Тёмный
No video :(

#ZaNdaaaniKabisa 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 302 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 123   
@jamesmahatane2723
@jamesmahatane2723 2 года назад
🤣🤣kuna watu wana toa mapovu huku 🤣🤣wali mshangilia sana makoloooooooo
@Zuwena-hx8ky
@Zuwena-hx8ky 2 года назад
Upumbavu huo mchezaji akisajiliwa hawez kuombwa afunge badala ya yeye kufunga ndo lengo la timu kila mchezaji ajitume afunge
@festomatewa3638
@festomatewa3638 2 года назад
nawew chawa Sasa wew umeyatoa wap hayo mmbeya wew
@miangijunior4358
@miangijunior4358 2 месяца назад
UMEONGEA FACTS BRO MPIRA WA HAPA TANZANIA MASHABIKI TUMEKUA KAMA OMBAOMBA TU THAMANI YETU NI YAKUITWA KWENDA KUUJAZA UWANJA TU!" NA IKITOKEA TUZO BORA YA MASHABIKI PAPO HAPO NDIO WATAWAONA WAMAANA ILA KINYUME NA HAPO UJINGA MTUPU.
@JohnPaul-ch5mw
@JohnPaul-ch5mw 2 года назад
MOMO nakubali sana
@mogelasaileni4685
@mogelasaileni4685 2 года назад
Jamani nilikua siamini maneno yaraisiwetu mamasamia sasanimeamini hatasisiwanaume kweli wambeya sana
@balozimchomvu7779
@balozimchomvu7779 2 года назад
Hii nchi ina wajinga wengi sana, kwahiyo kila mchezaji kwenye game kubwa aombe bonus yake binafsi inaingia akilini kweli hiyo! Na bado mshahara wake anakula kama kawaida, huyo akwende tu kwakweli
@KomboD
@KomboD Год назад
Ricardo mnyamaaa sana
@seifsungura6936
@seifsungura6936 2 года назад
Kama ni kweli ndo alitaka hivyo basi hafai.....acha aende huko akeweka masharti...
@yohanakayinga9279
@yohanakayinga9279 2 года назад
Wapumbavu sana Ninyi Koo ukimjengea mchezaj tabia hiyo itakuwaje kwa wengine hatuna mda huo
@mathayohegwa1792
@mathayohegwa1792 2 года назад
Hafai kuwa mchezaji professional akacheze ndondo anakojipangia
@dinhomdulla3320
@dinhomdulla3320 2 года назад
Wewe msenge sana Tena acha kuongerelea Simba
@soccertv293
@soccertv293 2 года назад
Momo nimmbea ulisema simba wanamsajili nabi ukaingia chaka,huna za ndani wala za nje unadanganya watu
@abdallahrenatus524
@abdallahrenatus524 2 года назад
Wachezaji wa kiafrica n ngumu saana kufanikiwa. Yaan mchezaji ameajiliwa alafu anataka alipwe Ili aisaidie timu maajabu
@wilbertsanze285
@wilbertsanze285 2 года назад
Hizi bonasi zitolewe kazi ya mpira imekuwa kama mpiga debe stand
@Hfarahani52
@Hfarahani52 2 года назад
R.Momo Mbona Umetuwacha kwenye Round About
@masatumgeta196
@masatumgeta196 2 года назад
Punguza miemko umaarufu unakuja tu yani wew umeongea na uyo mweu alafu unatuletea ujinga wa uyo mjinga unapoajiliwa na tim unaajiliwa uli kuisaidia tim sasa tena eti nikiamua gem mnanipa shilingi ngapi utadhania kakodishwa siyo mchezaji kamili wa tim
@mwalimumlanzi8106
@mwalimumlanzi8106 2 года назад
Yaani mchezaji umsajili umlipe halafu akupangie leo ili nicheze kweli nipewe bonus zaidi.duh halafu mwenyewe anaona muhuni yupo sahihi.je waajiri nao waseme hatukulipi kule huruhusiwi.jamaa anakataa ukweli kwamba yy mbea. Halafu hajui km za ndani zipo kotekote ila wadau tunazijua za huku na huku yy anajimwaga na upande huu akiongelea moja upande wa pili lzm aichanganye na upande A na moja kwa saba. Raha yake inafahamika hatuna waandishi na wachambuzi wa michezo
@dr.rimack8484
@dr.rimack8484 2 года назад
Duuuuuh 😲😲😲😲😲
@edisonbenard226
@edisonbenard226 2 года назад
Huyu jamaa mjinga sana mshahara wa mchezanji unakazi bonasi ni kujickia
@naukichiwinga2374
@naukichiwinga2374 2 года назад
Mkuda tu wew
@Adeen.1
@Adeen.1 2 года назад
Hiyo mikataba ya ndondo ndo waweza omba uongezewe ukiisaidia team...fala huyo mtoto.
