Тёмный

🔴 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 65 тыс.
50% 1

🔴#Live: WAZIRI GWAJIMA AFIKA NYUMBANI kwa MAMA ALIYEFARIKI KISA WANAYE KUFANYIWA UNYAMA wa KUTISHA!
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

9 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 276   
@globaltv_online
@globaltv_online 5 месяцев назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@Lulualshagri
@Lulualshagri 5 месяцев назад
Mama aliefariki alikuwa anaitwa nani? Maana kama namfahamu
@AshaJuma-s7l
@AshaJuma-s7l 5 месяцев назад
Kwakweli Kwa upande wa mawaziri wanawake Mimi ninamfahamu Dorothy Gwajima tu! Wengine siwafahamu kabisa. Maana wamejifungia maofisini. Asante Mungu Kwa mbegu ya Magufuli. Wamebaki wachache tu. Silaa, Biteko, Bashungwa, Makonda, Hapi.😭😭😭🙏
@rosekajuki1787
@rosekajuki1787 4 месяца назад
Yaani huyu mama Hanaga longolongo yupo very active kusikiliza matatizo ya wananchi Mungu amkumbuke katika kazi zake zote
@AggiesVine
@AggiesVine 4 месяца назад
Pole sana kwa wanafamilia wote. Mama Dorothy Gwajima, Mungu aibariki sana kazi ya mikono na ofisi zako. You are exemplary in what you do.
@SalmaSelemani-o9b
@SalmaSelemani-o9b 5 месяцев назад
Yani mama nakupenda sana mungu akubaliki
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 5 месяцев назад
Mungu akubariki sana D Gwajima kwa kuwafikia wanyonge 🙏🙏
@claudiamacha502
@claudiamacha502 4 месяца назад
Mama hongera Sana,washuhulikie mama,wamezoea
@omytifa6403
@omytifa6403 4 месяца назад
Baba uko vzur unajua kujielezea sana MashaALLAH 😢❤
@erodiasmallya2869
@erodiasmallya2869 4 месяца назад
Asante sana Mama Gwajima. Uko vizuri Kwa jamii na tutazidi kukupenda Kwa moyo wako wa huruma. Mungu akubariki na kukupa afya njema Siku zote ili usaidie wengi.👏
@ThadeiAndrea
@ThadeiAndrea 5 месяцев назад
Poleni sana wafiwa mwenyezi Mungu yumwema ailaze mahali pema peponi
@lucydavid9093
@lucydavid9093 3 месяца назад
Ubarikiwe Sanaa Mama gwajima
@AholeLifilima
@AholeLifilima 4 месяца назад
Mungu akuweke mama Dorothy gwajima
@witnesrobson
@witnesrobson 5 месяцев назад
Mama Mungu akuzidishie ubarikiwe kwa moyo wa upendo na ukarimu wako mm binafsi nakupenda sana❤
@JoyceKiheka
@JoyceKiheka 4 месяца назад
Mwenyezi Mungu Akutunze Mama Dorothy Gwajima kwa Huduma yako kwa Jamii Ubarikiwe Mama
@agnesnandutu3877
@agnesnandutu3877 5 месяцев назад
Wallah tanzania muko vizuri sana ila polisi walizembea kwa kutomshika mtuumiwa
@belindashija4452
@belindashija4452 4 месяца назад
Asante sana.Nashukuru sana kwa kutusaidia sisi wanawake na watoto. mimi mwenyewe umenimbambania sana….🙏🙏
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 4 месяца назад
naomba muheshimewa waziri na polisi wahusishwe kutokana na makosa waliyoyafanya kwa uzembe kituo cha magoneni na haki itendeke kwakweli inaumiza sana iwe fundisho kwa wengine,,,,, tunashukuru sana viongozi wetu wa Tanzania hakika kazi mnaifanya hatujutiii kuwachaguwa
@AholeLifilima
@AholeLifilima 4 месяца назад
Hongera sana Globar TV mnafanya kazi zuri
@shabaniramadhani8026
@shabaniramadhani8026 4 месяца назад
Safi sana mama angu. Uko transparent
@navioma4882
@navioma4882 5 месяцев назад
Mungu akubariki muheshimiwa
@hamidaomary6800
@hamidaomary6800 4 месяца назад
Moyo wangu una uma sana wazir mungu akujalie kwa kuwapambania hao wazee
@aminaomary5567
@aminaomary5567 4 месяца назад
Waziri kazi mzuri.Mungu akubariki sana❤❤❤
@maimukanabora8751
@maimukanabora8751 5 месяцев назад
Mama Mungu akupe maisha marefu mno
