Тёмный
No video :(

🔴 

John Ngollo
Подписаться 60 тыс.
Просмотров 43 тыс.
50% 1

#raissamia #bashe #mpina

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 52   
@EdithaNyambo
@EdithaNyambo 2 месяца назад
Mungu akujalie afya njema Rais wetu,kazi yako hakika ni njema. Nawaombea na wasaidizi wako waongozwe na hofu ya Mungu ili nchi yetu iwe na amani na mafanikio yakapatikane
@GodfreyKiyeyeu
@GodfreyKiyeyeu 2 месяца назад
Mama wew umpenda haki !! Mama mtazame mpina umpe uwaziri
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 2 месяца назад
Huyu mama, angekuwa na uzarendo wa nchi hii,angemtumia mpina, mbunge mpina ndiyo mwana CCM wa ukweli,
@CYPRIANMACHIBULA
@CYPRIANMACHIBULA Месяц назад
MPINA arudishwe bungeni
@user-xh8kd9ze7o
@user-xh8kd9ze7o Месяц назад
Mpina jamani Ni mbuge mzalendo mrudisheni bungeni
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 Месяц назад
Bi Mkubwa namshangaa,Kama anaweza kumtumia MAKONDA.sijuwi kwa Nini anashindwa kumtumia Mpina?
@user-em3ye6el6z
@user-em3ye6el6z 2 месяца назад
Mama Abdul huduma tulizo fanya Serikalini hatulipwi ni kwa niniii TULIPENI
@MariaCassian-e2i
@MariaCassian-e2i Месяц назад
Rais tunaomba ututendee haki tunamuhitaji MPINA Rais tunaomba mumtendee haki MPINA😂😂😂😂😂😂
@ShabaniKidedea
@ShabaniKidedea Месяц назад
Brother soon utakuja kuwa kiongozi wa nchi
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 2 месяца назад
Hakuna raisi hapa tumepigwa
@FrankSalehe-us7zg
@FrankSalehe-us7zg 2 месяца назад
Mama angalia watu wenyeakili ufanyenao kazi sio mabokas kama kinabashe mabendela fuata upepo
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Месяц назад
The repeated changes taking place are unprecedented
@petermboje5839
@petermboje5839 21 день назад
Mama mtetee mpina kulinda chama chako kwani magapi yamefanywa na viongozi baadhi kwa kinyume ila hawakuchukuliwa leo mpina anaonekana amekosea
@PeterkedimoniNgobela-ek6ty
@PeterkedimoniNgobela-ek6ty Месяц назад
Chapa kazi mama
@AdamKaponda
@AdamKaponda 2 месяца назад
Mpina ccm haitambui mchangowako wananchi tunatambua mchango wako ndani yabunge lililo kosa uhalali,wewe sawa na shedrac,meshac na abinego
@gasperaroni5751
@gasperaroni5751 Месяц назад
Mama tunakuomba mpina arudi bungeni wamemuonea sana
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 Месяц назад
Swala la Bashe naMpina ,Ni mtambuka..Ni kwamba Ni sawa watoto wa Mama na Baba mmoja .Ni kwamba mdogo kamuona mkubwa ,anaiba sukari.mdogo kamchongea kwa Bi Mkubwa..je?Bi Mkubwa ataamua vipi?? vipi?
@desmondchelango
@desmondchelango Месяц назад
🤦🥶🥶🥶🥶🥶
@jordantwarindwa5399
@jordantwarindwa5399 Месяц назад
UMEDANGANYA SIJAONA ULICHOKIANDIKA HAPO JUU KATIKA VIDEO HII
@mubarakmohammed7311
@mubarakmohammed7311 2 месяца назад
Mbona hakugusia?
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p 2 месяца назад
Mimi ninampenda sana huyu Mama. Ninamuombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kumbariki, azidi kumlinda na kila aina ya husuda,azidi kumpa busara,hekima, maono ya kuifanya nchi yetu izidi kuwa sehemu nzuri na bora ya kuishi. Ushauri wangu ni kwamba uundwe mfumo madhubuti wa kutekeleza na kuwapatia wananchi wa Tanzania wake kwa waume, vijana na wazee, watoto na wenye mahitaji maalum haki zao. Pia pawepo na mipango sahihi ya kurithishana na kuyaboresha kulingana na nyakati haya yaliyoletwa na haki jinai. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee.
@bahatitumaini347
@bahatitumaini347 Месяц назад
Mpina bonge la mzalendo
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 Месяц назад
Hatukutaki kabisaaa mama we nanda tu tuachie tanganyika yetu
@chichelazaro3629
@chichelazaro3629 2 месяца назад
Muwe wakweli, hakuna issue ya Mpina hapa. Nafikili hii ni video yangu ya mwisho kuitazama kutoka Ngolo TV. Vichwa vyenu vya habari sio kilichomo ndani... Kweli sasa nimeamini Ayo TV haina mpinzani
@saidmabanga388
@saidmabanga388 2 месяца назад
