Тёмный
No video :(

🔴 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 73 тыс.
50% 1

🔴#LIVE: VITA YA KIMAHUSIANO KATI YA ABDUL RAZACK NA DIVA / SIJAACHANA NA DIVA HAIWEZEKANI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

21 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 409   
@halima23862
@halima23862 5 месяцев назад
Mtoto ni maajaliwa ya mungu sio sisi binaadamu acheni hayo masuali
@MarthaJoseph-pp6ir
@MarthaJoseph-pp6ir 5 месяцев назад
I feel sorry for diva kwa kwl hapa hakuna mwanaume 😭🙌ruuuuun
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 5 месяцев назад
Diva maskin hata hana makuu huyu mume tuu sie 😢
@keyla3641
@keyla3641 5 месяцев назад
Mimi nilikuwa simuelewi diva lakini sasa namuelewa sana Leo kaongea tusimuangalia Tu kwenye insta love u diva
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 5 месяцев назад
Wanawake wanao kujifanya expensive wanapata mtu km huyu😂😂😂😂😂😂😂🇬🇧 anamsifu kisha nyumbani anamfanyia tofauti. Mtt wa wenyewe anaumia 😢😢😢😢 km ana shari na diva wetu mungu amnusuru❤❤😢😢
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 5 месяцев назад
😂😂
@MsAggie5
@MsAggie5 5 месяцев назад
Shehe mchawi 😂😂😂,
@user-gj2mm3ko8m
@user-gj2mm3ko8m 5 месяцев назад
Amerogwa
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 5 месяцев назад
@user-gj2mm3ko8m anerogwa. Anam ogelesha loving in social media reality anataka akae maid . Allah amsaidie Diva rehana 🥺🥺
@user-gj2mm3ko8m
@user-gj2mm3ko8m 5 месяцев назад
@@firdaussheikh4817 😁😁
@Marymeekie
@Marymeekie 5 месяцев назад
This was more than a HOLLYWOOD MOVIE….DAMN!!!! 🥵🥹🙌🏽
@annabubelwa4543
@annabubelwa4543 5 месяцев назад
😅😅😅😅
@user-yv9xx1jw1q
@user-yv9xx1jw1q 5 месяцев назад
😂WAO,DIVA SO MCH LOVE FOR U CC❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤SO BRIGHT,INTELLIGENT AND TOO BLESSED SISTER!LOVE FRM THE OTHERSIDE,here Malawi🎉🎉
@mfungonishauri4234
@mfungonishauri4234 5 месяцев назад
Razaq kidume MA Sha Allah
@matildamati9222
@matildamati9222 5 месяцев назад
Iwe funzo kwa wengine mana mnachezea wanawake sana acha Diva amnyooshe na usheikh wake I love u Diva
@benignatairo4722
@benignatairo4722 5 месяцев назад
NYIE WATU MNAPENDANA SANA ,DIVA NA ABDUL❤❤❤ PENDA SANA NYIE.
