Тёмный

MAMA AMTELEKEZA MTOTO KWA JIRANI 

Geah Habibu
Подписаться 367 тыс.
Просмотров 3,6 тыс.
50% 1

#geahhabibu #geahtv

Опубликовано:

 

24 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@MariamKileo-mu8rv
@MariamKileo-mu8rv 25 дней назад
Ila mama ake inawezekana amepata tatizo amemlea amefikia hapo aje amuache Cyo kweli huenda kuna kilichomkuta jamani
@AnithMunuo
@AnithMunuo 15 дней назад
Kabisa ukute hata kapata ajali
@mwanahamisrashid7787
@mwanahamisrashid7787 24 дня назад
Geah nampataje huyo mama nimletee huyo mtoto nguo
@FatmaNoor-ig8iy
@FatmaNoor-ig8iy 26 дней назад
Mashaallah mtt mzury jmn😢 anamuhitj mama ake jmn😭mungu amlinde n amkuze 🙏
@veronicahlusekelo5205
@veronicahlusekelo5205 День назад
Bora hata kmtelekeza kwa mtu kuliko hata angemuu mplekeni kituo cha watoto yatima samahni nimawazo tuu
@aishandayishimiye5127
@aishandayishimiye5127 День назад
Labda mama yake kapata janga kubwa. Pole sana mamma lea tu
@raniahAbdul
@raniahAbdul День назад
Malalamiko ya mtoto mtundu yanashangaza .angekuwa wao wangesema mtoto mtundu .? Hamuwezi jua labda kapata ajali kafa njiani na hakuna ndugu anaejua mtoto alipo !
@SalhaRamadan
@SalhaRamadan 21 день назад
Masha Allah mtoto mzuri mungu amlinde mama mtoto awe salama na mola ampe afya njema huyo mtoto😢😢😢
@shabaniiddy5465
@shabaniiddy5465 25 дней назад
Gea uyo mtoto nipeni mimi jaman😢😢😢😢
@SalamaJuma-cw3th
@SalamaJuma-cw3th 25 дней назад
Alio achiwa mtto ana Kuna nazi huku n muraaa wa tarime uyu icho kibongo ssa mtto mzuri sn msaidieni wenye uwezoo .
@omanoman2044
@omanoman2044 19 дней назад
Ningekuw Tz huyu mtt ningekuja mchukuw wallah duuh ataachaje mtt bila nguo jaman watuy wamekosa utuy duuh
@taliyagogo1481
@taliyagogo1481 26 дней назад
Masha Allah..
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 22 дня назад
Masha Allah mtoto mzuri! Masikini na vile anahitaji mtoto 💔😭
@MeyGreen-ic5cq
@MeyGreen-ic5cq 25 дней назад
Ningekuwa karibu ningemtunza hadi mama toto apatikane
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 24 дня назад
Mtoto mzuri jamani,Natamani angekewa karibu nimchukue
@user-cl1po8pj5c
@user-cl1po8pj5c 25 дней назад
Mtt mzuri maashaallah
@SalmaBinyaga
@SalmaBinyaga 25 дней назад
Mtoto mzuri maashaallah
@saay4273
@saay4273 25 дней назад
Jamani mtihani sana huwenda mam ake kapata tatizo 😢😢
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 25 дней назад
Jamani mtoto mzuri
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 26 дней назад
Jamaniii💔💔😭.
@annajohn3377
@annajohn3377 20 дней назад
M jmn inawezekana amepatwa natatizo mtoto mzur kenyew kamemzoe huyo mm
@latifalayla9990
@latifalayla9990 25 дней назад
Geah ungeweka no yako angalau km mwenye chochote amsaidie huyo Mama aliyeachiwa mtt kw kipindi hiki.
@GeahHabibu
@GeahHabibu 25 дней назад
Nicheki whatsap 0658 338878 nikupe namba ya mtu aliyekuwa karibu na mtoto uweze kutuma sadaka yako huko moja kwa moja
@latifalayla9990
@latifalayla9990 25 дней назад
@@GeahHabibu mbona hiyo no kw WhatsApp sipati?
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 22 дня назад
​@@latifalayla9990+255
@user-mz6lq3gr9l
@user-mz6lq3gr9l 22 дня назад
Mtoto kashamzoea huyo mma maskini
@user-rn5ov9lr4v
@user-rn5ov9lr4v 25 дней назад
Jmn mtt mzur jmn😭😭😭😭
@cathpeter3565
@cathpeter3565 25 дней назад
Ghati anakuna naz koroma,, ananchekesha mm, alienda phoric
@eggysulle7988
@eggysulle7988 22 дня назад
😂😂😂😂mm pia nacheka mno 😄
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 18 дней назад
Kwani niwapi hapo 😢
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 25 дней назад
Nyie msilaumu sana anaweza kuwa ameshikwa na wale wanaojiuza mkachunguze vituoni 😢
@eggysulle7988
@eggysulle7988 22 дня назад
😂😂
@btylove1870
@btylove1870 26 дней назад
I swear natamani angeniachia mimi awe wangu forever!
@FredMaulid
@FredMaulid 14 дней назад
Ila Bora huyo aliyemterekeza kuliko wanaotoa mimba na wengine hutupa na wengine kwa hasira huwaua Bora na huyo maana atalelewa na walimwengu atakuwa na atasoma vzr then siku Moja akisikia ana kazi anaenda kwenye media eti natafuta mwanangu tumepotezana naye miaka kadhaa ila wazazi Kuna wakati wanakosea japo ni mungu wetu duniani hufungua milango ya baraka
@btylove1870
@btylove1870 14 дней назад
@@FredMaulid Inasikitisha kuona wazazi hawana upendo na watoto wao! My dear mzazi wako sio Mungu wako wa dunia. Mza ni mzazi na Mungu ni Mungu. Hii tabia yakuwambia wazazi wenu ni Mungu wadunia ndio imesababisha wazazi wengi kuwatesa na kuwapelekesha watoto zao kisa wameambiwa ni waungu wa dunia! Mungu ni mmoja tu🙏 🤍
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l 25 дней назад
Nipeni mimi namtaka
@azizayassin3623
@azizayassin3623 25 дней назад
Nipemi mimi hyu mtoto niko na shida ya mtoto😢❤❤❤
@SalmaBinyaga
@SalmaBinyaga 25 дней назад
Masikin usiache kumuomba Allah atakujaalia utapata
@hawakiza6067
@hawakiza6067 23 дня назад
Fatilia umlee
@FredMaulid
@FredMaulid 14 дней назад
Mungu atakujalia utapata mtoto maana ni baraka
@azizayassin3623
@azizayassin3623 14 дней назад
@@FredMaulid ameen
@azizayassin3623
@azizayassin3623 14 дней назад
@@hawakiza6067 kila kitu awe wngu kabsa
Далее
BABA ANA DAMU KALI KAFANANA NA WATOTO HADI MKEWE
6:04