@ibrahimuhincha1457
@ibrahimuhincha1457 2 года назад
Kazi umbea tu mkeo wanamgonga nigeria
@cornerylulangara2280
@cornerylulangara2280 2 года назад
Wewe siyo mtu wa mpira, kaa kimya
@mswakisaid2320
@mswakisaid2320 2 года назад
Wewe ni kiazi tu. Hakuna wa kiume wa aina yako
@MaindaSeketo
@MaindaSeketo 2 месяца назад
Vp
@naukichiwinga2374
@naukichiwinga2374 2 года назад
Kuza midia kwa kuongea unachojiskia.Laik kama wazaz wako wangejua mdomo wako uo ulivo Sidhan ata kama wangekuruhusu kutumia vijiko hom
@meshackmwalongo1753
@meshackmwalongo1753 2 года назад
Midia zingine mnajidhalilisha tu.
@kazkaz1943
@kazkaz1943 2 года назад
Momo simuelew sema tu ndo ndugu wa diamond😃😃😃 biashara nying africa zinakufa sababu ya kumchukua ndugu kisa tu ndugu hata kama hana uwezo
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 2 года назад
Hapo na ww unachanganya..aamue game yeye kama nani..je hapo alipokuwa alikuwa kama nani..si mtumishi..why aseme apewe bonus
@kawezaseleman5794
@kawezaseleman5794 2 года назад
Wewe mnafiki
@ammytheboy3098
@ammytheboy3098 2 года назад
Huu ni uongo wa waz akuna mchezaj kama uyo duniani mnaharibu kipindi kwa kusema yasiyokuwepo
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 2 года назад
Ili kuheshimiana inabidi tuanze kushitakiana. Ili tuheshimiane
@ofreyking5975
@ofreyking5975 2 года назад
Hela za nn wakat ni kazi yake analipwa mshahala kwa kazi hiyo
@salumkhamis83
@salumkhamis83 2 года назад
Huna ishu kama mtu umsainiwa unapatana nn nakazi yake kucheza
@mogelasaileni4685
@mogelasaileni4685 2 года назад
Wewe muongo mchezaji awezi kusemaivyo wakatiyeyenimchezaji achakupotoshauma
@mymbaralitv2968
@mymbaralitv2968 2 года назад
JLo 😃😃😃😃😃😃😃
@ndaganoanastazia2658
@ndaganoanastazia2658 2 года назад
J Lo tenaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
@godwinananias5358
@godwinananias5358 2 года назад
Alafu anakwambia ni JUMA LOKALE ndo JR dah momo bhan 😜😜
@kilonzomichael2328
@kilonzomichael2328 2 года назад
Simba inanipa mawazo mno nitim yangu ila Simba Tim yangu mh!
@hezronmwambije8043
@hezronmwambije8043 2 года назад
Mzeeee wa kuderee yupo kuchomoa betriii
@salimmtanga8230
@salimmtanga8230 2 года назад
Mzee Wa zandani hizo unazo tuletea ni uwongo yy anaweza kumaliza mechi uwanjani yuko pekeyake haingii akilin
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim 2 года назад
Kenge jinga sana huyu
@cantonaiddy6042
@cantonaiddy6042 2 года назад
Ww muongo acha kutunga tunga co ya kweli
@venasitkisigavenasitkisiga6837
@venasitkisigavenasitkisiga6837 2 года назад
Mbona pcha ya dhamani
@aminimaimu358
@aminimaimu358 2 года назад
Chukua iyo
@abdulrazaqallyshemmela2769
@abdulrazaqallyshemmela2769 2 года назад
Ubwehge huo unaoueleza
@gervaskisinza1227
@gervaskisinza1227 2 года назад
Nyie waongo tu sababu ni watangazaji wa udaku hamna lolote
@olaislukumay2208
@olaislukumay2208 2 года назад
Yani we mpumbavu sana uamue gemu kwa goli moja alafu unajikuta unaongeeeea boya
@vitalesmgenge5068
@vitalesmgenge5068 2 года назад
Kama ndivyo bac naendee mana huo niujinga😅😅😅😅
@santoskato9679
@santoskato9679 2 года назад
Ivi izi za ndani uwa ni za Simba tu tena mbaya mbaya tuu?? Mbona hatusikii za Yanga?? Kuna bias kwenye hicho kipindi
@mohayussuf2057
@mohayussuf2057 2 года назад
Wewe wacha uwongo kwani anacheza pekeake hata aamua
@nashon7737
@nashon7737 2 года назад
Sas mchezaj anaombaje Hela mnamshabkia wakat ND Kaz yake,,?
