Тёмный

MZEE CHEMBELA & NASSORO WAMPANGUSA DOSA STESHENI KISA KUMSIFIA DEBRA MAVAMBO | AMETUKOSEA SANA 

wispoti tv
Подписаться 45 тыс.
Просмотров 7 тыс.
50% 1

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 52   
@BigZhumbe
@BigZhumbe 6 дней назад
Laana ya Mzee MAGOMA imeanza kuwatafuna
@lenziangowoko9325
@lenziangowoko9325 8 дней назад
Mnakuza tu mambo! Mbona mashabiki wa simba wanasifia wachezaji wa yanga,mfano mzee saidi anamsifia sana Azizo ki
@HerryLazaro
@HerryLazaro 7 дней назад
Mbona injia amemsifia balua na mbaka leo ni kiongozi?
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 8 дней назад
Sawa kakosea kwani huko kwenu hakuna onyo mtu kakosea mara moja tu leo unamuondoa kwenye uanachama
@devidmaembe
@devidmaembe 5 дней назад
nabado mtago mbana sana elisi alikuwa anamsifia chamaakiwa simba piamliwai msifia kibudenisi alafupia sisi mashabiki wasimba mbona tunawa sifia wachezaji wengitu wayanga ilosiyo kosasema nyinyi mlikuwa mlishaga mchoka mlikuwa mnamsikili ziampate sababu yakumuenguwa
@Mkubwa_jr
@Mkubwa_jr 8 дней назад
Yanga wengi kuanzia viongozi wao wapo hivyo wana roho mbaya wamekaa kichawi yaani hawajui mpira....mpira unataka kizuri ukisifie hata km hakipo upande wako wao wanataka hata km mchezaji wako mbovu ndo umpambe tu
@mariamabdallah9847
@mariamabdallah9847 8 дней назад
Mzee saidi mbona anamsifia azizi k
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot 8 дней назад
Kumamako zenu
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot 8 дней назад
Wasenge nyinyi
@gerphasntaziha4475
@gerphasntaziha4475 8 дней назад
Baadhi ya mashabiki wa yanga kama huyu nasoro na chembela wana roho mbaya, kosa la dosa liko wapi kusema ya moyoni?
@bone102
@bone102 8 дней назад
Hersi aliongea chama ni mchezaji bora Tanzania na akaulizwa anataman akachezee yanga akasema why not leo chama yupo yanga juzi hersi kamsifia balua imekuwaje huyu Nasoro amfukuze dosa kisa deborah na sio akashinikizaz kumfukuzaz hersi aliyewasifia wachezaji wawili wa simba
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 9 дней назад
Mnajidai mnajua scout mngechukuwa wazee wa Simba
@abdallahshariff6555
@abdallahshariff6555 9 дней назад
Simba kuna Mchome na Said wanaiponda Simba Kila siku,mpaka Simba imemchapa Ahli Bado wanakosowa,Wana Simba hawajazuia waandishi wasiongee nao,Uto mna shida
@DormanDorman-jm3dz
@DormanDorman-jm3dz 8 дней назад
KWA MAANA HIYO DOSA YUPO FREE .SASA ANAWEZA KUENDELEA NA MSIMAMO WKE POPOTE
@malietamaliet
@malietamaliet 8 дней назад
Mm naona aliteleza mngemuita mkamuelewesha Dosa mm nina uakika ni mpile atawaelewa binadamu tumeumbiwa makosa jmn yeye sio kama wakina mchome wala meja
@sebastianthadeus5270
@sebastianthadeus5270 9 дней назад
Wache ni ujinga Dosa hana kosa alilofanya kama mchezaji anafanya bidii Wacha ukweliusemwe bila kujali ni simba au yanga
@MohamedHaruna-l8c
@MohamedHaruna-l8c 8 дней назад
Manara aliwahi sema wana yanga wote hawana akili kosoro kikwete na mzee sande manara nikweli
@abelimaganga417
@abelimaganga417 9 дней назад
Haya mtoe na hersi si kamsifia sana chama na juzi kamsifia balua acheni ujinga bhana nyie ndo wenye njaa mtu asioongeee mpira bhana acheni ujinga bhana
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 9 дней назад
Tatizo wanayanga niwanafki hivi wangapi wanayanga wanaomkubali DEBORA?
@chrissongoro
@chrissongoro 9 дней назад
Wote
@salimmalaka256
@salimmalaka256 8 дней назад
RUDISHENI FUNGUWO NYUMBA SIO YENU 😂😂😂😂 KURUJUWANI ITAWAMALIZ SUPU CHAPATI FC NYIE 😂😂😂😂😂 KURUJUWANI OYEEEEEE 😂😂😂😂😂 MZEE MAGOMA ZEE LA KATIBA OYEEEEEE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@yuzoooyuso583
@yuzoooyuso583 8 дней назад
