Тёмный
Tweaking Tricks
Tweaking Tricks
Tweaking Tricks
Подписаться
PAGE HII INAHUSIKA NA MASWALA YA AUDIO PRODUCTION KATIKA NYANJA MBALIMBALI
HIVYO KWA WALE WANAO PENDA KUJIFUNZA PRODUCTION MNAKARIBISHWA KU SUBSCRIBE CHANNEL YANGU ILI MUWEZE KUPATA
VIDEO ZA MATOLEO MBALIMBALI KWA WAKATI
PAGE HII PIA IMELENGA KATIKA KUINUA UWEZO WA MAPRODUCER WA KITANZANIA
VIPAUMBELE
-UPANGILIAJI WA MUZIKI (MUSICI ARRANGEMENT)
UHANDISI WA SAUTI (AUDIO ENGINEERING)
UHANDISI WA UNASAJI WA SAUTI (RECORDING ENGINNERING)
UHANDISI WA USAMBAZAJI NA UANDAAJI WA NAKARA ZA MUZIKI (MASTARING ENGINEERING)
UTENGENEZAJI WA MUZIKI (MUZIKI PRODUCTION)
UANDISHI WA NYIMBO (SONGWRITING)
N.K
Jinsi ya kutumia Metric AB unapofanya Mixing
26:34
3 месяца назад
Jinsi ya kutumia waves CLA-2A
11:23
3 месяца назад
Namna ya kuchagua :MIDI KEYBOARDS for 2024
18:27
5 месяцев назад
Namna ya kununua best audio interface 2024
13:28
7 месяцев назад
MAMBO MUHIMU KUHUSU DYNAMIC EQ
11:03
4 года назад
MIXING: Mambo muhimu kuhusu limiter
12:56
5 лет назад
MAMBO YA MUHIMU KUHUSU  DELAY
20:37
5 лет назад
MAMBO MUHIMMU KUHUSU REVERB
11:45
5 лет назад
MAMBO MUHIMU KUHUSU COMPRESOR
24:21
5 лет назад
Комментарии
@Herson-yw6cn
@Herson-yw6cn 19 дней назад
Naomba namba yako ya simu
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 19 дней назад
0652656509 on WhatsApp
@BoazKapyela-w6v
@BoazKapyela-w6v 21 день назад
Nimependa hiyo strumming...
@harounmalaki7030
@harounmalaki7030 22 дня назад
Mkuu asante kwa kwa ushauri . Mm nina mic ya tarkstar natumani ningekutumia pic ili unawez gundua namna ya kutumia
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 22 дня назад
@@harounmalaki7030 ntumie kwenye WhatsApp 0652656509
@Herson-yw6cn
@Herson-yw6cn Месяц назад
Naomba namba yako ya simu
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 Месяц назад
@@Herson-yw6cn 0755181887
@Herson-yw6cn
@Herson-yw6cn Месяц назад
Naomba namba yako Mkuu.
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 Месяц назад
Check mwanzoni mwanzoni mwa hii video ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-vmUH04tN7-M.html
@RayMwidete
@RayMwidete Месяц назад
Nina PC ambayo Haina tundu la kuchomeka phone je nitafanyaje ili niweze kutumia kurecod
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 Месяц назад
@@RayMwidete kama huna badget ya kupata soundcard .... Unaweza kununua usb card (converter) ambayo inakupa port ya mic na headphone kwa matumizi ya kawaida...... Professional unahitaji kuwa na soundcard
@maduhumanyangu1544
@maduhumanyangu1544 Месяц назад
Ni masomo mazuri sana..Mwalimu wa Muziki, mie nina bajet ya kununua HEADPHONE kwajili ya kufanyia Mixing na Mastering. Je, ninunue Headphone yenye Sifa gani Kionvozi? Maanake sina Monitor Speakers
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 Месяц назад
kuna headphone nyingi nzuri kulingana na mfuko wako .................. ukipata M Audio, AKG, KRK ,senhanser ni brand nzuri kuna AKG kuanzia range ya 200k na kuendelea depending na model ... naweza kukutumia baadhi ya model kwa whatsapp
@kadala06
@kadala06 Месяц назад
@@tweakingtricks1087Nampango wa kufungua Local studio Vijijini Ila Mm sio producer nipo interested sana Na Muziki Naomba Unisaidia Nichukue vifaa Gani Specifically Ili nivinunue kabisa Producer ntatafuta Nikikamirisha vifaa...
@DangerClassic-uh6gy
@DangerClassic-uh6gy Месяц назад
Fresh sana mwalimu mkuu
@anaseiTV
@anaseiTV Месяц назад
Umetisha kaka
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Месяц назад
Safiiiiii,unatumia studio one
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 Месяц назад
Yeah studio one user
@MTEZO.