@nassrahemed9564
@nassrahemed9564 2 года назад
Hahahahaaaa Juma lokole lako ilooooo
@paulolmabu7161
@paulolmabu7161 2 года назад
Huyu naye ni mjinga tu
@mwitahassan1934
@mwitahassan1934 2 года назад
Bora umsikilize juma lokole kuliko huyu jamaa kwani umo uwanjani anacheza peke yake wewe na morison nyote mnapakuliwa
@songomary908
@songomary908 2 года назад
Kwenye hili mimi ni mpumbavu
@omarkhamis3909
@omarkhamis3909 2 года назад
Sasa Momo Kama wewe hapo utatoa hiyo bonas ?
@hamzaomary287
@hamzaomary287 2 года назад
Okwa
@DaudSiprian
@DaudSiprian 2 месяца назад
Ww hayo nimenine2 tunataka vitendo
@juliethygerald1150
@juliethygerald1150 2 года назад
Sijawah ona wala kusikia pumba kama hizi
@allyakida3781
@allyakida3781 2 года назад
Kwahiyo kacheza pekee yake
@letasmatema5907
@letasmatema5907 2 года назад
We msenge unatumalizia MB zetu fara wewe
@juma6253
@juma6253 2 года назад
Momo boya kweli eti goli moya
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 3 месяца назад
Huyu muongo huyu hata haogopi dhambi
@salumkhamis83
@salumkhamis83 2 года назад
Kama ww unaishi nae Kwa lip yeye kasainiwa kucheza mpira bonasi ziada tuu ww hunastory
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 2 года назад
Kwa hyo alisajiliwa Ili afanye kazi gani ikiwa kutumiza wajibu wake Hadi apewe Hela tena ?
@sniper93999
@sniper93999 2 года назад
Wenye mind tutakuelewa wengn wataendelea kucomment matusi
@abdulrazaqallyshemmela2769
@abdulrazaqallyshemmela2769 2 года назад
Mpuuzi Hugo na umbea wake
@allyhamisi6394
@allyhamisi6394 2 года назад
sasa mbona Morissette Kate katemwa na simba
@abdallahally842
@abdallahally842 2 года назад
Yeye kazi yake na analipwa mshahara kwajili ya kumaliza mchezo aendee tu simba tushapita huko kugombana na wachezaji hakuna mchezaji ndani ya kikosi simba wakamtaka wakashindwa kumzuia ukiona wamemuachia ujue simba hawakua na mipango nae morison
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 2 года назад
Wenye akili watakuelewa wapumbavu ningumu sana
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 2 года назад
Huyo mbeya ingawa anasema sio, story za mtaani au kijiwe.
@yohanamolen7419
@yohanamolen7419 2 года назад
Wewe mwenyewe wakudere msenge
@masumbyomaxmillian5078
@masumbyomaxmillian5078 2 года назад
Unatumwa na nani?
@emmanuelnono8080
@emmanuelnono8080 2 года назад
Pumbavu sana
@salumkhamis83
@salumkhamis83 2 года назад
Huna lolote iyo siyo point
@hussseinmasangya7130
@hussseinmasangya7130 2 года назад
Moyaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
@annamhagama6512
@annamhagama6512 2 года назад
Iv nyie wasaf iv mchambiz ni uyu tu kwanza anacho ongea ni upumbavu tu kila siku kumpost yeye au ndo kisa ndugu wachambuz halis amuwaweki mnaboa sana
@user-xv8dm8gy5u
@user-xv8dm8gy5u 2 месяца назад
Benadi molisoni huyò
@masoudabdoul8447
@masoudabdoul8447 2 года назад
Sasa yeye aumalize mchezo km nani? Anacheza peke yake? Nani hamjui BM km ni mtovu!!!
