Тёмный
No video :(

UBISHANI MILLARD NA FRIDA: KUOMBA RUHUSA KWA MPENZI WAKO NI SAWA? KAMA MAJIZO NA LULU 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 41   
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Месяц назад
Mwanamke hawajibiki kulisha familia, kulipa ada na zingine vingi, Ni jukumu la kila Mwanaume, na ndoa ili iwe TAMU , Mke awe mjakazi Kwa Mumewe na Mume awe mtumwa Kwa Mkewe
@EmmanuelMosha-n3n
@EmmanuelMosha-n3n 8 часов назад
Mna madini sana nyie watu🙏
@user-wh7gj9ug9s
@user-wh7gj9ug9s 3 месяца назад
Nimewapenda hamna presha na maongezi
@NANCYWARD488
@NANCYWARD488 3 месяца назад
Mke bora. Anapenda Mume na watoto pia. Lakini Hapiki kwa wakati. Watoto nguo za shule hazina usafi wa kutosha. Nyumba hata pazia hazina mpangilio. Vyombo usiku vinalala vichafu. Huyo sio Mama bora. Anampenda Mumewe Ana msikiliz Mumewe Hana hekaheka za Mtaani. Ham cheat Mumewe
@giztony2009
@giztony2009 12 дней назад
Shida ya huyu dada ni jeuri fulani ila wanaume hatupendi mtu wa aina yke na hata kaa aolewe ndo shida ya mwanamke mwenye kipato angekuwa nandy cjui ingekuwaje lakini bado naonaga nandy anamheshimu mume wake! Ipo hivi ww dada kuvuta bangi kusikufanye ujione upo sawa na mwanaume
@user-sv2uj8ty9p
@user-sv2uj8ty9p 3 месяца назад
True
@user-qy5qw1jv4s
@user-qy5qw1jv4s 3 месяца назад
Mimi naomba niongee kitu hapo kwenye swala ya kutafuta, mimi naishi marekani ambako wanaaminisha wanawake kua mwanamk na mwanaum ni sawa yaani 50/50 lakini likija swala la majukumu kisheria bado wanakuambia mali za baba niza wote lakini za mama ni zake hapo ndo utajua ni jukumu letu kutafuta so ukweli usiopingika ni kwamba ni jukumu la mwanaum kutafuta na sio la mwanamk, so kwa mwanaum yoyte anayejitambua ni lazima atimize jukumu lake la kutafuta na mama ni sehemu tu ya kuchangia kwa kile anacholeta baba.
@dianamlagwa9383
@dianamlagwa9383 3 месяца назад
Frida 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@aishajuma7813
@aishajuma7813 3 месяца назад
Ila nyieeh😀😀😀😀😀
@andreatutu6179
@andreatutu6179 3 месяца назад
Converstion yenu ni nzuri na ya kibabe, i love it
@vidovidox2632
@vidovidox2632 3 месяца назад
🔥🔥🎉
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 3 месяца назад
Frida ww unaendaga kutafuta kwajil ya familia unaweza
@user-sg6ez3cf1f
@user-sg6ez3cf1f 3 месяца назад
Millard unaonaje kuanzisha Moja segment inayohusiana na kuonyesha fursa mbalimbali za Ajira kwa vijana kupitia taasisi au makampuni au sehemu mbalimbali kuzitembelea kwa kuzionyesha kupitia kamera zenu
@user-sg6ez3cf1f
@user-sg6ez3cf1f 3 месяца назад
Asante!
