kwani Magufuri si alikuwa kiongozi mzuri alivyofariki nani alie hoji nashangaa sisi wa tanzania tunakosoa sana kenya kuliko kuwaombea ili wasiingie kwenye vita ruto akitokw nani atakuwa kiongozi mzuri wakenya ni wazungu vuchani kama hauwajui
@@aftapat5365ndugu yangu hivi unamsikia Ruto na tension yake kuhusu hayo maandamano?Halafu kuna namna unapaswa kuelewa Magufuli hakuwa mtu wa mikopo kaka huyu anakopa Sanaa hicho ndio kitu wakenya hawataki sababu inachochea ongezeko la kodi.
Huyu rais ni jeuri sana ataki kuwasikiliza watu wake alafu analinganisha mali pmj na watu waliofariki 😢 alafu yupo tayari kwa chochote yani mbwai mbwai wakati ajatimiza alivyoahidi 😢alafu anakua mjeuri kama watu wake 😢USHAURI WANGU NI..... WALE VIJANA WANAO ANDAMANA WAINGIE NA MOTO MTAANI TU.
Wewe hapo juu unayewaabudu waingereza ona sasa matatizo yaliyopo sell outs,King wa uingereza kukaribishwa na kutandikiwa zulia jekundumk.Kasumba .NI MHIMU KUIHESHIMU LUGHA YAKO KWANZA KAMA WAFANYAVYO WAZUNGU WENYEWE.RAISI ANAIHESHIMU LUGHA YAKE YA TAIFA NA WAINGEREZA WANATUHESHIMU KWA KUWA NA LUGHA YETU IMARA NA KUTOKUWA NA UKABILA🎉IAM PROUD OF MY NATION.GOD KEEP ON BLESSING MY BELOVED COUNTRY.NEVER KILL EACH OTHER.IN GOD I TRUST.
Mnao shukuru kwa Sky kutafsiri hii inshu kwa kiswahili jifunzeni Lugha kujua kichina ,kirusi na kinyakole ni utajiri wa lugha wala sio ushamba kujua lugha yeyote ile.
Jamani tukumbuke kuwa tumerithi capitalism,ni hatari.Viongozi wanajisahau kuwa wao ni wananchi mzungu alikuwa anakula nchi tu.😢After all Ruto is a billionare ,he can easily use his moneys to travel to anywhere without using taxpayers money😅😅
Inapaswa kuwa funzo kwa nchi nyingine za Africa especially East Africa,watu wanaimba Democracy lakini kuitekeleza inakuwa ngumu kwa kuwa wanajali interest zao..Ona sasa huyu anajikanyaga tu anashindwa kujibu kama kiongozi mkuu wa nchi every answer he give contains numbers of what he call facts but they are not sensitive indeed,Poor Ruto.
Umefanya vizuri kwa kuongeya kiswahili poleni sana kwa vifo vimetokeya na omba wakenya mpende Amani na mpende inchi yenu usalama nikitu muhimu kwenu usalama gusa kilammoja wenu
Afadhali angaliomba msamaha na siyo kujikosha.Wale waliouawa wapate fidia tena kubwa. Ni binadamu na siyo kuku😢😢Tanzania tusije tukajiingiza Kwenye balaa kama hili,maongezi ni mhimu na amani kama ilivyo kawaida yetu na msingi wetu Lema na upumbavu wake wa kutoka ughaibuni kutaka vijana wafanye fujo ni wendawazimu.mtupu bila kusahau kuwa Lema ni mjinga fulani😢.
HUYO HASTAHILI KUWA RAIS KABISA AONDOKE AKAFIYE NAHUKO ALIBADILIKA WAKATI ALIENDA KUKUTANA BIDEN ASI WADANGANYE HAKUNA KITU ATA SAIDIA IYO NI UONGO🎉🎉🎉🎉
Huyu Ruto ni Adui wa nchi ya Kenya ameanza ubaya baada ya kukutana na Biden wiki iliyopita na kuongea upuzi usio na mana. Hafai kuwa Rais wa nchi ya Kenya. Shame on him.
