Malalamiko ya mtoto mtundu yanashangaza .angekuwa wao wangesema mtoto mtundu .? Hamuwezi jua labda kapata ajali kafa njiani na hakuna ndugu anaejua mtoto alipo !
Ila Bora huyo aliyemterekeza kuliko wanaotoa mimba na wengine hutupa na wengine kwa hasira huwaua Bora na huyo maana atalelewa na walimwengu atakuwa na atasoma vzr then siku Moja akisikia ana kazi anaenda kwenye media eti natafuta mwanangu tumepotezana naye miaka kadhaa ila wazazi Kuna wakati wanakosea japo ni mungu wetu duniani hufungua milango ya baraka
@@FredMaulid Inasikitisha kuona wazazi hawana upendo na watoto wao! My dear mzazi wako sio Mungu wako wa dunia. Mza ni mzazi na Mungu ni Mungu. Hii tabia yakuwambia wazazi wenu ni Mungu wadunia ndio imesababisha wazazi wengi kuwatesa na kuwapelekesha watoto zao kisa wameambiwa ni waungu wa dunia! Mungu ni mmoja tu🙏 🤍