Ndugu zangu msimamo wa kisiasa ni kizuri mtu asiende kama upepo si kila kitu kinapingwa ama kukubali lazma uonyeshe kusimama peke yako na ndivyo lisu alivyo ni kizur sana
Hata kama wamekuchangia LAZIMA sheria ichukue mkondo wake. Kwanza hii nchi wameifilisi na wana mahela mengi ya kutumia hivyo hiyo ni Kodi yako umeambulia kidogo.