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 4 месяца назад
Ubarikiwe Dr Doroth
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 5 месяцев назад
Uswaz mzee baba vichochoro zaid ya 7 ,songela,Igembe liasoo,Iramba,one, mashaaalah,
@JANEBGOYA
@JANEBGOYA 4 месяца назад
Waziri hongera kwa utu huu,umenigusa
@fatimahants1526
@fatimahants1526 5 месяцев назад
Hongera sana mheshimiwa waziri kwako udhubutu, utendaji mwema kwa walengwa mungu akuongeze daiman kwenye majukum ya kuwatumikiya wenye uhitaji, pole sana baba allah akupe subra na akupe taafifu afya yake imarike
@CharlesLutandula-y3c
@CharlesLutandula-y3c 4 месяца назад
Mamagwajima polenahongerasana kazi nzuri sana munguakubariki
@hamisaramadhan-ft9mi
@hamisaramadhan-ft9mi 4 месяца назад
Mama gwajima hongera sana 💖💖💖,,poleni wafiwa kwa kipindi hiki kigumu mnachopitia
@MariamLigoha
@MariamLigoha 5 месяцев назад
Nimekupenda mheshimiwa
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 5 месяцев назад
Inasikitisha sana poleni wafiwa mama gxajima mungu akuzidishie napolisi kama halali haitoshi hata halamu haitofaaa
@HildaMlay
@HildaMlay 3 месяца назад
❤ ccm ndio hii ufuatiliaji sahih
@saidymbagalla6622
@saidymbagalla6622 5 месяцев назад
Pole sana familia mwenyeMungu awape subira na faraja... Lkn nimpongeze mama Dorosi gwajima hakika anapiga kazi hasa lkn pia hao polisi wa magomen wote waliohusika na uzembe huo wachukuliwe hatua kalisana
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 5 месяцев назад
Masha Allah uko vizuri saana Mheshimiwa, Mwenyezi Mungu akuzidishie imani na huruma
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 5 месяцев назад
Mama Gwajima ubarikiwe sana Allah azidi kukuinua zaidi
@AnaraelMpungu
@AnaraelMpungu 4 месяца назад
Mama.Mungu.akubariki.ujue.wanachi.wahali.yachini.tunapata.shida.mpaka.kwnye.ajira.kama.huna.mtu.mkubwa.mwanao.hapatite.kazi.Mungu.akubariki.kwautendaji.wako
@luckyrayyan0013
@luckyrayyan0013 5 месяцев назад
Namuamini huyu mama Yuko vizuri sana
@AbdallahKumba
@AbdallahKumba 3 месяца назад
Mungu awe nawe
@FortunateAlphonce
@FortunateAlphonce 4 месяца назад
@mrsferuzi7443
@mrsferuzi7443 4 месяца назад
Mh waziri hongera
@YusufSwaibu
@YusufSwaibu 5 месяцев назад
Waziri uko vzr Mungu akubariki Kwa utendaji mzuri
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 4 месяца назад
Tungepata viongozi Kama huyu mama. Tanzania yetu tungekua mbali Sana.Mungu akulinde mama
@TullyMwakibete-xt5xm
@TullyMwakibete-xt5xm 4 месяца назад
Mungu amkumbuke huyu waziri Gwajims kwa kufstilia mstukio km haya,ee Mungu baba mpe uponyaji huyu baba,afya yake itengamae ili awatunze hawa watoto,pole sana kwa kufiwa na mkeo
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 5 месяцев назад
Tunaomba namba maalum kuchangiya chochote kwa hiyo familiya
@shakilasharifa9
@shakilasharifa9 5 месяцев назад
Mama jasir mungu akubariki. Sana❤
@GloryChete
@GloryChete 4 месяца назад
Mungu ndie muamuz 4:23
@EmmmaTembo
@EmmmaTembo 5 месяцев назад
Poleni sana ndugu zangu Mama ahondoka kabla ya kupata haki ya mtoto wake inauma ila kazi ya MUNGU haina nakosa.kwa Mungu tulitoka na kwake tutarejea
@luckyrayyan0013
@luckyrayyan0013 5 месяцев назад
Mtangazaji wa Grobo tv ubarikiwe sana
@SalmaMsangi-n2m
@SalmaMsangi-n2m 5 месяцев назад
Mama gwajima mungu akulipe na akupe uzima na nguvu ili uyatimize yote uliyoahidi!tunakuamini
@veronicathomas9422
@veronicathomas9422 4 месяца назад
Neema ya Mungu ikutunze mama
@Sararich.
@Sararich. 4 месяца назад
Mama hongera kwa kuwakimbilia wafiwa.
