Тёмный

MAGUFULI AWAKA, AMSHUSHA BODYGUARD KWENYE GARI, AMNYANG'ANYA MKURUGENZI GARI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 520 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 602   
@janethmwanri1658
@janethmwanri1658 3 года назад
who is watching this now when he's no more... he says and does what he says... Like if you are watching this as we mourn for him
@ForeveryoungNana2019
@ForeveryoungNana2019 3 года назад
I can't stop watching your videos Magu, continue dancing with the angels🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
@aliandrew3537
@aliandrew3537 2 года назад
My dear we need leaders kama jembe the bulldozer magufuli Yani mpaka Leo kifo CHAKE chanitia huzuni hadi leo
@lucykiruki4439
@lucykiruki4439 4 года назад
Great and true son of Africa! Caring and sorting out wananchi’s issues. Tanzanians are truly blessed
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 года назад
Umeonaa eeee!!! But today we haven't
@sammygichuki5664
@sammygichuki5664 3 года назад
Mimi ni mkenya lakini twajivunia uongozi wa raisi wa Tx is a genius makufuli
@halimamangala6731
@halimamangala6731 3 года назад
Kama wewe unapitia video zote za baba tangu atutoke gonga like😭😭
@rozaliewalumona8604
@rozaliewalumona8604 3 года назад
Mungu ailaze roho yake mahali pema mbinguni
@rozaliewalumona8604
@rozaliewalumona8604 3 года назад
Ninaamini kazi umefanya si. Kwa wa Tanzania tuu ni kwa Afrika nzima na raisi wote Afrika wangefuata mwenendo wako hatungehitaji . misaada toka inje
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 3 года назад
Mungu tunaomba utupatie tena Rais kama huyu jpm dah
@mangomkusaga5468
@mangomkusaga5468 3 года назад
Halima vp
@aliandrew3537
@aliandrew3537 2 года назад
My dear it's so painful to believe that doctor John pombe magufuli the bulldozer, jembe keshatutoka it's so painful for real From Kenya mpare originally
@Peaceman-S
@Peaceman-S 3 года назад
Utaishi mioyoni mwetu 😭😭NENDA SHUJAAA WETUU UPUMZISHWE KWA AMANI
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 года назад
Asante Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏🙏🙏
@alexmuya8541
@alexmuya8541 4 года назад
Am a kenyàn when I see thz best president in Africa I feel to cry out of happiness a president who listen to the prights of common mwananchi of Tanzania may God bless him I wish he could be be a Kenyan president
@johnmhina8122
@johnmhina8122 4 года назад
Exactly Alex Muya
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 4 года назад
Thank you Muya. We pray that our EAC gets good leaders so that our economy and social life can fly. We are one people. Mkenya akipata ni mtanzania kapata, Muuganda akipata ni Mrwanda kapata na mranda akipata ni Mburundi kapata. Tuendelee kuombea Umoja wetu wa East Africa na Afrika kwa ujumla. Big up Muya.
@justinemachuma6954
@justinemachuma6954 4 года назад
Exactly, Am a kenyan too, I salute Magufuli too
@safinamalero3971
@safinamalero3971 4 года назад
Rais wangu asalamaleku.....😴
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 4 года назад
Karibu tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@remenmunis7729
@remenmunis7729 4 года назад
Huyo jamaa anajua kujieleza sana Excellent
@damariam7497
@damariam7497 4 года назад
Mungu akuweke Magu, ww ni jembe Tanzania mjivunie mumshike kabisa💛💛💚💚 Kenya tunampenda sanaaaaa!!!
@givenlaudenmwamasage5057
@givenlaudenmwamasage5057 4 года назад
Asante dada hili jembe kwelikweli halipingiki rais miaka mia
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 4 года назад
👏🏻👏🏻👏🏻
@ruthnjau
@ruthnjau 3 года назад
🥺
@damariam7497
@damariam7497 3 года назад
@@ruthnjau Ndo ivyo hatuna budi Mola kampenda zaidi...Mola awape nguvu wa Tanzania..😢😢😢
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 года назад
Yani watu Leo ndo wanakumbuka daa we are so sad Tanzanian
@graceniyonzima3130
@graceniyonzima3130 4 года назад
I am Burundian but kila nikimuona mheshimiwa Rais John Pombe Magufuri aki naisi furaha kubwa sanaaa Mwenyezi Mungu akuwezeshe ubaki na Moyo wa upendo
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 года назад
Umeonaa eeee but today we haven't our president it's xo sad hakika chema dada neema hakidum!!!!
