Tazamna full interview ya Yammi (Msanii wa Nandy) amefunguka mastori kibao, Zuchu na Nandy walivokutana hivi karibu, alivyokua na Mbosso studio! Subscribe, Like, Comment & Share
Kwa7bu madrasa huwa inasaidia kutampka herufi vizuli na kuna miondoko frani ya sauti kama sika bayat nahawndi ajemi hizi saut ukizijua ukilet kweny mziki wowte iwe taarabu au bongo freva huwa inaleta mziki mzuli na
@@azizaali687 sikatai ila uwekezeji wa kutoshq unaitaji kwenye mziki,ukifuata interview ya Kill mu masai kwenye interview kasema wazi Nandi msanii wako Amy akienda ku shoot jaribu kumupatia camera nzuri (namnukuu) sasa msanii chini ya lebel anaenda shoot video na camera mbovu uwekezaji gani huo?
@@fadyabajaber9654kilicho hapo ukweli ni zuchu iko kwenye lebel ambayo wana brand, lebel inawekeza pesa kwa wasanii wao, lebel ambayo inajuwa ku promote hizo ni anga ambazo hakunap lebel mbili tz kama Wasafi