Тёмный

Yafahamu MADINI ambayo KOREA KUSINI inayasaka kwa udi na uvumba Afrika, sababu ya Mkutano na Marais 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 17 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Авто/Мото

Опубликовано:

 

6 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 136   
@CodeWithCrescent
@CodeWithCrescent Месяц назад
UMEELEZEA VZR SANA, SEMA ALL IN ALL SISI AFRIKA NI WAJINGA. TUNA KILA KITU ISIPOKUWA AKILI YA KUENDESHA TULIVYO NAVYO
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Месяц назад
Sie tunauza tu tutabaki watupu Afrika kwasababu ya tamaa ya pesa
@user-xc5mk4ro2z
@user-xc5mk4ro2z Месяц назад
Ali masubi .ww noma bro mungu aendelee kutupa uhai na uzima kwa sote Wana sns.
@hiscoprogrammer7399
@hiscoprogrammer7399 Месяц назад
big up sanaa kwa uchambuzi mzuri zaidi
@richwase6550
@richwase6550 Месяц назад
Oya hyu mchambuz mbn yupo nondo nchi inahadhin y watu hii kwa nn hay tunayoyajua tusianze n viwanda vidog vidog huu ujuzi wenu hp SNS ujue n zaid y channel n chuo ss.
@OdranLazaroChaula-wp2zj
@OdranLazaroChaula-wp2zj Месяц назад
Wewe ni kiboko unachambua vizuri sana congratulations
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 Месяц назад
SnS for Future events
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 Месяц назад
Upo vizuri sana
@RuttaJames-kh5jx
@RuttaJames-kh5jx Месяц назад
Naona wabovu wa akili mna mshinda Nisha ally masubi na dj sma wote wakovizuri hacheni ujinga
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq Месяц назад
Africa hata ukiwa na ujuzi wako serekali ndio kitu cha mwanzo kukuekekea vikwazo tuna elimi ambayo kila siku inatufanya tuwe watumwa mtu unamaliza hadi chuo huna ujuzi wowote halafu ety mtu ujiajiri wao mbona hawajajiajiri africa hatutaendelea maisha 😂😂😂🙌🙌🙌
@RamadanPaul
@RamadanPaul Месяц назад
Daah mpaka nasikitika 😢😢 afrika alituroga kasha kufa.
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 Месяц назад
Tuliachiwa kuombaomba😂😂
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Месяц назад
@@RamadanPaulMkoloni katuriga
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Месяц назад
Hakuna aliyetuloga shida yetu sisi tumezoeya kujikomba Kombatu na tumejawa na unafki tu
@user-qd9vf6ud3f
@user-qd9vf6ud3f Месяц назад
Tutatawaliwa mpaka basi utafikiri tuna laana Mungu atujalie sana ktk hili .pia tatizo tumeamini sana mawazo ya wenzetu kuliko yetu . Yani tungesomesha kizazi chetu Kwa nguvu ili kulinda lasilimali zetu .
@binmasoud4150
@binmasoud4150 Месяц назад
Moja ya kitu kinaendelea kuiweka Africa nyuma ni mifuno mbaya wa elimu haina zaid ya ugumu lkn pia imekosa taswira ya kufikisha popote. Acha wenye elimu watukalie juu. Yaani nchi zote izo zimeweza kusimamiwa na nchi moja tu. Tumekosa ata uwezo wa kusimamia rasilimali zetu wenyewe.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Месяц назад
Sio elimu sana kubwa ni mfumo wetu wa katiba unamruhusu raisi kufanya anavyotaka na akitoka madarakini inamkingia kifua
@dunstunnchimbi7994
@dunstunnchimbi7994 Месяц назад
Hivi sisi tukiamua kuwaita viongozi wa ulaya kuja Afrika watakuja kweli?😢
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m Месяц назад
Watakuja endapo unataka kuwapa madini yao
@dunstunnchimbi7994
@dunstunnchimbi7994 Месяц назад
@@user-it7ih1it3m Daah sawa
@zachariamwita3926
@zachariamwita3926 Месяц назад
Hilo nalo neno🤣
@dunstunnchimbi7994
@dunstunnchimbi7994 Месяц назад
@@zachariamwita3926 Hatari. Wanatuonaje sijui sisi.