@munashabani
@munashabani 5 месяцев назад
Ni mepends Aya mazungumzo😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤adi rahaaa
@yussufmohammed9299
@yussufmohammed9299 5 месяцев назад
Mm Usthi Adully nakuelewa sana hao W/ wke hao tuwe nao walicho pewa N Mungu hakiwatoshi ,utampa nn au utafany nn Aridhike hyo😊🎉
@Queenofdsouth
@Queenofdsouth 5 месяцев назад
Aisee dunia ina watu😂huyu kaka anaongea kwa confidence as if he has sense
@eshialabonita7736
@eshialabonita7736 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 5 месяцев назад
Shekhe tapeli namba moja
@aishaarusha894
@aishaarusha894 5 месяцев назад
Wewe namba mbili
@ditaely7309
@ditaely7309 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@aishahasan7722
@aishahasan7722 5 месяцев назад
😂😂😂😂hata ongea yke ya mchongo mchongo😂😂utapel mtupu hpa tumepigwa😂😂😂
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 5 месяцев назад
@@aishaarusha894, 🤪🤪🤪, Aisha namba 3
@meryamabdullah2081
@meryamabdullah2081 5 месяцев назад
🤗🤗🤗🤗🤗
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 5 месяцев назад
Leo Wasafi mtakoma mliyataka wenyewe😂😂
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 5 месяцев назад
BIG LAIR
@emmah_bill5597
@emmah_bill5597 5 месяцев назад
He will never change
@cdeleo9336
@cdeleo9336 5 месяцев назад
Diva ukija kustuka ni too late . Umeolewa na tapeli wa kimataifa
@nanaritho6850
@nanaritho6850 5 месяцев назад
Namuelews sana diva anayopitia ki kweli
@charlzmboya
@charlzmboya 5 месяцев назад
Shehk uko vizuri nakuelewa sanaaa😊
@matildamati9222
@matildamati9222 5 месяцев назад
Na bado hajaeleweka acha anyooshwe anamletea Diva ufuska wake hapa, love u Diva
@chimamilion
@chimamilion 5 месяцев назад
Uyu kaka namwelewa sana lkn mke ndo mtihani
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 5 месяцев назад
We usinidanganye hawa wote na mkewe wanatuvuruga...ni majipu...ndio maana huyu anakimbiliaga kucheat
@EmanuelNicholaus-vn9gl
@EmanuelNicholaus-vn9gl 5 месяцев назад
Hta ma-King of love ❤wanasumbuliwa na mapenzi
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂 ni shida
@matildamati9222
@matildamati9222 5 месяцев назад
Tena Hawa ndio wananyooshwa hasa 😂
@barakayamo6996
@barakayamo6996 5 месяцев назад
Uyo shekh amekomaa sana kiakili.
@zaitunisagwa2082
@zaitunisagwa2082 5 месяцев назад
This guy is intelligent upstairs. Though ni tapeli wa mapenzi.
@user-dj9xx9jl4j
@user-dj9xx9jl4j 5 месяцев назад
Nimefurahi alivyojishusha na nimeumia alivolalamika kuhusu rose kuwa anapata faraja akipewa mana anaona kama amefarijiwa na mama ake mana ni jina la mama ake.
@mankinemansulikine-2220
@mankinemansulikine-2220 5 месяцев назад
Diva kiukweli unampenda sana mumeo safi sana ❤
@Zainab_salat
@Zainab_salat 5 месяцев назад
Wa nje wa ndani no no Anajifanya anaswali na anazinii kweli mpaka wafanyakazi analala nao, diva should move on
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 5 месяцев назад
Allah awaondoshee tofauti inshallah
@leaherasto929
@leaherasto929 5 месяцев назад
Usithubutu kuolewa namganga kuachana mpaka atake
@rhodarichard4494
@rhodarichard4494 5 месяцев назад
​@@leaherasto929 wew mpuuz umenichekesha 😅😅
@bravofundikila965
@bravofundikila965 5 месяцев назад
Unajitahidi sana kumuelewa mke wako na kujaribu kumtetea kama mke, safi sana.
@Lissarams
@Lissarams 5 месяцев назад
Lakn lmke lenyewe tahira
@halima23862
@halima23862 5 месяцев назад
Mungu ndio atawajalia
@ZubedaHussein-it7nf
@ZubedaHussein-it7nf 5 месяцев назад
Uyu mwanaume mkimuona wanawake mpitien mbali hafai aisee😊😊😊😊😊
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 5 месяцев назад
Toa sababu
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 5 месяцев назад
Dive anafa
@suzanapangani9305
@suzanapangani9305 5 месяцев назад
Nimemuelewa Shekhe kuwa ameamua kuishi anavyotaka Diva maisha ya kujipapulish mbele za watu!!
@user-bi3ky7vy2q
@user-bi3ky7vy2q 5 месяцев назад
Mmmh Shikamoo Mahusiano.
