Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
wanamchuka mtu alofanikiwa sahivi wamemtafutia mpinzani samata kuwa msuva ndo mkali, mondi wanasema kiba mkali, mwakinyo wanasema mkali ni kiduku ila ukweli tunajua wote lunya nw ndo mkali labda useme mtu kama darasa na mtu kama jay moe hao wanaweza kuachia jiwe ata kesho ila nw kina killer wamepotea
@@richlord22634 we unamuona kabx jamaa ni wakiume??…”kuwa fahari kwa wenzio michezo ya namna hiyo hatuikubali ni ya kidemu,ni sawa na kusema we ni mkali wakat na radio zinakupa promo ya hatar unaua game…🎶
Una kipaji bro ila hujui kubadirika kulingana na nyakati hebu jaribu kujifunza kwa OG maana nae alianza hivihivi lakini alikua anajua anachokifanya badae akachange na sas ukimsikiliza unaelewa anachozungumza