Тёмный

UCHAGUZI WA GARI KWA KIGEZO CHA CC 

KYANDO MOTORS TV
Подписаться 8 тыс.
Просмотров 37 тыс.
50% 1

Kuwa wa kwanza kupata elimu; Subscribe!

Опубликовано:

 

16 апр 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 55   
@user-xr7or6ts7y
@user-xr7or6ts7y Месяц назад
Unaweza mzee
@MagdalenaPChuwa
@MagdalenaPChuwa 4 года назад
Hongera sana Eng. Kyando kwa kuanzisha channel hii ambayo itawasaidia watu wengi katika kufanya maamuzi kuhusu ukubwa wa injini ya gari.
@josephmwijage6287
@josephmwijage6287 4 года назад
Hongera kwa hatua hii muhimu katika kutuelimisha hususani kuhusu vyombo vya moto pamoja na usalama wake. Keep it up engineer
@jovindanda6053
@jovindanda6053 2 года назад
Asante nahitaji Elimu hii sana nataka kujua gari japo kwa uchache tu, so helpful yan
@fadhiliswidhun9779
@fadhiliswidhun9779 3 года назад
Mhandisi miaka kadhaa napenda sana elmu juu uitoayo juu ya magarii
@khalifamwasha6648
@khalifamwasha6648 3 года назад
Mtaalam Mhandisi Michael Kyando nafurahi Sana na najifunza mengi Sana kuhusu vyombo vya moto. Me ni mfuatilaji wa kipindi cha usafiri wako cha ITV. Ahsante sana na kazi njema
@serafineslaa1082
@serafineslaa1082 3 года назад
Nimependa kipindi chako.Elimu nzuri sana.
@rajabually8659
@rajabually8659 2 года назад
Hongera sana brother
@deuskalinga2449
@deuskalinga2449 4 месяца назад
Kazi nzuri Mr Kyando
@kyandotv1468
@kyandotv1468 4 месяца назад
welcome
@gwamakamartin7090
@gwamakamartin7090 4 года назад
Somo zuri sana..
@rumishamsaki5944
@rumishamsaki5944 2 года назад
Asanteh sana kwa elimu
@masakakambesha4521
@masakakambesha4521 3 года назад
Eng. Anajua anacho kifanya bigup
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 4 года назад
Nzuri sana broo endelea kutoa taaluma .
@abrahamsingano5372
@abrahamsingano5372 2 года назад
Hongera sana kwa jinsi unatoa utalaam kwa ufanisi na kwa upendo ili mtu aelewe
@pachazungwe7488
@pachazungwe7488 2 года назад
Costa Japan kiasi gan
@mshangaemmanuel8964
@mshangaemmanuel8964 2 года назад
Safi teacher nmekuelewa sana pindi liko vzur
@williammockey800
@williammockey800 2 года назад
Somo zuri sana!
@erigoals3323
@erigoals3323 Год назад
kwa elimu hiyo ata mm naweza kuwa fundi magari asante kwa elimu nzuri
@yohanasungo9401
@yohanasungo9401 3 года назад
Ahsante sana mwalimu
@BrandyBoy-vg5sc
@BrandyBoy-vg5sc Год назад
Navip nikihitaji kujifunza
@serafineslaa1082
@serafineslaa1082 3 года назад
Kaka, ni gari ipi ni nzuri barabara zenye Rough roads,muddy areas milimani.gari zipi ni best zaidi kwa hali ya barabara nilizotaja hapo juu;Subaru forester, lexus,Rava4, Vargad,land Cruizer
@gilbertkasikila5294
@gilbertkasikila5294 3 года назад
Land cruiser ni class nyingine. huwezi kuweka kwenye kundi moja na hizo rav 4 au vanguard.
@rademm8924
@rademm8924 3 года назад
Ahsante
@khalidmohamed1086
@khalidmohamed1086 3 года назад
Tupo pamoja...upo vyema kaka