@niyonkuruasman
@niyonkuruasman Месяц назад
😂😂😂
@RamadhanpMwakilasa-di5hc
@RamadhanpMwakilasa-di5hc Месяц назад
Dahhh nilikua sijui hiyu jamaa amesoma ni noma sana🔥🔥🔥
@12345678938129
@12345678938129 Месяц назад
Ni mali ya taifa ya kulindwa. SNS wampe kipindi chake cha economics ao finance literacy
@user-xc5mk4ro2z
@user-xc5mk4ro2z Месяц назад
Aisee Wana sns wote wako poa acheni kasumba uyu nzuri uyu mbaya kikibwa tuwatie moyo kwa wte .
@stevenmahinda657
@stevenmahinda657 Месяц назад
Ally anajua kila kituu
@josephk90
@josephk90 Месяц назад
Jamaa ni mtata balaa😂😂
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 Месяц назад
Asante Ally
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Месяц назад
Kwahiyo wanataka kuja kuiba madini Afrika shenz hawa na huyu mama ana waita tuu
@Pratnumzsimba
@Pratnumzsimba Месяц назад
Africa nahisi ndio tuliolaaniwa na mungu
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Месяц назад
Ata mm sielewi 😢Africa in tajiri ila tunaishi kimaskin 😢Mkoloni alituroga
@Africangirl_in_India
@Africangirl_in_India Месяц назад
Lol nimejuwa kucheka kwakweri, umenichekesha sana🤣🤣🤣
@denismasele4130
@denismasele4130 Месяц назад
Hatujalaaniwa ila sisi akili ndo hatuna
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Месяц назад
@@denismasele4130ndo uchawi
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Месяц назад
​@@denismasele4130akili tunayo ni tamaa na ubinafsi wa viongozi wetu na kukubali kuwa vibaraka vya wakoloni
@user-sr8tc8ke6q
@user-sr8tc8ke6q Месяц назад
Ali masubi upewe kitengo selikalini🎉🎉🎉
@kwisa4899
@kwisa4899 Месяц назад
serikali ipi hii ya viongozi wajinga
@felisteronesmo3091
@felisteronesmo3091 Месяц назад
Wajinga wanaowaongoza werevu 😂😂, sjui nani mjinga ..
@davidkalama5426
@davidkalama5426 Месяц назад
Je! Pesa hizi za mkopo Tanzania ilizokopa toka Korea kusini,je! itatutoa ktk umasikini wetu? Bila kuweka rehani migodi yetu, tafadhali kumbukeni kumuenzi mzalendo wa kweli number , one, John Joseph Pombe Magufuli/yeye hakuweka nchi rehani ila aliingia mikataba upya ya win win situation/ccm oyeee! .
@samwelsengati1369
@samwelsengati1369 Месяц назад
Nakubali Mr Ally Masubi
@MalengaEleme
@MalengaEleme Месяц назад
Huyu mwamba kiboko❤ ally
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Месяц назад
Mdogo wangu nakukubali sana
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Месяц назад
Kutoka shaurimoyo nairobi
@kenwillard1605
@kenwillard1605 Месяц назад
Kwenye gold sio madini yanayo kua peke ake sometimes yana kua mixed na Zinc wengine huita Sulphur na pale unapo taka kufanya purification uwenda ukakutana na madin mengine na dhahabu sio kama metal ni vumbi yani huioni kwa macho ni kwa uchache sana kuiona kwa macho iko kama chenga ndogo sana..
@Johnmalekela
@Johnmalekela Месяц назад
Nawa kubali sana wana sns
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 Месяц назад
Shule matata sana 🎉sns
@patrickndizeye2190
@patrickndizeye2190 Месяц назад
Mambo safi sana❤🎉
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART Месяц назад
Ali masubi mmoja tu ni zaidi ya taasisi mungu akuweke uzidi kutupa elimu zaidi
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Месяц назад
Be blessed 🙏🏾.
