Тёмный

KIVUMBI LEO RC MAKONDA AZUWIYA NYUMBA YA KIFAHARI KUTOKA MIKONONI KWA MATAPELI 

Adil TV
Подписаться 184 тыс.
Просмотров 48 тыс.
0% 0

#AdilTV

Опубликовано:

 

21 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@hbdina
@hbdina Месяц назад
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Makonda neno moja tu kutoka kwangu.Baba Mungu Jehovah akulinde akupiganie kwa jina la Yesu Kristu Amina
@MansourAbubakar-l2b
@MansourAbubakar-l2b Месяц назад
Makonda masikini mwamba huyu Mungu akulinde mwamba
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Месяц назад
Asante sana mama Samia kwakumchagua Makonda.
@justinelukumay5308
@justinelukumay5308 Месяц назад
Mh Makonda Mungu akulinde Moyo wako dhidi ya Hao wanyonyaji wa Wanyonge
@RutaEmmaMachumu
@RutaEmmaMachumu Месяц назад
Kwanza n Tapeli kawadanganya eti ni officer wa Police, na huyo mwanasheria nae n Tapeli hata Elimu yake haitomsaidia maana hasimamii haki, anajidai eti wamemsikiliza... Mtu msomi kwl kw maelezo ya mkataba hata km ungekuwa sio msomi unaona sio sahihi kabisaa! God bless you Rc, Makonda
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Месяц назад
Mtaa mzeesha Makonda jamani😂😂😂😂.maskini mama wawatu pole mama
@manaseliberatus1347
@manaseliberatus1347 Месяц назад
KAMA NDO HIVYO HII TANZANIA WATU WENGI SANA WATAKUWA WAMEDHULUMIWA
@TabithaObellykasangila
@TabithaObellykasangila Месяц назад
Mungu tunaomba ulinzi wako kwa mwanao Makonda umlinde na mtunze kila hatua
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Месяц назад
Makonda kama Traore na Magufuli...Mungu akuongoze ufikie malengo yako kuwa Rais..Huyo tapeli mkubwa apigwe spana na afunguliwe mashtaka...Mr Makonda hongera kwa kazi
@minanielikana
@minanielikana Месяц назад
Makonda endelea na ukabithi Mungu aliogukathi. Shika taa la Mungu undelete utawala Wa hekima.
@mohamedwwnurumasagcom8171
@mohamedwwnurumasagcom8171 Месяц назад
Ahsante rais Samia kwa uteuzi wa Paul Makonda, hakika ni mtetezi wa haki za wananchi
@BoisDonkoil-rk8lr
@BoisDonkoil-rk8lr Месяц назад
Nimeipenda..... Makonda akiona mnataka kujichanganya kuvurugana anawatumbuiza hisia zinakuwa zingine inahamasisha utulivu
@mandileykiritokangai3042
@mandileykiritokangai3042 29 дней назад
Makonda mungu akulinda mweshmiw
@AureusLupogo
@AureusLupogo Месяц назад
Mungu Akubariki Kwa kazi ya kuwasaidia nakuwatetea wa nyonge
@olivermassau5695
@olivermassau5695 23 дня назад
Mungu akubariki, Sana
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Месяц назад
Makonda mungu akupe maisha malefu
@user-ex9gt9np8i
@user-ex9gt9np8i Месяц назад
Fanya kazi makonda
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 Месяц назад
MAKONDA MUNGU AWATANGULIE KATIKA KAZI ZAKO ASANTE KWA KUONA HAKI YA HUYU BIBI❤
@HamisMasele-tb7lj
@HamisMasele-tb7lj Месяц назад
Nahitaji sku1 Tanzania ikuchangue uwe rais
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Месяц назад
Arusha .kweli Makona shafisha shafi hao
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Месяц назад
Ayubu amegushi nyaraka anataka amzurumu mama 😢😢😢😢😢 eeeeeejamani
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 20 дней назад
Ndio waliokupa sume hao. Mtenda haki siku zote hawapendezi kwa watu.
@ibrahimrutta464
@ibrahimrutta464 Месяц назад
Nikisikiliza mkuu wa mkoa napata kugundua mama ana kazi ya ziada ana wafanyakazi hewa wengi hawatatui shida za wananchi
@juliusntandu4302
@juliusntandu4302 Месяц назад
God bless Sir 🙏🙏
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh Месяц назад
Makonda mungu akubaliki sana
@thuweiybab3338
@thuweiybab3338 Месяц назад
Na kama ananyamazishwa hataki umenyamaza. No bora aruhusiwe anarudi nyumbani. Mana hakuna hapo kwa julia ili a kenge mkubwa' PUMBAVU
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Месяц назад
Kweli kazi kazi moyo wangu naukuimbie jinsi 😂😂😂
@oneonego705
@oneonego705 Месяц назад
Ase unatisha kwa kutenda haki
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Месяц назад
Dhuluma mbaya
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm Месяц назад
Wa awake wa nchi hii wanateseka jamani. Wametuzaa hatuna heshima mpaka wana kufa. Ni Kaan’a tupu. Tuna Raisi na speaker mwanamke. Tutafanyaje tupate mabadiko nchi hii.Tunahitaji sheria zitende kazi na si kuomba dini wakati wa kazi Za serikali. Sheria safi, haki na katiba mpya. Udisi gize dini.
@user-mw9md1iq1n
@user-mw9md1iq1n 20 дней назад
Kunawingine kweli
@user-is6np5vf6b
@user-is6np5vf6b Месяц назад
Namuona afisa mtendaji aliyepandishwa cheo nafarijika sana
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Месяц назад
Wapige spana hao wamezidi😂😂😂😂😂
@gildopitapita1383
@gildopitapita1383 Месяц назад
@thuweiybab3338
@thuweiybab3338 Месяц назад
Najua huyu mama analia kwa uchungu..
@elipokeaakyoo6858
@elipokeaakyoo6858 Месяц назад
Mweshimiwa makonda na wanyakazi wa sgr atujaingiziwa pesa zetu nssf Kwa mwaka Moja na nusu sasa unatusaidiaje na Kila mwezi tunakatwa mkuu
@sujaiazicani9510
@sujaiazicani9510 Месяц назад
ok
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm Месяц назад
Huu si Maktaba, ni utapeli mtupu. Kamtapeli bibi.wote maw akili hawana şifa yoyote.
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Месяц назад
Arudishiwe kilo 5 yake asepe
@JosephMwaipopo-px4wi
@JosephMwaipopo-px4wi Месяц назад
Mama amrudishe huyu kwenye uwenezi ni kamanda kwelikwel
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Месяц назад
Piga spana hao
@mariomachecajoaquim1921
@mariomachecajoaquim1921 Месяц назад
Далее
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Просмотров 939 тыс.
Мама приболела😂@kak__oska
00:16
Просмотров 290 тыс.
Never Troll Shelly🫡 | Brawl Stars
00:10
Просмотров 1,1 млн
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Просмотров 939 тыс.