@florakiondo8557
@florakiondo8557 4 года назад
Ubarikiwe mtu wa Mungu
@fababindawood8363
@fababindawood8363 4 года назад
Yaani me nataman angekuwa Rais mpk Zanzibar 🙏🙏🙏💪💪💪💪
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 4 года назад
Kweli kabisa.
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 года назад
Is your present too
@abdullaabdullahmpakanjia2336
@abdullaabdullahmpakanjia2336 3 года назад
Mijichoyo
@faridadudu3178
@faridadudu3178 3 года назад
napita kwa majonzi 😭😭 baba umetuacha bado tunakuhitaj ,mbele yako nyuma yetu😭😭😭
@edwinelias8554
@edwinelias8554 4 года назад
Km umesikia asalamu allekum like hapa
@billyisadia5651
@billyisadia5651 3 года назад
The late just went back to where he belongs, really. Where truth & justice prevails, in heaven
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 4 года назад
Anaemuona mkurugenzi anatamani ardhi ipasuke alike hapa
@deserttv_tz2655
@deserttv_tz2655 4 года назад
👏👏 huyu ndo rais tunayemtaka, mwenye vitendo vingi kuliko maneno, naamini mungu alimuandaa kwa ajiri ya taifa hilii🙏🙏 watanzania tunapaswa kujivunia sana❤️❤️❤️
@ashamapembe6273
@ashamapembe6273 4 года назад
Mno!
@jeradiakiyoo4677
@jeradiakiyoo4677 4 года назад
hahaha
@damariam7497
@damariam7497 3 года назад
Wallahy nimeamini chema hakidumu...😭😭😭 Mola awafariji ndugu zangu
@masengosamuel3817
@masengosamuel3817 4 года назад
Pande za burundi tunawafuatilia na poleni sana kwa msiba uliwo wakuta.millard
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 4 года назад
Yani wapendwa kwa wananchi mh rais Wetu tulitakiwa tumpe miaka 20 huyu ndie tunayeona anaweza kuisukuma tz kwenye maendeleo ya kasi tuliokuwa tunahitaji jpm safiiiii Mungu akupe maisha marefuuuu jpm wetu
@jumajuma7658
@jumajuma7658 4 года назад
JPM OYEEEEE
@rukiaaisu2309
@rukiaaisu2309 4 года назад
Yani unawazo kama langu huwa naongea kila siku wallah tungefika mbali sana
@nsarilema9580
@nsarilema9580 3 года назад
haya muongezeeni miaka 100 kabisa
@ashuraissa7044
@ashuraissa7044 3 года назад
Tulikupenda Sana baba yetu ulitupenda Sana haukubagua baba lala salama mungu akuangazie mwanga wamilele 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@joackimmapunda4697
@joackimmapunda4697 4 года назад
Et " alo masela " ila magufuli more love kwako
@youngpesa3744
@youngpesa3744 4 года назад
asante mung kwa kutupatia uyu rais asante baba magu kura yang iyooooooooh!
@deodatusmdaku2226
@deodatusmdaku2226 4 года назад
Gari ya mkurugenzi iwe ambulence 🙌🙌🙌
@godrivermussa6797
@godrivermussa6797 4 года назад
😀😀😀😀yan nimecheka kwa sauti aisee
@barakaben7902
@barakaben7902 4 года назад
Yaani mimi sina mbavu maana zinauma kwakucheka na mshituko
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 4 года назад
Kuna watu wanaroho mbaya sana...utasikia Magu anatumia pesa za wanachi vibaya....Ahsanteee Uncle JPM. Mungu akubariki akupe afya njema.
@sylvestersimweka6643
@sylvestersimweka6643 4 года назад
Amina
@melissateddybearcossan9506
@melissateddybearcossan9506 4 года назад
Watajiju wananchi ndio wanazitaka siyo yeye atajirike peke yake kama waliopita
@nassirabdi6360
@nassirabdi6360 3 года назад
A true pan africanist jpm was an example for us all......Africa loves and misses you......rest in peace.
@oscarkasalile8370
@oscarkasalile8370 4 года назад
Mzee wewe huna mpinzani Tanzania hata Duniani, mungu akulinde
@sophiasophia6945
@sophiasophia6945 4 года назад
Apate wapi mpinzani
@roselugendo6943
@roselugendo6943 4 года назад
Asante Rais. Pole na safari yakwenda kumuhifadhi ndugu yetu, baba yetu mzee mkapa .
