Mashaallah hii familia inaupendo sana mungu awafanyie wepesi inshaallah mama apone waendelee kulea watoto zao hatakam maisha ni magumu ila upendo na amani na furaha ndokila kitu ❤❤❤
Alaah akupe shufaa akuondolee maradhi hayo yasiwe makubwa unampenda mungu na mwenyezi mungu akuzidishie zahir umfatilie huyu dada apate michango atibiwe mungu atakulipa
Mwenyezi Mungu ampe subra amponye haraka ampe taufifu nampenda sana huyu mama juu yamitihani anayopitia bado anamuachia mungu kwakila jambo yarabi kwetu kubwa kwako dogo nnaimani hili utamponya