Mungu atusaidie saana, kanisani ni mahali pa kuabudia siyo mahali pa kujifungulia hio nitabia mbaya kwanza mjamozito kama talehe yakujifungua inatimia inatakiwa aende hosipitalini sio kwenda kanisani kwamaana Mungu hajalibiwi sikuhizi manabi wa uongo niwengi kwahio kuweni makini 🙏
Pongezi Mtatiro,kea hatuna nzuri uliyoichukuwa.Mtatiro ni kijana hodari sana mchapa kazi.namkumbuka sana kwenye utafiti alikuwa anaufanya kwenye majimbo ya uchaguzi enzi hizo.Mungu akubariki sana.
Jamani serukali iangalie kuna maeneo watu wanahitaji elimu katika jamii hasa vijijini hasahsa elimu ya afya hata kama hawajadoma ila elimu ya afya ni bora kwa kweli
Yo dada nae hajitambui, hata kushika mimba kwake ni taahira, ujue kushika nakubeba mimba lkn usijue pa kupatia huduma za mama mjamzito na kujua utajifungulia wapi kweli?huu niupumbavu wahali ya juu
Mikoa mingine nahitaji Elimu. Huyu mzee hajui kiswahili inaonyesha kuwa wanaixhi vijiji vya ndani sana. Pia huyo mchungaji bwege kabisa nia yake aue mtoto na mama mtoto
Kanisa limekuwa labour 😂😂 yan muda mwingine wakristo mnachefua kwanini mnakuwa kaa mazuzu hebu someni biblia zenu na muamini mungu acheni upuuzi hawa wachungaji watawamaliza