Тёмный

WEWE NDACHA NITAKUUA MIMI NATISHA //Prof MAZINGE 

arkas online tv
Подписаться 127 тыс.
Просмотров 335 тыс.
50% 1

USISAHAU KU SUBSCRIBE

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 749   
@user-uf4rz4hm8f
@user-uf4rz4hm8f 5 месяцев назад
Ndacha umemzidi sana Mazinge.Ndacha ni profesa wa Injili
@kimanidatch6096
@kimanidatch6096 Год назад
Mazinge Hana lengo la KUFUNDISHA,,Bali ana lengo la kukashfu....,Hawezi KUSAIDIA wale wasiojua...Ndacha ni Mwalimu wa kweli wa Neno la Mungu.,,Mazinge mpokee Yesu,vinginevyo utasaga meno jehunum.
@FatmaNash-nd5kz
@FatmaNash-nd5kz 3 месяца назад
Nyinyi ndie mwasaidia watu kwakumwabudu binadamu mwenzenu
@yohanakiyumbi4795
@yohanakiyumbi4795 Год назад
Najivunia Saana kuwa Mkristo... tuendelee sn kumuomba Mungu Baba,,,Mungu Mwana na Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏 aendelee kutubariki Milele Daima
@111dudi
@111dudi Год назад
Mpaka sasa hamjui nani mungu. Kuna mungu aliyefia msalabani,kuna mungu roho hata haijulilani yuko vipi,kuna mungu baba, hamjui kama alikuwa baba vipi, nani mkewe.
@yohanakiyumbi4795
@yohanakiyumbi4795 Год назад
@@111dudi Pia Kuna Mungu Roho Mtakatifu yeye alikuja Duniani baada ya Yesu Kristo Wakati alivyokuwa akipaa Mbinguni alisema "Nitawaachieni Mrithi Wangu ambaye ni Roho Mtakatifu ambaye ni Mungu nafsi ya 3...lolote zuri mtakalomuomba hakika mtaokolewa
@yohanakiyumbi4795
@yohanakiyumbi4795 Год назад
@@111dudi Soma sn Biblia Kisha anza kwenda Kanisani hususani dhehebu la Roman Catholic ndipo utajua kuwa Mwenyezi Mungu ni Mmoja ila amegawanyika nafsi 3....Mungu Baba,,, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏
@111dudi
@111dudi Год назад
@@yohanakiyumbi4795 Dhehebu hili linajulikama kwa kuruhusu watu wa jinsia moja kuoana na kuna mapasta mashoga. Astaghfiru Llah
@akibaali1450
@akibaali1450 Год назад
Umepotea njoo kwenye dini ya haki na ukweli
@enockkibona7522
@enockkibona7522 Год назад
Ndacha wewe ni Mwalimu mzuri sana God bless you
@adarashidi8178
@adarashidi8178 Год назад
Amen
@damianopetro5872
@damianopetro5872 Год назад
Thanks ur one who made me embrace Islam
@fahadbabuy
@fahadbabuy Год назад
Mwalimu muongo😂
@luluamin1388
@luluamin1388 Год назад
Mungejua maandiko basi musingeli msikiliza huyu ndacha conman wa maandiko
@martoo539
@martoo539 9 месяцев назад
​@@ARUWAAHMADA-jz9msmumeshdwa 😁😁kila saaa nkisema mohammand who Did nothing
@hellen9056
@hellen9056 2 месяца назад
Ndacha Mungu akubariki. Sisi tulio soma biblia tunajua unasoma kweli Waislamu wanadangwanywa kweli kweli na walimu wao wachukua kakipengele wanasoma hawanalizi point Mimi siyo mfuatiliaji saaana lakini kwa point za Yesu ni Mungu Dah umesoma zile point muhimu sana Usisahau ile Mungu alisema huyu ni mwanangu mpendwa wangu nimependezwa nae
@phenomenalsam.5722
@phenomenalsam.5722 9 месяцев назад
Paul umefunzwa na mungu kusoma ,, 😂😂God bless you dacha and paul
@franknzegenuka2335
@franknzegenuka2335 Год назад
Sheikh Mazinge unapoteza point, jibu swali kwanza. Ndacha ni fireee 🔥🔥🔥
@111dudi
@111dudi Год назад
Ndacha ni muongo anabadili aya apate kushinda
@saulidongo1865
@saulidongo1865 Год назад
Shida yao hawa wanajibu bila hoja.
