Тёмный

YOUNG LUNYA AFUNGUKA KUHUSU YOUNG KILLER/ FID Q na JOH MAKINI HAWAWEZI 

EastAfricaTV
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 102   
@adammayogho300
@adammayogho300 2 месяца назад
Kama una mpenda young lunya gonga like hapa
@MpuyaMayunga
@MpuyaMayunga 3 месяца назад
Nashukuru kwa kutambua heshma ya regends poa dogo umetisha
@yvesyveldinhomzee.5682
@yvesyveldinhomzee.5682 9 дней назад
Achana na mzee Fid Q ba2 wa rapper tanzania 🇹🇿
@husseinmkungu1166
@husseinmkungu1166 3 месяца назад
Kila mtu na style yake yakuchana acheni majungu lunya anajua ❤❤❤
@chimbwara4140
@chimbwara4140 3 месяца назад
kalibia ana left group
@micmac7035
@micmac7035 3 месяца назад
Alafu huu jamaa akiwa na dread locks kama Carter Wayne vile🧐
@emmanuellaurent-uw7ym
@emmanuellaurent-uw7ym 2 месяца назад
acapela ni sifur ila huwa anabebwa na biti
@Davida-vi7ef
@Davida-vi7ef 2 месяца назад
Namkubar lunya coz stayle yake yakuimba kujikubar kuwachana masnichi nataka kumfananisha na Mick mill 🎉
@LotFta
@LotFta 2 месяца назад
Daaah pole mwanang bola ungekaa kimya jam mjinga
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 2 месяца назад
Watangazaji wengi mic 🎤 chache studio duh!Presenters liangalieni hili
@mzingtingofficial7401
@mzingtingofficial7401 3 месяца назад
Huyu ndio rappa tunatambua global🇰🇪hawa marapa wengine warudi shule wanaimba ufala
@user-vz4xj2ci2w
@user-vz4xj2ci2w 3 месяца назад
wanamchuka mtu alofanikiwa sahivi wamemtafutia mpinzani samata kuwa msuva ndo mkali, mondi wanasema kiba mkali, mwakinyo wanasema mkali ni kiduku ila ukweli tunajua wote lunya nw ndo mkali labda useme mtu kama darasa na mtu kama jay moe hao wanaweza kuachia jiwe ata kesho ila nw kina killer wamepotea
@cbegram6161
@cbegram6161 2 месяца назад
Umeongea ukweli mtupu 😂😂
@Dcreature-b4m
@Dcreature-b4m 3 месяца назад
Youngking🔥🔥🔥
@kleenheart
@kleenheart 3 месяца назад
Inspiration .the G.O.A.T
@GreenGhama
@GreenGhama 2 месяца назад
❤❤❤❤❤too much love brother
@dismanManota
@dismanManota 2 месяца назад
Bro nyimbo zake kali sana
@waitinmboto8716
@waitinmboto8716 3 месяца назад
mbwa mwitu ina inspiration mtaani bro💪
@shadrackjasson
@shadrackjasson 2 месяца назад
Mbwa mwitu❤❤❤❤❤ mbuziiiii
@hamzasanga1038
@hamzasanga1038 3 месяца назад
Safii kak
@HenrySebastian-uf3zj
@HenrySebastian-uf3zj 3 месяца назад
Mbuzi International rapper🙌🏻🔥
@StevenKagaruki
@StevenKagaruki 2 месяца назад
Hakuna raper hapo mwambie aache kelele
@PauloBarton
@PauloBarton 2 месяца назад
Young lunya wewe ni Noma ndio raper Bora hivi sasa hakuna ushindani wewe ni namba moja
@AthumaniChalamila
@AthumaniChalamila 3 месяца назад
Oya uyo namba moja tu
@SamsonWilifred
@SamsonWilifred День назад
Sasa hapo konekupika mwanaume alafu unajisifu kuwa Dah! Utakuja kuwa shishi beby
@chopper018
@chopper018 3 месяца назад
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Sumambish
@Sumambish 2 месяца назад
@##Mbuzi kamambuzi🎉🎉hamatiki
@Daniel_89_89
@Daniel_89_89 3 месяца назад
Watangazaji wanaongea haraka kama wana tongue twist au Muda ni mchache??
