Kiukwel spend kukoment lkin napenda sana makala yako na sauti yako hongera sana kaka kwa uelewa wako na huyumbi Wala kusitasita katika usimuliz wako ahsante
Yaani mtu anazaliwa kwenye gereza na yeye anaishi Kama mfungwa! Kosa lake la yeye kuishi Kama mfungwa lilikuwa ni lipi? Ila hiyo story Ni movie kabisa!
Kisanga nikwamba ukiwa kule hutembelewi maana ni.makosa ya.kivita tuu hakuna kuingia hivyo huyo mtoto hangeweza kuruusiwa maana hajui pakwenda hivyo inampasa akae mpaka.mzazi.atoke
Hizi zingine ni perception tu juu ya wananchi na nchi hizo kwakuwa taarifa zake nyingi hatuna na inapelekea tuletewe propaganda tu na maadui wake. Mfano usema masai anateseka kuishi polini na ng'ombe ilihali kwao ni fresh tuu na wanatuona sie hamnazo kwa lifestyle tunayoishi
HARMONIZE ARUDISHA GARI RANGE ZAKE ALIZOMPA KAJALA ABANDUA JINA LA KAJALA👇🏼👇🏼👇🏼 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-vtCrTsVcEyw.html #SHARE NA WENGINE 🙏
Naomba kuuliza hasa yy c mwanaharakat anafanya kazi ya kutetea haki za binadamu?sasa anawezaje kufanikisha hilo wakat rahisi wao ndo muhusika mkubwa wa roho mby?
yaani kwamfano ningekuwa raisi wa Tanzania chakwanza ningejenga gereza ambalo wale wanao ua wenzao au kubaka au kula rushwa ndio ingekuwa gereza lao niamini wangeingia humo yaan ukitoka hutoweza kurudia kabisaaa😅😅😅