Тёмный
No video :(

Yafahamu MAGEREZA 10 hatari zaidi Barani AFRIKA, Ni Hatarii! Usiombe kufungwa ndani ya Magereza haya 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 191 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 202   
@aishaissa2512
@aishaissa2512 Год назад
Dah! mungu atunusuru na balaa hili walofungwa mungu anasaidia watoke
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
Watoke waende wapi ?! ili waendeleze uhalifu ??
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Год назад
Na hao waliowaua au waliowabaka mfano?
@hamedabashir9
@hamedabashir9 Год назад
Naomba mungu anipe mwisho mwema wallallih
@stellajohn5647
@stellajohn5647 Год назад
Amen
@OnlyRuky
@OnlyRuky Год назад
🥺🥺🥺🥺Allah atunusuru na atupe mwisho mwema🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️
@sichilimatz6580
@sichilimatz6580 Год назад
Vp kuhusu geleza la lwannda mbeya??
@janetcharo1543
@janetcharo1543 Год назад
I knew Kamiti Maximum can never miss this list
@leyxon_delee
@leyxon_delee Год назад
Bhana 😂
@adacornpessa1985
@adacornpessa1985 Год назад
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 one love.
@omahmoses9710
@omahmoses9710 Год назад
Hy I'm George from TANZANIA
@jobkofficial1591
@jobkofficial1591 Год назад
This is a pure talent , not forced .hongera sana bro sky Walker
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Год назад
Aisee M/Mungu tunusuru naomba mwisho mwema
@pujimontanapachino4958
@pujimontanapachino4958 Год назад
Mungu atunusuru inatisha sana Africa kilakitu chetu kinatisha
@onanarosse9657
@onanarosse9657 Год назад
Sky on top hongera brother kwa makala nzuri
@jameswisdomtz8580
@jameswisdomtz8580 Год назад
Mungu atunusuru kabisa haya maisha wengine tunasafili katika nchi za watu😭😭😭🌍🌍
@marymolel616
@marymolel616 Год назад
Amina
@rachelndaki5642
@rachelndaki5642 Год назад
Duh mungu tupe mwisho mwema mm na taifa langu
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 Год назад
You are the best sky Mashaa Allah
@motivateU849
@motivateU849 Год назад
Love it, napenda sana hii 360
@Mama-A
@Mama-A Год назад
Kwa Niaba ya wakenya wote we miss sauti ya Baby sky
@Chrisscherry
@Chrisscherry Год назад
Kweli hata mimi namiss sauti yake nyororo
@trendz_2548
@trendz_2548 Год назад
I really love what you do sky
@mussamayawa817
@mussamayawa817 Год назад
Tanzania pazuri sana kila kitu kwetu pazuri kama unabisha bisha hila sisi tulio nje tunajuwa kabisa kma kwetu pazuri
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Bora wambie
@USWAZITVONLINE
@USWAZITVONLINE Год назад
Kweli kabisa, Tanzania kwetu pazuri sana, tunatafuta maisha kwa uhuru, tunatembea kwa uhuru, tunasafiri kwa uhuru, Wakati nchi za wenzetu mambo yote hayo ni kipengele
@Tumaini_gil
@Tumaini_gil 6 месяцев назад
Hakuna pazuri
@tariquexplore
@tariquexplore 5 месяцев назад
Tulizeni sisi tulokaa jela , hayatangazwi tu
@donomar6876
@donomar6876 Год назад
Ohoooo Kamiti Kenya inafaa kuwa number 1.... Wahalifu Hatari wa nchi mbali mbali wanalitwa Kamiti..
@chire4574
@chire4574 Год назад
Fanya uchunguzi vizuri......nenda gereza la idete morogoro......ndo utajuwa Tanzania nayo tumo top ten
@ZeraGeofrey
@ZeraGeofrey Год назад
Hakuna gereza zur ww ukienda ndyo utajua kule n kubaya🙌🙌
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Год назад
Japokua ni hivyo dunia nzima. Marekani 30% ya magereza ni biashara binafsi. Kwahip hapo watatafuta wateja kupitia kwenye vyombo vya ulinzi. New York mfungwa mmoja hutumia zaidi ya dollars 130,000 kwa mwaka
@janeangoche4464
@janeangoche4464 Год назад
Sky thanks for this analysis though its painful to hear what other human beings undergo in the name of rehabilitation its really sad and painful especially to boy child although ladies too but boy child its real abuse may God Help us and give African leaders some insight to do something about the congestion in these jails.Maybe it will reduce the abuse among these inmates .And also there should be rules for people employed in these institution their work is to rehabilitate and not abuse them they should not and insult to injury.