Linus is incompetent to represent in that meeting he is too emotional and represents his own feelings, I real like the other two, are very objective and well equipped and accommodated
Kinachomponza tuu huyu Rais wetu jirani ni matumizi mabaya ya pesa na viongozi wake. hiyo ndo shida kubwa na ndomaana hizo tozo zikawafanya w/nchi wakasirike na kutaka mswaada mzima upeleke kwnye jalala
Watanzania hatuamini amani katika kumwaga damu.Hiyo ni mbegu ya ubeberu,colonialism walituua na kututawala kimabavu.Mwafrika kwa ujinga wetu anafikiria kuwa kuua ndiyo sifa😢Hata polisi anafikiria kuua ndiyo ushujaa. Kumbukeni south Afrika. Wazungu wenyewe polisi haruhusiwi kuua.Afrika tunauana kama kuku,kwa vile akili yetu ndogo kama kuku😢wanaopenda fujo na vifo waende Gaza au Ukraine
Hakuna mtu anamini ruto kenya.Ruto akikuambia leo ni jumapili na calender ameshika chunga sana anaweza kuwa anakuonsha calender ta 2020. Hiki ndick kiwango cha urongo ruto yuko nayo.
Huyu shetani bado anatuma watu kuwauwa wananchi nakuwateka nyara,bado anatmia vibaraka wake kiwaumiza wakenya, kiufupu huyu hajabadilika, ruto hujui kuongoza achilia kiti uende zako,maana unazidi kujihaibisha na dunia inakushangaa
Ila huyu linus alimkalia kooni jamaa nadhani alipo rudi ndani alijuta kuikubali hiyo Interview but amijitahidi sana hizo mambo zina mfaa sana Kikwete hapo angewatoa knock out mshua anajua sana yule
Kuua wandamanaji wa amani ni jambo baya sana,Ruto amezingirwa Hana pa kwenda na hata Marekani kwa hili watamtosa. Atubu ndio shida ya kutaka Urais kwa gharama yoyote. Hatapata amani Hadi anaenda kaburini
Wana SNS sisi ndio wakenya na tunajwa Kila ambacho kilifanyika Kenya uyu RUTO ameongea uwongo yote kama anasema mtu Mmoja ndio alifariki Githurai na ni watu wengi walipigwa risasi... Atupatie paybill ya china tujilipie deni wenyewe
Ile siku wazungu wataacha kutuchagulia viongozi ndio itakuwa wakati wa africa kuendelea huyu alikuwa hajakuwa tayari kuwa raisi coz amepatikana flat footed hana majibu hana watu wakumpa information anabaki akibahatisha majibu...
Huyu anaiga ulaya kutia tax na inchiyake ni africa watumusiitike hiyo ulaya ni ulayatu na africa ni africatu ulaya ni inchi tajiri na africa ni inchi masking kwanini huyumwizi aige ulaya kutia tax????
lakini mbona hawakumuuliza kuzarau mahakama ambayo ilitoa hukumu polisi kenya wasiende Haiti lakini kawapeleka. ukweli hakuna la maana waandishi walichomuuliza
Ukipunguza hasira na chuki utajua Kenya ipo kwenye tatizo zito na one way or another lazima nchi ilipe either leo au kesho, Ruto anamakosa yake kweli ilabado anajitahidi kwa kweli.
Thats what am talking about 1:08:1:12:43- his trips to foreign countries has potential impact to the growth of Kenya's economy- USA- he came back with a $1billion Data center facility to be built in Naivasha. Also the CHIPS manufacturing has set Kenya to be part of it. Then China - Roads, Technical equipments kwenye vyuo vikuu. Duuh aloo...Jamaa sio mchezo Rais wa Kenya kongole baba
Achen kumshutuma vibaya RUTO kwan yee ndio rais wa kwanz nchini kwake kuwa na maisha magumu..kwahiyo hao waliopita wakenya wote mlikuwa matajir? hebu mwachen baba wa watu afanye kaz yake kwa uaminifu
Yaan apa africa kazi ipo yeye anakodi ndege anatumia pesa nyingi alafu anaawambia watu kuwa lazima wakope kwa ajiri ya nini au safarizako za marekani na kujiongezea posho na vyakula vizur bungen