnabas naacha huyo make akaolewe na sheikh kenge
Wacha kuwa muoga kaka jiamini kazi yako ndio maisha yako ivyo Wala usijali akipenda kweli atarudi hila kaka hapo una mkwe mama mkwe amekuwa ndio sema wa ndoya yako anapenda san kunyenyekewa. Kuwa makini na mama kimbo watakuendesha.
balnaba wewe acha utani jina la Muhammadi nikubwa saana mungu akupe subra ushinde mtihani huo kikubwa mtafute shekshe walidi akupe mawaidha yule Hana ubaguzi japo waimba mziki atakupokea mungu aku simamie uwe muisilamu mpaka mwisho wa uhai wako utamke shahada ameen
Ndio maana move zentu zinakuwa kama JoJo SKU kadhaa znaisha utamu Kwa sababu hazina uharisia Pia haina haja ya kwenda kumuomba msamaha sjaona cha ajabu kabsa Ile ni kaz kama KAZI na ndio maana hatuend intonation na tukienda kwenye mashndano hatufuki mbari
Kaowa na mm aliniletea kadi ya harusi nikaenda na barnada anapenda tu dini ya kiislam toka mwanzo ht mm nikivaa mabaibui hupenda mavazi yetu na ht dada yk mdogo wk wote wameslimu sio peke yk na sio kwaajili ya mapenzi ila watu hawajui tu
Daaaaaaaaah ndo huyo mm Sasa niwe barnaba, yaan ningemsindikiza na taraka moja kw moja na mama kimbo nae kama haeleweki na taraka pia nae Nampa kudaaaaadeki
Punguani mmoja ww anabadilisha dini jimwanaume zima ovyo..mwanamke ndo angebadili dini sio ww .ndo mana umekaliwa hadi na mama mkwe utanyoshwa hadi ulaumu kubadili dini
Ndoa za mitandaoni zinamambo na vijimambo cjui nilazima vitu vyao kuweka hadhalani haina maana kila Mara kudhalilishana hivo Mambo mengine niyakifamilia wanatakiwa kuyamaliza Kama familia kimyakimya mitandao sio lazima kujianika kwa kila kitu kinacho endelea kwenye familia jamani
Yaaani Mwambieni kakata tiketi ya tren halafu badala ya kuingia ndani ya akae kwenye sit akandandia kwenye kichwa Cha tren kitendo Cha kwenda kubadilisha jina na na kuitwa Mhamad du hapo tayari kaharibu kila kitu sababu mwanaume hakutoks kwenye ubavu wa mwanamke so yeye sasa analala ukutani mwa kitanda Yaani mama mkwe anspangia aimbe au achazaje du hapo anaenda kupata anguko. Atapiga mswaki bila dawa.Nampa pole
Ningekuwa Barnaba asee nisingemrudisha binti yake na huyo mama moja kwa moja mm ningetoa talaka maana ushenzi mwingine ni upuuzi kwani huyo mke wake na huyo Barnaba hajui kazi ya mume wake?
Ndio maana ukienda kuowa angaliya tabiya za wakwao .uyu kijana alijidabganya kabisa sababu anaadqbusana.mama mkwe wala hana dini kabisa .ila namuomba Barnaba usiache uislam
Ww una makosa bande zote kwa mkeo na kwa yami mkeo mwenyeo ana randa uchi na mbona humzui na uwache tabia ya kupiga picha za uchi ww una watoto wana kuangalia una fundisha nini kizazi chako
Barnaba jubadilisha dini sio kwasababu ya mwanamke bali nikwasababu kaijua haki na kaijua Dini ya kweli na mungu wakweli na wakurudiwa kwahaki bila kushirikishwa na kiumbe chocolate mungu ambae hakuzaa Wala kuzaliwa Hana mwana wala mjomba yeyetu ndio alie umba mbingu na aridhi
Kwahiyo hakujua Kama mkwewe ni msanii??!!huyu mama jamani hao cwanae,kwann akubali kuongea hayo kwenye kipindi,makubwa jongo,hiyo sio biashara tena hakuna MZIKI hapo,kupangiana Tena??!!kiuno ndio kimemuuma aisee,akiangalia mwanae kiuno chake hakifanani na kile 🤣🤣hasiraaaa
Muziki wa kitanzania upo kisenge kisenge yani serikali utazani ndio wenye muziki ... Kumamake yani kama mimi ndio Barnabas naacha yule mke kabisa aendelee kukaa kwa mama yake ni usenge tu ... Wacheni muziki uongee
Kwakweli huaga nashindwa kuelewa, hivi kuna uhusiano gani kati ya sanaa ya uimbaji uvaaji wa chains, kusuka, kuchora tattoos, kutoboa pua, kuvaa herini na upuuzi mwengine, kwani huwezi kuwa kawaida na ukawa msanii mzuri? mbona mambo ya kipuuzi kwa hawa waitwao eti vioo vya jamii umekuwa mkubwa hivi, kwani watu wanapenda machains, maherini au kazi zako? mbona hawa wapuuzi saiv wamekuwa ovyo hivi, hivi vizazi vyao vitakuwaje?