Mtaalam Mhandisi Michael Kyando nafurahi Sana na najifunza mengi Sana kuhusu vyombo vya moto. Me ni mfuatilaji wa kipindi cha usafiri wako cha ITV. Ahsante sana na kazi njema
Kaka, ni gari ipi ni nzuri barabara zenye Rough roads,muddy areas milimani.gari zipi ni best zaidi kwa hali ya barabara nilizotaja hapo juu;Subaru forester, lexus,Rava4, Vargad,land Cruizer
Ntajuaje sasa gari yangu kua ina piston ngap ili niwezee kugawanya na idadi ya cc nilizoona kwenye card ya gari ili niweze gawanya kujua kila piston itachukua kias gan?