@yohanakiyumbi4795
@yohanakiyumbi4795 Год назад
Ni kwl kbs ndugu...Mazinge hana Point za Msingi ila anataka kubishana na Imani ya Ukweli ya Kikristo
@maulidimanzi9964
@maulidimanzi9964 Год назад
Mashallah tabarakallah nakupenda Sana shekhe wangu mazinge upo vizur ndacha unamgalagaza tu Ila haelew
@111dudi
@111dudi Год назад
Tena yuko vizuri sana.kiboko ya wahubiri wa kikristo kama Ndacha wanaotimia ujaja ili washinde
@janenjeri9750
@janenjeri9750 Год назад
Ngoja hukumu,utamtafa umkosee Unaskiza ukweli ila bado unakataa,ole wako U
@111dudi
@111dudi Год назад
@@janenjeri9750 Biblia yenu imebadilishwa mara chungu nzima. Pope wenu anahalalisha ushoga. Na anataka aibadilishe biblia.na bado mnadai no neno la mungu. Wachungaji wenu na mapadri wanadai wanahubiri neno la mungu, ni wafanyakazi tuu wanalipwa mshahara na watu, siku mshahara ukisimama na kuhubiri wanaacha,kama Ndacha.sio kama waislam ambao mshahara wao unatoka kwa mungu. Mbona ham fungua akili zenu
@franckilunga2086
@franckilunga2086 Год назад
Mazinge huyo ni comedian kabisa. Mungu hawezi kuwa mjinga, huyo mwalimu anakufuru neno lamungu. Nawaonea huruma atawale kina mama wapikao kelele na mkutano wote.😢
@countercheck887
@countercheck887 Год назад
Mwalimu Ndacha Mungu akubariki na akulinde wewe ni dawa ya mazinge 🔥🔥🔥🔥🔥
@adarashidi8178
@adarashidi8178 Год назад
AMEN 🙏🔥🙌
@111dudi
@111dudi Год назад
Soma jibu langu.huyo Ndacha mpiga viraka wa aya.muongo
@legend9805
@legend9805 Год назад
Hakuna duniani ana elimu ya kuwashinda waislamu. Mungu amewapa elimu
@orotancnelly3047
@orotancnelly3047 Год назад
AMEN 🙏
@user-bt6mz8gd4x
@user-bt6mz8gd4x 4 месяца назад
Kabxa
@RajabuKiedu
@RajabuKiedu Месяц назад
Nashukuru mungu kwa kumpa maarifa mwalim ndacha na kuwafindisha hao waijue kweli ya mungu
@Obama-q4h
@Obama-q4h 6 месяцев назад
Mzinge pongezi katika dini ya kiisilam mngu akulipe inshallah na akujalie maisha mrefu pia
@naiknaik2816
@naiknaik2816 Год назад
MashaAllah Sheikh mazinge Allah akupe umri refu enye ibada na baraka inshaAllah
@saulidongo1865
@saulidongo1865 Год назад
Bado kidogo tu Mazinge atakua mchungaji Mazinge
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Год назад
@@saulidongo1865 Ndoto za Mchana Mazinge kuingia ukafiri wa Kikristo.
@saulidongo1865
@saulidongo1865 Год назад
@@mansooralaisri5200 Allah akufundishe hutaambia wakristo kafir tena.
@kayeesbelewa4819
@kayeesbelewa4819 Год назад
Mazinge comedian kweli,neno hana ila anamaneno
@faridashabanifaridashabani5950
@faridashabanifaridashabani5950 3 месяца назад
😂😂😂Ila wesilamu wanahitaji neema ya Kristo ndo mahana wakipata neema yakuwa wakrsto wanaitumia vyema karibu Kwa YESU aiseeee wote waisilamu ❤
@ProducerramaProducerrama
@ProducerramaProducerrama 6 дней назад
Umerogwa kagoogle umjue mfalme kristo yesu sio Mungu ni mtu tena binadamu
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 7 месяцев назад
ALHAMDULILLAH and im proud to be a Muslim. Kitabu chetu Quran hakijawahi na hakitowahi kutiwa mkono, Wakristo kuna maagano kibao,
@researchcorner.
@researchcorner. 7 месяцев назад
Mazinge Hana hoja
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 2 месяца назад
Mnaabudu shetani waisilamu
@RoseMuniss-y5q
@RoseMuniss-y5q Месяц назад
Kishabadilishwa sana tuu kilichokua halisi kilikua na page 7 na pombe ilihalalishwa lakini izo Aya zilifutwa na kubadilishwaa😊😊😊😊 familia au waulize waliokuzid
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Год назад
Yesu Kristo ni kweli na tena njia ya kweli na uzima.