@MTEZO. Месяц назад
ivi unaweza kuunganisha sounds card na Subwoofer
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 Месяц назад
Yeah unaweza kuluunga ukiwa na pin za conversation jack to AV
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 Месяц назад
Lakini kwanini unataka kuyumia subwoofer kwenye setup yako
@MTEZO.
@MTEZO. Месяц назад
@@tweakingtricks1087 kunabaazi ya vifaa vangu va Studio vimeibiwa Sasa nanza kujipanga upya Sasa naitaji kuunga subwoofer Kwenye sounds card Lakini sikuwai kuunga subwoofer Kwenye sounds card
@MTEZO.
@MTEZO. Месяц назад
@@tweakingtricks1087 Kuna bahazi ya vifaa vangu vimeibiwa Sasa naanza upya ndonataka nitumie subwoofer Kwenye sounds card Lakini sikuwai kuunganisha
@Toyaliver
@Toyaliver 2 месяца назад
Professional
@ManMediaTz
@ManMediaTz 2 месяца назад
Somo zuri sana, tunasubiria somo jipya Mwalimu, ni muda mrefu hautotupa somo jipya
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 2 месяца назад
Sahani jaman soon ntarejea... Nina project ya kizunguka mikoa takribani 8 ... So inaniwia vigumu kushoot na kuedit but niko mwishoni na ntarejea..... Thank you for your concern brother
@joshuazabron9777
@joshuazabron9777 2 месяца назад
kwani bro pre-mixer haifai?
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 2 месяца назад
Unaposema pre mixer una maanisha mixer au digital field Recorder
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 2 месяца назад
Li dadavue vizuri swali lako... Be blessed kiongozi
@jamesmuseku2972
@jamesmuseku2972 2 месяца назад
Asante..Tafadhali nielezee type nzuri ya computer.
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 2 месяца назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-d92rpdbDgPI.html check hii video na uniambie kama bado utakuwa unahitaji msaada
@ManMediaTz
@ManMediaTz 2 месяца назад
Kaka, je kwa sisi tunaotengeza podcast na matangazo je ni plugins gani za waves ambazo ni the best...? Naomba ukipata muda tufikirie na sisi. Ubarikiwe sana
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 2 месяца назад
Sawa ntatrngeneza video itakayo elezea audio kwa podcast ki upekee
@chrissdozee6122
@chrissdozee6122 2 месяца назад
Kaka asantee sana unatusaidia mno.... Naomba usichoke kufanya maana wengi tunapata maarifa na kukua kwenye hii industry
@JoshuaEsrom
@JoshuaEsrom 2 месяца назад
Mkuu hongera saana na nimesubscribe channel Yako Nakuomba na wewe ufanye hivyo kwangu maana na mimi ni mwimbaji pia pro mafunzoni
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 2 месяца назад
Bila shaka kaka
@JoshuaEsrom
@JoshuaEsrom 2 месяца назад
Pamoja broo
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 2 месяца назад
Shukrani sana
@JoshuaEsrom
@JoshuaEsrom 2 месяца назад
Ufike mbali broo
@JoshuaEsrom
@JoshuaEsrom 2 месяца назад
Pamoja saana
@japhetjaphet5996
@japhetjaphet5996 3 месяца назад
Campun Gani ni Bora kwenye production
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 3 месяца назад
@@japhetjaphet5996 unaweza tumia kampuni yoyote kwa windows product line au mac kinacho matter zaidi ni specific requirements kama RAM CPU etc Na mfuko wako unavyosoma
@feimaker08
@feimaker08 3 месяца назад
Bro napenda san mambo ya Production Unaweza ukanifunza mimi nikawa mwanafunzi wako Napenda sana kuwa Producer
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 3 месяца назад
@@feimaker08 karibu kijana.....unapatikana wap
@feimaker08
@feimaker08 3 месяца назад
@@tweakingtricks1087 me ni mkazi wa Dar es salaam, Gongo la mboto
@feimaker08
@feimaker08 3 месяца назад
@@tweakingtricks1087 sijui wew bro upo pande Gani Naitaji San bro kuwa Producer mkali San na nina Nia san
@feimaker08
@feimaker08 2 месяца назад
@@tweakingtricks1087 kaka mamb vip
@epitomeapex
@epitomeapex 3 месяца назад
❤❤❤
@sirinenerenatho-qn3vx
@sirinenerenatho-qn3vx 3 месяца назад
Habari , kaka naomba mawasiliano yako. Kuna vitu nahitaji kuvifahamu
@andehbeat9357
@andehbeat9357 3 месяца назад
Akubali kaka
@andehbeat9357
@andehbeat9357 3 месяца назад
Nakuelewa sana kaka
@noblerhymes
@noblerhymes 3 месяца назад