@nyanja3250
@nyanja3250 3 года назад
Napata elimu ya Msingi sana
@emasonnymasele2158
@emasonnymasele2158 2 года назад
Mafunzo ya gari za gia
@justinmolla8276
@justinmolla8276 2 года назад
naomba kuuliza engine ya cam 24 valve D.4 vvt i huwa zinakunywa sana mafuta naomba kujibiwa
@freddieelice6377
@freddieelice6377 3 года назад
Thanks for this
@shafiimwehemba4549
@shafiimwehemba4549 3 года назад
Safi
@MarwaWMarwa
@MarwaWMarwa 3 года назад
Kasome vizuri physical chemistry, nguvu ya injini hailetwi na joto bali na change of state, yaani mafuta (liquid) kuwa moshi (gas)
@kyandotv1468
@kyandotv1468 7 месяцев назад
Mhhh, asante kwa mawazo ila jaribu kusoma na kusikiliza vizuri
@hassanmussa3664
@hassanmussa3664 2 года назад
Umetumaliza hatuna hata suali la kukuliza
@bekamwaluku8898
@bekamwaluku8898 Год назад
Kaka nimeipenda hiyo unaweza kunifundisha nikawa fundi mkubwa
@neemaloy889
@neemaloy889 3 года назад
honngera tichaa
@361NEWS
@361NEWS 11 месяцев назад
🎉🙌🙌
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 года назад
Kuna yenye cylinder 5
@abubakariibrahim5375
@abubakariibrahim5375 3 года назад
Ntajuaje sasa gari yangu kua ina piston ngap ili niwezee kugawanya na idadi ya cc nilizoona kwenye card ya gari ili niweze gawanya kujua kila piston itachukua kias gan?
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 2 года назад
Angalia idadi ya spark plug au Nozzle
@boazmandago2381
@boazmandago2381 Год назад
Hiyo back music ni makelele na inaondoa umakini Kwa msikilizaji.
@lupaprince1229
@lupaprince1229 2 года назад
Naomba kujua utofauti wa Toyota vanguard v6 na toyota vanguard 2.4 Hapo sijajua maana yake ni nini?
@kyandotv1468
@kyandotv1468 7 месяцев назад
tuwasiliane. 0762244647
@johnstoneambasu8195
@johnstoneambasu8195 Год назад
Asante
@yonasanga4918
@yonasanga4918 11 месяцев назад
Cc naweza isoma wapi mtaalamu
@kyandotv1468
@kyandotv1468 7 месяцев назад
kwenye kadi ya gari yako
@user-oe8pv3bk3o
@user-oe8pv3bk3o 6 месяцев назад
Swali ni Je! tairi za mbele na nyuma lazima kipimo cha upepo kifanane ? Gari langu nyuma upepo ni 35 mbele ni 30 ni sawa?
@kyandotv1468
@kyandotv1468 4 месяца назад
mwezi wa tatu naanza vipindi vya matairi
@khalidmohamed1086
@khalidmohamed1086 3 года назад
Unapatikana wapi .
@aloysfussi3900
@aloysfussi3900 3 года назад
Nice Mwl
@mathewbundu235
@mathewbundu235 3 года назад
Mbona Spark Plug iko moja tu katika hizo Piston brother au nimeangalia vibaya?
@jacksonpetro495
@jacksonpetro495 Год назад
Hiyo ni kwa ajili ya maonesho au kufundishia
@edsonkihwele8680
@edsonkihwele8680 Год назад
Ukirekebisha nosels gari itakua katika ubora mzurii?
@kyandotv1468
@kyandotv1468 7 месяцев назад
ndiyo
@emasonnymasele2158
@emasonnymasele2158 2 года назад
Mafunzo ya gari za gia
Далее
USIPOFANYA HIVI GARI LAKO LITACHEMSHA/UTAUA INJINI
15:13
TOYOTA FORTUNER NI BALAA/ INA MAAJABU /#0676577711
11:26