@DOUBLE_G_DA_BST
@DOUBLE_G_DA_BST Месяц назад
Uyu jamaa anajua kila kitu 🤣🤣🙌
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Месяц назад
Daaaaa
@user-ev2xf1tv3w
@user-ev2xf1tv3w Месяц назад
Viongoz wet uwezo wao wa kuongoz n mdogo nd maan mikataba inawafaidisha wazungu sio waafrica
@conganyoyo3195
@conganyoyo3195 Месяц назад
MOOO dewj,BAHAARESA,GSM,ABRAAZZ STAM,ASAS,MLOKOZ,hawa n wachache wanaweza kuipeleka TZ kilelen selikal iwaangalie kweny hili
@user-gu3ez2if8k
@user-gu3ez2if8k Месяц назад
Tanzania imeuzwa mchana kweupeeee
@user-it2tr7ny8d
@user-it2tr7ny8d Месяц назад
😂😂😂😂
@hansiempire5093
@hansiempire5093 Месяц назад
kusoma physics + chemistry safi sana
@user-fk7rt6rz4i
@user-fk7rt6rz4i Месяц назад
Hicho kikao naona ni nchi ya congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 itaendelea kuteseka na haitapata amani kamwe , kwa sababu karibu madini yote unayojua wewe yanapatikana Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC KWA HILO NASEMA TU PRAY FOR CONGO 🇨🇩🇨🇩 FREE CONGO 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, FREE AFRICA 🌍 TUTAUANA SANA WA AFRICA SISI KWA SISI
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Месяц назад
Yote yanaenda USA na Europe kutengeneza IPhone,Tesla na Microsoft
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Месяц назад
Kiukweli sijui kwanini Tanzania ni nchi maskini. ani nashangaa sana
@zanzibarsmzenji
@zanzibarsmzenji Месяц назад
Viongozi wa afrika kazi yao kuitwa njee wakishaoneshwa mataa ya mjini na miji olivyo jengwa,halafu nakupewa Kula basi Washamba sana viongozi wetu wanatamaa sana
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 Месяц назад
Ali msumbu soon una safari na mama samia. Unatufaa . Tz tuekeze kwenye elimu alafu wakimaliza wawezeshwe sio kukaa maskini. Jamani story za shalwadu sio tija tupoeni this is smart worlds 🌎 kusoma muhimu
@user-fb5tj5zy4z
@user-fb5tj5zy4z Месяц назад
Iasee watu wanachekesha sana yaan unachukua mkopo wa trilion 6 then ukishindwa kulipa unawabana wachimba chumvi na wauza mchicha wakupe kodi, viongozi wetu wakiitwa na wazungu wanaenda mbio kwanin kama wao wanahitaji madin wasije ? EE Mungu ikomboe Africa! It is a shame
@daviddeus6437
@daviddeus6437 Месяц назад
Iv sis Africa mbona tunatoa vitu vyetu kipumbavu kwenda kuwatajilisha wengine
@jamalimussa4928
@jamalimussa4928 Месяц назад
Aisee, tulishindwa kuwa na mikakati mathubuti na sisi tungekuwaga tumepiga hatua laiti tulingewekeza ktk elimu inayoendana na rasilimali tulizo nazo. 😢😢
@kamtandeabdala3271
@kamtandeabdala3271 Месяц назад
Wazungu ndio huweka vizingiti ukiwa na uthubutu unakutana na vikwazo kibao
@kdloon2030
@kdloon2030 Месяц назад
Africa tuna mali,lakini tuna emty brain!😢
@deusntobi6682
@deusntobi6682 Месяц назад
Hata dhahabu ipo ambayo inakuwa yenyewe ambayo siyo nyingi sana. Dhahabu nyingi ni ile inakuwa kwenye aina nyingine ya madini hasa copper, Sulphur , silver, iron n.k so unapoitafta dhahabu ya aina hii huwa kuna chemicals maalum kwa ajili ya kuitenganisha dhahabu na madini mengine. Mfano sodium cyanide ndiyo chemical inayotumia zaidi
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Месяц назад
Haipo kasome zaidi mkuu dhahabu inaexixt kama dhahabu hzo unazozisema ww ni impurities dhahabu haihitaji extraction kama ilivyo aluminium and iron.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Месяц назад
Allah aqibaru
@ASALABOY
@ASALABOY Месяц назад
SnS inaunguruma ukweli n UWAKIKA 🇲🇿
@MalengaEleme
@MalengaEleme Месяц назад
Kka unajua sana
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 Месяц назад
Taka kujua aina ya madini
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Месяц назад
Sisi waafrica tunaupungufu mkubwa tumekwamia wapi akili au mbona wengine wamejikwamimua hawana madini wapo ukiangalia wanaweza Kwa watu wao eti Sisi tunasoma kivipi au ni kujifunza kusoma Tu sio kujua mambo Sisi tumekalia kuzaa tu ndio maana kila nchi zinakimbilia huku .