@hassanadam3007
@hassanadam3007 Год назад
Wacha zako..
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Год назад
Amina
@frankmpembu
@frankmpembu Год назад
Amina
@yohanakiyumbi4795
@yohanakiyumbi4795 Год назад
Milele Amina🙏🙏🙏🙏
@FatmaNash-nd5kz
@FatmaNash-nd5kz 3 месяца назад
😂😂😂nyinyi mlioza sana uzima upi ,uzima ni waduniani tu hiyo milele uyaongelea niya duniani tu
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 5 дней назад
Prof. Mazinge anafaa kwa maendeleo ya Taifa. Mungu Mkubwa. Mbariki Prof. Mazinge na Mwalimu Ndacha.
@byakomasoka988
@byakomasoka988 3 месяца назад
Kwa yesu kristo nimeshika kabisa siwezi mwacha kamwe❤❤❤❤❤❤yesu kristo namba moja 🎉🎉🎉🎉🎉
@juliuslangat3970
@juliuslangat3970 Год назад
Ndacha Mungu akuongoze my brother
@ismailkarani7972
@ismailkarani7972 Год назад
Aongozwe au amepotea
@mzeerajab9154
@mzeerajab9154 Год назад
Bora umuombee maana anajithidi kupoteza watu.
@OmanOman-yk8kl
@OmanOman-yk8kl Год назад
​@@mzeerajab9154 ninyi ndo mmepotea
@philbertkabengo7905
@philbertkabengo7905 5 месяцев назад
NDACHA UNAUJUZ NA MARIFA YA MAANDIKO MUNGU AKUONGEZEEE MEMA YA NCHI NA UKUPE UFULME WAKE🙏🏿
@faridashabanifaridashabani5950
@faridashabanifaridashabani5950 3 месяца назад
Najivunia jina la YESU sina mashaka wala sitishiki ❤❤❤
@adlainekamonya-ic2kq
@adlainekamonya-ic2kq Год назад
mm Huwa sisikizi COMEDIAN MAZINGE😂😂😂... Huwa nazongeza tu mbele kumsikiza Ndacha ... Mungu akubariki Ndacha🙏🙏🙏
@SamuelNgala-iw1gz
@SamuelNgala-iw1gz Год назад
Hata mimi😂😂
@adlainekamonya-ic2kq
@adlainekamonya-ic2kq Год назад
@@SamuelNgala-iw1gz 🤣🙏🙏
@pinkaijoseph523
@pinkaijoseph523 7 месяцев назад
Pia mimi
@hackazteach
@hackazteach 5 месяцев назад
hamuna point nyinyi tangu lini yesu akawa mungu😂😂😂😂😂
@KennedyGideon-di8oh
@KennedyGideon-di8oh Месяц назад
Mazinge haongei chochote uaribu muda
@abdallaheji1269
@abdallaheji1269 Год назад
Mazinge uko vizuri sana
@philimaroa8021
@philimaroa8021 Год назад
Namshukuru yesu juu nimewaona hao waislamu wakikimbilia iyo damu ya yesu nakuinywa
@estersindano3485
@estersindano3485 Год назад
Wewe muislam wewe unaedanganywa unashabikia unamdhihaki yesu nakuhurumia sana
@thomasoloka3550
@thomasoloka3550 Год назад
Shehk mazige pigania dini ya uislamu Allah akuwake tebeza kalima ya lailahailala muhamad rasululahi
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 Год назад
N kweli anapigania ila ubaya anachekesha baada ya kufundisha
@peterotakwa3622
@peterotakwa3622 Год назад
mbona aja jibu swali
@sheikhaahmed1483
@sheikhaahmed1483 Год назад
Ameen
@wesleykiprono3583
@wesleykiprono3583 Год назад
Please let's find the real thing not islum or christianity
@wizdannymoshi3132
@wizdannymoshi3132 Год назад
Ndacha unafundisha kwel ila mazinge unapoteza waisilamu maznge unamkoxea mungu hufai kuw mwalimu
@Aisha-qx7kz
@Aisha-qx7kz Год назад
Broo mazinge mungu akujalie umrimrefu utujuze tusio yajua katika uisilamu inshaAllah
@user-iy2rz4dx5d