@missmoona4497
@missmoona4497 4 года назад
Hahahaaa bb huyu ni mjanja hatar hiyo nimewaelewa maana yake kuna watu wajipange kutumbuliwa wallah
@doramkolo1745
@doramkolo1745 4 года назад
Am proud of my president kwakweliii💃💃💃💃💃💃💃
@gabinnshimirimana683
@gabinnshimirimana683 4 года назад
🇧🇮Can we make Mr John Pombe Magufuri the African President? He just does things different from other leaders. Tanzanians should be proud of him! 🇧🇮
@nice4really503
@nice4really503 4 года назад
Mtamuua ubongo jaman🙄
@erickossen6378
@erickossen6378 4 года назад
we are proud indeed
@josephatwilson9845
@josephatwilson9845 3 года назад
And now he is not live😭😭😭😭 great loss to our country
@aliandrew3537
@aliandrew3537 2 года назад
Wanafki wameungana Na mabwenyenye wajamfikia kum'maliza
@rebeccajohn196
@rebeccajohn196 2 месяца назад
Mmh! Baba ang Magu,pumzika kwa amani
@rehemajoseph33
@rehemajoseph33 4 года назад
mkuu mungu akulinde awe nawe kila hatua unayo piga akuongoze
@MariaHussen
@MariaHussen Месяц назад
Magufuri wetu mungu akusamee mpendwa wetu tunariaa sana
@teresaonduko4443
@teresaonduko4443 4 года назад
Natamani kuhamia Tanzania 💕
@pascoalphonce2911
@pascoalphonce2911 4 года назад
Karibu sana Tz, hata ukija kuolewa tu huku Tz tayar umekuwa Mtanzania....Karibu sana
@barneymunuo5659
@barneymunuo5659 4 года назад
Karibu mama Mimi mwenyewe sijaoa nikikuoa utakua mtanzania kabisa hatunaga tatizo na wageni sisi karibu sana
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 года назад
Jaman pole Sana but today we haven't our president it's soooo sad
@muhubirirwesapaul3150
@muhubirirwesapaul3150 4 года назад
Nakuombea amani na maisha meme kwawa Tanzania wote. Mungu akujalie Mh Rais Magufuri
@hellenmollel6679
@hellenmollel6679 4 года назад
Mungu azidi kukulinda Baba yangu, na Rais wangu
@ntamukunzimodeste4876
@ntamukunzimodeste4876 3 года назад
Mungu azidi kukulinda baba yangu
@juniorlaban2078
@juniorlaban2078 3 года назад
Rip president magu u are a hero Kenya I wish we could see this happening n our country u were blessed Tz
@fredasanga5394
@fredasanga5394 4 года назад
kama unampenda magu weka lake hapo
@magdalenekessy9651
@magdalenekessy9651 4 года назад
Safi sana rais wetu
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 4 года назад
Nampenda kwa roho yake nzuri
@awadhally1052
@awadhally1052 3 года назад
👍
@rosemasunga5209
@rosemasunga5209 4 года назад
Magufuli baba Wa wanyonge tunakuelewa baba God bless you baba!!!
@amonsanga1866
@amonsanga1866 4 года назад
Mh wangu nakuelewa sana haijawahi kutokea na haitatokea kupata Rais kama huyu Mungu akulinde utimize ndoto zako mh
@christinakomba4826
@christinakomba4826 4 года назад
Amwekee wigo wa moto wala adui hasimkaribie siku zote za maisha yake !! Amina
@presseg.6362
@presseg.6362 4 года назад
Bwana akubariki Sana
@fatmayussuf4760
@fatmayussuf4760 4 года назад
Na sisi tunakupenda sana raisi wetu
@mariamkheri8138
@mariamkheri8138 4 года назад
Nampenda sana jamaniii huyu baba mmmh we acha tu
@enezachauka7620
@enezachauka7620 4 года назад
Safi Mr Miayo, Magu co p kaka, RAIC NO1 TZ MWENYE MCMAMO
@irenenyambeki3094
@irenenyambeki3094 4 года назад
Nakupenda sana raisi
@justinwambua5180
@justinwambua5180 4 года назад
Tuleteeni huyu kiongozi hapa Kenya, hata sisi tunakupenda hapa kenya
@justinwambua5180
@justinwambua5180 4 года назад
@Zawadi Issa anakunywa sana huyo pombe wenu
@kezahabiba5554
@kezahabiba5554 4 года назад
Wamlete kwanza Uganda duh
@justinwambua5180
@justinwambua5180 4 года назад
@@kezahabiba5554 Uganda mko sawa nyie. Lifetime president
@agnesgervas8070
@agnesgervas8070 3 года назад
Kila nikiona comment zenu nalia tu naona jinc gani mlivyokuwana upend nchi jirani natamn ingekuwa ndoto tu hii kwtu
@justinwambua5180
@justinwambua5180 3 года назад
@@agnesgervas8070 You should have given us Magufuli on loan for one term. This is the only president every person in Africa was following closely, the rest are useless. May he rest in peace, we loved him.