Thank you sir🙏🏾 pls keep educate us
@Elyhoa
@Elyhoa 3 месяца назад
Kaka nahitaji mawasiliano yako ya Whatsapp
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 3 месяца назад
Nicheck kwa call ya kawaida unayoiona hapo kwa video then i will send you a private number
@enockntottea
@enockntottea 4 месяца назад
kaka umetisha hongera sana kwa kazi nzuri soon nakuja kaka usinichoke
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
Karibu kijana
@Ngumimbilingumimbili
@Ngumimbilingumimbili 4 месяца назад
Mick yang B 800 ina noise tatzo nin broo
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
Self noise flow ya b 800 iko juu sasa ikikutana na soundcard pia haiko vizuri ndo matokeo yake yanakuwa hayo unapata noise sana
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
Unatumia soundcard gani
@Ngumimbilingumimbili
@Ngumimbilingumimbili 4 месяца назад
Mimi natumia B 800 zile gold mbona kwangu zina noise nyingi tatz nin
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
Unatumia soundcard ip
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
Lakini kwa ninachokijua B 800 self noise level yake iko juu plus ikikutana na soundcard kama haiko poa inadouble
@godfreymartin4065
@godfreymartin4065 4 месяца назад
Dah, uko vizuri sana brother
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
*11:52* Feet 5 na sio mita 5 guyz (kwenye point inayohusiana na speaker placement)..... sorry ulimi hauna mfupaunaweza tazama ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-NO0RCqXNVO4.html unaweza tama video hii pia kupata kujua zaidi kuhusiana na series hii
@philipjoseph5931
@philipjoseph5931 4 месяца назад
Hapo kwenye Umbali wa Mita 5 wa spika kwa spika, Kodi ya chumba Mkuu 😂
@Bmtstudiostz
@Bmtstudiostz 4 месяца назад
Nilipokufatilia nikajifunza zaidi kwamba mziki haukamiliki kila siku unajifunza hata kama una uzoefu mrefu kiasi gani
@VenchaBeast_Tanzania
@VenchaBeast_Tanzania 2 месяца назад
Hilo nikweli kbsa.
@ProducerPeacelove
@ProducerPeacelove 4 месяца назад
Asant kaka hiv una group whatssap
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
litaanza siku si nyingi tuma number yako kwa simu inayoonekana hapo kwenye video
@zerohdigitals001
@zerohdigitals001 4 месяца назад
kaka unasaidia pakubwa
@nhjbeatzz
@nhjbeatzz 4 месяца назад
Bro Unapatikana Wapi
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
Napatikana Dar es salaam
@nhjbeatzz
@nhjbeatzz 4 месяца назад
Kaka Tunahitaji video hizi kaka 🔥🔥🔥
@kyflavour
@kyflavour 4 месяца назад
Respect broo
@enockntottea
@enockntottea 4 месяца назад
kaka kwa ubora wako
@THEEaglz
@THEEaglz 4 месяца назад
Yoo watsp maniga 🎉
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
Yeah niaje man
@MRWORDBNB
@MRWORDBNB 4 месяца назад
Unafundisha music production pia?
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
Yeah... Unapatikana mkoa gani ?
@MRWORDBNB
@MRWORDBNB 4 месяца назад
@@tweakingtricks1087 nipo Dar brother
@monstyleog6308
@monstyleog6308 4 месяца назад
​@@tweakingtricks1087 mim nipo Dsm
@MRWORDBNB
@MRWORDBNB 4 месяца назад
@@tweakingtricks1087 napatikana Dar kaka
@ahadijoel07
@ahadijoel07 4 месяца назад
Kwan bro una duka la vifaa vya studio
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 4 месяца назад
Kwa sasa hapana ila naweza kukurefer kwawauzaji ninaowafahamu
@joshuafredrick1
@joshuafredrick1 5 месяцев назад
Kazi yako ni njema mkuuu
@justineonline6556
@justineonline6556 5 месяцев назад
Safi
@lovedotmusicproduction4727
@lovedotmusicproduction4727 5 месяцев назад
Mzee baba
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 5 месяцев назад
we kijana..... naona umefikiwa au umetafuta 😂
@TheAfricanBeats-jh9ii
@TheAfricanBeats-jh9ii 5 месяцев назад
bro nahitaji hiyo wave complete yako
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 5 месяцев назад
unapatikana wapi kijana
@mr.michaelHb3491
@mr.michaelHb3491 5 месяцев назад
Lam iwe ngap mkuu
@tweakingtricks1087
@tweakingtricks1087 5 месяцев назад
UNAWEZA TAZAMA HII HAPA NIMEZUNGUMZIA KIUNDANI ZAIDI ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-d92rpdbDgPI.html