@user-iy2rz4dx5d 3 месяца назад
Najivunia kua Muslim hao makafir Hawana jipya mazinge mungu akulipe insha allah
@PhilipobonifacSado
@PhilipobonifacSado 2 месяца назад
Kafil nimpinga kristo ndacha namazinge Nan kafil
@user-fd7jy2gf3n
@user-fd7jy2gf3n 7 месяцев назад
Mimi ukristo sitoki mazinge huyu Jamaa sio rikalako maswaliyako kajibu vilivyo wewe haujajibu hadi mmoja porojo tu zako
@user-bx6xr6uz5l
@user-bx6xr6uz5l 8 месяцев назад
Kazi nzuri ndacha mungu akubariki
@user-fn1df9nj4r
@user-fn1df9nj4r 7 месяцев назад
Pastor Dacha you are a great teacher,,God bless you alot,,
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@patrickodhiambo9341
@patrickodhiambo9341 6 месяцев назад
Ndacha 🎉🎉
@peterraphael7132
@peterraphael7132 Год назад
Nakuamini sana mwalimu wa kisabato jina ngumu kuandika
@PhilipobonifacSado
@PhilipobonifacSado 2 месяца назад
We mazinge aujui zaidi yaushabiki
@everlynenanjala9747
@everlynenanjala9747 Год назад
Ubarikiwe Sana mchungaji ndacha MUNGU baba akuinue kwa kazi nzuri unayo fanya,, tunaamini mungu atawafugua macho,,
@shakiljuma5055
@shakiljuma5055 Год назад
Mungu awafungue macho nyinyi.... Inshallah
@halimasalim3985
@halimasalim3985 Год назад
Awafungue nyinyi macho
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 Год назад
Mazinge na huyo msomaji wKo, mwajua wasema uongo
@eliasemanuel2710
@eliasemanuel2710 Год назад
Anaigiza cyo kama haelewi anasimamia anacho kuamini na siyo kilicho kweli... Mungu atamleta kwake one day
@abdilatifhashi9659
@abdilatifhashi9659 Год назад
Masha Allah mashehe wetu wote Mola awalipe na Janatul Firdaus
@maryamjuma1980
@maryamjuma1980 Год назад
Amiin
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Год назад
Amiin
@ZayyanaBamuni
@ZayyanaBamuni Год назад
Amyn
@LilyKangethe-hw2bw
@LilyKangethe-hw2bw Год назад
Mashallah mwalimu Mazinge ...Sisi hapa tulislimu alhamdulilah.❤❤❤
@saumodzumbo9671
@saumodzumbo9671 11 месяцев назад
Mashaallaah
@mamawamoya3344
@mamawamoya3344 Год назад
Subhana Allah, maskini waimani,nawanajua
@manasa2449
@manasa2449 Год назад
Mazinge Allah akulinde na shari Amiin
@RamadhanAdam-up6qv
@RamadhanAdam-up6qv Год назад
Ama kwer Dunia inafika mwisho Hawa makafiri wanapotosha sana watu mungu wasaidie viongozo wetu waweze kutoa erimu ishaaallah mungu tujalie mwisho mwema
@SugowFarah-up3db
@SugowFarah-up3db Год назад
Hawatoshi mboga. Makafiri ni watu wasio na dini ila sisi twaenda na muongozo wa Qur'aan
@v_simon2677
@v_simon2677 Год назад
Umefumbwa na ibilisi kaka Mungu akutoe gizan
@saumodzumbo9671
@saumodzumbo9671 11 месяцев назад
Amiiiiiiiiin yaraabiiilaalamini
@user-wp1wz9ew8f
@user-wp1wz9ew8f 8 месяцев назад
Kafiri wewe unaeabudu na majini msikitini
@sayaribrand538
@sayaribrand538 Год назад
Ah ya uyu sheih mazinge ni hatari yan Legend
@ghyslainmulume8301
@ghyslainmulume8301 5 месяцев назад
Ndacha,Mungu akupe maisha marefu,ili uzidi ku tuelimisha,yesu Cristo akufiche kwa damu yake.
