Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Arusha mimi naiunga mkono ufanyaji kazi ila kwa upande wa hospitali serikali inajitahidi kujenga majengo ila sasa kwa upande wa madactari hii haipo sawa doctor analetwa mgonjwa ambaye ni Sirius hawaudimiwa kwa haraka kama mgonjwa Sirius wanajifuta mpaka yule mtu kufa kwa uzembe