Тёмный
No video :(

Watu Wameomba Irudiwe 🙌🏾| Kaondoka Na Kijiji Mara Ya Kwanza Jukwaani | Yammi Na Hunipendi Live 🎶. 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 60 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 73   
@adamudamasi9502
@adamudamasi9502 Год назад
Huyu mdada anajua kuimba na sautiyake mzuri Sanaa atafika mbali Sana anawafunika wadada wengi Sana kwenye mziki ,Na nimrembo wa surajamani
@user-vt7hd2yl7t
@user-vt7hd2yl7t 6 месяцев назад
Yah mdada ameweza kabisa naipenda maneno nasautiyake nzuri sana
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty Год назад
Kiukwli sauti yake nzuri na ni mzuri Natural na anajua kujiweka kisanii kuvaa kuendana na anachofanya kam beyonce safi sana tunamwombea azidi kufika mbali nakujieshimu
@michaelmanugwa7454
@michaelmanugwa7454 Год назад
Aisee mdogo wangu unajua unajua unajua endlea kupambana🔥🔥🔥🔥🔥
@esthermuthoni3763
@esthermuthoni3763 Год назад
Waoh much love from Kenya. Congrats
@ramadhansadik001
@ramadhansadik001 Год назад
She is so creative and she is a talented artist, big up dear lov u and wish u da bect on that journey
@victorokan2973
@victorokan2973 Год назад
Hapa zuchu hafiki huyu ni Madonga moto hiyo kawakishwa💯💯💯
@junelatifah1385
@junelatifah1385 Год назад
Congrats yammi much love from +254
@mwajumsleman9070
@mwajumsleman9070 Год назад
Tuseme ukwel t zuchu hamuingii hyu mdada kwnz zuchu akiimba live Saut yke mbaya😄😄😄Ila hyu hongera yake
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty Год назад
Msifananishe na zuchu binti wa watu bado mdogo ndio kwanza asije kupotea acha bwana
@salamacool6794
@salamacool6794 Год назад
Piga kazi dogo allah kareeem
@issaabudullah3856
@issaabudullah3856 Год назад
Kusema ukweli uyo dada anajua kuimba
@abouayman8713
@abouayman8713 Год назад
af yuko na mvuto uy
@fadhilamlay407
@fadhilamlay407 Год назад
Sauti nzuri sana naww mwenyew mzuri
@othmankhatibothman3051
@othmankhatibothman3051 Год назад
Kizuri ni kizuri tuh always tunapenda kutrendisha vitu vilivyo so difficult it yammy not zuchu tusilete complain za kuvunja watu moyo
@irenechris5418
@irenechris5418 Год назад
True
@arafasaidi2723
@arafasaidi2723 22 дня назад
Mtoto. Sauti. Nzuri
@azanyboy
@azanyboy Год назад
Huuu Sasa ndo mzikii fire
@kingbyaro6016
@kingbyaro6016 Год назад
Wa kwanza naomba like 1 tuu
@alicenice1711
@alicenice1711 Год назад
Mashallah kasauti ka nandy😍
@user-xx1yw7jw2p
@user-xx1yw7jw2p Год назад
Sauti kama mondi zinafanana 😊
@oguta_254
@oguta_254 Год назад
Can't wait a collabo with mondy/khan
@mwaruatsuma4169
@mwaruatsuma4169 Год назад
Jamani anasauti kama ruby mashaalla
@japheth2673
@japheth2673 Год назад
Zuchu hamfiki yamm hata na robo hawaendani ymm ni mzuri amefanana na nandy wanaendana na viegezo
@user-lq4fi9en3t
@user-lq4fi9en3t 11 месяцев назад
Anaimba sana Yammy na sauti nzuli sana ila kwa rubby Bado sana
@sassboy9360
@sassboy9360 Год назад
Good music 🎶
@wakatv3704
@wakatv3704 Год назад
huyu demu ana jua tuna mjua siku nyingi
@margaotto
@margaotto Год назад
Hongera da yammi unafny vzr sid
@collinfrank3505
@collinfrank3505 Год назад
Kafanana na tems
@mkambotv5418
@mkambotv5418 Год назад
Zuchu ajipange upya kudadeki huyu dada anajua mpaka anajua tena
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Год назад
Yuko vizuli sana kwa live unanjoi hongera habinti
@Ibn_Arabi_Sultan
@Ibn_Arabi_Sultan Год назад
Ni vizuri sio vizuli😂😂😂😂😂
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Год назад
@@Ibn_Arabi_Sultan shukran kwa kunuweka sawa ila si umenielewa nilicho maanisha
@mkaleboybeatz4343
@mkaleboybeatz4343 Год назад
Manshallah ❤️❤️🔥💥💕🎉
@zuenakhassim
@zuenakhassim Год назад
Kama reyc vile, hongera dda
@ashasaid542
@ashasaid542 Год назад
Mashallah kipenzi
@malagalilaoscar9332
@malagalilaoscar9332 Год назад
Wonderfullll
@zennajafary8059
@zennajafary8059 Год назад
Msimfananishe n zuchu anakipaji huyu Dada naaamin atakuwa sawa kadri CK zinavyozidi kusonga Sasa zuchu anakujaje hapa zuchu mwenyew amechelewa kuwa sawa an kwenye mstaari ulioonyooka mumuache huyu Dada Kama alivyo kumbukeni n msanii wa nandy huyo kongole nandy many n karembo utakuwa sawa one day kipaji unacho
@user-rx5jx5wt3t
@user-rx5jx5wt3t Год назад
Sauti nzur hongera
@helenfoidy7206
@helenfoidy7206 Год назад
Yamini 150 asilimia
@isdorahtukiko4026
@isdorahtukiko4026 Год назад
Alhamdulilah ❤❤
@oyay2821
@oyay2821 Год назад
Zuchu arudi Zanzibar akauze samaki tushapata msanii mpya
@janetymatola6639
@janetymatola6639 11 месяцев назад
❤❤❤❤
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 Год назад
Msivunje moyo wa mtu ni vzr zaid kumtia moyo kwan sh ngap,unajua mtaani kuna vipaji ving sana na weng wao hawavitumii kbs na kavitumia ni tiktok uko so ikatokea mtu akaona kile kipaji cha mtu sasa yeye yule wa pembeni ndio anaamua kutumia kipaji cha uyo mtu..msifananishe zuchu na huyu dada.