@muzneali4747
@muzneali4747 5 месяцев назад
Naomba HUYO mtuhumiwa HATA kama kakimbia picha yake IRUSHWE MITANDAONI ATAPATIKANA TU
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi 5 месяцев назад
Kabisaaaa na akipatikana auliwe auliwe
@AverinaShirati
@AverinaShirati 5 месяцев назад
Kwel
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 5 месяцев назад
Umeongea point serikal yetu viongozi na maaskali ni wala rushwa yaani rushwa uko mbele kuliko haki
@Chaotic-c2p
@Chaotic-c2p 5 месяцев назад
Yaani akipatikana alawitiwe kwanza then ndio auwawe kwa maumivu makali
@margarethndyamkama5537
@margarethndyamkama5537 5 месяцев назад
Hata binadam tusipompata Allah anajua Cha kumfanya
@fridagustaphmwenda6658
@fridagustaphmwenda6658 4 месяца назад
😢😢😢😢 Inauma Sanaa
@ModestaMduda-n9s
@ModestaMduda-n9s 5 месяцев назад
Mungu akubaliki sana mama hendelea kuwajali watu wako mungu atakulipa
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 4 месяца назад
116
@omanmct135
@omanmct135 5 месяцев назад
Subhanalllah😢😢
@kashindesalha8107
@kashindesalha8107 5 месяцев назад
Tunakushukuru Sana mm Gwajima mungu atakulipa
@Zengeni-gz8fe
@Zengeni-gz8fe 5 месяцев назад
ALHAMDULLAH
@williambega7810
@williambega7810 4 месяца назад
Utunzwe na Mungu mama Kwa upendo ulio nao
@ModestaMduda-n9s
@ModestaMduda-n9s 5 месяцев назад
Inauma sana jamani mungu akusaidie baba upone halaka
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 5 месяцев назад
Pole kwa familia Subhana Allah inasikitisha sana Allah atamlipia kwa hili atapatikana tuu😢
@richarddavidmk
@richarddavidmk 4 месяца назад
Kazi nzur mh
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 месяцев назад
wanawake tunauliwa na maumivu ya watoto wetu mtihani
@NoorLheyNoorLhey
@NoorLheyNoorLhey 5 месяцев назад
Polesana.baba allh akupesubra inasikitisha na inaumiza polisinimbwatu kazikubambikiyakesiwaso hatiya wenehatiya wakitowapesatubasi wanawabeba
@danielkanso
@danielkanso 5 месяцев назад
Polen ndugu pamoja na jamaa Mungu aingilie kati
@strongarmsecurity4949
@strongarmsecurity4949 5 месяцев назад
Poleni sana inauma sana haya mambo yako sehemu nyingi. Mmm 😭😭😭
@subirajohn728
@subirajohn728 5 месяцев назад
Mama Gwajima❤️❤️❤️
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 5 месяцев назад
Ukipeleka kesi polisi wanaifanya mtaji.
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 5 месяцев назад
Aamin Mama gwajima🙏🏽🌹
@omanqqwe4061
@omanqqwe4061 5 месяцев назад
Nakupenda sana mama
@SalmaMsangi-n2m
@SalmaMsangi-n2m 5 месяцев назад
Wazir Hadi raha
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 5 месяцев назад
Waziri mtu wa maana kabisa 🙌🏻
@athmanomar1448
@athmanomar1448 5 месяцев назад
Akamatwe jamani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@esterMahenge
@esterMahenge 4 месяца назад
😢😢😢😢
@rahmasalim1989
@rahmasalim1989 4 месяца назад
Innalillah wainnailaihi rajiun.
@ntangiregemfuruki5478
@ntangiregemfuruki5478 5 месяцев назад
😊😊😊EWEMUNGU. MUNGU MWEMA.ASANTE MAMA GWAJIMA M.MUNGU AKUBEBE MAMA SKULINDE UNAJITAHIDI
@margrethemanuel7501
@margrethemanuel7501 4 месяца назад
Dah! Police Police jamani kha! Hata jambo km hilo mnataka mtu ashike pesa mkononi??..????
@AshaJuma-s7l
@AshaJuma-s7l 5 месяцев назад
Maombi yangu hee! Mola! Huyu waziri arudi katika nafasi yake ya Kuwa waziri wa afya. Ninaamini Mungu atatenda.🙏🙏🙏
@neemabright3635
@neemabright3635 5 месяцев назад
Dah hongera sana mama, ila tunahitaji mabadiliko ya adhabu inaonekana adhabu wanayopewa hai washtui hata wanaona ni kawaida sana n dhamana isiwepo Kwa hao watu, jeshi la polisi like macho sana hizi issue zimezidi n watu wa chini haki kupata ni mtihani ...