Kuma awaaa
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x Месяц назад
Samia ongea kwa sauti ya dolla unabembeleza mno unaboa
@Mussa-id9jb
@Mussa-id9jb 2 месяца назад
Mhhh
@AlexMgimwa-pm2pi
@AlexMgimwa-pm2pi Месяц назад
Hakuna jipya
@NeemaPaulo-wf3oz
@NeemaPaulo-wf3oz 2 месяца назад
Kaz iendeleeee,mama mungu akubaliki
@SaleheMkomwa
@SaleheMkomwa 2 месяца назад
R ETI WANASEMA MWANAE NDO ANASHILIKIANA NA BASHE KWENYE KUPANDISHA SUKARI JE NI KWELI?
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 2 месяца назад
Kwa hiyo Bashe hajui wajibu wake hadi afundishwe??
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 Месяц назад
Hizo Ni nyepesinyepesi..Ila UKWELI Bashe Ana watu wakubwa nyuma yake..wanatunisha misuli...Lakini kwa sababu wabunge wa ndioo Ni wengi Ni tatizo..wa kumtetea Mpina simuoni..nakuona Mpina Kama the first blood..maana Rambo alikuwa anajipigania peke yakee..UHAI wake ulikuwa hauna mtetezi..rushwa bungeni imesambaa Sanaa kwa swala la sukari.. na Hawa mafisadi wapo tayari kuviua viwanda vyetu vya sukari..na kwa ujinga wa watanzania tunakubali.. kitu kingine Ni Mkubwa Ana huruma Sanaa,Ana aibu saana.kwenye Baraza lake la mawaziri,wapo Kama 5 ,wanatakiwa awatoee..anavyozidi kuwaachia ,ndio Hali inazidi kuwa mbayaa,tunaumiaa
@emmanuelgastine9826
@emmanuelgastine9826 Месяц назад
Mama Samia nakushukuru sana kwani tangu umekuwa Rais ndo naona napokea mshahara anagalau unakaa masaa hata 6
@omarkapula588
@omarkapula588 2 месяца назад
Acheni kutudanganya wajinga kabisa msiyumbishe akili za watu kwa maslahi yenu
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 2 месяца назад
Asante sana Mungu akubariki akupe umri mrefu wa kunihangaikia tuwe mke na mume wako kihalali mwaka huu kuanzia mwezi huu wa sita jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani samahani kama nakosea mwenyewe unavyosemaga nikuvute hadi katikati ya bahari uogelee jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani.
@ElishamaMulokozi-pi8nm
@ElishamaMulokozi-pi8nm 2 месяца назад
Mbona unanuga katika atoa kauli ya hapa taarifa ya tume ya haki jinai
@AdamKaponda
@AdamKaponda 2 месяца назад
Rushwa,rushwa,rushwa ni dhambi acha kuhonga pikipiki na majiko munajiondolea heshima
@user-oq6to7pf2u
@user-oq6to7pf2u Месяц назад
mungu atusaidie tu tumepigwa nyingi
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад
Inachosha nafsi ns akili pale nchi ikitawaliwa na genge la watu wanaohubiri wasichokiamini
@Maximillianchacha-fm9yi
@Maximillianchacha-fm9yi 2 месяца назад
Mbwa ccm
@AdamKaponda
@AdamKaponda 2 месяца назад
Rais chama unachokiongoza kina lao lamoyoni ovu kuhakikisha sheria kandamizi zidumu,muendelee kubakia madarakani,, hukutaifa linasambaratika,kilio na machungukilamahali,ccm haioni zaidi ya kuagiza mbelekwambele na kutafuta pesa za rushwa kuwahonga watanzania(pikipiki,majikoyagasink)
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 2 месяца назад
Mbwaaa wewe mama
@ezekielshija9251
@ezekielshija9251 Месяц назад
Wewe Zuena Acha hizo!
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Месяц назад
Mama yako yy atakuwa nguruwe na wewe utakuwa mtoto wa nguruwe!
@mkadammkadam
@mkadammkadam Месяц назад
Jina lako halifanani kutumia mdomo aliokupa Mwenyezi Mungu kutamka maneno kwa binaadam mwenzio licha kwa kiongozi wako wa Nchi, rudi kwa Mungu wako na kumuomba msamaha haraka.
@MakoleMakoye
@MakoleMakoye Месяц назад
Ngollo tv sina haja ya kuwafatilia tena make hamjielewi
@user-kg5yu4kg9p
@user-kg5yu4kg9p 2 месяца назад
Mpina kaumiza wengi kwenye uwaziri wake akae pembeni
@JafethTully
@JafethTully 2 месяца назад
Utakaa wewe pembeni
@ezekielshija9251
@ezekielshija9251 Месяц назад
Hata umeme huumiza wengi.
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 2 месяца назад
CCM ukingoni
@MtaniRobert
@MtaniRobert Месяц назад
Rubbish.
Далее
СМАЗАЛ ДВЕРЬ
00:31
Просмотров 188 тыс.
ПАВЕЛ ДУРОВ АРЕСТОВАН
1:45:21
Просмотров 114 тыс.