@milliemildred8991
@milliemildred8991 Год назад
Mashallaha
@zainabmohammed4111
@zainabmohammed4111 Год назад
🔥🔥
@mariammbogo2283
@mariammbogo2283 Год назад
Hatar
@nairatomar9389
@nairatomar9389 Год назад
🎶🎼💞💞💞
@christianmosses4408
@christianmosses4408 Год назад
Uko vyema san hongeza bidii ufike mbali
@zuhuraakida5932
@zuhuraakida5932 Год назад
Huyu mzanzibar lafudhi haiongopi🤷 good luck ♥️
@asmahaji6789
@asmahaji6789 Год назад
Kama weli mm mwenywe nikimsikiliz namuhisi ni wakwet Ila wanasem sio WA Zanzibar
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 Год назад
Anafanana. Na. Paula. Uso
@sabrinabakar4927
@sabrinabakar4927 Год назад
Kwel kabisa Paula kajichubua tu
@mudarisuburhan7182
@mudarisuburhan7182 Год назад
Huyo Hana uwezo ndio maana ana fnanishwa na zuchu Yani Hana kitu kipya japo zuchu haja mfikia hata kidgo huyu dada Hana saut nzuri ya asili Mpka ajikamue Yani nyie mnauwa vpaji ....Sasa wasnii wakike wakali hvo hamjawaoona ..jmn muumchukue hata Agnes BSS duh kwl hatuwezi toboa kwa ubaguzi huuu
@mudarisuburhan7182
@mudarisuburhan7182 Год назад
No msanii hapo
@marafikistation
@marafikistation Год назад
Wewe unayo yaasili kaimbe
@praygodndosi8481
@praygodndosi8481 Год назад
Zuchu. 100 percent
@josephgabriel723
@josephgabriel723 Год назад
Zuchu kafata nin mnaokoment mbona mnamshusha ivo bila kujua😂😂
@maryamhamad3485
@maryamhamad3485 Год назад
Anamuiga zuchu
@lombardocrich6177
@lombardocrich6177 Год назад
Wee zuchu ndo anamwiiga huyu dada niwamda Sana ila alikuwa Hana pawer ya kutoka zuchu akasoma na zuchu anamjuwa vizuri kwamba ni mwalimu
@alicenice1711
@alicenice1711 Год назад
Njo mdudu gani uyo
@ilhamhaji1125
@ilhamhaji1125 Год назад
Eweee😁😄😄😄
@eliyaelisha7482
@eliyaelisha7482 Год назад
Yap ongera dada kaza sema ulikuwa out of key kalibu nyimbo zote sijui ni bendi au ila kaza inaelekea ujafanya mazoezi
@beueosbxbsis
@beueosbxbsis Год назад
out of key? au tune mzee 🤣🤣🤣mana key wanafata hadi backing vocalists tuseme wako kwenye chords tofauti? tumtie moyo ujuaji sometimes sio inshu
@manmkwanyu3525
@manmkwanyu3525 Год назад
Kila msanii siku izi anaimba kama zuchu Sasa ubunifu umeisha kwa wasanii wachanga au maana apo tunamuona muimba cover wa zuchu
@tabuomary1016
@tabuomary1016 Год назад
Kwakweli huyu Ni cover wa ZUCHU.
@lombardocrich6177
@lombardocrich6177 Год назад
Sasa Kama hujuwi huyu ndo mwalimu wa zuchu....zuchu mwenyewe ndo anamwiiga
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 Год назад
Kunbtfaut kubw ya uimbj wa zuchu na yammi unamkosea heshima vocal za zuchu n taarb fln ila huyu hyuk huko
@Khmy54
@Khmy54 Год назад
Huyu mdada wa mda zuchu hapa ndo anaiga
@salimmbarak618
@salimmbarak618 Год назад
Ni kama zuchu ndio wa kwanza kuimba 😏 ,, Yammy ameanza kitambo ila watu ni mashabiki wa WCB but sio wa Mzikii mzuri
Далее
Buki, Yammy - Sio Vibaya (English Subtitled Video)
3:33
Wife habit 😂 #shorts
00:16
Просмотров 62 млн
#yammi  msanii wa #nandy   Show yake    #wedding
5:13
Просмотров 32 тыс.
Barnaba feat Yammi - Nibusu (Visualiser)
3:38
Просмотров 1,2 млн