Тёмный
No video :(

ALLY BONGE AFOKA NA SAKATA LA MANULA/ MPANZU VIPI! AMPA BARBARA RUNGU SIMBA 

Maximum Tv Online
Подписаться 449 тыс.
Просмотров 12 тыс.
50% 1

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Опубликовано:

 

24 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 13   
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 Месяц назад
Ndugu yangu unaujua mpira. Nimewaandikia Viongozi mara 3 kuwaomba walete mgeni kwenye namba 2 lakini hawasikii. Misimu yote mitatu udhaifu wa Simba ulikuwa kwa Shomari. Cha kushangaza leo ati bado yupo Simba kwanini? Hawezi kabisa kukaba ni majanga matupu. Huyo kijiri haitoshi kabisa. Jitafakarini muda bado upo.
@mussachomolla3827
@mussachomolla3827 Месяц назад
Unaongea vizur lkn kijil anatosha Mzee usijal sana
@MamboMbuli
@MamboMbuli Месяц назад
NSSF hawana waledi wa maneno yao,,Wana wivu ,,,kusafiri ni kutamu sana
@adelinibrahim9283
@adelinibrahim9283 Месяц назад
Usijali kijiri mashine kapombe anaweza akakalia bench sana akizuba kidogo
@baracknyerembe2192
@baracknyerembe2192 Месяц назад
kofi la meno🤣🤣🤣🤣
@VictorMgodomi-xj1ey
@VictorMgodomi-xj1ey Месяц назад
Unauhakika anabaki
@mohamedjuma1960
@mohamedjuma1960 Месяц назад
Kwa onana umenifurahisha
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 Месяц назад
Unajua ndugu yangu simba inarudishwa nyuma kwa uswahili mwingi na mipango ya hovyo kwa timu zingine.. Otherwise simba as a team are on the right track.. Kuna timu zingine ushindi wao ni mipango mingiii nje ya uwanja... Mfano ni huyu ufunguo wa upande wa pili baada ya kuona hawataweza Bei yake wakamtumia Dada yetu kampumbaza kaacha ofa za hela nyingi wao wanajisifia wametoa hela nyingi kuliko wengine... Safari hii na sisi tusijisahau mipango nje ya uwanja ili twende nao Sawa
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Месяц назад
Kamwe si choko yule mtoto, azam media ipo kule ingeanza kutoa updates zte kabla mechi
@IssaAbdallah-rt2sh
@IssaAbdallah-rt2sh Месяц назад
Awesu mbovu sana Tena Wala hafai Tim kama Simba timzake hizo ndogondogo tu hana lolote
@engyhy1985
@engyhy1985 Месяц назад
Nakubaliana na Kaka Bonge, kama Onana akipata mwalimu mzuri na kumpa mambo ya kufanya na mambo ya kutofanya atakua mtu hatari sana
@albertvalentino130
@albertvalentino130 Месяц назад
Midunduka ni midunduka tu --- na akili zao ni za kidunduka tu --- mkigongwa mnatafuta visingizio ---- Hao wavulana wenu mtawakataa wenyewe " Mpira wa kumwomba Mungu ! Hamna kitu "
@user-xl5sv7lz4g
@user-xl5sv7lz4g Месяц назад
Kwani we Aujawai gongwa
Далее
REFLEX CHALLENGE vs FOOTBALL MACHINE 🙈😱
00:24
Просмотров 3,5 млн
“Bernabéu… pressure… 90,000” 🔥🔥🔥
01:02
TXDULLAH   BILLIONARE  MPYA
6:37
Просмотров 20 тыс.
REFLEX CHALLENGE vs FOOTBALL MACHINE 🙈😱
00:24
Просмотров 3,5 млн