@moreenonesmo-jz2ws
@moreenonesmo-jz2ws 5 месяцев назад
Polen
@Zengeni-gz8fe
@Zengeni-gz8fe 5 месяцев назад
Baba anapitia wakati mgumi xana.anaumia na mengi.kufiwa na mke.kuharibiwa wtt .yeye mwenyewe anaumwa ....jamani
@LovenessFedrick-cy9fh
@LovenessFedrick-cy9fh 4 месяца назад
Ee Mungu tuwafiche wapi watoto wetu 😢😢😢 police Mungu anawaona kwani hamna watoto 😢
@athmanomar1448
@athmanomar1448 5 месяцев назад
POLISI NIMESEMA wanahitaji kurekebisha kupiga msasa kuanzia juu mpaka chini
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 5 месяцев назад
😪😪💔
@elizabethmashiba8799
@elizabethmashiba8799 3 месяца назад
😭😭😭😭😭police police mnaumiza sana watu uenda wangemsikiliza mama wa watu umaut usingemkuta
@omanmct135
@omanmct135 5 месяцев назад
😭😭😭💔
@HappyOutdoors-eo6tf
@HappyOutdoors-eo6tf 5 месяцев назад
Welcome to tanzania
@teedullah5708
@teedullah5708 5 месяцев назад
Masikini mungu atakuenuwa bbetu utampata usaidizi
@tinershayo6191
@tinershayo6191 4 месяца назад
Mmeshindwa kuokoa tatizo kweli mpaka ikawa tatizo kubwa zaidi
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du 5 месяцев назад
😢😢😢
@elizabethmashiba8799
@elizabethmashiba8799 3 месяца назад
Vipi hizo namba zimewekwa.baads ya ww kuja
@TatuKatabanya
@TatuKatabanya 5 месяцев назад
😭😭😭
@namsifumihungo8504
@namsifumihungo8504 4 месяца назад
Hongera Mh,Mahala wanandamu tunakosea na tunapoteza watenda kazi waaminifu ni pa kutokusifia watendaji wa serikali wazuri,umesema vizuri tuwatambue ili wapewe nafasi hizi kero ziweze kupungua ama kwisha kabisa,lawama tu zinafanya tuendelee kuhudumiwa na watu wasio waadilifu kwa sabb hakuna anaemtaja mzuri ili huyo sasa tumpate kutupa huduma Bora,Dodoma mjini kuna afsa wa Polisi dawati la jinsia anaitwa Teddy,nataman siku moja nisikie yuko mahala pa juu,hajui pesa ya vocha,masaa yote anapokea cm,kila anachopokea anafanyia kazi na kutoa mrejesho kwa mteja,hachagui nani anamsikiliza yy wanadodoma wote ni wateja kwake,na mkweli hata pale mlalamikaji anapokuwa kakosea yy anamwambia,kifupi amenyoooka,Lkn sisikii hizi sifa kabisa,Naamin hii clip yako itasaidia lkn Global mngeweza hiki kipande cha kuwataka wananchi kutaja watendaji wazuri kutoka kwa Mh kieditiwe kisambae kama elimu kitusaidie,tuseme wabaya,hapohapo tuainishe wazuri ili tupate cream ya kutuvusha.
@fatmaally7252
@fatmaally7252 5 месяцев назад
Mimi ninacho walaumu awa watu wanao waharibu amùwafungi mnawaacha waendelee kuwaharibu watoto wetu ila mungu yupo nyie mungu atawaonyesha kwenye vizaxi vyenu tunajua watoto wenu ni ngumu kwa sababu mna mabavu ila mungu fundi atasema na nyinyi mana haya mnayamudu ila mnayaacha bimana mnayajua mungu wetu atasema na nyinyi na ato waacha mana mnayajua vizuri tu
@Kabwela776
@Kabwela776 5 месяцев назад
Tungechangia tumjengee nyumba ili watoto wawe Na sehemu ya kuishi
@gracejonh4022
@gracejonh4022 4 месяца назад
😭😭😭😭😭😭😭
@rosehaule6765
@rosehaule6765 5 месяцев назад
Haki.pole dada Mungu akur3hemu na.Mungu at atatoa hukumu😢
@AnaraelMpungu
@AnaraelMpungu 4 месяца назад
Duuu.mpaka.nimelia Sana.nimeumia
@asl6295
@asl6295 5 месяцев назад
Inna lillah wa Inna ilayhi raajiuun
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 5 месяцев назад
R.I.P Mama yetu mpendwa
@alexmatt9504
@alexmatt9504 5 месяцев назад
Poleni sana familia nzima kwa huo msiba mzito. Hao Polisi waliohusika: Mpelelezi wafukuzwe kazi,hakuna haja ya kuwasikiliza kujitetea kwa sababu kosa la kukataa kutoa PF3,mtuhumiwa kutomkamata mpaka anahamua kukimbia huo ni uzembe wa Polisi na Mkuu wa kituo na yeye ajitadhimini kwa makosa hayo. Wito kwa Waziri Masauni awe mkali na kutoa adhabu hapo kwa hapo.
Далее
Обыкновенное чудо
00:48
Просмотров 267 тыс.
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37