@lifeofyuri4020
@lifeofyuri4020 Год назад
Ingekua ni hiari yangu Muuaji nae auwawe the moment amepatikana na hatia! Pili mbakaji aisee nawachukia hawa watu ingekua hiari yangu mbakaji akipatikana na hatia achomwe moto akiwa anajiona Wengi mtakuja mseme Mimi katili , ndio Mimi ni katili Tena sanaaa , nakataa kulipa Kodi iwalishe hawa watu makatili kuliko Mimi. Imagine mtu anambaka/kumlawiti mtoto mdogo anafungwa kidogo anaachiwa anarudi pale pale mtaani anaendelea kuishi kama kawaida anaendelea kufanya matukio Kitu msichojua wabakaji na wauwaji hawapo sawa kiakili ...kufungwa peke ake haitoshi mara nyingi wanarudia mambo hayohayo
@gwakisamwangasa7826
@gwakisamwangasa7826 Год назад
Kuna wengine wanasingiziwa hizo kesi sio wote wanahatia
@elishazacharia1204
@elishazacharia1204 Год назад
Maisha ya siri nyingi sana chunguza zako tu Kisha jaribu kukadiria adhabu
@lifeofyuri4020
@lifeofyuri4020 Год назад
@@gwakisamwangasa7826 nimeongelea watu wanafanya hivyo vitendo sijaongelea wafungwa
@lifeofyuri4020
@lifeofyuri4020 Год назад
@@elishazacharia1204 sijasema Mimi ni mtakatifu
@gwakisamwangasa7826
@gwakisamwangasa7826 Год назад
@@lifeofyuri4020 unakumbuka babu sea kungekuwa na sheria za kunyongwa angekuwa kashanyongwa maana alihukumiwa Tayar Alionekan ana hatia yaani kalawiti sikatai wapo wanaofanya hivyo vitendo na wengne wanasingiziwa ila wanaosimamia izo kesi wanakuwa na nguvu unaonekana umefanya kweli
@saddybrezzy9777
@saddybrezzy9777 Год назад
SKY Walker big up💪🙌
@GracieTyno
@GracieTyno Год назад
The voice of yours!. Dah!
@messaabbas739
@messaabbas739 Год назад
Good job ❣️❣️❣️❣️#SNS
@mimokassim2306
@mimokassim2306 Год назад
Yellow inform ni South Africa 🇿🇦
@nicoledinga9948
@nicoledinga9948 Год назад
uniform
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 4 месяца назад
Kwa hiyo magereza ya Tanzania ni mazuri yanafaa kuishi huko.
@HamisKhalfan-df5kk
@HamisKhalfan-df5kk Месяц назад
😂😂😂jichanganye😂😂
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 Год назад
FOTWUNE is the best. No excuse any development must some get pain
@billskeez92
@billskeez92 Год назад
360🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥@🇧🇮
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Год назад
Sema magereza ya Africa mateso yamezid jamn
@TumainiBiswalo-ok4xm
@TumainiBiswalo-ok4xm 4 месяца назад
Mungu tusaidie jamani ii atalisana duu ee mungu ninusulu kwailo
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 Год назад
Makala nzur japo inasikitisha 😢 lkn nimejifunza
@daudhabona8897
@daudhabona8897 Год назад
Ungekuwa unaandika makala 360 inakuwa rahisi kuzi search.
@Ziwi7
@Ziwi7 Год назад
As a kenyan, i expected to see Shimo la tewa even before kamiti...I've never been in prison but I know Shimo la tewa is deadly
@munirashughuli618
@munirashughuli618 Год назад
Kamiti Kenya ogopa yani hata Police wenywe wanawaogopa wafungwa🤔
@berthatz
@berthatz Год назад
😂
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 Год назад
😂😂🤣
@mucci_AI
@mucci_AI Год назад
😹😹😹😹😹 duuh
@norahmakrean525
@norahmakrean525 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Год назад
duh😂😂😂😂
@mimokassim2306
@mimokassim2306 Год назад
Sky his the best
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Subhannallah, mtihani kwakweli
@neemamkemae2580
@neemamkemae2580 Год назад
Kaka sky kila siku tuakwambia, bc weka the story hili tujue inakuwa kila jumangapi....km anavyofnya Jamal au justin shed.... Sio Hiv inakuwa gafra bin vuuuu aina mpangilio.... !!!!!!
