Nampenda sana uyu dada mvumilivu mno nataman Mungu anipe moyo kama wa uyu dada katk mahusiano yangu nampenda kwa meng mpk saut yake we ni mwanamke na nusu
si kweli mwanamme anaruhusiwa kuoa wake wa3 hadi wa4.hata kama ww wa kwanza unazaa kama utitiri ..kuoa wake mpaka wa4 ni sheria kwa wanaume wa kiislam .msipoteze watu kuwaaminisha eti mpka mwanamke uwe huna kizazi ..cjui huwezi kufanya mapenzi..au cjui unaumwa c kweli.
Sheria ya kiislamu haijasema hivyo Raya. Quran imesema wanaume waowe wanawake wawili, watatu , wanne na kama mwanamume atakuwa hana uadilifi basi mmoja anatosha. Na hekma yake ni kuwastiri wanawake mana ni wengi kiidadi kuliko wanaume na hiii pia inahekima ya kukuza nasabu(ukoo) na kuondosha uzalilishaji wa wanawake na watoto na mengine mengi. Ni haramu kuongeza au kupunguza katika dini tusipojuwa turudi darasani kwanza.
Anachokisema mdogoangu ni sahihi kabisa. ila usivae misalaba u r a muslim woman. Huwa tunaambiwa watu wa Tanga tunaroga haturogi ni how we handle our husband.
Ila Raya ameingia kwenye dini ya Amani(Kiislaam) hivyo ana Amani Hadi wake wanne kusema wewe una future mwengine ajue hana future ujue una wake wa tatu wamebakia ambao ni WA future yake pia. Ila uko poa