Kuna watu wanasema ooh et tunaiokomoa simba,hawa n wachezaj wamekuja tanzania kutafuta maisha n lazima watafute marisho sem nyingne sasa kwnn mtu usene ooh, tuawakomoa simba kwaio mchezaj akichezea simba hatakiw kuchezea team nyingne ujinga huu
Hii ni league ya Tanzania,musisahau ilo, ko musije mukasema yanga wachawi,tunawajuwa hawo, hawataki wachezaji wetu, muwe na akiba ya mneno, ngoja league ianza.
Ahmed ali tutajie majina ya wachezaji wa simba tuliowaacha mpaka sasa umetuacha njiapanda hatuelewi kitu hatujui nani kaachwa na nani kaingia tafadhari sana tupe majina kaka
@@flova7022 Ina maana sawadogo, Jefferson, outarra Dejan, okwa na akina jobe ni wazuriii ila hawakulindwa ?? Then ayoub Lakred, Chama , tshabalala, Inonga na che Malone ni wazuri pia ila wao wamepewa ulinzi ?? Basi ongezen kampuni za ulinzi kk security na suma jkt kwaajili ya kuongeza ulinzii 🤣🤣🤣