Тёмный
No video :(

🔴 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 855 тыс.
50% 1

🔴#LIVE: HARMONIZE ANAIMBA MBELE YA RAIS MAGUFULI DODOMA
Msanii anayefanya vizuri katika mziki wa Bongo Fleva kutoka katika lebo ya Wasafi ZUCHU amepata fursa yakutumbuiza katika mkutano mkuu wa CCM Taifa Dodoma....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

15 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 345   
@clarah2123
@clarah2123 5 месяцев назад
Who is here 2024 na Bado Yuko anasikiliza hii nyimbo I listen to this song and my heart out for our rate president JPM may our GOD may our god reduce the punishment of the grave😢
@neemabenedictor8211
@neemabenedictor8211 2 месяца назад
Am here😥
@reaganogembo5832
@reaganogembo5832 Месяц назад
@@neemabenedictor8211 I am here
@god-livingloyalty6650
@god-livingloyalty6650 19 дней назад
ma ringtone
@RashidRajab-oz5ec
@RashidRajab-oz5ec 2 месяца назад
Daah Tanzania 🇹🇿 yangu tulipoteza shujaa wa kweli mungu tujalie tupate kiongozi bora zaidi magu
@neemaevance80
@neemaevance80 2 года назад
Miss you magufuri mungu akupe pumziko jema
@oliverben2793
@oliverben2793 2 года назад
who is here 2022👏 then once i listen to this poping song my heart goes out for our rate president . RIP JPM😢😭
@enockkikoti3169
@enockkikoti3169 4 года назад
Asante sana zuchu nyimbo ni kali sana ongengeza juhudi tuko pamoja
@user-dh7ne4qd3e
@user-dh7ne4qd3e 5 месяцев назад
Jamani kama nakuona magufuli baba mungu akupe pumziko la milele .❤❤❤❤❤
@abubakariaman8575
@abubakariaman8575 3 года назад
Chuchu RIP Mr president mungu akulinde uendapo inshaalah
@belynowiti6694
@belynowiti6694 3 года назад
Look at how magu is looking at zuchu while smiling...mob love kenyq
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 года назад
Ahsante Sana Sana Global TV kwa kututolea kumbukumbu ya burudoza JPM, jembe letu. Pumzika Baba mbele yako nyuma tupo. 😭😭😭
@vivianotieno6488
@vivianotieno6488 4 года назад
Tanzania's nawapenda Sana Magufuli hoyeee Zuchu nakupenda bureeee from Kenya
@haroubmwenesi4227
@haroubmwenesi4227 4 года назад
sisi tunawapendeni pia sima tunachonganishwa na pesa za bure
@josephmonyo1397
@josephmonyo1397 2 года назад
Sisi pia tunawapenda pia jirani zetu
@khadijayussph9691
@khadijayussph9691 2 года назад
Tuloxkia 👂 baba aliita chuchu badala ya zuchu 🤔 waje tuungane tulieni 😭p1 🤝 ikisha tumuombee kw mungu 🙏 amlaze mahali pema pia amsamekh makosa yake alio mkosea 🤲 JEMEDARI 💪 wetu Tutakukumbuka milele baba 😭😭
@dotojohn9316
@dotojohn9316 Год назад
Mungu wangu nalia mm kwa uchungu baba cjui katuacha wP jaman😭😭
@paschaljohn1105
@paschaljohn1105 3 года назад
Machoz yananitoka kiranapotazama nyimbo iiiiii mungu tusimamie naumsimamie rais wetu turikupenda Sana baba
@marygervas4941
@marygervas4941 4 года назад
Watanzania gonga like kwa zuchu
@salmaissa6217
@salmaissa6217 3 года назад
Niko hapa baada ya magufuli kufariki..Rest in piece anko magu ...tumemiss ucheshi wako tabasam lako
@lisangiadidja342
@lisangiadidja342 3 года назад
Japo tupo namsiba Ila marehe jaman kanichekesha eti ni zuchu au chuchu😂😂😂😂 Allah akurehem baba yetu ulikuwa mcheshi kweli
@mszesh5678
@mszesh5678 2 года назад
Continue to rest in paradise of peace magufuli
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 4 года назад
Daaa hakika zuchu unakipaji saana sio tu chakuimba tu hata kuandika hongera saana ushatoboa weweee wasaaafiiii wcb 4 life🔥🔥🔥🔥
@rahelgrayson6927
@rahelgrayson6927 4 года назад
Hongera Sana zuchu upo vizuri Sana wimbo uko poa sana
@boniphacenyamhanga9395
@boniphacenyamhanga9395 4 года назад
Hongere Zuchu nimeupenda Wimbo wako Buree, Jua lile literemke 🔥🔥🔥
@harunamtali4333
@harunamtali4333 4 года назад
Yuko njema
@hadijalily9661
@hadijalily9661 4 года назад
Inkwell America sana
@hadijalily9661
@hadijalily9661 4 года назад
💖💖💖💖💖💖👏👏👏
@nozgeniuz1812
@nozgeniuz1812 4 года назад
Best SONG kwangu kulko zote
@marysellawanza2315
@marysellawanza2315 4 года назад
Am in love,,,,, congratulations 🎊
@husnahassan6289
@husnahassan6289 4 года назад
Zuchu mdogo wangu Mungu akutangulie mno mno nakuona mbali sana mama
@Mamie286
@Mamie286 2 года назад
Continue resting in Gods love Magufuli.
