Oya hyu mchambuz mbn yupo nondo nchi inahadhin y watu hii kwa nn hay tunayoyajua tusianze n viwanda vidog vidog huu ujuzi wenu hp SNS ujue n zaid y channel n chuo ss.
Africa hata ukiwa na ujuzi wako serekali ndio kitu cha mwanzo kukuekekea vikwazo tuna elimi ambayo kila siku inatufanya tuwe watumwa mtu unamaliza hadi chuo huna ujuzi wowote halafu ety mtu ujiajiri wao mbona hawajajiajiri africa hatutaendelea maisha 😂😂😂🙌🙌🙌
Tutatawaliwa mpaka basi utafikiri tuna laana Mungu atujalie sana ktk hili .pia tatizo tumeamini sana mawazo ya wenzetu kuliko yetu . Yani tungesomesha kizazi chetu Kwa nguvu ili kulinda lasilimali zetu .
Moja ya kitu kinaendelea kuiweka Africa nyuma ni mifuno mbaya wa elimu haina zaid ya ugumu lkn pia imekosa taswira ya kufikisha popote. Acha wenye elimu watukalie juu. Yaani nchi zote izo zimeweza kusimamiwa na nchi moja tu. Tumekosa ata uwezo wa kusimamia rasilimali zetu wenyewe.
Je! Pesa hizi za mkopo Tanzania ilizokopa toka Korea kusini,je! itatutoa ktk umasikini wetu? Bila kuweka rehani migodi yetu, tafadhali kumbukeni kumuenzi mzalendo wa kweli number , one, John Joseph Pombe Magufuli/yeye hakuweka nchi rehani ila aliingia mikataba upya ya win win situation/ccm oyeee! .
Kwenye gold sio madini yanayo kua peke ake sometimes yana kua mixed na Zinc wengine huita Sulphur na pale unapo taka kufanya purification uwenda ukakutana na madin mengine na dhahabu sio kama metal ni vumbi yani huioni kwa macho ni kwa uchache sana kuiona kwa macho iko kama chenga ndogo sana..
Hicho kikao naona ni nchi ya congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 itaendelea kuteseka na haitapata amani kamwe , kwa sababu karibu madini yote unayojua wewe yanapatikana Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC KWA HILO NASEMA TU PRAY FOR CONGO 🇨🇩🇨🇩 FREE CONGO 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, FREE AFRICA 🌍 TUTAUANA SANA WA AFRICA SISI KWA SISI
Viongozi wa afrika kazi yao kuitwa njee wakishaoneshwa mataa ya mjini na miji olivyo jengwa,halafu nakupewa Kula basi Washamba sana viongozi wetu wanatamaa sana
Ali msumbu soon una safari na mama samia. Unatufaa . Tz tuekeze kwenye elimu alafu wakimaliza wawezeshwe sio kukaa maskini. Jamani story za shalwadu sio tija tupoeni this is smart worlds 🌎 kusoma muhimu
Iasee watu wanachekesha sana yaan unachukua mkopo wa trilion 6 then ukishindwa kulipa unawabana wachimba chumvi na wauza mchicha wakupe kodi, viongozi wetu wakiitwa na wazungu wanaenda mbio kwanin kama wao wanahitaji madin wasije ? EE Mungu ikomboe Africa! It is a shame
Aisee, tulishindwa kuwa na mikakati mathubuti na sisi tungekuwaga tumepiga hatua laiti tulingewekeza ktk elimu inayoendana na rasilimali tulizo nazo. 😢😢
Hata dhahabu ipo ambayo inakuwa yenyewe ambayo siyo nyingi sana. Dhahabu nyingi ni ile inakuwa kwenye aina nyingine ya madini hasa copper, Sulphur , silver, iron n.k so unapoitafta dhahabu ya aina hii huwa kuna chemicals maalum kwa ajili ya kuitenganisha dhahabu na madini mengine. Mfano sodium cyanide ndiyo chemical inayotumia zaidi
Sisi waafrica tunaupungufu mkubwa tumekwamia wapi akili au mbona wengine wamejikwamimua hawana madini wapo ukiangalia wanaweza Kwa watu wao eti Sisi tunasoma kivipi au ni kujifunza kusoma Tu sio kujua mambo Sisi tumekalia kuzaa tu ndio maana kila nchi zinakimbilia huku .