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 4 года назад
Hata sisi tunakupenda sana sana Rais wetu. Watanzania wote wazalendo tunakupenda sana.
@haroungallus4480
@haroungallus4480 4 года назад
Thou inpm
@haroungallus4480
@haroungallus4480 4 года назад
L
@ibrahimmungure4749
@ibrahimmungure4749 4 года назад
Hapa kazi tu.
@samiahkhalfan9091
@samiahkhalfan9091 4 года назад
Ahsante Baba, Mungu azidi kukuongoza na kukusimamia katika kuliongoza Taifa letu. Ahsante Mungu kwa kutuletea mtetezi wetu
@reubenismail3672
@reubenismail3672 4 года назад
Daaa!kweli huyu hakika ni baba aisee anaongea kwa uchungu pia hapendi kabisa vurungu!amani ndo kila kitu
@eliazephania7633
@eliazephania7633 4 года назад
Acha na watambe na watu wasio wapiga Kura sisi raisi wetu ndo huyu
@husnasalim5739
@husnasalim5739 4 года назад
YANI MM UWA NALIAA KWA FURAHA NIKIMUONAGA UYU RAIS
@anahna6788
@anahna6788 4 года назад
UNA PENDA NA UNA MAPENZI YA DHATI KWAKE
@neck0410
@neck0410 4 года назад
Safi
@mjerumaninyandu7655
@mjerumaninyandu7655 4 года назад
Aloho kweli namkubali sana
@arkadimakona2113
@arkadimakona2113 4 года назад
@@anahna6788 the
@josephatwilson9845
@josephatwilson9845 3 года назад
Pumzika kwa Aman baba ,tutakukumbuka sana kwa uchapaji wako wa kazi na kumjali myonge
@paulina.baynit7970
@paulina.baynit7970 4 года назад
Naomba muheshiwa Rais upitie kwenye wilaya nyingi za nchi hii kunauozo wa hali ya juu. Kuna halmashauri za wilaya nyingine utafikiri siyo Tz.ufisadi usiseme unavyo shamiri. Mungu akubariki sana Rais wetu. Magufuli hoyeee!
@MaaneML
@MaaneML 4 года назад
Yaani mimi nikimuona huyu Rais naona tu maisha ya watanzania yakibadilika tu. Nilikata tamaa na nchi hii kipindi cha mafisadi nikawa naongea hivyo mpaka nikadhaniwa pengine Mimi ni mpinzani. Kumbe tu ni maumivu ya wizi na ufisadi uliokuwa unafanyika. Yaani ninatamani utuongoze term hata 4 mpaka uzeeke kabisa.