@meryamabdullah2081
@meryamabdullah2081 5 месяцев назад
Jamani mbona kuaibishana hvi 😢
@alonchobasamiye6844
@alonchobasamiye6844 5 месяцев назад
Mm naona Haina sababu ya kuzungumzia mahisiano yaliyo Kisha kuvunjika kweye mitandao
@mimahmimah1595
@mimahmimah1595 5 месяцев назад
Ati mwanamke akija kwako lazima azae kwaiyo huitaji uwezo wa mungu alaf wajiita sheikh labda sheikh ukwaju
@rizikisam6481
@rizikisam6481 5 месяцев назад
😂😂😂😂 sheikh ukwaju
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 5 месяцев назад
Mi nishsmuelew uyu kaka nishafahamu diva ndio alielikoroga hakupaswa kuchukua maamuz ya kuolewa maisha ya diva na huyu kaka ni vitu viwil tofaut diva anatak penzi la huyu kaka wanapendana life style ndo panamtihan
@rahmaali2694
@rahmaali2694 5 месяцев назад
Manshallah,napenda kuombwa msamaha namume,Alhamdulillah,diva ishike ndoa yako,wanaume wote ndio wako hivyo
@LeeLian95
@LeeLian95 5 месяцев назад
Wewe na Divah wote akili hamna, huyo Kaka hana mapenzi na Diva yuko kwaajili ya kumtumia, Mwanaume hamtunzi yuko kazi kumdhalilisha tu na hamuachi Divah mpk atimize malengo yake, anakula bure anakaa bure na kashajua udhaifu wa mkewe 🤣 kuomba msamaha tu kidogo kalegea looh wakt linamdhalilisha kila siku, et wanaume wote wako hivyo hyo mentality sijui mnatoa wapi
@bhokesaid3264
@bhokesaid3264 5 месяцев назад
​@@LeeLian95asante nimecopy na kupaste hii comment yako
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 5 месяцев назад
Sio wote
@cdeleo9336
@cdeleo9336 5 месяцев назад
@@LeeLian95kweli kabisa huyu mwanaume ni tapeli anamtumia tu huyo diva. Na huyo diva since hajapata upendo tangu akiwa mtoto ndo kaangukia kwa huyo tapeli
@zainabusabas7421
@zainabusabas7421 5 месяцев назад
​@@LeeLian95wanaume wa hivi hawatoi talaka wanavyo penda kitonga 😅😅😅😅
@vumiliakilosa4548
@vumiliakilosa4548 5 месяцев назад
Abdul yuko vizuri kabisa
@RahmaRashid-lc6nw
@RahmaRashid-lc6nw 5 месяцев назад
Lkn diva inatakiwa akuwe kwa kweli sasa mauwa yatamfanya nn ndoa ina mambo mengi lazima apige moyo konde mambo yaende mbele tumo kwenye ndoa miaka 27 kwenye ndoa ata sikumbuki lini nimepewa zawadi kila kitu najifanyia mwenyewe unashukuru tu umepata wa kukikidhi haja zako Alhamdulilah
@rizikisam6481
@rizikisam6481 5 месяцев назад
Hongera
@tunudachitalks6575
@tunudachitalks6575 5 месяцев назад
Hongera mwayaa maana kiukweli huu ndo uhalisia wa maisha ya wanawake wengi diva siyo mwanamke ni binti
@user-bi7wf4nz2d
@user-bi7wf4nz2d 5 месяцев назад
Haloooooh hatariii na nusuu tupe ubuyu baba😂😂
@khamismgunya4519
@khamismgunya4519 5 месяцев назад
Naisubiria interview ya night
@RuwaidaMohd-zs4kq
@RuwaidaMohd-zs4kq 5 месяцев назад
ww unalipwa ulivowafanyia wanawake wako wamwanzo ss baki uteseke na wao wanacheka saiv
@claudiajames2003
@claudiajames2003 5 месяцев назад
😂😂Yani hapa Diva umepigwa na kitu Kizito,Yani umeolewa na Bluetooth! Huyu ni hatari! Jamaa anaongea mpk hata anapoteza ladha ya kuwa mwanaume
@user-pl1fk6yz4u
@user-pl1fk6yz4u 5 месяцев назад
Eti Bluetooth