@habibyabeidy8946
@habibyabeidy8946 2 года назад
Acha ufala na ww mchezaji apewe mechi hio hio moja apewe bonus na wenzake then apewe bonus yake peke ake haingiii akilin au ana kulamba matako nini ndo Mana umekuja kuongea utumboooo
@hashimlowela294
@hashimlowela294 2 года назад
Hahahaha et zandaaani
@noelkim9956
@noelkim9956 2 года назад
Boya ww wakamate washamba wenzako peleka usenge wako uko
@jokharisuleiman4689
@jokharisuleiman4689 2 года назад
Aaah issue za kifala
@siwonikewiliam5104
@siwonikewiliam5104 2 года назад
Huyu mnafiki TU ajui lolote
@azizakiswili9063
@azizakiswili9063 2 года назад
Afadhali hata ya juma lokole kuliko wewe,acha ushubwada
@fra_nyuki
@fra_nyuki 2 года назад
Makofi ya nyani eeeeeeh
@AlexAlex-eo7hj
@AlexAlex-eo7hj 2 года назад
Mfyuu
@daillyathuman4941
@daillyathuman4941 2 года назад
Momo mchezaji ameajiliwa ili iweje? Kama Ni hivyo Simba wako sawa kabisa
@eddyrich.3312
@eddyrich.3312 2 года назад
Wasafi nanyi mnapotea kwa kumrusha mtu mmbea kama huyu.
@patrickmelody4548
@patrickmelody4548 2 года назад
Ongea tu ili uongeze viewers bwana
@elishaelisha6755
@elishaelisha6755 2 года назад
Momo,,,
@dotogiving9293
@dotogiving9293 2 года назад
Kaka uyu kiongea hajui kabisa ,umekuja kufanya nn interview
@bigshangazi2945
@bigshangazi2945 2 года назад
🙆🙆🙆
@hamzarumela1784
@hamzarumela1784 2 года назад
yaani mwanaidi dawa yako ni kupeleka posa kwenu tu wallah maana hamna namna
@stn4873
@stn4873 2 года назад
Inabidi ufanye hvyo.
@malakigerald8586
@malakigerald8586 2 года назад
Muongo mkubwa wewe,na naanza kuona hii radio kama kijiwe cha wauza kahawa. Hicho unachosema ni uongo mweupe.mnaharibu tasinia ya habari kwa kusema uongo kwa jamii.
@frankzominister1473
@frankzominister1473 2 года назад
Mashoga wa Mond wapo kazini uwongo mwingi kuliko ukweli...😂😂😂
@slimmtani8236
@slimmtani8236 2 года назад
Kwa hiyo mshahara anaolipwa kazi yake?
@senenembeya.9753
@senenembeya.9753 2 года назад
Uo umbea mwongo wewe...kwani yy ndo alikuwa mganga wa timu, na ndo kitu ambacho simba haitaki kama ni bonus ni kwa wachezaji wote, basi angecheza mwenyewe.
@santinoplacid7571
@santinoplacid7571 2 года назад
nimesoma comments zote humu nikagundua kabisa mashabiki wa simba mwaka huu walio wengi wana matatizo ya akili na saikolojia maana sio kwa matusi haya dah ila poleni sana wana msimbazi 😂😂😉
@Zuwena-hx8ky
@Zuwena-hx8ky 2 года назад
Huo ni Ushamba unaongea kama mtoto wa chekechea
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 2 года назад
Sasa kwa nini atake bonus peke yake? Ujinga tu,,,basi km mpaka aahidi pesa kwanza ndio acheze,,,huyo sio mchezaji, wamuache tu,,asituletee shida baadae
@mukhusinimhembere5811
@mukhusinimhembere5811 Месяц назад
Kaka wewe muongo
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 2 года назад
Mpira wa Tanzania ni upumbavu mtupu
Далее
SNAKE BOY | ep 35 | SEASON TWO
30:48
Просмотров 138 тыс.
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 7 млн
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Просмотров 3,6 млн
ПРОСТИ МЕНЯ, АСХАБ ТАМАЕВ
32:44
Просмотров 1,6 млн
BABA YANGU KIPOFU Full episode /34/ #love
30:22
Просмотров 137 тыс.
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 7 млн