@Djroja_mo
@Djroja_mo Год назад
Ndio maana nasema tuendelee kutawaliwa tu maana wazungu wanaroho mbaya lakin afrika nadhani tumezidi
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
Afrika nyoko bro
@suntzu8959
@suntzu8959 Год назад
My friend died kwenye gereza number 8.
@MK-bk9ww
@MK-bk9ww Год назад
Inalillah wainailaih rajioon, pole my
@zaitunisinamenye1799
@zaitunisinamenye1799 Год назад
Ni hatari sana, hali ya hewa tu ikikosekana ni kifu, inci zetu zaki africa ni macungu tu,
@mamafaiza1720
@mamafaiza1720 Год назад
Tanzania magereza mazuri ama
@mapenzishindoshindo4939
@mapenzishindoshindo4939 Год назад
Ndio swali
@cyubahiroclement191
@cyubahiroclement191 Год назад
🙈
@zebedayobiswalo1924
@zebedayobiswalo1924 Год назад
Ya kwetu ni afadhali ndo maana hatupo kwenye list hii
@niyongabiranoibrahim7794
@niyongabiranoibrahim7794 Год назад
Mimi naishi karibu nayo ya paarl ya Africa kusini Yoooo bro ilo gereza Ata kwainje tu linatisha
@cdeegwau551
@cdeegwau551 3 месяца назад
😅😅😅
@hijamnola1502
@hijamnola1502 5 месяцев назад
Yani TANZANIA HAKUNA hata moja then South Africa ipo sio kwel, hii tafiki inabid wahusika muanze kwenda magerezan kuishi hata mwez ili mkitoka muwe na uharisia wa report
@nassirvarane7742
@nassirvarane7742 Год назад
Ogopa gereza la kenya nimeka miaka 8 ila km miaka 80 Daah watu wanapata shida sana humu dunian
@paqchatygaga7276
@paqchatygaga7276 Год назад
Pole sana Nassirvarane
@aminamuhdhar3447
@aminamuhdhar3447 Год назад
pole sanaa
@sayakuluayubu
@sayakuluayubu Год назад
Watu waovu Sana wakifunzwa dini Ndo watakao kuwa na Imani sana
@maryjulius3112
@maryjulius3112 Год назад
Sky facts umesema
@dieudonnematabaro3633
@dieudonnematabaro3633 Год назад
Mbona utaji gereza la Tanzania, ni gereza atari sana
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
Duh!
@fzlcomrajabu9514
@fzlcomrajabu9514 Год назад
Shout out to my brother sky 🙏
@pizzoabu2661
@pizzoabu2661 Год назад
Maximum Zambia kuna brother yangu dulla yupo huko kapigwa yundo ya miaka 25
@jameschipande1090
@jameschipande1090 Год назад
Mmmmmmm too bad be ro
@tonytony29
@tonytony29 Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-zlOOO5viU7k.html
@iankiprotich3111
@iankiprotich3111 Год назад
Kenya haikosi mahali popote
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 Год назад
Hahahaha dah
@DemungaMsenga
@DemungaMsenga 4 месяца назад
Mbona ujasema Tanzania
@RashidiMsabah
@RashidiMsabah 5 месяцев назад
Nice
@mapenzishindoshindo4939
@mapenzishindoshindo4939 Год назад
Umependelea inchi yako😔😔😔 mm kama mkenya sijafrahi🇰🇪
@abdulymaeda2697
@abdulymaeda2697 Год назад
Wabongo Wana mamb ya mchongo
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 Год назад
Kwani tz hakuna Basi za wafungwa Hadi utuwekee Basi za mambele
@Chombezaflava
@Chombezaflava Год назад
mozambiq mhhhh ni noma wanakaa wapalianda
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 Год назад
Alaafu tuna walaum wazungu eti wana tunyanyapa!😔💔 wakati ss wenyew hatujipendi bora tunge endelea kutawaliwa nawazungu huwenda leo hii engelikuwa afadhali
@kingmoseskasman7765
@kingmoseskasman7765 Год назад
🙈
@isikesamike
@isikesamike Год назад
Duh! Utawaliwe na wazungu? Karne hii unawaza kutawaliwa? Asee!!
