Kweli kabisa, Tanzania kwetu pazuri sana, tunatafuta maisha kwa uhuru, tunatembea kwa uhuru, tunasafiri kwa uhuru, Wakati nchi za wenzetu mambo yote hayo ni kipengele
Japokua ni hivyo dunia nzima. Marekani 30% ya magereza ni biashara binafsi. Kwahip hapo watatafuta wateja kupitia kwenye vyombo vya ulinzi. New York mfungwa mmoja hutumia zaidi ya dollars 130,000 kwa mwaka
Sky thanks for this analysis though its painful to hear what other human beings undergo in the name of rehabilitation its really sad and painful especially to boy child although ladies too but boy child its real abuse may God Help us and give African leaders some insight to do something about the congestion in these jails.Maybe it will reduce the abuse among these inmates .And also there should be rules for people employed in these institution their work is to rehabilitate and not abuse them they should not and insult to injury.
Ingekua ni hiari yangu Muuaji nae auwawe the moment amepatikana na hatia! Pili mbakaji aisee nawachukia hawa watu ingekua hiari yangu mbakaji akipatikana na hatia achomwe moto akiwa anajiona Wengi mtakuja mseme Mimi katili , ndio Mimi ni katili Tena sanaaa , nakataa kulipa Kodi iwalishe hawa watu makatili kuliko Mimi. Imagine mtu anambaka/kumlawiti mtoto mdogo anafungwa kidogo anaachiwa anarudi pale pale mtaani anaendelea kuishi kama kawaida anaendelea kufanya matukio Kitu msichojua wabakaji na wauwaji hawapo sawa kiakili ...kufungwa peke ake haitoshi mara nyingi wanarudia mambo hayohayo
@@lifeofyuri4020 unakumbuka babu sea kungekuwa na sheria za kunyongwa angekuwa kashanyongwa maana alihukumiwa Tayar Alionekan ana hatia yaani kalawiti sikatai wapo wanaofanya hivyo vitendo na wengne wanasingiziwa ila wanaosimamia izo kesi wanakuwa na nguvu unaonekana umefanya kweli
Kaka sky kila siku tuakwambia, bc weka the story hili tujue inakuwa kila jumangapi....km anavyofnya Jamal au justin shed.... Sio Hiv inakuwa gafra bin vuuuu aina mpangilio.... !!!!!!
Yani TANZANIA HAKUNA hata moja then South Africa ipo sio kwel, hii tafiki inabid wahusika muanze kwenda magerezan kuishi hata mwez ili mkitoka muwe na uharisia wa report
Alaafu tuna walaum wazungu eti wana tunyanyapa!😔💔 wakati ss wenyew hatujipendi bora tunge endelea kutawaliwa nawazungu huwenda leo hii engelikuwa afadhali
Ndugu sky ... Nafasi ya kwanza Africa inafaa iwe gereza la antanimora liko Antananarivo nchini Madagascar... Naomba ufanye research alafu utaona balaa lake hilo gereza
GEREZA LA MUKOBEKO, LIPO HAPA KABWE MJINI YAANI NILISHIKWA NA BUTWAA KUKUTA GEREZA KUBWA KAMA HILI KATIKA SEHEMU NINAYOISHI KWA HUKU ZAMBIA. IKUMBUKWE KUWA HILI NDO GEREZA LILILO TUMIKA KUMUSHIKILIA RAIS AMBAYE YUKO MADARAKANI KWA SASA.
Tanzania gereza sio nzuri kabisa wa police ndo wanawauna wa fungwa hiyo nimeona story ya kijana ka chukuliwa kwake nyumbani baada ya siku kaletwa maiti kauliwa gerezani kwa risasi itakuwa nani ?
Sikiliza vivuri lililopo ndani ya kitongoji 😝😝😝 kwanza huwa mji pakazaliwa wilaya ikisha kijiji wisho kitongoji.... ila wabongo punguzeni kujua mpaka munabowa