@cabylake2320
@cabylake2320 Год назад
Mashaallah 💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umri 🤲🤲🤲🤲🤲
@kisosekatere6282
@kisosekatere6282 Год назад
Huyu Sheik Mazinge yuko mbali sana na maandiko na mbona Ndacha alioneaha neno liko wazi Majina yameandikwa mbinguni Biblia ilioesha wanao hubiri Injili majina yao Yameandikwa Mbinguni, pili unakataa hutaki tafsiri ya Kanisa sasa uelezwe namna gani wakati maandiko yako wazi, Bila Ushabiki Elim na uelewa wa vitabu Ndacha yupo juu sana kuko S. Mazinge
@FatmaNash-nd5kz
@FatmaNash-nd5kz 3 месяца назад
Alikuonyesha wew usiejielewa
@gabinoamanaka3444
@gabinoamanaka3444 Год назад
We ndacha chunga sanaa hawa watu wanaweza waka kuuwa ulisema kwa jenga ulivamiwa wakapasua vioo vya gari yako hawa watu hawana imani mioyoni mwao hivi unavyo wapea dose chunga sana
@abuuhassani497
@abuuhassani497 4 месяца назад
Acha woga ndacha Elimu hana
@FatmaNash-nd5kz
@FatmaNash-nd5kz 3 месяца назад
Auliwe kisa anini cha maana sana huyo Ndacha ywawapoteza kabisaa mungu alitairiwa wapi kwa wapi
@RoseMuniss-y5q
@RoseMuniss-y5q Месяц назад
​@@abuuhassani497 uyo mazinge ndo kilaza kabsa anajichekesha hana ata fact...ndacha anakupatia adi andiko
@janenjeri9750
@janenjeri9750 Год назад
Ndacha mambo yote,ila naomba Mungu wetu mwenye nguvu awafungue waislamu macho,maana ni vipofu kabla MDA haujaisha
@officialhamis7031
@officialhamis7031 Год назад
Macho mfunge nyinyi macho
@abeidpazia1720
@abeidpazia1720 Год назад
Hamna dini inaitwa ukristo hata ndani ya bibli..
@MaryNjeri-ox1ry
@MaryNjeri-ox1ry 3 месяца назад
Ndacha Mungu akusaidie
@AhmadijumaJuma-fq2td
@AhmadijumaJuma-fq2td 8 месяцев назад
Namshukulu Allah kwakunijalia kua muislamu halmadulillah wakiristo tokeni uko mnapotea uislamu ndodini ya aki akuna dini inayoitwa ukiristo
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 месяцев назад
Mnatembea uchi siku ya Ijumaa na wakati wa kwenda msikitini hsmvai chupi😂😂😂😂
@issafaquedalaura8279
@issafaquedalaura8279 Год назад
Pro Mazinge Safi Sana Masha Allah
@zaudaislam2120
@zaudaislam2120 Год назад
Alhamdulillah kuzaliwa muislam n inshaallah mungu awaongoze hawa makafiri
@marwasamwel5668
@marwasamwel5668 7 месяцев назад
Amen pastor Ndacha mungu akubariki kwa ukweli wako
@shadrackjacob800
@shadrackjacob800 Год назад
Mazinge mbabaishaji tu anajibu tofauti na swali aliloulizwa.
@princejuma-vx1zk
@princejuma-vx1zk Год назад
Makafiri huwa wanatetema kwa hofu wakimuona mazinge 🔥 🔥 🔥
@akibaali1450
@akibaali1450 Год назад
Kabsaaa tena sanaaa
@pungopungo411
@pungopungo411 Год назад
.wewe una wazimu tusimuogope Muhamadi tukamogope mazinge?kumbe hujamjua mkristo vizuriNdani ya kristo kuna nguvu za ajabu.
@pungopungo411
@pungopungo411 Год назад
Huyo mazinge yuko kimwili zaidi .mazinge kashashidwa haongozwi na roho wa Mungu
@user-wp1wz9ew8f
@user-wp1wz9ew8f 8 месяцев назад
Sis c makafiri na pia hatuwezi tetemeka Kwa majini maana tunae kristo ambae na fire ya kuwalipua ninyi majini ndo maana hamna neno la mungu mna maneno ya walimwengu
@abiyafocus6992
@abiyafocus6992 6 месяцев назад
YANI NYINYI MNALALA NA MAJINI NDIYO MAANA AKILI HAMANA KABISA HAKUNA WAKUMUOGOPA HUYO NDACHA TUNAISHI KWA KUHESHIMIANA TO
@charletsada8779
@charletsada8779 Год назад
Ndacha MUNGU akubariki kwa ujasiri ulionaoo.iuko pekeyako lkn uko na ujasiri lkn najua YESU yuko ndani yako ndo huo ujasiri. Barikiwa sana
@mbwaralali5049
@mbwaralali5049 Год назад
Ndacha yuwa poteza watu fatilia vizuri vitabu yye yuwaunga unga ili apate ugali wake
@peteronjenga9954
@peteronjenga9954 Год назад
Ndacha ndie dawa ya Mazinge...Mungu ambariki Ndacha na amuongeze maisha marefu🙏🙏
@111dudi
@111dudi Год назад
Mazinge kiboko ya Ndacha, janja yake ya uongo inapigwa nyundo na Mazinge
@luqmanjabal9573
@luqmanjabal9573 Год назад
Hakuna ubaya kueleza mawazo na matamanio yenu.Mawazo dufu.