@christabelkajirwa1706
@christabelkajirwa1706 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@collinsenock2964
@collinsenock2964 5 месяцев назад
RUN
@christabelkajirwa1706
@christabelkajirwa1706 5 месяцев назад
It’s ommy with dang dang dang for me 😂😂😂
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 5 месяцев назад
Yan ananiboa 😂😂😂😂
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 5 месяцев назад
Utaskia okee oyeee 😂😂😂🙌
@halima23862
@halima23862 5 месяцев назад
Nyie waandishi wa Habari ndio mnaketa unafiki maana mnauliza masuali ya undani
@issazalala4907
@issazalala4907 5 месяцев назад
Eti mtu analipa milioni5 kwa mwezi wakati hata kiwanja hana 😂 pumbavu zao lazima mfe masikini
@user-gy3dv3tq8d
@user-gy3dv3tq8d 5 месяцев назад
Wamerogwa wasanii😂
@marymanoni5536
@marymanoni5536 5 месяцев назад
Diva unashida pole diva pole sn hapo hakuna mtuuu hapo
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 5 месяцев назад
Nimemskiliza diva kwa makin sana diva mkweli sana
@musamadua8102
@musamadua8102 5 месяцев назад
Wewe Sheikh, linda heshima ya ushekhei Yule mwanamke hakufai, anapenda kukusanya dunia, Tanzania inadjaa na wanawake wengi, wafata Dini, mbona unawatiya ayibu wa Sheikh ?
@Maryam-vj1rb
@Maryam-vj1rb 5 месяцев назад
Kazaba umoja
@sperabais
@sperabais 5 месяцев назад
Diva mwenyewe analalamika kwa ajili yako sema tu nimefurahia unavomtetea
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 месяцев назад
Huyu kaka ukimdifia tu Anakuomba picha akuone na anataka kukuoa😅😅😅
@nestorycosmas5717
@nestorycosmas5717 5 месяцев назад
Huyu mjinga kwenye kujieleza, yuko vizuri
@Ndiyooo
@Ndiyooo 5 месяцев назад
Kweli sheikh ni mkweliii
@user-ir5ec5jn3w
@user-ir5ec5jn3w 5 месяцев назад
Sheikh gani huyu Masheikh wakina Othman Maalim, Nurden Kishki awache kujiita Sheikh anatufanya hatuijui Nyeusi na Nyeupe!
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 5 месяцев назад
Mmmh Ngoja nisikilize tu…
@biggievandar254
@biggievandar254 5 месяцев назад
Lazima atajijitea ila hyo jamaa nitapeli sana hawezi kubali but nitapeli yeye na diva wote wakora
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 5 месяцев назад
Ila kweli nyumba ya dola 2000 sio kweli!!!
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 5 месяцев назад
Amuelewa abdul
@emilianapaul2751
@emilianapaul2751 5 месяцев назад
Mtangazaji: mlisolve vip?? Shekhe:Alitembea😅😅😅😅
@user-pl1fk6yz4u
@user-pl1fk6yz4u 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 5 месяцев назад
Keif ente 😊
@zuheilarama6233
@zuheilarama6233 5 месяцев назад
Abdul anampenda xna mke wake..,lakin mke mwenyewe ako na mambo mengi xna
@saidimussa8200
@saidimussa8200 5 месяцев назад
Jamaa kolombweo sana
@zulphaadam4671
@zulphaadam4671 5 месяцев назад
Uyuu bab ayukoo sw
@user-dj9xx9jl4j
@user-dj9xx9jl4j 5 месяцев назад
Ukiona mtu anaongea na akimaliza anagongeana na mwenzake hvy kuna namna
@BeullahBujah-lk3sx
@BeullahBujah-lk3sx 5 месяцев назад
Umeshaeleweka Dr.. Diva ni mke wako milele..