@tumainimbati9789
@tumainimbati9789 4 года назад
Mimi kama mm huwa namuomba Mungu amsimamie Rais wetu mpendwa kwa kila akifanyacho kiwe chema kama vile anavyoendelea kutenda wema na hata kama atakataa kuongeza mda wakuongoza maombi yangu yaende kwa Kasimu majaliwa majaliwa awe Rais wa nchi maana mengi anayajua sana nchi hii tukiwapa wajinga wajinga wasiyojielewa kama wakina lissu wanaosifia ya nje kuliko yakwako ni utoporo
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 4 года назад
Ni kweli Anna Lyimo. Inabidi tulinde na kumwombea
@neck0410
@neck0410 4 года назад
Sawa
@mamavero4004
@mamavero4004 4 года назад
Mm sijawahi piga kura ila mwaka huu nitaamka saa kumi ya usiku niko kituo cha kupugia kura
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 года назад
Ni real but u see today
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 4 года назад
Asante Mungu kutupatia Raising huyu mwenye kumtanguliza Mungu
@HabibuMalima
@HabibuMalima 16 дней назад
Yaan magufuli haya bhana mungu akupe pepo
@ramadyzo5587
@ramadyzo5587 3 года назад
Twaku kukumbuka kwamazuri mungu akupe maisha yalio mazuri uko uliko
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 4 года назад
Halafu munataka kutuletea sijui tundu lissu sijui membe sijui zitto kabwe sjiui upuuzi gani hawataweza kufanya haya ya magufuli
@ummymohd7570
@ummymohd7570 4 года назад
Kwa kweli
@lujanimboje3935
@lujanimboje3935 4 года назад
Hahahahaa
@tiktoktdmdynamo3100
@tiktoktdmdynamo3100 4 года назад
Kimsingi hauwezi kusema ivo kwa sababu toka nchi umepata uhuru ni chama kimoja tu ndo kimetawala
@depaolo3461
@depaolo3461 4 года назад
@@tiktoktdmdynamo3100 chama sio tatizo ila tatizo ni kiongozi
@husnasalim5739
@husnasalim5739 4 года назад
Akuna anaweza mambo kama anayofanya MH JONNY POMBE MAGUFUL vyama sio sababu kikubwa uchapaji wa kazi uyu ni mfano kwaafrica mzima
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 4 года назад
Hahahaha dah Magu nooma,Mungu akutunze baba
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Wasukuma ndio kabila linaloongoza kwa upole/iko hivi kabila hili ni kubwa ...... ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-2cjMf4r8a-0.html
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 4 года назад
@@CyimSky ACHA UKABIRA ww
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 года назад
@@CyimSky acha UNGESE uo
@emanuelseka7581
@emanuelseka7581 4 года назад
You're the best
@marchymaziku6234
@marchymaziku6234 4 года назад
Magu nenda kaamulize kagame anatumia katiba gani inayo mfanya atawale rwanda mda mrefu hivi Harafu njoo itumie huku😁😁😁
@uhaitvnevergiveup9306
@uhaitvnevergiveup9306 Месяц назад
Magufuli bado anaishi surely tupo naye 2024
@edwinsima260
@edwinsima260 4 года назад
Daaaa!!!! my present uko vizuri sana baba
@richardbosire510
@richardbosire510 3 года назад
Everyday I like watching Rais Pombe
@levinareuben
@levinareuben 3 месяца назад
Pumzika kwa amani Baba yetu mpendwa JOHN MAGUFULI.
@mustafagaula3166
@mustafagaula3166 4 года назад
Msimfananishe huyu MWAMBA na vitu vyenu vya kipumbavu! Heti sijui Tundu, sijui Tobo....! Tumuache huyu king atufanyie kazi.....!
@victorjidinga9743
@victorjidinga9743 4 года назад
😂😂😂😂
@hadijamatola5230
@hadijamatola5230 4 года назад
Eti tundu jamani nimejuwa kucheka 🤣🤣🤣😂😂
@dayana5513story
@dayana5513story 4 года назад
😀😀
@amouramour9712
@amouramour9712 4 года назад
h
@nice4really503
@nice4really503 4 года назад
🤣🤣🤣🤣tobo 🤣🤣🤣🤣
@peterokalo9632
@peterokalo9632 4 года назад
Theirs is no any president in all Africa’s continents like MAGUFULI 👋🏽👋🏽👋🏽👋🏽👋🏽who work hard and caring his peoples🪐🌎🙏🏽👏🏽☝🏽👌🏽👋🏽
@joshuasila9548
@joshuasila9548 4 года назад
Huyu diye president namtambua injini
@jacobmwaluanda6960
@jacobmwaluanda6960 4 года назад
Yes yes
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 4 года назад
we are like so much our president 💚🇹🇿
@sisdell1779
@sisdell1779 3 года назад
Mungu haachi kizuri chake kiharibike,pumzika babaa... One love🇰🇪
@levinareuben
@levinareuben 3 месяца назад
Pumzika kwa amani Baba yetu mpendwa DKT.JOHN MAGUFULI.