@PhilipobonifacSado
@PhilipobonifacSado 2 месяца назад
Uyu Mzee ajui et yesu ni muisilm au ni mkrsto yesu ni kristo ni cheo isilam ni unyenyekevu kwaio mkisema yesu ni muislamu pia mposawa au waislm amjui tafisl
@frankmpembu
@frankmpembu Год назад
Mazinge hana hoja, Nashukuru kuona baadhi ya Waislamu wanakuja kwa Yesu na kuukimbia Uislamu.
@abeidpazia1720
@abeidpazia1720 Год назад
Labda wa kike afuate mume,,hakuna muislam mwenye akili aliyesoma uislam wake akaujua halafu aingie kwenye ukafir hata Kwa pesa yoyote.
@mwilaben193
@mwilaben193 Год назад
May our heavenly father bless you pastor Ndacha
@lizndunchez720
@lizndunchez720 8 месяцев назад
​@@ARUWAAHMADA-jz9msww ndie utakufa ujinga yko mnaswli z kitoto sna
@MarthaJoy-lx2qk
@MarthaJoy-lx2qk 5 месяцев назад
Kwa kweli Ndacha wewe ndani kwako muna nguvuza Mungu aline hayi
@frankkaipa8925
@frankkaipa8925 Год назад
Ndacha Mungu nimukubwa utabatizwa wote waislam
@adarashidi8178
@adarashidi8178 Год назад
Amen Mungu ni mkubwa sana soon wote watabatizwa
@OmanOman-yk8kl
@OmanOman-yk8kl Год назад
​@@adarashidi8178 amen
@OmanOman-yk8kl
@OmanOman-yk8kl Год назад
Unataka kumuua kwa sababu Gani acha zenu waislam
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l 7 месяцев назад
Mazinge unatisha sana Allah akupe maisha marefu . Unapoteza pumzi kubwa kwa faida yao lakin ipo siku watakir
@mitchy2219
@mitchy2219 7 месяцев назад
Kwa kweli mmdahalo huu una maana kubwa kwani kila mshirki wa dini yake anafahamu undani wa mafunzo yanayo zungumziwa hata hivyo una dhibitisha majibu yalio na ufasaha na dhihaka jibu linapotelewa sisawa kujibu swali ukijua unawapotosha wasikilizaji fursa ya kuto ona kweli la mjadala je kuna maana gani kua na mjadal kama huu uwe funzo kwa mumini si kila dini ifunze inayo wahusu washirika wao badala ya kushutumiana uzuri wa dini yao
@muvurwanezaanitha742
@muvurwanezaanitha742 Год назад
Ayo mamboyenu yatutosha mkristo abaki mkristo mwisilamu abaki mwisilamu ila ukweli wote mashee munajuwa kuwa Kristo ndiye njiya yapeke ya kwenda mbinguni
@yohanakiyumbi4795
@yohanakiyumbi4795 Год назад
Hongera Saana Mwl. Ndacha... hakika Wewe ni genius,,, unaakili Sana unasoma sn Biblia Ubarikiwe Saana 🔥🔥🔥🔥🔥 Tumsifu Yesu Kristo 🙏🙏🙏🙏
@djumanjike3256
@djumanjike3256 Год назад
Mazinge Mungu akulipe kheri
@NtirenganyaEric-bg3ye
@NtirenganyaEric-bg3ye 2 месяца назад
Mwarimu muzor ndaca!! wambie mungu agipenda wataokoka!!! Jili Yesu wet muwezayote
@oyayatimothy1290
@oyayatimothy1290 Год назад
Pastor Ndacha elimisha hao watu, masheikh wametuchosha
@ProducerramaProducerrama
@ProducerramaProducerrama 6 дней назад
Ndacha hajibu maswali
@RamadhanKarim-el6tv
@RamadhanKarim-el6tv 7 месяцев назад
Professor mazege mweyezimuku akuweke tupe ndawa nya Allah salamwalekum warahmatullah wabarakatu
@Elesciahmdugo
@Elesciahmdugo Месяц назад
Yesu aliingia msikitini, na ukiristo ulianza baada ya yesu kuanza kuwa na wanafunzi kumi na mbili na baada kuondoka duniani ukiristo uliendelea na makanisa yakaendelea . Ila mdahalo unazidi kutuimarisha sote katika imani iwe uislam au ukiristo.