@omaryntagala3740
@omaryntagala3740 Год назад
@@isikesamike tunatawaliwa pia kisiasa africa haipo huru kwa nchi nyingi japo tunaona eti tupo huru
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
@@isikesamike Unashanga kitu gani na watu wachaze wakizungu wanaitawala dunia nasi Africa tu jombi kwani bado umelala usingizi
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Год назад
Utawaliwe mara ngapi? Kwani unafikiri upo huru? N mojawapo wame tuwash brain ,tuamini hatuwezi kufanya kitu,mpaka watufanyie wao
@mwajabukaseke8710
@mwajabukaseke8710 Год назад
Wanatesekaaa jmnii
@zebedayobiswalo1924
@zebedayobiswalo1924 Год назад
Hivi huzi nchi zilizopo kwenye hii list hawajui au ndo kutojali? This is to bad and sad as well
@najmuddinkarama7360
@najmuddinkarama7360 Год назад
Ongeza research kwenye story zako nilitegemea ungesema idadi ya vifo takwimu za ubakaji idadi ya wafungwa etc
@judgeman5085
@judgeman5085 Год назад
Ridhika na ulichokipata bro kwani hayo aliyokuelezea kayaokota tu au kapoteza mda wake kuyafukunyua yasiko onekana kirahisi ?
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Год назад
Ndugu sky ... Nafasi ya kwanza Africa inafaa iwe gereza la antanimora liko Antananarivo nchini Madagascar... Naomba ufanye research alafu utaona balaa lake hilo gereza
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 Год назад
Nimekubari
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Год назад
Mbona tz hujasema au haimo? au unaogopa?
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Год назад
Chikurubi iyo noma sana
@alihujjat5945
@alihujjat5945 Год назад
Ilo gereza la kabwe Zambia nimekaa mm ningeshangaa kama lisinge orozeshwa
@stellajohn5647
@stellajohn5647 Год назад
Pole😭
@aminamuhdhar3447
@aminamuhdhar3447 Год назад
pole sana
@maissarahirakoze5581
@maissarahirakoze5581 Год назад
Sns for life👌
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 11 месяцев назад
NAKUKUNAL SANA SKY WALKER
@kalziidazamba2862
@kalziidazamba2862 Год назад
Daaah hatari kweli.🤔🤔
@saidseif1860
@saidseif1860 Год назад
Shimo la tewaa wanangu mwalijua
@jameschipande1090
@jameschipande1090 Год назад
GEREZA LA MUKOBEKO, LIPO HAPA KABWE MJINI YAANI NILISHIKWA NA BUTWAA KUKUTA GEREZA KUBWA KAMA HILI KATIKA SEHEMU NINAYOISHI KWA HUKU ZAMBIA. IKUMBUKWE KUWA HILI NDO GEREZA LILILO TUMIKA KUMUSHIKILIA RAIS AMBAYE YUKO MADARAKANI KWA SASA.
@hmsrashd7910
@hmsrashd7910 Год назад
WATU WEUPE WANA ROHO MBAYA ,,
@thomsanga7956
@thomsanga7956 Год назад
Nikweli lasegerea halipo ktk top ten!!? ☻️ au tumeogopa kulitaja tu 😁😁😁😁
@mudathirmohd9721
@mudathirmohd9721 Год назад
Tulikua tunaonba ukionesha tuoneshe na matukio mfano km anavo fanya kwenye the story book
@johnwoshi3459
@johnwoshi3459 Год назад
Unaogopa kusema Hali ya magereza ya TZ sababu watakuvinya mapumbu mpaka ukome
@Mr.boomer23
@Mr.boomer23 Год назад
Noma
@mapenzishindoshindo4939
@mapenzishindoshindo4939 Год назад
Kwa hio Tanzania hakuna gereza hatari😳😳😳😳
@hamisaally968
@hamisaally968 Год назад
Inawezekana yapo ila bado sana kufikia ya uko
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Год назад
Lipo Moja huko Songea unaambiwa vyumba ni Giza vidirisha vidogo hewa hakuna
@user-iv9uv5qx8t
@user-iv9uv5qx8t 7 месяцев назад
Duuuh😢😢😢😢Mungu atuepushe
@salmasaid7058
@salmasaid7058 Год назад
Kenya ogopa
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Год назад
HAKUNA FAIDA KUTIWA GEREZANI KWA HALI HII!!! BORA WABAK8 NJE KWA MAASI KULIKO KUFUNGWA,UMOJA WA MATAIFA IPO WAPI
@jumakimtanange8177
@jumakimtanange8177 Год назад
Mbona Tz hakuna ama nikitaka habari za magereza ya Tz mpaka Niwe Nje ama Mimi Ndio Sielewi
@mariamramadhani3860
@mariamramadhani3860 Год назад
NA WENGINE WAMEFUNGWA KIMAKOSA TU
@maulidjuma9203
@maulidjuma9203 19 дней назад
Poss Moore sio poa
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍.
