Hao waliokamatwa wapakiwe kwenye meli za kijeshi wakamwagwe katikati ga bahari yani kila kundi likikamatwa wanabebwa wanawamwaga baharini yani halaf wasitoe taarifa yani ile hawajulikani walipoenda wanapogezwa
Nchi zingine zinasumbuliwa na Magenge magumu lkn Serikali inapambana sana kuyazuia. Tanzania tunasumbukiwa eti na PANYA ROAD Watoto chini ya Miaka 17 Kila Mtu anawaogopa mpaka Police na Serikali zimewashindwa. Dunia ina mambo
Bidamuwaina hii no tishp za ulimwemgu tafuteni njia zkuwatokomexa wpelekwe kwenye poli la wanyama wakali watamalizika ni kitoeo cha simmba kupumzisha bibadamu shukulani
Tatizo watashindwa kuwaukumu kwa kukosa ushaidi, Haki za binadamu watapiga kelele kwa kuwa hawana makosa sababu ushaidi akuna, kwaiyo tuseme inaweza kuwa wanawashikilia kwa muda tyyu Kisha watakuwa Uhuru na hapo ndio mabalaha yatakapozi Mara mbili yake Tena kwa umakini zaidi Yani bila kuacha ushaidi
Hpo hakuna ushahid boss hau direct wameshaanza kutumikia kifungo hizo tatu zote zina nembo zao MS 13 nawamehamishwa gereza tayari wamepelekwa marekani kwenye gereza lamateso makali watakaa milele