@japhethmbusya
@japhethmbusya Год назад
Huyu Mazinge ana argue kama mjinga hata akijibiwa haelewi😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣
@RIO-jf9mo
@RIO-jf9mo Год назад
😭😭😂😂😂😂🤣🤣😂😂🥵
@user-bd1gj1ie4l
@user-bd1gj1ie4l Год назад
W Nd hujielewi
@halimasalim3985
@halimasalim3985 Год назад
Hifathi maneno unayotamka
@thureyazuheir293
@thureyazuheir293 Год назад
ya allah ya maliki tupe mwisho mwema ya matini
@AAA-zu1vy
@AAA-zu1vy Год назад
Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 Год назад
Masha Allah Ustaz.Ndacha comedian.afanya kazı ya İblees mkubwa WA mashetani.
@mohamedmahmudali9346
@mohamedmahmudali9346 Год назад
Mimi nakuombea pepo ya daraja la juu shekh Mazinge ,tuseme inshallah 🙏
@hamisiomari6181
@hamisiomari6181 Год назад
In sha Allah
@hirammbugua7593
@hirammbugua7593 Год назад
Eeh apandishe elim, Hana kabisaaa
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 Год назад
Kwamba umeelewa sana au ndo ushabiki sasa mazinge kafundisha n
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu Год назад
Nshallah
@akibaali1450
@akibaali1450 Год назад
Inshaallah
@issabella1455
@issabella1455 Год назад
Mazinge acha kudanganya watu yesu siyo mweslamu kwanini unapoteza watu🇹🇿🇿🇲
@setcoonlinetv6655
@setcoonlinetv6655 5 месяцев назад
Maa shaa Allah... Sheikh mazinge kama kuna mkristo yoyote hakuelewi basi hatokuja kuelewa maisha yake yote. Barrakallah fikuh Allah akupe umri mrefuu sheikh wetu
@adnanel-islam3291
@adnanel-islam3291 Год назад
Mazinge Mungu akulinde . Nazani Waliokufuru pia wanakukubali
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 3 месяца назад
Ur comedian 😂😊
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Год назад
Mazinge ni comedian anajua namna ya kuwachekesha waislamu wenzie naona waislamu wanakenua meno tu hapo🤣😂🤣😂🤣😂
@ibrahimkarwani5478
@ibrahimkarwani5478 Год назад
Mkosa point kichwani. Kawaida yake matusi. Kichwa empty
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Год назад
@@ibrahimkarwani5478 sasa kwani uongo si mnakenua meno akiongea comedian wenu?
@mzeerajab9154
@mzeerajab9154 Год назад
Mazinge hamumuwezi ndio sasa unampa jina baya.Nacha kawaingiza waislamu wangapi katika ukristo halafuta kazi aliyoifanya Mazinge.
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Год назад
@@mzeerajab9154waislamu wengi tu wamebatizwa kupitia mwalimu Ndacha
@shahidumaulidi9721
@shahidumaulidi9721 Год назад
huyu jamaa anatumia jina ramadhan jina la kiislamu " alafu anandika upuuzi .
@KhairunRashid
@KhairunRashid 5 месяцев назад
Wallah I'm proud to get a professor like you who knows the right of his religion
@petermwelesa1749
@petermwelesa1749 5 месяцев назад
❤ndacha barikiwa mkuu
@AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj
@AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj 5 месяцев назад
Na huyu yesu ni mungu, ni nabii au mtoto wa mungu
@mixboysofredorfamily6210
@mixboysofredorfamily6210 5 месяцев назад
Ni nabii issa
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 5 месяцев назад
Uwezi mfahamu till u read the bible properly
@amourworldbeats
@amourworldbeats Год назад
Nimemuelewa Sana mazinge Wallah.Yaan Wachungaji Kama watoto Hawaelewi. 9:25 Mchungaji Sijui Haelewi Nini,Ulevi Ulikuwepo Kabla. Alivokuja Mtume Muhammad Akautakaza,Sio ulivokuja Uislamu Ukakataza ulevi,Alivokuja mtume wa 25 Muhammad(S.A.W) Akakataza Ulevi
@Davidjame711
@Davidjame711 Год назад
Yaani hatari sana mazinge ameona kivumbi kikali sana hata yeye anayua ilo
@FatmaNash-nd5kz
@FatmaNash-nd5kz 3 месяца назад
Hakuna anae weza muonyesha mazinge kuvumbi ata siku moja
@ProducerramaProducerrama
@ProducerramaProducerrama 6 дней назад
Acha uongo
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Год назад
Pole sana Sh.Mazinge jumbe bado mdahalo unaendelea
@faridarahma4050
@faridarahma4050 Год назад
Pro Mashaallah
@jumarobertonyancha8605
@jumarobertonyancha8605 Год назад
Mazinge ni mbwembwe na sarakasi kuwadanganya hao waisilamu
@shadrackjacob800
@shadrackjacob800 Год назад
Ushauri wangu , mijadala hii inapaswa kufanywa na watu wenye hekima sana sana kwa hiyo Mazinge ni mpotoshaji sababu hata biblia haijui na kuruani pia haijui so mtahangaika sana.
