JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV. KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Yanga wengi kuanzia viongozi wao wapo hivyo wana roho mbaya wamekaa kichawi yaani hawajui mpira....mpira unataka kizuri ukisifie hata km hakipo upande wako wao wanataka hata km mchezaji wako mbovu ndo umpambe tu
Hersi aliongea chama ni mchezaji bora Tanzania na akaulizwa anataman akachezee yanga akasema why not leo chama yupo yanga juzi hersi kamsifia balua imekuwaje huyu Nasoro amfukuze dosa kisa deborah na sio akashinikizaz kumfukuzaz hersi aliyewasifia wachezaji wawili wa simba
Simba kuna Mchome na Said wanaiponda Simba Kila siku,mpaka Simba imemchapa Ahli Bado wanakosowa,Wana Simba hawajazuia waandishi wasiongee nao,Uto mna shida
Mm naona aliteleza mngemuita mkamuelewesha Dosa mm nina uakika ni mpile atawaelewa binadamu tumeumbiwa makosa jmn yeye sio kama wakina mchome wala meja
Haya mtoe na hersi si kamsifia sana chama na juzi kamsifia balua acheni ujinga bhana nyie ndo wenye njaa mtu asioongeee mpira bhana acheni ujinga bhana
Nyie mashabiki wa yanga kweli mmepungukiwa akili.kumsifia mchezaji wa Simba kunaubaya Gani?huyo Chama huyo injiniaaliwaahi msiffia Chama maana yake huko uanga kulikia na wachezaji wabovu ndio mama Chama mmemchukua.makubwa jinga hàya gongowazi manara aliwahi sema wenye akili ni wawili haina haja ya kuwataja.huyo injinia wamemfanya ni Mungu wao kwaamba hakosei
Mbona hamumfukuzi injinia hersi kumsifia balua na chama kabla hajaja yanga !! Acheni unyumbu mnaishi maisha ya kufwata mkumbo kama NYUMBU !! Dosa kakosea nini!? Ndo maana mko wawili tu katika wenye akili😀😁😂😀😁😂😀😁😂
Nyinyi hamjui mpira dosa hajakosea kila mtu anamaoni yake ngoja team ianze kufanya vibaya mtamkumbuka dosa anacho sema mcheza mzuri anasifiwa na yeyote yule