@happyndomba6965
@happyndomba6965 4 года назад
sijaelewa bado nalia nini kila nikiuskia huu wimbo💪💪
@samwelamosmusambwa9302
@samwelamosmusambwa9302 3 года назад
😭
@daudimlamka1239
@daudimlamka1239 2 года назад
Hadi Leo hiii , Ohoooo RIP JPM
@CatherineAmos-zw8dx
@CatherineAmos-zw8dx 4 месяца назад
😢😢😢😢😢😢😢
@masudimwabushuti536
@masudimwabushuti536 4 года назад
Hongera zuchu
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 6 месяцев назад
Daa huu wimbo mkali sana Magufuli pumsika baba
@LuckyLucky-iu2ho
@LuckyLucky-iu2ho 3 года назад
zuchu thanks for the best song kweli magufuli juu
@mohamedally4496
@mohamedally4496 8 месяцев назад
17th december 2023 baada ya Dp world nimekuja kumsabahi mwambaa Apumzike kwa Amani😢❤❤.
@gracegeorge2132
@gracegeorge2132 4 года назад
Safi sana dada zuchu umeimba vizur sana
@damareshilary612
@damareshilary612 3 года назад
Nimeangalia baada ya msiba wa Baba yani inauma uwiiii
@asmajacob3490
@asmajacob3490 3 года назад
Achatu best inaunguza maini mnoo
@12makondefrommt87
@12makondefrommt87 4 года назад
Nice Swagger rage Zuchu pongez ngoma kareeee
@mawananasoro4405
@mawananasoro4405 4 года назад
Hongera baby kichuna nyota inang'ara
@julianatweve4694
@julianatweve4694 4 года назад
huu wimbo naupenda jamani yani naupenda kuusikiliza kila wakati. magufuli jamani eti chuchu au zuchu duu!!!
@user-he3me7co9y
@user-he3me7co9y 10 месяцев назад
😂😂chuchu 2023
@ngolerashidi9974
@ngolerashidi9974 4 года назад
Duuuuuh zuchu bwan kwa wimbo huu ameua!!! Huu ndio wimbo bola kwa wasanii wa bongo fleva!!!! Mbunifu san
@edwardsamson7951
@edwardsamson7951 4 года назад
Nakubaliana na Wewe kwa Asilimia 110
@edsonbalige3702
@edsonbalige3702 4 года назад
Kweli aise amejtaid
@haleemahaleema8505
@haleemahaleema8505 3 года назад
😭😭😭😭😭😭Allahuma amiin thuma amiin Yarrabbi 🙏🙏
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
😭😭😭😭😭
@everlineontita6
@everlineontita6 3 года назад
Rest in peace Magufuli
@donomar6876
@donomar6876 4 года назад
Zuchu noma
@samsonzablon
@samsonzablon 4 года назад
Kama umemwoba Makongoro akiruka Haihai ya Zuchu tujuane hapa, like
@ShamymTalib
@ShamymTalib 5 месяцев назад
Miss you dad❤
@neemabenedictor8211
@neemabenedictor8211 2 месяца назад
I miss him too😥
@gloriamichael3698
@gloriamichael3698 4 года назад
Zuchu big up sana na mwezi nao utelemke mama na nyota Nazo zitelemke mama aiyaaiya mama. umenikumbusha Ruvu jkt Kwa afande sungura ,meena mwaipyana ,motoka ,machachali,kitomali ......safi sana mwanangu I'm blessed
@roselutumo4502
@roselutumo4502 3 года назад
Amejitaid zuch au chuch
@angeldaniel8863
@angeldaniel8863 4 года назад
Congrats for zuchu you did it well carry on 🙏🙏
@Estherdor481
@Estherdor481 3 месяца назад
Oh mungu munanifznya niliye machozi nakumbuka magufuli
@amosjoliga7121
@amosjoliga7121 2 года назад
Pumzika kwa Amani JPM
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 4 года назад
Ni vijana. Siku ingine watajua tofauti ya kumburudisha Rais na wajumbe wake wa kamati na sharehe za Fiesta! Usiwe mwepes sana kuwaambia wazee TUSIMAME WOTE....SIO MUHIMU SANA. WEE IMBA TU, WATASIMAMA WENYEWE!... WANAJUA.