@EvaDonasian
@EvaDonasian 3 месяца назад
Baba wa kambo🎉
@ramamabrok2523
@ramamabrok2523 3 месяца назад
Msodoki 👑🏆
@hamzasanga1038
@hamzasanga1038 3 месяца назад
Pole
@bongetimwa4948
@bongetimwa4948 2 месяца назад
Sony wameuziwa mbuzi kwenye guni
@richkaja3317
@richkaja3317 3 месяца назад
Dogo anajua sanaa sema minyama sanaa
@CharlesMasanja-rb6ke
@CharlesMasanja-rb6ke 2 месяца назад
Msodoki❤❤
@user-uw7er1ec3v
@user-uw7er1ec3v 3 месяца назад
Nyinyi mafala acheni kumsema mtuvibaya . Kama kuna noma nawe . Mfate mwambie
@emmanuelnkwabi8610
@emmanuelnkwabi8610 3 месяца назад
Oiii kelele nyingi hana jipya huyu amefula nini vile ngoja nimuulize toxic😂😂😂😂😂😂
@MembaGenius-yt5fj
@MembaGenius-yt5fj 3 месяца назад
Fanya ww ambae hupigi kelele
@NassibuKassimu
@NassibuKassimu 2 месяца назад
Hahahaahhahahha hv tenah kmbeee lunyaaa jingaaaa kwl😢
@DotoMsangi
@DotoMsangi 2 месяца назад
Hatuna rapper hapa kulinganisha na mistar ya msodok namakelele hayo Bado mno
@thompsonkiputa6842
@thompsonkiputa6842 3 месяца назад
Storytellers Rapcha, pc the MC, kontawa, young killer na wengne. 😅
@mbarakasijaona7638
@mbarakasijaona7638 2 месяца назад
Kama sijaelewa 😂😂😂😂😂
@ibraaahmwanyello6233
@ibraaahmwanyello6233 3 месяца назад
Wala huyu sio mkali sana sema ni managment yake ina mbeba
@zachaamaster5378
@zachaamaster5378 2 месяца назад
#uyu aimbii bari anabwata
@MpuyaMayunga
@MpuyaMayunga 3 месяца назад
Lunya ni Lil Wayne wa bongo naye Hana kidevu kama wiz wa USA Ila mbuzi mnyama Ana kidevu hapo imekaaje
@GodfreyTumaini-gf7sc
@GodfreyTumaini-gf7sc 2 месяца назад
Msodokiiii🎉🎉🎉🎉
@Davida-vi7ef
@Davida-vi7ef 2 месяца назад
Sura imaetakata kama naogea maziwa😂
@rodriguekalubandika535
@rodriguekalubandika535 3 месяца назад
Still Moja kama nkombe😂
@MpuyaMayunga
@MpuyaMayunga 3 месяца назад
Acha zako wewe huwa muda mwingi unamuwaza young killer
@mhogomchungu7882
@mhogomchungu7882 3 месяца назад
Huyu shoga tu…hamna rapper hapa
@richlord22634
@richlord22634 2 месяца назад
Unaweza mchukia mtu lakini jaribu kumaintain respect kwa huyo mtu, itakusaidia sana kwenye maisha kuliko kuropoka mambo kama f*la.
@abuubaqr5808
@abuubaqr5808 2 месяца назад
Shoga kwanini? Kwajili kafanikiwa au?
@mhogomchungu7882
@mhogomchungu7882 2 месяца назад
@@richlord22634 we unamuona kabx jamaa ni wakiume??…”kuwa fahari kwa wenzio michezo ya namna hiyo hatuikubali ni ya kidemu,ni sawa na kusema we ni mkali wakat na radio zinakupa promo ya hatar unaua game…🎶
@mhogomchungu7882
@mhogomchungu7882 2 месяца назад
@@abuubaqr5808 jamaa analiwa kinyeo..afu sio kwamb nmemdharau ..jamaa kashazoea kwaio sio shidah
@AlyFaby-wi1ug
@AlyFaby-wi1ug 2 месяца назад
rapper ni ww n dada yak half ww unfkiria mbuzu n mbuz kweli hamn broo wach majung
@rodriguekalubandika535
@rodriguekalubandika535 3 месяца назад
Msodoki👑🤴🏻
@oscarhenry451
@oscarhenry451 2 месяца назад
Pumzi zamkata hamna kitu hata ywanyongwa na mate
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 месяца назад
Mjomba bado kila mkorofi hata sauti yake ina ladha ya kuimba tatizo wewe ni kelele nyingi na kutunga mistari bado
@oscarhenry451
@oscarhenry451 2 месяца назад
Toka zama za mangwea sjawai muona mbuzi mwenye mashavu yaliolegea
@MpuyaMayunga
@MpuyaMayunga 3 месяца назад
Usipomdiss killer wewe huna jipya unyama wako ni kumdiss imba na maisha
@josephphilipo5213
@josephphilipo5213 3 месяца назад
Mna maswali ya kiwaki.uyo meneja angepewa muda angetupa madini mengi
@manwoka4078
@manwoka4078 3 месяца назад