Nyie mashabiki wa yanga kweli mmepungukiwa akili.kumsifia mchezaji wa Simba kunaubaya Gani?huyo Chama huyo injiniaaliwaahi msiffia Chama maana yake huko uanga kulikia na wachezaji wabovu ndio mama Chama mmemchukua.makubwa jinga hàya gongowazi manara aliwahi sema wenye akili ni wawili haina haja ya kuwataja.huyo injinia wamemfanya ni Mungu wao kwaamba hakosei
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 9 дней назад
Nyie mbona mlikuwa mnamsifia MABULULU Mbona amjaamia LIBYA?
@JosephatMassae
@JosephatMassae 8 дней назад
Mbona hamumfukuzi injinia hersi kumsifia balua na chama kabla hajaja yanga !! Acheni unyumbu mnaishi maisha ya kufwata mkumbo kama NYUMBU !! Dosa kakosea nini!? Ndo maana mko wawili tu katika wenye akili😀😁😂😀😁😂😀😁😂
@mariamabdallah9847
@mariamabdallah9847 8 дней назад
Miraji mbona anasifiwa yanga uto acheni ujinga
@salummkicha6636
@salummkicha6636 9 дней назад
Ila dosa mbona hajakosea kama wanavozungumza yy amesema mavambo anafaa kuw mbadala wa halid Aucho
@bakanga1410
@bakanga1410 8 дней назад
Kwa utaratibu huo nyuma mwiko hamuwezi kupata wapenz wa kizazi kipya kwa sababu vijana wa sasa hivi wanataka furaha cyo kuwafunga mdomo
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 9 дней назад
Kwani HERSI alivokuwa akimsifia CHAMA kipindihicho chama alikuwa anachezeawapi? Nanikweli HERSI alikuwa anakosa usingizi mbona awajamtenga? DOSA wamemuonea kwasababu nimnyongetu .
@joanitamligo6321
@joanitamligo6321 8 дней назад
Upo sahihi kabisa
@HUMAIRYJUMA
@HUMAIRYJUMA 8 дней назад
Hawa nilimbuken hajui mpira
@binbadru8408
@binbadru8408 8 дней назад
Yanga washamba bamjyi mpira,mtu kutoa maoni yake iwe nongwa!?
@JaphariMwangu
@JaphariMwangu 8 дней назад
mbna hersi anamkubali balua kumkubali mtu dhambi ngogwe Amna kitu kichwani
@GeradGmwambe
@GeradGmwambe 8 дней назад
Sio watu wa mpira yanga
@AminoKhalif
@AminoKhalif 8 дней назад
Jamani wanayanga wenzangu kakosa lakini msameheni tu
@bone102
@bone102 8 дней назад
Dosa hana kosa lolote labda nasoro ndo anakosa
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 8 дней назад
Mchome vipi 😂😂😂dah
@SilasJacob-z6v
@SilasJacob-z6v 8 дней назад
Acheni ujinga kumbe hata ww hujitambui umefanya ivooo ili uwe unaongea ww mpira hauko ivooo nyie ukweli unasemwa
@WakiliAbasi
@WakiliAbasi 8 дней назад
ili jamaa lina jazba
@mariamabdallah9847
@mariamabdallah9847 8 дней назад
Uto acheni wivu
@peterpain5594
@peterpain5594 9 дней назад
Dosa anapenda sifa kwanza ajui ata kuongea mm kuna mashabiki 2 wa yanga huwa siwaelewagi dosa nimwenzake mwalimu wanangeaga usenge tu
@AyubuErnest-x1k
@AyubuErnest-x1k 8 дней назад
Tatizo yanga uelewa mdogo
@fatoommeraje2133
@fatoommeraje2133 8 дней назад
Nyie yanga msimponde dosa huwo sio ubinaadamu
@maulidmusa8902
@maulidmusa8902 9 дней назад
Hawa Yanga wa ajabu sana. Ni aibu
@Mpakauseme
@Mpakauseme 9 дней назад
Roho zakichawi
@mohammedmohamed9969
@mohammedmohamed9969 9 дней назад
Afadhali mumfukuze huyo dogo aliongea UPUUZI sana Jana huyo dosa ikiwezekana afutwe uanachama
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 9 дней назад
Kwani HERSI alivokuwa akimsifia CHAMA kipindihicho chama alikuwa anachezeawapi? Nanikweli HERSI alikuwa anakosa usingizi.
@danielchamoto9376
@danielchamoto9376 8 дней назад
Haituhusu maku wew😂😂
@StephanoJames-c3d
@StephanoJames-c3d 9 дней назад
Utoo jamani
@joanitamligo6321
@joanitamligo6321 8 дней назад
Nyinyi hamjui mpira dosa hajakosea kila mtu anamaoni yake ngoja team ianze kufanya vibaya mtamkumbuka dosa anacho sema mcheza mzuri anasifiwa na yeyote yule
@DenisSanga-bj5ud
@DenisSanga-bj5ud 9 дней назад
Dosa asirudi tena hapo atumtaki aondoke zake
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 9 дней назад
Jmn😂😂😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 8 дней назад
KWANI HAPO KWA BABAKO KENGE WEWE
Далее
Лиса🦊 УЖЕ НА ВСЕХ ПЛОЩАДКАХ!
00:24
Китайка нашла Метиорит😂😆
00:21
Maoni ya Wananchi wa Kisii juu ya Gachagua
24:18