@FatmaNash-nd5kz
@FatmaNash-nd5kz 3 месяца назад
Mpoteshaji ni wew na huyo Ndacha wako
@ImaniTinda-h6x
@ImaniTinda-h6x Месяц назад
@@FatmaNash-nd5kz na wew na mhamad wako wote waongo
@user-bl9uh8sw3g
@user-bl9uh8sw3g 7 месяцев назад
Teacher Mazinge ❤❤❤❤❤
@abdallahmindika1641
@abdallahmindika1641 6 месяцев назад
Mazinge unaakil mingi sanaaa,kumbe yes at kanisa halijui hhhhhhhhhhhhh'😂😂😂
@RoseMuniss-y5q
@RoseMuniss-y5q Месяц назад
Mko kama mmepumbazwa sana
@peterkibali
@peterkibali Год назад
Kweli ammuezi dacha kabisaa
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Год назад
Ndacha ana elimu gani hata muislamu ashindw kumjibu?
@frankmpembu
@frankmpembu Год назад
@@asiakheir8684 Hana elimu ndiyo maana anawashinda kwa hoja na kuwafanya Waislamu wengi waukimbie Uislamu
@evans5459
@evans5459 Год назад
Kweli ndacha kiboko yao
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 Год назад
@@asiakheir8684 sasa mazinge amefanya nn hapo kwa juu anauliza mswali hayapo kwa kitabu,, na kufundisha hajui
@yassirswaleh7127
@yassirswaleh7127 Год назад
Uislamu ndio unaongezeka Sana duniani, takbir
@WILLIAMCHINA
@WILLIAMCHINA Год назад
Ndacha Anajua Dini Hapo Kunawatu wanatumia Nguvu Na Kueleweka ngumu
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 2 месяца назад
Mungu hana chaprofesa kwakuwa profess auelimu nibahari naniyaMungupia.
@frankmpembu
@frankmpembu Год назад
Waislamu tokeni huko muje kwa Yesu. Yesu ndiye Njia ya Kweli na Uzima
@sheheemsikit-bw5vx
@sheheemsikit-bw5vx Год назад
Mazinge mashaallah wafundishe hao
@daniellourencojaime
@daniellourencojaime 2 месяца назад
Ndasha nakupenda sana,unasoma mazuli
@alicekatsutsu6345
@alicekatsutsu6345 Год назад
Mazinge elewa swali wacha kuleta hadithi nyingine
@saidmadizi9152
@saidmadizi9152 Год назад
C amejibu husikilizi
@user-uu3nh4qe2n
@user-uu3nh4qe2n 7 месяцев назад
Ndacha wewe ni kiboko cha waislamu
@FatmaNash-nd5kz
@FatmaNash-nd5kz 3 месяца назад
Subutu lbda kiboko yako wew
@datiusludovick8469
@datiusludovick8469 6 месяцев назад
Ndacha mungu akuweke
@alingoevans5026
@alingoevans5026 5 месяцев назад
Wakristo 🎉nyie hatari
@elijahmaina5878
@elijahmaina5878 Год назад
Mwalimu Ndacha na wanzako Mungu na akulinde
Далее
Аушев, Путин, «пощечина»
00:56
Просмотров 803 тыс.
a hornet bit me on the nose 👃😂
00:16
Просмотров 2,6 млн
IBILISI MKE WAKE NI NANI?- NDACHA VS Pr MAZINGE
19:27
Просмотров 114 тыс.
Wakristo wapata dozi yao kwenye mdahalo wa Mbezi
1:05:38
Просмотров 354 тыс.