Huyu ni Rapper tu kwenye HipHop hausiki kabisa.fake ,sioni meseji anayoileta kwa mitaa zaidi ya majigambo
@rodriguekalubandika535
@rodriguekalubandika535 3 месяца назад
Chid Benz oyee our legend
@japhsam_simulator
@japhsam_simulator 2 месяца назад
mpeni definition ya mbuzi kwanza anaonekana hajui maana ya hilo neno
@user-rp1ly4xc8k
@user-rp1ly4xc8k 3 месяца назад
Una kipaji bro ila hujui kubadirika kulingana na nyakati hebu jaribu kujifunza kwa OG maana nae alianza hivihivi lakini alikua anajua anachokifanya badae akachange na sas ukimsikiliza unaelewa anachozungumza
@user-xp4re6tv8l
@user-xp4re6tv8l 2 месяца назад
Bado msodoki king❤
@magga_v
@magga_v 2 месяца назад
Kurap anajua ila free stail uwongo
@tylortech
@tylortech Месяц назад
Egotistic
@agnessnkandi5229
@agnessnkandi5229 3 месяца назад
Anapiga sana kelele uyu boya
@MembaGenius-yt5fj
@MembaGenius-yt5fj 3 месяца назад
Fanya ww ambae hupigi kelele
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 3 месяца назад
Young killer ft Aumuwezi
@MembaGenius-yt5fj
@MembaGenius-yt5fj 3 месяца назад
Kila mtu na zama zake
@GeorgeEdward-mu1xg
@GeorgeEdward-mu1xg 3 месяца назад
Akashindane na gigy money ao sio type yake kbc ten kma fd atoboi kbc
@MembaGenius-yt5fj
@MembaGenius-yt5fj 3 месяца назад
Hip hop ni majigambo ww mtoto wa 2000 na k2 nn
@ginimbifamily3995
@ginimbifamily3995 2 месяца назад
Huyu ajuw chochote..anacho kiimba akieleweki 😂😂😂😂
@zachaamaster5378
@zachaamaster5378 2 месяца назад
Yani mavi matupu
@FahadAli-ni5eu
@FahadAli-ni5eu 2 месяца назад
Ana free style nyimbo zke hawezi kuzungumzia ata cheni yke huyu rapa gani sasa
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 3 месяца назад
Uyu anafosi bifu na msodoki
@MembaGenius-yt5fj
@MembaGenius-yt5fj 3 месяца назад
Kila mtu na zama zake
@jomiAfrica
@jomiAfrica 3 месяца назад
Makelele kama generator 😂😂😂
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@user-rd3nh3ho8q
@user-rd3nh3ho8q 3 месяца назад
😂
@MembaGenius-yt5fj
@MembaGenius-yt5fj 3 месяца назад
Toa yk ambayo haina kelele
@jomiAfrica
@jomiAfrica 3 месяца назад
Andika Jomi Africa song makopo uone tunavyoandika idea
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding 3 месяца назад
Kinachokuharibia nikuwa shoga tu pale Ramada na ushahid upo
@cbegram6161
@cbegram6161 2 месяца назад
Uko wapi?
@nomineetz255
@nomineetz255 2 месяца назад
Live hana pumzi 😂jamaa
@user-bm4ln5jc6j
@user-bm4ln5jc6j 3 месяца назад
Huyu boy hata sijui demu wake anamsifia saangap😂
@godsson5954
@godsson5954 3 месяца назад
HIPHOP IS DEAD
@MembaGenius-yt5fj
@MembaGenius-yt5fj 3 месяца назад
Hip hop never died
@mstarabubeats2165
@mstarabubeats2165 2 месяца назад
promo za kishamba mbona mziki wetu hauendi kokote huyu anatumiwa na mabossi2 mda wake ukiisha mtamuona msanii anachana utumbo mtupu😂😂😂
@emmanuelnkwabi8610
@emmanuelnkwabi8610 3 месяца назад
Kashindane na gigy boya sana huna lolote,ukizungumzia mwalimu wako ni p the mc kelele nyingi
@MembaGenius-yt5fj
@MembaGenius-yt5fj 3 месяца назад
Lunya ni mkal bt mti wa matunda unapigwa mawe
@user-zj5ei1kl6p
@user-zj5ei1kl6p 3 месяца назад
Msodokiiiii
@eliudeliakayela9598
@eliudeliakayela9598 2 месяца назад
Pumzi pumzi pumzi pumzi hamna Mate yamejaa kwenye maiki
@merckmdamu2942
@merckmdamu2942 3 месяца назад
Hunalolotewewe mbweha2
@MembaGenius-yt5fj
@MembaGenius-yt5fj 3 месяца назад
Ww mwenye lolote toa ngoma yk tuone
Далее
THE CLASSIC JOH MAKINI:
1:13:33
Просмотров 2,4 тыс.
Новый уровень твоей сосиски
00:33