@edwardsamson7951
@edwardsamson7951 4 года назад
Ani kaka umeongea point saana
@fatmaismail6393
@fatmaismail6393 4 года назад
😄😄
@floridajoachim6062
@floridajoachim6062 4 года назад
Daaa naipendaa had machozii jmn😍😍😍😍😍😍💓💓💓💓💓💓❤😪😪😪
@duncanksieleofficial587
@duncanksieleofficial587 4 года назад
Zuchu🔥🔥... All the way from 🇰🇪
@stingermfisadi6824
@stingermfisadi6824 2 года назад
Miss you song
@crephibula5033
@crephibula5033 2 года назад
7
@yohanakobero3387
@yohanakobero3387 2 года назад
Aisee inaniuma sana. Rest in peace President John Magufuli. I will always love you.
@perisnaisoi7598
@perisnaisoi7598 3 года назад
Zuchu❤️❤️
@joycemaregesi4189
@joycemaregesi4189 4 года назад
Hahahahahaha! Et ni chuchu au zuchu ahsante uncle Magu
@adelinaadoloph5311
@adelinaadoloph5311 4 года назад
Ameimba vzr
@YakubuMbatta
@YakubuMbatta 4 месяца назад
🎉ccm oyeeeee
@user-vn8jb1ol4s
@user-vn8jb1ol4s 5 месяцев назад
Nakukumbuka San bab magufuli
@AK-rd5zr
@AK-rd5zr 5 месяцев назад
Mungu kwanini ukamchukua Magufuli 😢😢. Ulituacha wakiwa baba 😢😢
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 года назад
Maguful nikikuangalia mashindwa kuyazuia machozi roho inaniuma I wish cku zilud nyuma dah😭😭😭😭😭
@gradiemumba6537
@gradiemumba6537 4 года назад
CCM ooyeeeeee
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Rest In Peace Rais Wetu Maguful 😭
@adelinaadoloph5311
@adelinaadoloph5311 4 года назад
Kaz nzr
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 года назад
Zuchu oyee JPM oyee
@rosinamtauka9933
@rosinamtauka9933 4 месяца назад
we miss you papa endelea kupumzika kwa amani😭
@neemacharles9878
@neemacharles9878 3 года назад
unajua jinsi navyokukubar yn nashidwa ata nikueleze vp but l love much much more
@jovinjoseph1438
@jovinjoseph1438 4 года назад
Ila ukumwba rais wa dar es salaam makonda
@eyadjamma2942
@eyadjamma2942 3 месяца назад
Mago ❤❤
@saumujuma6561
@saumujuma6561 4 года назад
W.c.b wako juu
@hudagal3677
@hudagal3677 3 года назад
she is talleted lady
@gilbertpeshut6498
@gilbertpeshut6498 4 года назад
Hahaha ...waliyosikia anaitwa zuchu au chuchu twende zetuu
@amossemela362
@amossemela362 4 года назад
😁😁😁
@christinamdoe3536
@christinamdoe3536 4 года назад
😂😂😂😂😂
@marryjames1784
@marryjames1784 4 года назад
😁😁😁😁😀😀
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
😝😝😝
@djgthehotstepper
@djgthehotstepper 3 года назад
Zuchu 🤣🤣🤣🤣💯💯
@aishakabogo8189
@aishakabogo8189 4 года назад
Nakupenda bure zuchu
@godlovejoseph8336
@godlovejoseph8336 2 года назад
wote mulikuwa matapeli tu hakuna kitu mulifanya
@justiny1180
@justiny1180 4 года назад
Hakika ukiendelea kwa saut hiii u will be first lady kwa bng kalisha wote Nandy na wengne ila jide mwache legendary wangu
@Swahili14
@Swahili14 3 года назад
Et jide amuache🤣🤣🤣 sukuma ndan wte Zuchu 🌚
@godfreybigeyo9105
@godfreybigeyo9105 4 года назад
Safi sana
@georgekiango4357
@georgekiango4357 3 года назад
Safi binti
@user-tf9gh8iu5s
@user-tf9gh8iu5s 5 месяцев назад
Nimemkumbuka sana anko mangu mungu ailaze maali pema looyak
@ibrahimkeya3396
@ibrahimkeya3396 2 года назад
Mama Samoa na majaliwa kweli zuchu ulisema ukweli.Baba magufuli lala salama.Tunakumbenda hadi huku Kenya.