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 5 месяцев назад
Kweli mganga time hii mke umempata pasua kichwa yani utajua kumuoa miss mitandao haki kilakitu anaandika kwenye mitandao mpaka wazazi wako duh
@dignakanje4508
@dignakanje4508 5 месяцев назад
Nanyie mnaependa umaarufu nakujikuta mnaoa mastaa ndio hyo yanawatokea puani.Heshma inashuka,Matokeo yke unatumia nguvu nyingi kujielezea.Hya sasa mwishoe nihyo
@MultiMbongo
@MultiMbongo 5 месяцев назад
Dah siri zote nje,kumbe Kuna siku sheikh alipaka maji akambandika bibie😢😢😢
@zainabusabas7421
@zainabusabas7421 5 месяцев назад
😅😅😅😅😅
@noraazan9124
@noraazan9124 5 месяцев назад
Huyuu kaka ni msanii sana loooh hakuna mume hapa
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 5 месяцев назад
Na mke hapana apo
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 5 месяцев назад
Kama wewe shehe mbona mke wako anavaa hovyo
@AminaAmina-gs9zz
@AminaAmina-gs9zz 5 месяцев назад
Huyu mwanaume hayuko na mapenzi ya kweli naye he just pretend tu kwa ajili ya manufaa yake diva she is going real had to him diva walk away dear love you mwanamke mwenzangu, hakuna kitu vibaya kama mtu ku pretend kukujali mbele ya watu but ndani ni fofauti ni mabaya sana huyu kaka ni muongo ata ongea yake na pia ni binafsi na dharau juu eti ni sheik mmmh 😂😂😂
@MsAggie5
@MsAggie5 5 месяцев назад
Dawa zake alizomroga amuoe imeisha 😂😂😂😂
@consolatepondamali9984
@consolatepondamali9984 5 месяцев назад
Diva tu aimes vraiment ton mari très propre à😂😂
@thetas08
@thetas08 5 месяцев назад
Huyu jamaa kwa sie akili zetu timamu kwanza muongo then anaongea sana then ushekh sio dizaini hiyo huyu ni fake love period
@Naju645
@Naju645 5 месяцев назад
Shekhar anajua kumzungusha akili diva nahivi diva mwenyewe Hana akili ndio basi
@user-cu7ic4wy9h
@user-cu7ic4wy9h 5 месяцев назад
Uyu jamaa ni kiboko😂😂😂❤
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 5 месяцев назад
Hapo pa familia yake diva una wazimu. Wewe mke tuu leo ana wewe kesho ana mwengine, familia yake ndio muhimu daima ataishi nayo ukipenda usipende. Usilete fitna
@teddymathew2155
@teddymathew2155 5 месяцев назад
Tapeli jamaniii khaaah
@aishahasan7722
@aishahasan7722 5 месяцев назад
Mmh anaushekhe gan nae huyoo😂😂😂hovyoo we shekhe au shekhena 😂😂kwendraa huwez kuwa shaikh ww😅shekhe gn mkeo anavaa mawig anaogaje janaba km siouchafu,
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 5 месяцев назад
Swadakta ukhtii
@user-xr2hw3om9z
@user-xr2hw3om9z 5 месяцев назад
Waache Kiki wote ni wababaishaji diva akipotea mitandaoni anazua ishu ili azungumziwe. Tumewaxhoka
@abubakarysendeu2532
@abubakarysendeu2532 5 месяцев назад
Apo matapeli wawili Wana mfaidisha shekhe mansuri.wanauza utu wao,alafu huyu jamaa ni kama juisi ya miwa tu hata ikitiwa limau ndimu tangawizi haichachuki
@salama1113
@salama1113 5 месяцев назад
Huyu kaka muongo jamani kaah
@cocorita8367
@cocorita8367 5 месяцев назад
Wewee akipata mimba ikifika miezi 3 ashonwe zikibaki Wiki 2 kujifungua nyuzi inatolewa anazaa hii niifanya kwa mtt wangu wa kwanza na sasa ana 14yrs lkni ilikuwa south Africa sasa dola elfu 5 kwa nyumba akajitibu apate mtt wake