@ruthnjau
@ruthnjau 3 года назад
Safiri salama JPM🥺
@mohamudismail9177
@mohamudismail9177 3 года назад
Kwani mafuriko ya maji yanatoboa mabomba ya chini? mbona hata mimi sielewi.Asante baba..sote hatuelewi,,mungu Akuweke pema.AMIN
@dibabatv5761
@dibabatv5761 3 года назад
DC katulia,anaongea vzr Sana
@mwanaajuma5014
@mwanaajuma5014 4 года назад
Magu👍nakupenda Sana baba
@officialnaa8470
@officialnaa8470 4 года назад
Yani Rais oyee ccm oyeee ubarikiwe baba
@dismasstanslaus5985
@dismasstanslaus5985 2 года назад
Wangapi wanaamini hapo watu hawamuombi Mungu ,ndomaana shetani kawaziba watu wote hadi viongozi ,kama menielewa nipe like
@sylvestermhojaaron9659
@sylvestermhojaaron9659 4 года назад
Mkurugezi atembee kwa miguu, wagonjwa wapande gari, hadi raha
@barakaben7902
@barakaben7902 4 года назад
Yaani inashangaza na kusisimua
@goodluckkigwenenge8953
@goodluckkigwenenge8953 3 года назад
@@barakaben7902 amina
@aminamustafa3303
@aminamustafa3303 4 года назад
Baba magufuli oyeeeeeeeeees,
@ivonafrance8805
@ivonafrance8805 4 года назад
Sina cha kuongeza zaidi ya kuzidisha maombi ya uzima wenye afya na baraka tele kwako rais wa wanyonge mungu azidi kukuweka
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 4 года назад
Hapa Kazi2 🔥 🔥👏🏻🇹🇿
@maxgwaho2268
@maxgwaho2268 4 года назад
Kwel kuwa Rais sio mchezo mpka unaweza kulia
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 3 года назад
Makufuli baba ulale salama na mungu akumpunguzie adhabu yakaburi😭😭😭😭😭
@hddhhddhdhhd7466
@hddhhddhdhhd7466 4 года назад
asante magufuli Mungu ngu akutunze
@Mohaa4309
@Mohaa4309 4 месяца назад
Hongera sana bro mwenye umevaa kofia 🎉😂 walahi
@hassanbashir7104
@hassanbashir7104 3 года назад
Tume mpoteza kiongozi tumempoteza simba wa African emwenyezi mungu utusaidie
@kimanijohn9529
@kimanijohn9529 4 года назад
Magufuli hoiyee
@leahlutonja400
@leahlutonja400 4 года назад
Mungu aendelee kukulinda daima
@hoperegina2561
@hoperegina2561 4 года назад
Kweli mwenyezi Mungu hakukosea kutupa magufuli.
@georgegerald544
@georgegerald544 4 года назад
Proud to be Tanzanian citizen
@alexlyamsema2725
@alexlyamsema2725 4 месяца назад
2024 RIP our Icon of a leader 😢😢
@iliasaliogopen6505
@iliasaliogopen6505 4 года назад
Raise hongera Kazi njema
@AWD_Tz
@AWD_Tz 4 года назад
Ee Mwenyez Mungu umbariki Mhe. Magufuli kwa mapenzi yako na umsamehe mabaya yake. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
@OfficialCleazant
@OfficialCleazant Месяц назад
Tunakukumbuka sana
@elizambilinyi2880
@elizambilinyi2880 4 года назад
Mungu akulinde Rais wangu
@dansafari6434
@dansafari6434 3 года назад
my all time prezo, nahamia TZ
@abdullyramathanaartimmigoc9369
@abdullyramathanaartimmigoc9369 4 года назад
Tunakuombea maisha marefu
@christophermasese4179
@christophermasese4179 4 года назад
Kwa mtanzania mpenda amani anakuelewa mh lakin wapenda vurugu hawatokuelewa piga kazi baba mungu azidi kukuongezea cku tunakuombea
@FatumaIdd-v6z
@FatumaIdd-v6z 26 дней назад
Namuombea mungu huyu mzee roho yke ilaze peponi
@albeleenalberto158
@albeleenalberto158 4 года назад
Bora huyo alievaa miwani maana akipepesa macho haonekani
@felistermbua4703
@felistermbua4703 4 года назад
Hahahahahahahahaha mamamaaaaaa mbavu zang
@sadamroba5162
@sadamroba5162 4 года назад
Pia sisi wote kenya tunakupenda sana.
@ndiiyolazaro769
@ndiiyolazaro769 3 года назад
Hatukonae tena JPM😭😭😭😭😭😭😭
@rajabumtuga7372
@rajabumtuga7372 4 месяца назад
Hotuba za mwishomwisho za mzee wetu.. pumzika kwa aman mzee
Далее
When Khabib dropped Conor McGregor 👀 #nocommentary
00:59
这到底是怎么做到的 #路飞#海贼王
00:10
Просмотров 4,3 млн
IBADA YA KUKUTANA NA HITAJI LAKO
1:42:39
Просмотров 63
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
Просмотров 1,6 млн