Zahir mungu akubariki sana na mm pia na saratani ya titi nimekatwa titi niko vinzuri huu mwaka wa 6 nimeumia sana sana nakuomba niongee naye nimtie moyo kumfariji pia nitamchangia nitakachojaliwa alhamdulillah
Baadhi ya watu wanasikia majina ya magonjwa ila hawajui madhara yake ndio maana wanasikiliza ushauri wa watu wenye ushauri mbaya pasipo kujuwa baadae watapa madhara zaidi
mshalogwa na hao kina mwamposa na kuhani musa maradhi yanahitaji matibabu we unasema aende kwa kina mwamposa ndo maana maandiko ya mungu yanasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa .