Kiukwli sauti yake nzuri na ni mzuri Natural na anajua kujiweka kisanii kuvaa kuendana na anachofanya kam beyonce safi sana tunamwombea azidi kufika mbali nakujieshimu
Msimfananishe n zuchu anakipaji huyu Dada naaamin atakuwa sawa kadri CK zinavyozidi kusonga Sasa zuchu anakujaje hapa zuchu mwenyew amechelewa kuwa sawa an kwenye mstaari ulioonyooka mumuache huyu Dada Kama alivyo kumbukeni n msanii wa nandy huyo kongole nandy many n karembo utakuwa sawa one day kipaji unacho
Msivunje moyo wa mtu ni vzr zaid kumtia moyo kwan sh ngap,unajua mtaani kuna vipaji ving sana na weng wao hawavitumii kbs na kavitumia ni tiktok uko so ikatokea mtu akaona kile kipaji cha mtu sasa yeye yule wa pembeni ndio anaamua kutumia kipaji cha uyo mtu..msifananishe zuchu na huyu dada.
Huyo Hana uwezo ndio maana ana fnanishwa na zuchu Yani Hana kitu kipya japo zuchu haja mfikia hata kidgo huyu dada Hana saut nzuri ya asili Mpka ajikamue Yani nyie mnauwa vpaji ....Sasa wasnii wakike wakali hvo hamjawaoona ..jmn muumchukue hata Agnes BSS duh kwl hatuwezi toboa kwa ubaguzi huuu