Kama kesi ya madai ya pesa imepitia hatua zote,mdaiwa akasomewa hukumu ya kulipa lakini akaendelea kukata rufaa,kipi afanye anaedai kutokana na kukosa kipato cha kuendelea na taratibu za kwenda mahakamani.
Kwanza pale tu humu imetolewa mdai kashida. Inabidi mdaiwa kumlipa mdai.kwa mfano kama mdai alikuwa anamdai mdaiwa pesa 10000 kwaiyo mdaiwa anatakiwa kumlipa mdai.sasa kama mdaiwa ajalipa pesa hizo ndani ya siku 30 baada tu hukumu kutokeya.mdaiwa kama ana nia ya kukata rufaa inabidi baada ya hukumu inapo tolewa akate rufaa ndai ya siku ya 30 isizidi hapo na kama hitazidi lazima mdaiwa apeleke sababu zamsingi au kungezewa mdaa wa rufaa.kwaiyo utabidi kusubiri.rufaa imalizike lakini hukumu kama mahakama iliyo towa humu bado hipo hadi itakapo tenguliwa
Kaka Je Kama Mdaiwa Alikuwaa anadaiwa Af wale waliokuwa wanamdai wakawa wanataka kuchukua Mali Mfano nyumba Af muda huo huyo Mdaiwa ana mke Au familia Af ktk ile Doccoment ya madai Mwana mke hakusaini Je anaweza kupinga Hyo Kesi yaa kurudisha nyumba!!??