@ramadhanially8932
@ramadhanially8932 Месяц назад
Africa mungu ametupa kila kitu lakin bado ni masikini yaani naisi mpaka malaika wanatucheka😂😂😂
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m Месяц назад
Tatzo akitokea kiongozi sisi wenyewe tunampinga mfano magufuli wananchi tulianza kumchukia kwa wazungu kupindisha ukweli
@dfinalpatrick8555
@dfinalpatrick8555 Месяц назад
Penyemit hapanawajenz
@omarysaid8725
@omarysaid8725 Месяц назад
Hii mikutano ni kwa ajili ya kuiba rasilimali za Africa
@GodfreyChalo-id4mi
@GodfreyChalo-id4mi Месяц назад
hiv vtu waliumbiwa wazungu sis waafrika tuliwekwa juu ya ardhi kama mapambo2 hatuna uwezonavyo hata kama tukiwanyma tutavipeleka wap jaman? acha tuwauzie watupe vioo nas tuwape madin yote kwayote sis tuendelee kuwatawala ng'ombe,mbuz,kondoo,punda pamoja na ndge maana ndo uwezo wetu unapoishia🖐🖐🖐
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi Месяц назад
We una akilii sasa awa wasomii siwanaenda kusomea au jitambue ww chizii Nye Lele alipeleka majeshii kwenda kujifunzaa namna ya mbinu zakijeshii walienda na wakaludii Sasa ww mweuuu una ongea nn
@kmotivation1130
@kmotivation1130 Месяц назад
Mzee unachimba ,hadi periodic table
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Месяц назад
Naijua organic and inorganic chemistry.
@user-rw4qn6zh6n
@user-rw4qn6zh6n Месяц назад
Yaani África tuna resources lkn viongozi ndo hatuna kabisa kila siku kukopa wakati haohao wanaonda kukopa wanakuja kuchukua material kwetu
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila Месяц назад
Huyu mkorea kusini hana hizi fedha huyu anayefanya haya ni mmarekani ampitia mrango wa nyuma ili kupata mali gafi baada ya kugundua kuwa afrika mnaichukia marekani sasa sisi afrika hata kufili kidogo hamna ni kusifia tu acheni ujinga kila siku tunaona marekani amewekeza vitu vingi pale anashindana na korea kasikazini
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 Месяц назад
Kiwanja pekee kilichobaki Kwa wasafiri ....ukiishi hapo umetusua ni Bora zaid ya marekani
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 Месяц назад
Tanzania Ina madini kalibia yote lkn wanaonufaika ni hao kina mama yenu mnaowasifia wanaupiga mwingi baadhi yenu madunya msiojua maana ya maendeleo
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x Месяц назад
viongoz wala hata hawastuki wao kusomba pesa nakugawa madini tutaendelea kuwa maskini milele huyu mama puuu
@khatibkhatib730
@khatibkhatib730 Месяц назад
Duhh apa tatizo ni mfumo wetu wa elimu, yaan chemistry yetu na physics yetu kuanzia form 1 hadi six inakufundisha story tu za hivi vitu ..je unavipataje, unachimbaje utatumiaje kutengeza hizi kuwa katik usable product , hamna 😂unajkuta unajua element zote 128 kwa majina tuh na story
@michaelmatonange630
@michaelmatonange630 Месяц назад
Mwamba sina cha kuongezea kiukweli, unafugua bongo zetu
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Месяц назад
Imagine tuna mali ila ss ndo maskini 😢Africa niyawa foreigners not for Africans 😢
@HansChuma
@HansChuma Месяц назад
Kwetu sisi Tanzania upuuz mtupu serekali hamna kitu hatufu chafu ya rushwa tamaa na roho mbaya juu
@danstanirubazibwa2494
@danstanirubazibwa2494 Месяц назад
Yaani licha ya hayo yote lakini bado mpaka sasa hata hatushutuki hata kidogo
@vijasa1124
@vijasa1124 Месяц назад
Africa wanakuja kushota t N wacorea n mkono wa marekani tu n wala c mkorea mwenyewe
@ibrahimgamba8053
@ibrahimgamba8053 Месяц назад
Braza, Mbona umetudanganya 😮 kweli south Korea ikaizidi saudia kiuchumi.?