@Madam255
@Madam255 3 месяца назад
Mnatafuta ajira hapahapa TZ ama wapi😂😂
@user-sg6ez3cf1f
@user-sg6ez3cf1f 3 месяца назад
Hata ingewezekana nje ya hapa MR MIllard
@Madam255
@Madam255 3 месяца назад
@@user-sg6ez3cf1f saivi uhaba wa ajira ni mkubwa sana kazi ndio zipo ila ajira amna
@drcharlestz
@drcharlestz 3 месяца назад
Wazo zuri @millardayo njoo uone
@goodluckabdul7316
@goodluckabdul7316 3 месяца назад
Nakukubali sana Frida
@gloryprotas1043
@gloryprotas1043 3 месяца назад
Mm nilienda zanzbar hata nyumban sikusema nilisema baada ya miez miwili tena nikasema mm sahv sipo tena tanga nimepata connection kwamwalim wangu wa chuo tna nilituma mesej fullstop😅😅😅😅
@joshemman520
@joshemman520 3 месяца назад
kuna tofauti ya matunzo na malezi....mfano kumpa mtoto shule bora, chalula na hata mavazi hamaanishi ndio malezi bora hapo ndio utapata mume bora ambaye sio baba bora
@MosessMaganga
@MosessMaganga 3 месяца назад
Yani vido mumebora ni mtu Ambae anakupenda ww saana kila ukitakacho unapata ila tuu ukisha Kua na ujauzito uliofikisha miezi Saba anakua mvivu kwakoTena ukijifungua tuu ndio anakuja nyumban kwa mwez maramoja ukweli apo anasua sua kwa majukum uzazi ndipo seem ya matumizi mengi ya pesa,
@user-tf5mm2fn3p
@user-tf5mm2fn3p 3 месяца назад
Mpenzi ,wazazi. Kote huombi ruhusa. Adabu 0
@Madam255
@Madam255 3 месяца назад
Mimi natoa taarifa pia😂😂😂
@khamisshee803
@khamisshee803 3 месяца назад
Frida mjinga Sana 😂😂😂 Ati mume anazaalisha njee ale mtt apate kuambia c mke Bura nimeipenda Sana AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@lovesallu5292
@lovesallu5292 3 месяца назад
Ujue ruhusa Unaeza kataliwa🤣😁inshort natoa taarifaa
@pascalmgassa8441
@pascalmgassa8441 3 месяца назад
Huyu dada Jeuri hafai kuwa mke Ana kiburi
@joesimba
@joesimba 3 месяца назад
7:27 "mhhh na ni very ok" 😅
@hellenmroso6786
@hellenmroso6786 3 месяца назад
Eti mke bora awapende mawifi😂😂😂
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 3 месяца назад
Yaani Frida unanichekesha😂😂 yu r such a genius kudadavua staffs
@spency2371
@spency2371 3 месяца назад
Na mm ni fridah kabisaa niko zangu kitaa napambana
@aggreyyonna5925
@aggreyyonna5925 3 месяца назад
Unavyo cheka kama ngumu😂😂😂😂
@user-nc4ko3qz7t
@user-nc4ko3qz7t 3 месяца назад
Rrida kanicheksh mwisha wa hii video yani kajitetea hawez leo watot wa shigaak❤😂😂😂😂😂😂hawez iy
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 3 месяца назад
Mi nilikuwa nimekaa muda mrefu single kwa miaka 4 nilipamua kuwa kwenye mahusiao jamaa akawa anataka nimuage hata km natoka nje ya nyumban yani hata km naenda beach 😂😂😂😂sasa bac mi hizo sijazoea kbs nimezoe nakurupuka km chafya huyoooo sasa akawaakinipigia namwambia sipo nyumban nipo kwa bro wangu nimelala huku😂😂😂😂anasema sinilikuwa uwe unaniambia km unatoka nilichomwambia we zoea tu na mie nitajitahidi nizoee kuupa taarifa km natoka
@user-nc4ko3qz7t
@user-nc4ko3qz7t 3 месяца назад
Ruhusu kwamzaz sio mpenz mpenz mpenz apew taarifa2 ili ikiktokea lolot ajue nilisem
@pascalmgassa8441
@pascalmgassa8441 3 месяца назад
Kiburi hicho
@user-nc4ko3qz7t
@user-nc4ko3qz7t 3 месяца назад
@@pascalmgassa8441 chanin wakat nimahusian sio wanandoa
@CarinEmil
@CarinEmil 3 месяца назад
Ka frida kana macho ya wizi aka
@gloryprotas1043
@gloryprotas1043 3 месяца назад
Wewe🤣
@user-wh7gj9ug9s
@user-wh7gj9ug9s 3 месяца назад
Kuishi ni kunyenyekeana
Далее
Azeeza Hashim - Sina Time Ya Kufurahisha Watu Sijui
20:30
HISTORIA YA MILLARD AYO NA SIRI YA MAFANIKIO YAKE.
52:04