@habibmohd8008
@habibmohd8008 Год назад
Sky umezngua ..unaogopa nn mbona yatanzania haujayaweka kwaukatili unaofanyika hio sio fair
@athmanmuhammed7333
@athmanmuhammed7333 Год назад
Lazima aogope akilitaja moja tu la tz atawekwa kwenda kulionja.
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 Год назад
Kifungo ni kma ugaibun maan wengi waona fanyya kaz za ndani huwon kila kitu mpk miaka yko kuisha...ndo huwone njee..
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
nikwer,Hila siye tunaunafuu sana TU,tofaut nawafungwa👉O,G
@shabanisaleeh4541
@shabanisaleeh4541 Год назад
Mm bora niumwe sio jela
@mjedasunday1851
@mjedasunday1851 Год назад
😂😂
@ishimwemurenziange7609
@ishimwemurenziange7609 Год назад
Bona amusemi Tanzania eko pazuri mupaka wapi muache ni huhuni
@zaidyabdalah3691
@zaidyabdalah3691 Год назад
Mbona Tanzania huitaji? Hapa napo kuna shida ya kufamtu
@leyxon_delee
@leyxon_delee Год назад
Shimo la Tewa kenya?
@nassirvarane7742
@nassirvarane7742 Год назад
Daaa😢kamiti yn nkikumbuka nakosa nguvu
@mikid6915
@mikid6915 Год назад
Ulitumikia kifungo huko au
@esterpeasongoya7156
@esterpeasongoya7156 Год назад
Vipi ulienda
@ramaccr7525
@ramaccr7525 10 месяцев назад
🙏🙏❤️🔥
@wakatv3704
@wakatv3704 Год назад
nataka nikaishi kwenye sayari yangu pekee yangu
@JKQGAME
@JKQGAME Год назад
Jamani
@angelamshama1288
@angelamshama1288 Год назад
Daah noma
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 Год назад
Yaani Mozambique imekosekana? 🤔
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Год назад
Km wameua wakae hivyohivyo hao sio binaadam
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 Год назад
Gereza za afrika ni kama unaiona jehanam kwa pale
@lm6373
@lm6373 Год назад
Tanzania gereza sio nzuri kabisa wa police ndo wanawauna wa fungwa hiyo nimeona story ya kijana ka chukuliwa kwake nyumbani baada ya siku kaletwa maiti kauliwa gerezani kwa risasi itakuwa nani ?
@daudiayubu4464
@daudiayubu4464 Год назад
Mmekosa ubunifu wa Jina mpaka muige Jina la Kipindi cha Crouds? Acheni uvivu wa kufikili
@angeldejoice3202
@angeldejoice3202 Год назад
Cape Town ni mji sio kitongoji mzee .
@abrahmanabdallah8479
@abrahmanabdallah8479 Год назад
Sikiliza vivuri lililopo ndani ya kitongoji 😝😝😝 kwanza huwa mji pakazaliwa wilaya ikisha kijiji wisho kitongoji.... ila wabongo punguzeni kujua mpaka munabowa
@Mama-A
@Mama-A Год назад
Haya...fungua you tube yako usemee huko tutakuja kukuskiza.shenzi type
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
@@Mama-A 🤣🤣🤣
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Год назад
Mmh uko wanaume wanabakana na kubakwa na maaskari na wadada wanasagana na wafungwa kupigana daily inatisha sana
@remistv94
@remistv94 Год назад
Sure
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 Год назад
💔
Далее
Кого из блогеров узнали?
00:10
Просмотров 383 тыс.
ФОТОГРАФИЯ ЦЕНОЙ ЖИЗНИ
32:38
Просмотров 1,7 млн
Кого из блогеров узнали?
00:10
Просмотров 383 тыс.