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Месяц назад
Unajua uchumi nn kwanza na unajua uchumi unapimwa kwa vitu gani sikiliza kwa makini utajijibu
@abdallahngoe
@abdallahngoe Месяц назад
Saudi arabia gdp ni 1.109 trillion USD 2022 Korea kusini gdp ni 1.674 trillion USD 2022
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Месяц назад
Africa ni gereza kuu waloliandaa watu weupe, na wakuu wa gereza hilo ni watu weupe,, wanaosimama kama manyapara ni viongozi wa africa,,, alitabili baba etu nyerere.
@RamadanPaul
@RamadanPaul Месяц назад
Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 shida nini?. Mbona tuna kila kitu?😮‍💨 Daah Mwenyezi Mungu ametuachaniza kabisa🤔🤔
@kmotivation1130
@kmotivation1130 Месяц назад
Wenzetu wako seriously sana hawana undugu zembe kwenye maswala ya utawala
@YustaMfugale
@YustaMfugale Месяц назад
Waatuchukue na sisi basi😂
@dunstunnchimbi7994
@dunstunnchimbi7994 Месяц назад
Nimeisikia Tunduru hapo Ruvuma hiyo.
@mweupebrown3233
@mweupebrown3233 Месяц назад
Sema Kuna mtu watu awamjui mtuambie adani ni nani maana anatajwa na bandari yetu
@dunialehani6188
@dunialehani6188 Месяц назад
Shida ya Africa tumehasi asili yetu hatuwezi kuwa na maendeleo kama tuko busy na bible ukikuta mtu ana hogea na mababu mnamuhita mchawi siku mtastuka basi Africa tutakuwa matajiri
@exaudmphuru6172
@exaudmphuru6172 Месяц назад
Waafrica tumelogwa hatujui tunaenda wapi
@mnaratailoring6346
@mnaratailoring6346 Месяц назад
Kaka tueleezeee pia kuuusu mekiuri .