@zamdageuka9153
@zamdageuka9153 5 месяцев назад
Hawashoni wanafunga
@rahmanamani3422
@rahmanamani3422 3 месяца назад
Astaghfirullah huyu baba hazimtoshi anatakiwa ajitibu vipi asomee maji alafu apake sehem za siri hata huna haya mshenzi mkubwa
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 5 месяцев назад
Ukiachwa achika kaka dah nishai sn
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 5 месяцев назад
Nimecheka mimi dah!🤣🤣 kwa ndoa gani sasa ya kupigwa vita. It's official hawa ni Mr& Mrs. Delulu yaani wamekutana full kujiongopea,kuongopea watu na kuongopeana wenyewe............
@vero57
@vero57 5 месяцев назад
Dawa zinechuja tenaaa kwa divaa
@chibandamwende3676
@chibandamwende3676 5 месяцев назад
Mtihani tuu mtu wa sura zake elfu Mia kakutana na Babu ya Tapeli yani Diva hapa alijilidhalilisha sana !Mganga ndiii😂😂😂
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 4 месяца назад
Tena ndii..ndii...ndii...😅
@queenlinda255
@queenlinda255 5 месяцев назад
Mhh Diva ameisha
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 5 месяцев назад
Nchi ya hovyo sana ... Mpaka mambo ya ndoa yanaongelewa ktk radio tena mpaka jinsi ya tendo kenge nyie 😏
@makamekhalfan5968
@makamekhalfan5968 5 месяцев назад
shekh nd huy au duh mtihan yan anajip ushekhe
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 3 месяца назад
Tanzania ina urithi mkubwa wa watu😂😂😂. Wasafi Leo mmeyakanya
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 5 месяцев назад
Uyo mwanamme anaropoka tu naye muongo hana ata aibu sifa ndo zake
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 5 месяцев назад
Muongo huyu bwana sana kaweka hata kitanda office yake akipata mwanake tu analala naye hapo akiulizwa anasema anapumzika yeye
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 5 месяцев назад
Kwani kunashida gani akilelewa""guys yr attacking this man too much
@getrudecharles8869
@getrudecharles8869 5 месяцев назад
Sasa Siaache kazi kwa mda azae
@emmah_bill5597
@emmah_bill5597 5 месяцев назад
He doesn't care haueleweki...
@mankinemansulikine-2220
@mankinemansulikine-2220 5 месяцев назад
Nyie nimecheka sana diva unashida 😂😂
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 5 месяцев назад
yani uyu kk ana taka diva awe wake milele
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 5 месяцев назад
We muongo bwana tena wa hali ya juuu😂😂😂
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 5 месяцев назад
Kimekonda ki Ustadh chetu😂
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 5 месяцев назад
Huyu kaka nimuongosana
@dignakanje4508
@dignakanje4508 5 месяцев назад
Ustaaaa niujinga kbisa Hyo diva kma kweli nimwanamke angejenga hyo jeuri yadiva niyakijinga sana
@Bashitetako
@Bashitetako 5 месяцев назад
Acha kadhalilisha ma sheikh zetu we ni muhuni tu
@islamicreminder7451
@islamicreminder7451 9 дней назад
Maua kwa kiarabu ni zuhur acha kutupanga
Далее
UNO!
00:18
Просмотров 757 тыс.
would you eat this? #shorts
00:23
Просмотров 1,6 млн