Pole sana mama. Naomba umuambie atafute international organization aangalie ajifunze na pia kusoma fursa zote anazoweza kupata, achukulie hiyo kama ni fursa kutoka kwa Mungu wetu muumba wa kila kitu. Kuna ya faida hapo ya kujifunza kutoka kimataifa, pia asivunjike moyo anaweza kupata ,tu wa aina yake au aliyekubali hiyo hali na kuanza familia. Hongera sana mama Sofia.
Pole sana wazazi wa mtoto huyo. Kwakweli ni changamoto kubwa sana kumlea...lakini hongereni pia kwa kumkuza hadi kufikia umri huo. Hapo inaonekana ni jinsi ya kike ndo imetawala, je, anaweza kuolewa?