@user-ls2nq2eq3l
@user-ls2nq2eq3l 4 месяца назад
Pumzika kwa amani kipenz chetu😭😭 tunakumic Sana😭😭
@marygervas4941
@marygervas4941 4 года назад
Nice zuchu
@tizokarim1490
@tizokarim1490 4 года назад
Diamond ww ni fund sana kuwa trend hawa watoto ongera sana
@AshaMsonde-os6jb
@AshaMsonde-os6jb 6 месяцев назад
Magu jaman we miss you dad 😢😢😢😢
@hidayamsemo8473
@hidayamsemo8473 4 года назад
Safi
@huaweismart6641
@huaweismart6641 4 года назад
Zuchu hongera sana upo juu
@goldenphiri6084
@goldenphiri6084 4 года назад
I will be back home from Zambia house of makufuli makufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@janetmrema8496
@janetmrema8496 4 года назад
Yan zuchu noma love u ccm
@amanipaulo8314
@amanipaulo8314 4 года назад
Mubashara
@janethsanane2386
@janethsanane2386 4 года назад
We dada noma dah
@hope30807
@hope30807 3 месяца назад
Dah hiki kipindi ilikuwa raha sana ...ukiingia mtandao kazi ni kufatilia raisi anaenda wapi na anafanya nini ila saivi😥😭
@mundhirkhan4068
@mundhirkhan4068 4 года назад
Big up
@davidmpuya8222
@davidmpuya8222 4 года назад
Zuchu mzalendo,big up
@hopenassary7666
@hopenassary7666 4 года назад
Young d baba anarejea hyo ndo ngoma kali hz nyingine hamna kitu
@geofreygodfrey4823
@geofreygodfrey4823 3 года назад
Nice song
@user-xh7py6mp8h
@user-xh7py6mp8h 4 месяца назад
Ni hatariiiiiiiii❤
@razzaqgoodluck3795
@razzaqgoodluck3795 5 месяцев назад
Jamani magufur alitupenda
@mussabaucha8175
@mussabaucha8175 4 года назад
I like so much this songs
@user-lm5fu5tu5z
@user-lm5fu5tu5z 5 месяцев назад
Zuchu hapa ameimba sauti nzuri sana ila mbona sasa hv sauti lake linakwangua akiimba live
@petergamena4071
@petergamena4071 2 года назад
We MUNGU tupe hekima fufua akiri zetu Nani ashike fimbo ya Musa magu
@magrethnyimbi8632
@magrethnyimbi8632 3 года назад
inapendeza sana
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 года назад
Kuna mwamba amekaa nyuma ya Magufuli hapo sura mbovu sana nahisi alikuwa anajua kuwa magu anawindwa kuuawa basi hacheki mzee. Hana amani kabisa
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 2 года назад
Inauma sana 😢mmh
@beautybeauty7220
@beautybeauty7220 4 года назад
Mashallah zuchu kiboko😘 rais asema chuchu😂😂😂😂
@anethkavenuke6610
@anethkavenuke6610 4 года назад
BEAUTY BEAUTY eti chuchu dah
@beautybeauty7220
@beautybeauty7220 4 года назад
@@anethkavenuke6610 eeeh haha
@beautybeauty7220
@beautybeauty7220 4 года назад
@@anethkavenuke6610 nilicheka sanaa
@mariamakungwa5391
@mariamakungwa5391 2 года назад
Zuchu uliimba hongera sana binti
@georgesongo2048
@georgesongo2048 4 года назад
zuchu mamy uko vzr
@domicianruhumbika9245
@domicianruhumbika9245 4 года назад
zuchu noma san
@ZainabuZainabu-dt5rs
@ZainabuZainabu-dt5rs 4 месяца назад
Nimeipenda San lakin nd hatupo nayo Tena rais wetu Ila zuchu kaimba vizur 3:55
@NjireYassin
@NjireYassin 3 месяца назад
❤❤❤❤
@christinafred9487
@christinafred9487 4 года назад
Nimecheka kwa sauti heti chuchu baba nae lazima kieleweke tu
@mariamsaid5655
@mariamsaid5655 4 года назад
Piga kelele kwa chuchu akeeee 😁😁😁
@amossemela362
@amossemela362 4 года назад
😁😁😁
@mariamsaid5655
@mariamsaid5655 4 года назад
@@amossemela362 😁😁😁
@anethkavenuke6610
@anethkavenuke6610 4 года назад
mariam said haaaaha et chuchi ila ancle mag bwan
Далее
LIVE: HARMONIZE MBELE   YA RAIS MAGUFULI MWANZA
4:29
Просмотров 4,1 млн
Classic Italian Pasta Dog
00:20
Просмотров 1,7 млн
MSANII ALIYEMKOSHA RAIS MAGUFULI LEO BARIADI SIMIYU
5:14
Classic Italian Pasta Dog
00:20
Просмотров 1,7 млн