@user-yn7mt4mh8n
@user-yn7mt4mh8n Месяц назад
Ndomana raisi wa Congo alikataa kwenda huko kwenye huo mkutano
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 Месяц назад
Hayo yote nikuwa na li katiba libovu na laovyo
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Месяц назад
Sio magari na simu vifaa vingi Sanaa vya electronic wao Wana maono makubwa sio wajinga
@ntezealoyce7043
@ntezealoyce7043 Месяц назад
Tatizo la viongozi wetu wa Africa hujali matunbo Yao tu,wewe ulishaona wapi viongozi wa ulaya wakatunza pesa zao Africa,viongo wa Africa tumelahaniwa na Nini hatuhulumie bas,
@starjay3052
@starjay3052 Месяц назад
kwaiyo we kwa awa viongozi wa africa unataka uwe kama south korea 😁😁🤣🤣
@NuhuMohammed-nu6ni
@NuhuMohammed-nu6ni Месяц назад
😂😂😂😂
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Месяц назад
Viongozi wa Africa hawajielewi maana wenye shida ni hao lakini yanakusanywa kama mazao kuwafuata hao wenye shida kukopeshwa makaratasi wao wanachukuwa mali zetu....Mama yeye ni kukopa wala sio kusomesha watu ili waje kutusaidia kuunda viwanda lkn mikopo tu 😂😂😂
@hamisramadhan-eb3ie
@hamisramadhan-eb3ie Месяц назад
Africa tukiamka sisi ndiomabilionea wamilele😅
@kelvinkitego8471
@kelvinkitego8471 Месяц назад
Mwanetuu MASUBII una umechukuaa degree gani chuo ...???? Maan unashushaa mamboo ambayo nilikuwa nayaona onaa tuu shuleee aisee 🤣🙌 extraction of metal yotee imelalaa hapaa leo 🤣🙌
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Месяц назад
Metallugy my brother.😂
@hasanimkamba8377
@hasanimkamba8377 Месяц назад
viongonzi wetu wanatufanya tujutia kuzaliwa huku Africa asee
@omarybakari5812
@omarybakari5812 Месяц назад
Sijajua Tanzania itachimba na kuwauzia malighafi au bidhaa zitokanazo na malighafi hizo JPM UNGE AMKA KDOGO TU
@abubakariali9848
@abubakariali9848 Месяц назад
South Korea ni Miongoni mwa nchi za kuigwa duniani maan kwa sie tuliokua huku Korea tunajionea jamaa wanavyofanya kazi., pili siasa zao ni tofaut na siasa za Africa huku mpk raisi anapelekwa jela akifanya ufisadi is shot no one is above the law Mtu mweny PhD hapa hana tofaut na mtu wa darasa la 7 na Ile sera ya Magufuli hapa kazi tu kaitoa huku jamaa wanafanya kazi zaid ya Punda
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Месяц назад
Sana usisahau walikuwa na miaka ya kiza iliyojaa ufisadi mwingi baada ya ile vita ya korea hapo ndo wakajifunza kujitegemea.
@user-yr3yi2yr6i
@user-yr3yi2yr6i Месяц назад
Why Saudi Arabia to Africa summit USA to Africa summit Russia to Africa summit Korea to Africa summit China to Africa summit Why why
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 Месяц назад
Ni aibu KWA kweli
@Badvoice707
@Badvoice707 Месяц назад
Hata sisi tutabadilika soon mbele ya mama kiz mkazi tutaanza kukopesha nchi jirani
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 Месяц назад
😂😂😂😂 KWA hali hii mnavyokwepa kulipa kodi
@RamaTraceur
@RamaTraceur Месяц назад
ule msemo wajinga ndo waliwao ndo huu. Unatoa madini yako unapewa karatasi zao.(Pesa). watu wa korea watakuwa na ajira za kutosha, Watu wa Afrika hatutokua na ajira bali tutanunua bidha za wakorea zinazo tokana na madini yetu,kwa kutumia makaratasi yao (pesa) walizotupa, mchezo ni ule ule faida itakua korea na africa tutabaki na Mashimo ya madini na Umaskini. ni Maoni yangu tu😂😂😂
@yusuphkapilimka
@yusuphkapilimka Месяц назад
SNS❌ CNN✅. 🔥🙌🫡
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Месяц назад
Dola billioni mbili mbona si nyingi sana? Wakorea wanataka rare minerals ambazo Tanzania inayo kama vile graphite, nikel, na lithium.
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 Месяц назад
Sasa wafanye nini nq africa ni shamba la bibi kila mtu ambaye sio muafrica anarubusiwa kuvuna kila kitu anachotaka kutoka shamba la bibi africa
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Месяц назад
Korea kusini ni marekani damu damu....hapo tumepigwa changa la jicho
Далее
skibidi toilet 76 (full episode)
08:11
Просмотров 11 млн
Is AI an existential threat to human jobs? | BBC News
20:38
Cracked Windscreen Restoration!
0:41
Просмотров 1,6 млн
Помыла и машину, и водителя
0:18
Агрессивный обочечник!
0:33
Просмотров 2,7 млн