hiv vtu waliumbiwa wazungu sis waafrika tuliwekwa juu ya ardhi kama mapambo2 hatuna uwezonavyo hata kama tukiwanyma tutavipeleka wap jaman? acha tuwauzie watupe vioo nas tuwape madin yote kwayote sis tuendelee kuwatawala ng'ombe,mbuz,kondoo,punda pamoja na ndge maana ndo uwezo wetu unapoishia🖐🖐🖐
We una akilii sasa awa wasomii siwanaenda kusomea au jitambue ww chizii Nye Lele alipeleka majeshii kwenda kujifunzaa namna ya mbinu zakijeshii walienda na wakaludii Sasa ww mweuuu una ongea nn
Huyu mkorea kusini hana hizi fedha huyu anayefanya haya ni mmarekani ampitia mrango wa nyuma ili kupata mali gafi baada ya kugundua kuwa afrika mnaichukia marekani sasa sisi afrika hata kufili kidogo hamna ni kusifia tu acheni ujinga kila siku tunaona marekani amewekeza vitu vingi pale anashindana na korea kasikazini
Duhh apa tatizo ni mfumo wetu wa elimu, yaan chemistry yetu na physics yetu kuanzia form 1 hadi six inakufundisha story tu za hivi vitu ..je unavipataje, unachimbaje utatumiaje kutengeza hizi kuwa katik usable product , hamna 😂unajkuta unajua element zote 128 kwa majina tuh na story
Africa ni gereza kuu waloliandaa watu weupe, na wakuu wa gereza hilo ni watu weupe,, wanaosimama kama manyapara ni viongozi wa africa,,, alitabili baba etu nyerere.
Shida ya Africa tumehasi asili yetu hatuwezi kuwa na maendeleo kama tuko busy na bible ukikuta mtu ana hogea na mababu mnamuhita mchawi siku mtastuka basi Africa tutakuwa matajiri
Tatizo la viongozi wetu wa Africa hujali matunbo Yao tu,wewe ulishaona wapi viongozi wa ulaya wakatunza pesa zao Africa,viongo wa Africa tumelahaniwa na Nini hatuhulumie bas,
Viongozi wa Africa hawajielewi maana wenye shida ni hao lakini yanakusanywa kama mazao kuwafuata hao wenye shida kukopeshwa makaratasi wao wanachukuwa mali zetu....Mama yeye ni kukopa wala sio kusomesha watu ili waje kutusaidia kuunda viwanda lkn mikopo tu 😂😂😂
Mwanetuu MASUBII una umechukuaa degree gani chuo ...???? Maan unashushaa mamboo ambayo nilikuwa nayaona onaa tuu shuleee aisee 🤣🙌 extraction of metal yotee imelalaa hapaa leo 🤣🙌
South Korea ni Miongoni mwa nchi za kuigwa duniani maan kwa sie tuliokua huku Korea tunajionea jamaa wanavyofanya kazi., pili siasa zao ni tofaut na siasa za Africa huku mpk raisi anapelekwa jela akifanya ufisadi is shot no one is above the law Mtu mweny PhD hapa hana tofaut na mtu wa darasa la 7 na Ile sera ya Magufuli hapa kazi tu kaitoa huku jamaa wanafanya kazi zaid ya Punda
ule msemo wajinga ndo waliwao ndo huu. Unatoa madini yako unapewa karatasi zao.(Pesa). watu wa korea watakuwa na ajira za kutosha, Watu wa Afrika hatutokua na ajira bali tutanunua bidha za wakorea zinazo tokana na madini yetu,kwa kutumia makaratasi yao (pesa) walizotupa, mchezo ni ule ule faida itakua korea na africa tutabaki na Mashimo ya madini na Umaskini. ni Maoni yangu tu😂😂😂